Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 35
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Habari zilizosambazwa hapa JF kwamba kuna sintofahamu kati ya CDM na ITV si za kweli na katika kudhihirisha hilo leo asubuhi habari ya Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa kwenda polisi na kugoma kutoa maelezo imepewa uzito mkubwa kwenye taarifa yake ya habari.Kiongozi huyo mbali ya kupewa muda mrefu lakini pia ITV imeonyesha kundi kubwa la wafuasi wa CDM likimshangilia Dr Slaa na kusukuma gari lake.Pia ITV jana usiku ilionyesha kwa muda wa kutosha hotuba ya Waziri Kivuli wa sheria Tundu Lissu bungeni.

      Source:Habari za ITV
      Facilitator and Mlingwa like this.


    2. #2
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,468
      Rep Power : 19243
      Likes Received
      4188
      Likes Given
      3368

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      asante kwa taarifa kamanda..

    3. #3
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,553
      Rep Power : 1606
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      hakuna mgogoro.

    4. #4
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Crashwise View Post
      asante kwa taarifa kamanda..
      Pamoja sana kamanda

    5. #5
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Nyakageni View Post
      hakuna mgogoro.
      Ni kweli mkuu.......


    6. #6
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 682
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Tangu lini wachagga wagombane!

    7. #7
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

    8. #8
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,788
      Rep Power : 13847
      Likes Received
      430
      Likes Given
      569

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Taabu ya kuwa bendera ni kukosa uelekeo, kesho upepo ukibadilika utakuwa wapi?

    9. #9
      richone's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 137
      Rep Power : 454
      Likes Received
      32
      Likes Given
      9

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      hakuna mgogoro ni sawa ila ITV imekuwa ikishindwa kuonyesha habari mbalimbali za chadema na kama wameonyesha jana na leo ni hizo tuu ila mara nyingi wamekuwa wakizibania habari za CHADEMA na hii ni kutokana na bosi wa ITV kuwa mwanachama wa magamba hivyo kunawakati analazimika kuwabana wahariri na kuwaambia hapana toa habaria za chadema hasa zile zinazoonyesha mambo mazuri yaliyofanywa na CHADEMA. kunawakati wakitoa huwa wanaitoa mara moja tu kwa kifupi na katika marudio hawatoi tena. nadhani hawa ITV nao wanaelekea kuwa chombo cha propaganda cha CCM ndio maana wanalazimika kutorusha habari za CHADEMA.

    10. #10
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 854
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default

      Quote By Molemo View Post
      Habari zilizosambazwa hapa JF kwamba kuna sintofahamu kati ya CDM na ITV si za kweli na katika kudhihirisha hilo leo asubuhi habari ya Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa kwenda polisi na kugoma kutoa maelezo imepewa uzito mkubwa kwenye taarifa yake ya habari.Kiongozi huyo mbali ya kupewa muda mrefu lakini pia ITV imeonyesha kundi kubwa la wafuasi wa CDM likimshangilia Dr Slaa na kusukuma gari lake.Pia ITV jana usiku ilionyesha kwa muda wa kutosha hotuba ya Waziri Kivuli wa sheria Tundu Lissu bungeni.

      Source:Habari za ITV
      Molemo hii habari si ya kuipuuza. Jana mimi nimeangalia ITV ili nione suala laDr. Slaa sijaona na nikiamini kabisa ITV ni lazima tukio hilo watakuwa wamelipata.

      Nikirudisha nyuma mkanda, ukiacha M4C ilivyokuwa mikoa ya kusini na kuripotiwa vizuri na ITV hapo kati mahusiano au taarifa za CDM zilikuwa hazipewi kipaumbele kabisa.

      Kama hakuna tunashukuru.

    11. #11
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 854
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default

      Quote By richone View Post
      hakuna mgogoro ni sawa ila ITV imekuwa ikishindwa kuonyesha habari mbalimbali za chadema na kama wameonyesha jana na leo ni hizo tuu ila mara nyingi wamekuwa wakizibania habari za CHADEMA na hii ni kutokana na bosi wa ITV kuwa mwanachama wa magamba hivyo kunawakati analazimika kuwabana wahariri na kuwaambia hapana toa habaria za chadema hasa zile zinazoonyesha mambo mazuri yaliyofanywa na CHADEMA. kunawakati wakitoa huwa wanaitoa mara moja tu kwa kifupi na katika marudio hawatoi tena. nadhani hawa ITV nao wanaelekea kuwa chombo cha propaganda cha CCM ndio maana wanalazimika kutorusha habari za CHADEMA.
      Ni kweli mkuu, inawezekana na hata kama ikipewa haipewi kama habari muhimu bali ya kawaida tu.

      Kwa watu tuliozoea habari za headline ujue ni shida hapo.

    12. #12
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

    13. #13
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Losambo View Post
      Molemo hii habari si ya kuipuuza. Jana mimi nimeangalia ITV ili nione suala laDr. Slaa sijaona na nikiamini kabisa ITV ni lazima tukio hilo watakuwa wamelipata.

      Nikirudisha nyuma mkanda, ukiacha M4C ilivyokuwa mikoa ya kusini na kuripotiwa vizuri na ITV hapo kati mahusiano au taarifa za CDM zilikuwa hazipewi kipaumbele kabisa.

      Kama hakuna tunashukuru.
      Mkuu usijali imerushwa vizuri sana leo asubuhi.Nakuhakikishia M4C ya wiki ijayo itarushwa kama kawaida kwa mapana yake.

    14. #14
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Nimesikia kuna mkutano mkubwa wa M4C Iramba. Nipe ratiba mkuu.

    15. #15
      eumb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 125
      Rep Power : 389
      Likes Received
      60
      Likes Given
      3

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Quote By richone View Post
      hakuna mgogoro ni sawa ila ITV imekuwa ikishindwa kuonyesha habari mbalimbali za chadema na kama wameonyesha jana na leo ni hizo tuu ila mara nyingi wamekuwa wakizibania habari za CHADEMA na hii ni kutokana na bosi wa ITV kuwa mwanachama wa magamba hivyo kunawakati analazimika kuwabana wahariri na kuwaambia hapana toa habaria za chadema hasa zile zinazoonyesha mambo mazuri yaliyofanywa na CHADEMA. kunawakati wakitoa huwa wanaitoa mara moja tu kwa kifupi na katika marudio hawatoi tena. nadhani hawa ITV nao wanaelekea kuwa chombo cha propaganda cha CCM ndio maana wanalazimika kutorusha habari za CHADEMA.
      Tunahitaji ITV wawakaribishe wapinzania kwenye DAKIKA 45, tumechoka kuwaona mawaziri wakijifagilia kila mara!!
      Malalika likes this.

    16. #16
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Quote By MNYISANZU View Post
      Nimesikia kuna mkutano mkubwa wa M4C Iramba. Nipe ratiba mkuu.
      Nimemuona Mbunge wangu Mtarajiwa wa Iramba hapa, ngoja labda anaweza kutupa majibu:
      There are currently 36 users browsing this thread. (13 members and 23 guests)

      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    17. #17
      Don Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,409
      Rep Power : 2936
      Likes Received
      390
      Likes Given
      201

      Default

      Quote By Free World View Post
      Tangu lini wachagga wagombane!
      Damn you freaking tribalist!

    18. #18
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,604
      Rep Power : 823
      Likes Received
      278
      Likes Given
      53

      Default Re: Hakuna mgogoro kati ya CHADEMA na ITV

      Quote By Free World View Post
      Tangu lini wachagga wagombane!
      haiwezekani,wanaogombana ni nape na mkama tu.
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    19. #19
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By MNYISANZU View Post
      Nimesikia kuna mkutano mkubwa wa M4C Iramba. Nipe ratiba mkuu.
      Ngoja tufuatilie mkuu

    20. #20
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By eumb View Post
      Tunahitaji ITV wawakaribishe wapinzania kwenye DAKIKA 45, tumechoka kuwaona mawaziri wakijifagilia kila mara!!
      Hakika katika hili nakuunga mkono.Mawaziri wanatumia kipindi hiki kupiga propaganda dhidi ya CDM

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...