Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watanzania wenzangu...

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 99
    1. #1
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Watanzania wenzangu...

      Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
      Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
      1.MRI ( magetic resonance imaging):
      Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
      2.CT scanning:
      Muhimbili tsh 80,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
      3. Kidney dialysis:
      Hiyo ndo usiseme.
      In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
      Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
      Tutafika kweli?????
      Last edited by Bishanga; 14th July 2012 at 00:03.
      Boflo, Maundumula and mito like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Andy1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Posts : 65
      Rep Power : 416
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default

      Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
      Mamndenyi likes this.

    4. #3
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Andy1
      Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
      Haya bana

    5. #4
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 447
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii????? ????????????

    6. #5
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10089
      Likes Given
      14003

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Bishanga unashangaa hayo? hivi pasi hata kwenda kote huko jiulize nani ndiye msimamizi wa afya wa watanzania?
      Bishanga likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,444
      Rep Power : 1124
      Likes Received
      636
      Likes Given
      827

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Bishanga acha wote waondoke, MUNGU atajua cha kufanya ni bora tuanze na Wazalendo wenye moyo wa kuijenga nchi sio hawa wanaotaka maslahi kwanza.
      Kwanza mm mtu wa kijijini huko Muhimbili sitafika kwani ni 0.03 ya Watanzania milioni 45 ndio wanaofika hapo, kwa hiyo hata hizo mashine wakiziCollapse sisi tutavuna na miti shamba ya mababu tutatumia
      Kwa ufupi hao MaDr waresign labda Nchi itatulia maana hata hayo maandamano ya j3 hayana tija kwani FFU wanajifua nao wanatamani huo mshahara wa 7,7m au nao wagome wanashindwa
      Bishanga likes this.
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    9. #7
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Andy1
      Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
      nini sasa hujaelewa hapo,rudia kusoma thread
      Bishanga likes this.
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    10. #8
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Ukwaju
      Bishanga acha wote waondoke, MUNGU atajua cha kufanya ni bora tuanze na Wazalendo wenye moyo wa kuijenga nchi sio hawa wanaotaka maslahi kwanza.
      Kwanza mm mtu wa kijijini huko Muhimbili sitafika kwani ni 0.03 ya Watanzania milioni 45 ndio wanaofika hapo, kwa hiyo hata hizo mashine wakiziCollapse sisi tutavuna na miti shamba ya mababu tutatumia
      Kwa ufupi hao MaDr waresign labda Nchi itatulia maana hata hayo maandamano ya j3 hayana tija kwani FFU wanajifua nao wanatamani huo mshahara wa 7,7m au nao wagome wanashindwa
      I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
      This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
      Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
      Nawasilisha,
      Bishanga Abashaija.

    11. #9
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Bishanga
      Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
      Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
      1.MRI ( magetic resonance imaging):
      Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
      2.CT scanning:
      Muhimbili tsh 80,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
      3. Kidney dialysis:
      Hiyo ndo usiseme.
      In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
      Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
      Tutafika kweli?????
      Mkuu you are falling short hapa ulitaka ku-suggest nini?. Kwamba madaktari wana-sabotage vifaa vya muhimbili? na kama ni kweli kwa nini wafanye hivyo?. Sija-dismiss point yako ila ninachojua ni kuwa vifaa vingi vya utabibu huwa vina working duration, sasa kama unacho kimoja na kukifanyia overwork na wakati huo huo hakuna matengenezo mpaka mwaka upite kama ulivosema watu wa Phillips ndiyo huwa wanakuja huoni kuwa ni tatizo la serikali?
      Bishanga, sanga malua and ruhi like this.

    12. #10
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Hofstede
      Mkuu you are falling short hapa ulitaka ku-suggest nini?. Kwamba madaktari wana-sabotage vifaa vya muhimbili? na kama ni kweli kwa nini wafanye hivyo?. Sija-dismiss point yako ila ninachojua ni kuwa vifaa vingi vya utabibu huwa vina working duration, sasa kama unacho kimoja na kukifanyia overwork na wakati huo huo hakuna matengenezo mpaka mwaka upite kama ulivosema watu wa Phillips ndiyo huwa wanakuja huoni kuwa ni tatizo la serikali?
      Wasi wasi wangu ni nini hasa kinasababisha mashine za dialysis,ct scanner na MRI kila kukicha muhimbili zimekufa , opearators kwa maana ya technicians , wasoma majibu kwa maana ya doctors ambao wanasimamia mashine hizi za muhimbili ndo more or less unawakuta hao hao regency,agha khan na hindu mandal wanapiga mzigo?
      Mkuu unataka tutajane kwa majina hapa? Twajuana ati.
      Maundumula likes this.

    13. #11
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4303
      Likes Given
      1248

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Ccm your tired!
      Bishanga likes this.

    14. #12
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Ccm your tired!
      Waitu washobya,kila kitu si vyema ukakiamulia kwenye prism hiyo,wakati mwingine weka 'siasa' pembeni na tuangalie uhalisia wa maisha yetu ya kila siku.
      Wamiliki wa agha khan,regency na hindu mandal unawafahamu? Do you know nini kinaendelea nchi hii katika industry ya huduma ya afya?

    15. #13
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,167
      Rep Power : 870
      Likes Received
      316
      Likes Given
      719

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Kwani ma drs wamesema wanataaluma wengine hawafai? Mimi lawama nazielekeza kwa wanasiasa, mfano juzi tu cag kaibua madudu ya upotevu wa hela adhabu ikawa ni kuwaondo wizarani eti, ktk upuuzi kama huu kwanini tusiwe na migao ya maji na umeme?
      Bishanga likes this.

    16. #14
      BUBERWA D.'s Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 168
      Rep Power : 442
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Bishanga
      Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
      Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
      1.MRI ( magetic resonance imaging):
      Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
      2.CT scanning:
      Muhimbili tsh 80,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
      3. Kidney dialysis:
      Hiyo ndo usiseme.
      In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
      Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
      Tutafika kweli?????
      bwana bishanga haya ni mapambano yasiyo na tija mnayojaribu kurefusha bila kutafuta ufumbuzi. the government tries to deceive the aggrieved in this saga by using the weaked people like you whome without forcing me i wanted not to call. a doctor is not by law prohibited to own da personal enterprise so as to sustain his subsistence. you have to advise the gvt not to keep beguiling citizens and repudiating the constructive views from citiens and engulfing the views of the weaked like you. obagambile ebintu byatama.
      Bishanga likes this.

    17. #15
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      hawa madokta saa ingine wanakatisha tamaa ,tunaotumia mahospitali ya serikali yametukuta mengi tu ,maana huwa wanakudharau sana sana ,unaweza ukaingia ndani yeye akatoka ,kurudi kwake ni baada ya masaa.Kama hujampenyezea chochote basi utaondoshwa njiani uwapishe wenye hela ya kumpa.

      Wanaofika mahospitali haya wakiwa wajawazito ndio usiseme ,mtu anazalishwa kwa nguvu na mijineno juu ,saa ingine ukifikiria unaweza kusema bora yawakute,liwalo na liwe.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    18. #16
      Mokerema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 427
      Likes Received
      117
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Ukwaju
      Bishanga acha wote waondoke, MUNGU atajua cha kufanya ni bora tuanze na Wazalendo wenye moyo wa kuijenga nchi sio hawa wanaotaka maslahi kwanza.
      Kwanza mm mtu wa kijijini huko Muhimbili sitafika kwani ni 0.03 ya Watanzania milioni 45 ndio wanaofika hapo, kwa hiyo hata hizo mashine wakiziCollapse sisi tutavuna na miti shamba ya mababu tutatumia
      Kwa ufupi hao MaDr waresign labda Nchi itatulia maana hata hayo maandamano ya j3 hayana tija kwani FFU wanajifua nao wanatamani huo mshahara wa 7,7m au nao wagome wanashindwa
      Ukwaju!
      Wewe hujui unachozungumza. Your silliness and the **** about Uzalendo ndio umetufikisha hapa tulipo . The doctors are not saying that they are the most important professionals in this world. They low pay and disregard for employers to meet their basic needs is where the problem is . They Ned a fair deal. The failed ccm republic of Tanzania is to blame.
      Some of you talk **** about wito and so forth. Doctors are hoping from one hospital to another .
      Anaanza kazi asubuhi mpaka saa name Mhumbili, from saa Tisa mpaka saa 12 jioni anakuwa Regency halafu anakwenda Massana saa mbili usiku. Do you know why serikali kutokuwalipa mishahara na kuwapa peanuts inawafanya wawe wamachinga.

      Kuhusu Vitendea kazi huwezi kununua CT scan moja tu utarajie kwamba ikafanywa kazi bila service plus hata kuzimwa halafu uwepo for ever.

      The solution ni kuwa na nyingi at least Kila hospitali ya teule iwe nayo moja . The same should apply to all strategic equipments.

      When you dont have national standards or even benchmarks unatarajia ubora upi? The bottom line tuwe na Regulator of medical practice ili mambo Kama Bei yaweze kuwa Regulated.
      Bishanga likes this.

    19. #17
      Kiona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 811
      Rep Power : 2801
      Likes Received
      211
      Likes Given
      238

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Muhimbili is the crime scene
      “True leadership must be for the benefit of the followers, not the enrichment of the leaders"


    20. #18
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,746
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      416

      Default

      Quote By Bishanga
      Waitu washobya,kila kitu si vyema ukakiamulia kwenye prism hiyo,wakati mwingine weka 'siasa' pembeni na tuangalie uhalisia wa maisha yetu ya kila siku.
      Wamiliki wa agha khan,regency na hindu mandal unawafahamu? Do you know nini kinaendelea nchi hii katika industry ya huduma ya afya?
      Mkuu achana nao hao jamaa ambao ni vipimbi vya taaluma.
      Kidigree chenyewe kimoja na hata experience ya miaka 10 kazini hawana.
      Sasa wanaanza kuota moto wa kudharauliwa na waTanzania wenyewe.
      Waachieni waandamane na wakipita mitaa yangu nawarushia rambo la kinyesi cha mgonjwa wangu.
      Just for good measure.

    21. #19
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Hongere Bishanga !
      Bishanga likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    22. #20
      Kibaraka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Posts : 232
      Rep Power : 474
      Likes Received
      39
      Likes Given
      18

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Hii ni nchi ya kitu kidogo, ni nchi ya watu wadogo.
      Kinachotakiwa ni kufanya maamuzi na sio kuishia kulalamika tuu kila siku,.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...