Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watanzania wenzangu...

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 99 of 99
    1. #1
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8071
      Likes Given
      7565

      Default Watanzania wenzangu...

      Sina tabia ya kufungua nyuzi jukwaa la siasa (JLS), anga zangu ni mmu na chi chat.
      Lakini katika hili la hospitali ya muhimbili kwa kuwa naijua vyema naomba niseme haya yafuatayo:
      1.MRI ( magetic resonance imaging):
      Mashine hii muhimbili ipo,gharama za kipimo ni sh 120,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 540,000.- kwa kipimo.
      2.CT scanning:
      Muhimbili tsh 80,000.-
      Ukienda agha khan,regency na hindu mandal unapigwa sh 360,000.-
      3. Kidney dialysis:
      Hiyo ndo usiseme.
      In short,vipimo hivi day in day out ukienda muhimbili unaambiwa vimekufa, nenda agha khan,hindu mandal na regency,same doctors hao hao wa muhimbili wana handle vifaa hivi private hospitals na kutoa majibu kwa gharama kubwa,mnyonge inabidi augulie tu cant afford.
      Kila kukicha technians from Phillips company Uholanzi wanakuja TZ kurekekibisha mashine hizi muhimbili na zinakuwa ok,wakitoka tu zinakufilia mbali, patients wanaendelea wenda private hospitals,doctors wanalalamika vifaa duni.
      Tutafika kweli?????
      Last edited by Bishanga; 14th July 2012 at 00:03.
      Boflo, Maundumula and mito like this.

    2. Miaka 50

    3. Tom
      #81
      Tom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2007
      Posts : 504
      Rep Power : 715
      Likes Received
      17
      Likes Given
      30

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Andy1
      Kuwa makini na toa taarifa sahihi ct scan mnh ni lak 1.7 na ni mbovu mda mrefu , mashine moja inahudumia nchi nzima haifanyiwi service itadumu vipi???
      Bishanga kasema zinafanyiwa service lakini zinahujumiwa baada ya muda mfupi. Kuna ukweli usiofichika kua CCM imetufundisha desturi ya kila mtu pamoja na DRs, wanasiasa nk kua wezi nchi hii - bora hizo mashine zingesimamiwa na mtu/kampuni binafsi lkn huduma kwa bei zilizopangwa na serikali plus 10% service charge apewe mwendeshaji. Huduma ikisua sua mtu anaondolewa mara moja.
      Uongozi mzuri haupo hilo ndio tatizo kuu la nchi hii.

    4. #82
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8071
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Tom
      Bishanga kasema zinafanyiwa service lakini zinahujumiwa baada ya muda mfupi. Kuna ukweli usiofichika kua CCM imetufundisha desturi ya kila mtu pamoja na DRs, wanasiasa nk kua wezi nchi hii - bora hizo mashine zingesimamiwa na mtu/kampuni binafsi lkn huduma kwa bei zilizopangwa na serikali plus 10% service charge apewe mwendeshaji. Huduma ikisua sua mtu anaondolewa mara moja.
      Uongozi mzuri haupo hilo ndio tatizo kuu la nchi hii.
      Aisee umeongea bonge la point,outsourcing,mashine za serikali mwendeshaji kampuni binafsi,viwango vikishuka you are out.
      Jamani kama kuna kibosile wa wizara ya afya anasoma hii thread then mark this advice.

    5. #83
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8071
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Simplicity.
      Unafiki sio bure umetumwa. Vifaa unavyoongelea ni vichache haviwezi kumudu mahitaji ya wagonjwa kwa hiyo lazima viharibike mapema kwa kuzidiwa. Na kama vinasubiri watengenezaji kutoka nje ni kosa la serikali kwa sababu haijasomesha wataalamu.

      Naamini hata ubora wa hivyo vifaa ni wa chini mno, vinginevyo tungeona viongozi wa CCM wakitibiwa navyo na sio kwenda nje ya nchi.

      Madaktari unawaona hospitali binafsi kwa sababu wanatafuta hela ya kujikimu, au wameombwa na utawala wa hospitali husika, isitoshe bado hata huko wanayotoa ni tiba, tena kwa ubora zaidi kwani hospitali binafsi zina vifaa vya kisasa, usimamizi mzuri na mazingira yanayofaa kwa utoaji tiba. Nenda zako mmu kaongee mambo ya ngono, over!
      Jf is never boring.
      (Source:The Boss)
      ZeMarcopolo likes this.

    6. #84
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,741
      Rep Power : 913
      Likes Received
      438
      Likes Given
      440

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      jamani,yule mama alieondolewa coz of ule mgomo wa kwanza(nimesahau jina lake)c inasemekana amechukua machine ya kuchekia kidney(figo)ya pale muhimbili iliyonunuliwa na serikali na kupelekwa kwny hospitali yake!serikali inajua na imekaa kimya!unategemea ma dr wafanye nn?mfumo wa uongozi ni mbaya!hata aje nani hamna kitakachobadirika,unless tuondoe hii system.

    7. #85
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,051
      Rep Power : 611
      Likes Received
      443
      Likes Given
      1354

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Nyakageni
      mkuu unachanganya madaktari na wafamasia!
      Wote lao ni moja mkuu, wana-collude
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,167
      Rep Power : 870
      Likes Received
      316
      Likes Given
      719

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Mwiba
      hawa madokta saa ingine wanakatisha tamaa ,tunaotumia mahospitali ya serikali yametukuta mengi tu ,maana huwa wanakudharau sana sana ,unaweza ukaingia ndani yeye akatoka ,kurudi kwake ni baada ya masaa.Kama hujampenyezea chochote basi utaondoshwa njiani uwapishe wenye hela ya kumpa.

      Wanaofika mahospitali haya wakiwa wajawazito ndio usiseme ,mtu anazalishwa kwa nguvu na mijineno juu ,saa ingine ukifikiria unaweza kusema bora yawakute,liwalo na liwe.
      Wewe ni mwana apolo bana wacha kutuhadaa!

    10. #87
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,741
      Rep Power : 913
      Likes Received
      438
      Likes Given
      440

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      jamani,yule mama alieondolewa coz of ule mgomo wa kwanza(nimesahau jina lake)c inasemekana amechukua machine ya kuchekia kidney(figo)ya pale muhimbili iliyonunuliwa na serikali na kupelekwa kwny hospitali yake!serikali inajua na imekaa kimya!unategemea ma dr wafanye nn?mfumo wa uongozi ni mbaya!hata aje nani hamna kitakachobadirika,unless tuondoe hii system.

    11. #88
      IzeGREAT's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2009
      Location : ABROAD.
      Posts : 58
      Rep Power : 539
      Likes Received
      16
      Likes Given
      212

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By Bishanga
      I always wonder,hivi mhando na trupu lake la tanesco wakiamua kugoma na kuzima mitambo mtera itakuwaje? Dawasco nao wakigoma na kuzima mitambo ruvu chini itakuwaje? Na staff wa huduma za anga wakizima mitambo kisa haina quality itakuwaje? Na zima moto waki down tools kisa magari mazee je? For that matter hata wazoa taka darisalama waki down tools je?
      This reminds me story ya Anus iliyogoma kupitisha choo eti inadharauliwa matokeo yake ikawa ni head ache na mwili mzima kuwa dysifunctional.
      Ndugu zangu hakuna taaluma iliyo bora kuliko nyingine,hata Invisible na taaluma yake ya IT ana mchango mkubwa tu katika jamii.
      Nawasilisha,
      Bishanga Abashaija.
      ...Hivi noja nikuulize maswali machache,ingawa najua napoteza muda kwa kukuluiza sabu sizani kama utakuwa na majibu ya kueleweka,
      1) Umeme unaongelea ni upi uliopo Tz kiasi kwamba wakigoma au kutogoma itakuwa na athari kwa wananchi ambao labda kila siku wana uhakika wa kupata umeme na hawajui maana ya kukatika kwa umeme!!!??
      2) Mitambo ya anga iliyonayo Tz ya kueleweka iko wapi wakati hiyo airport yenyewe ni kama kituo cha mabasi tuu!!!??Ushaona airport??
      Najua unatambua wazi kuwa watu duniani wako tofauti,umuhimu wao uko tofauti na kamwe hawatukuja kulingana,na hii itakuwa hivyo hivyo hata kwenye mishara yao pia!!!??
      ILA KWAKUWA UNAONEKANA UNAPENDA SANA STRORY ZA ''ANUS ILIYOGOMA'',sina haja kujua kuwa watu huwa ''MIENENDO AU AKILI'' zao huwa zinabadilika na kuwa sawa na vile vitu wanavyovipendelea au kuvitukuza maishani mwao,nazani aliyeandika hapo si wewe bali ''HUYO AN--US''.


    12. #89
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14548
      Likes Given
      22033

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By BADILI TABIA
      sweetlady na Bishanga mnachakachua mada.....
      Wapi Asprin, Erickb52, Kaizer Judgement, cacico na Yummy mkuje huku
      Labeka, umeniita BADILI TABIA, siyo?
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    13. #90
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,605
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2293

      Default

      Quote By Asprin
      Labeka, umeniita BADILI TABIA, siyo?
      yea mai hazibendi....
      Nimekuita uje kumsaidia byshenger huku wanamuonea....
      Hebu shusha nondo basi....
      Si unaona Bishanga amethubutu,ameweza na anasonga mbele?
      Asprin likes this.

    14. #91
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14548
      Likes Given
      22033

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By BADILI TABIA
      yea mai hazibendi....
      Nimekuita uje kumsaidia byshenger huku wanamuonea....
      Hebu shusha nondo basi....
      Si unaona Bishanga amethubutu,ameweza na anasonga mbele?
      Siasa na mimi wapi na wapi? Mi nataka mahela bana!!

      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    15. #92
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8071
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By IzeGREAT
      ...Hivi noja nikuulize maswali machache,ingawa najua napoteza muda kwa kukuluiza sabu sizani kama utakuwa na majibu ya kueleweka,
      1) Umeme unaongelea ni upi uliopo Tz kiasi kwamba wakigoma au kutogoma itakuwa na athari kwa wananchi ambao labda kila siku wana uhakika wa kupata umeme na hawajui maana ya kukatika kwa umeme!!!??
      2) Mitambo ya anga iliyonayo Tz ya kueleweka iko wapi wakati hiyo airport yenyewe ni kama kituo cha mabasi tuu!!!??Ushaona airport??
      Najua unatambua wazi kuwa watu duniani wako tofauti,umuhimu wao uko tofauti na kamwe hawatukuja kulingana,na hii itakuwa hivyo hivyo hata kwenye mishara yao pia!!!??
      ILA KWAKUWA UNAONEKANA UNAPENDA SANA STRORY ZA ''ANUS ILIYOGOMA'',sina haja kujua kuwa watu huwa ''MIENENDO AU AKILI'' zao huwa zinabadilika na kuwa sawa na vile vitu wanavyovipendelea au kuvitukuza maishani mwao,nazani aliyeandika hapo si wewe bali ''HUYO AN--US''.

      kaaaaaaaaazi kweli kweli.....heri yetu sisi ambao tushajizeekea,i fear for the Tanzania of tommorow,God forbid!

    16. #93
      Simplicity.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 496
      Rep Power : 492
      Likes Received
      70
      Likes Given
      68

      Default

      Quote By IzeGREAT
      ...Hivi noja nikuulize maswali machache,ingawa najua napoteza muda kwa kukuluiza sabu sizani kama utakuwa na majibu ya kueleweka,
      1) Umeme unaongelea ni upi uliopo Tz kiasi kwamba wakigoma au kutogoma itakuwa na athari kwa wananchi ambao labda kila siku wana uhakika wa kupata umeme na hawajui maana ya kukatika kwa umeme!!!??
      2) Mitambo ya anga iliyonayo Tz ya kueleweka iko wapi wakati hiyo airport yenyewe ni kama kituo cha mabasi tuu!!!??Ushaona airport??
      Najua unatambua wazi kuwa watu duniani wako tofauti,umuhimu wao uko tofauti na kamwe hawatukuja kulingana,na hii itakuwa hivyo hivyo hata kwenye mishara yao pia!!!??
      ILA KWAKUWA UNAONEKANA UNAPENDA SANA STRORY ZA ''ANUS ILIYOGOMA'',sina haja kujua kuwa watu huwa ''MIENENDO AU AKILI'' zao huwa zinabadilika na kuwa sawa na vile vitu wanavyovipendelea au kuvitukuza maishani mwao,nazani aliyeandika hapo si wewe bali ''HUYO AN--US''.

      Mwambie aende jukwaa lake la mambo ya ngono mkuu, kaingia choo cha kiume.

    17. #94
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 927
      Rep Power : 553
      Likes Received
      321
      Likes Given
      204

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Ni pesa ndoo inacontrol kila kitu siku hizi mambo ya utu hamna tena

    18. #95
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 980
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By makyomwango
      we vipi unashangaa hayo! Mbona hushangai komba wa tot kwenda kupima afya india?
      ukitaka binaadamu yeyote awe mwizi humu duniani mlipe kiduchu wakati anafanya kazi kubwa.
      LIMPETA

    19. #96
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 980
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By mpitagwa
      ni pesa ndoo inacontrol kila kitu siku hizi mambo ya utu hamna tena
      na utakuwaje na na utu wakati watu wengine walishauvunja utu kwa kukuharibia utu wako.
      LIMPETA

    20. #97
      double R's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 165
      Rep Power : 419
      Likes Received
      57
      Likes Given
      92

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Nina uhakika na kitu kimoja tu!
      Tumekuwa watumwa katika nchi yetu huru.
      Hatuna haki, na kunyanyaswa ndo tunaona haki yetu.

    21. #98
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      Quote By BADILI TABIA
      sweetlady na Bishanga mnachakachua mada.....
      Wapi Asprin, Erickb52, Kaizer Judgement, cacico na Yummy mkuje huku
      We BADILI TABIA hunitakii mema mie, presha ikipanda nani atanitibu??!!??
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    22. #99
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,741
      Rep Power : 913
      Likes Received
      438
      Likes Given
      440

      Default Re: Watanzania wenzangu...

      jamani,yule mama alieondolewa coz of ule mgomo wa kwanza(nimesahau jina lake)c inasemekana amechukua machine ya kuchekia kidney(figo)ya pale muhimbili iliyonunuliwa na serikali na kupelekwa kwny hospitali yake!serikali inajua na imekaa kimya!unategemea ma dr wafanye nn?mfumo wa uongozi ni mbaya!hata aje nani hamna kitakachobadirika,unless tuondoe hii system.

    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...