Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,350
      Rep Power : 993
      Likes Received
      516
      Likes Given
      1564

      Default NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Ukirejea uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru M. jinsi kampeni za CCM zilivyoendeshwa ilidhihirika kuwa baadhi ya makada wa chama hicho ama kwa kudhamiria au kwa kupitiwa walihujumu umaarufu wa CCM na kusababisha kushindwa kurejesha jimbo hilo. Wafuatiliaji mnalijua hilo.

      Hisia zangu ni kiwatuhumu viongozi hao wabunge niliowataja ktk kichwa cha uzi huu zinatokana na namna wanavyozidi kupukutisha imani ya wananchi juu uimara waCCM kuendelea kushika hatamu.Hisia hizi zinadhibitishwa na namna viongozi hawa wanavyoshindwa kumudu kuendesha vikao vya bunge mara kwa mara. Maelezo juu ya hilo yapo mengi hapa Janvini (JF). Hivyo nalazimika kuwahisi moja kwa moja viongozi hawa wanashiriki kuihujumu na kuiua kikamilifu CCM ktk siasa za nchi hii.

      Yawezekana viongozi hawa wakadhani wanawadhibiti wabunge wa vyama vya upinzani kutoa michangao yao bungeni kwa imani kuwa hapo wanadhibiti kasi ya vyama vya upinzani kutambulika kwa wananchi wengi, hivyo kufikiri kuwa CCM itaendelea kushika hatamu kwa ukiukwaji huu wa uendeshaji wa vikao vya Bunge. Kama wanadhani hivyo wamekosea. Wananchi wengi wanafuatilia kwa karibu sana kinachoendelea bungeni na namna viongozi hawa wanavyoendesha vikao huko. Matukio haya ya kuwadhibiti wabunge wa vyama vya upinzani wanaoikosoa serikali ya CCM katika mijadala iliyoko bungeni kwa ukali yanawafanya wananchi kuanza kuwahurumia wabunge hawa na hivyo hata wale waliokuwa wanadhani CCM inatenda haki kuanza kuichukia pia.

      Mazingira wanayoyatengeneza viongozi hawa wa Bunge katika hali ya sasa ya siasa za Tanzania nidhahiri yanaihujumu CCM.

      Nimeliona hilo na imenilazimu niliseme.
      Nego, Mimibaba and beyanga like this.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...


    2. #2
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      143
      Likes Given
      76

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      ​naibu spika na spika wake wote ni majambazi wa kisiasa

    3. #3
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,543
      Rep Power : 1603
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      bitter truth! Halafu wamekuja na kamsemo eti sikutoi nje! Wapuuzi kweli hawa

    4. #4
      Mbundenali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th January 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 388
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Hakuna spika atakayeweza kumfikia sitta, ndugui na makinda hamna kitu ni mipasho tu!

    5. PPM
      #5
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 406
      Rep Power : 478
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Quote By MpigaKelele
      Ukirejea uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru M. jinsi kampeni za CCM zilivyoendeshwa ilidhihirika kuwa baadhi ya makada wa chama hicho ama kwa kudhamiria au kwa kupitiwa walihujumu umaarufu wa CCM na kusababisha kushindwa kurejesha jimbo hilo. Wafuatiliaji mnalijua hilo.

      Hisia zangu ni kiwatuhumu viongozi hao wabunge niliowataja ktk kichwa cha uzi huu zinatokana na namna wanavyozidi kupukutisha imani ya wananchi juu uimara waCCM kuendelea kushika hatamu.Hisia hizi zinadhibitishwa na namna viongozi hawa wanavyoshindwa kumudu kuendesha vikao vya bunge mara kwa mara. Maelezo juu ya hilo yapo mengi hapa Janvini (JF). Hivyo nalazimika kuwahisi moja kwa moja viongozi hawa wanashiriki kuihujumu na kuiua kikamilifu CCM ktk siasa za nchi hii.

      Yawezekana viongozi hawa wakadhani wanawadhibiti wabunge wa vyama vya upinzani kutoa michangao yao bungeni kwa imani kuwa hapo wanadhibiti kasi ya vyama vya upinzani kutambulika kwa wananchi wengi, hivyo kufikiri kuwa CCM itaendelea kushika hatamu kwa ukiukwaji huu wa uendeshaji wa vikao vya Bunge. Kama wanadhani hivyo wamekosea. Wananchi wengi wanafuatilia kwa karibu sana kinachoendelea bungeni na namna viongozi hawa wanavyoendesha vikao huko. Matukio haya ya kuwadhibiti wabunge wa vyama vya upinzani wanaoikosoa serikali ya CCM katika mijadala iliyoko bungeni kwa ukali yanawafanya wananchi kuanza kuwahurumia wabunge hawa na hivyo hata wale waliokuwa wanadhani CCM inatenda haki kuanza kuichukia pia.

      Mazingira wanayoyatengeneza viongozi hawa wa Bunge katika hali ya sasa ya siasa za Tanzania nidhahiri yanaihujumu CCM.

      Nimeliona hilo na imenilazimu niliseme.
      Kwa hiyo? Watu wengine vipi, kila mwenye hisia aki post hisia zake hapa JF nafikiri Server ya JF itajaa. Ushauri wa bure ukiwa na hisia discuss na mke wako


    6. #6
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,766
      Rep Power : 726
      Likes Received
      480
      Likes Given
      353

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Hakuna cha wenyeviti, naibu spika wala cha spika wa bunge kuihujumu CCM, CCM inajihujumu yenyewe kwa ahadi zisizotekelezeka na kwa kuwatelekeza waTanzania huku wakubwa wakiendelea kunemeka kwa mikataba mibovu na kutumia vyombo vya dola kukandamiza demokrasia
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    7. #7
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,114
      Rep Power : 644
      Likes Received
      228
      Likes Given
      51

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Akili ndogo kuongoza akili iliyokubwa...mambo hayaendi. Ni sawa na kulazilisha maji ya mto yapande mlimani.

    8. #8
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1509
      Likes Received
      962
      Likes Given
      560

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Mwogope sana Binadamu akifikia mwisho kufikiri maana ni sawa na mfu.Hao uliowataja wamafika mwisho wa kufikiri.

    9. #9
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,350
      Rep Power : 993
      Likes Received
      516
      Likes Given
      1564

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Bahati mbaya sana viongozi hawa wakifanikiwa kuizamisha CCM 2015 kwa matendo yao haya, watakuwa wamesababisha chama kitakachopata nafasi ya kuongoza nchi hii katika uchaguzi wa mwaka huo, kuwa na chama kikubwa cha upinzani legelege ambacho hakiwezi kumudu shughuli ya kuikosoa serikali kwa namna viongozi wake walio wengi kushidwa kujenga hoja huku wakiendekeza ushabiki wa kisiasa katika masuala ya msingi yanayowagusa wananchi moja kwa moja.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    10. #10
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,350
      Rep Power : 993
      Likes Received
      516
      Likes Given
      1564

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Naona na Mh.Lukuvi kajiunga na hawa jamaa kuiua CCM.

      Yaani Mh. Lukuvi anataka tuamini kuwa anawahurumia sana CDM wasije wakaadhibiwa kwa kuzungumzia jambo ambalo liko mahakamani kweli? Nadhani sheria inaelekeza ni adhabu gani utapata kwa kuingilia mwenendo wa kesi kwa kuijadili nje ya mahakama. Sina hakika kama CDM wanaweza kukosa weledi juu ya jambo.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    11. #11
      majoge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 373
      Likes Received
      8
      Likes Given
      21

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Quote By Mbundenali
      Hakuna spika atakayeweza kumfikia sitta, ndugui na makinda hamna kitu ni mipasho tu!
      Kweli kabisa mkuu,Sitta alikuwa anaijenga ccm na kuonyesha kuwa hakuna kupendelea,sasa hawa vilaza wanakiua chama chao bila kujua ili wasifiwe na JK ambaye anelekea kustaafu.
      Mungu tuepushe na hawa wapenda posho walioko madarakani.!!

    12. #12
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,181
      Rep Power : 949
      Likes Received
      889
      Likes Given
      1

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      CCM is a walking dead man. Sio kwamba wanaihujuma BALI NDIYO UWEZO WA KUFIKIRI UMEFIKIA MWISHO!

      1. Spika na Naibu Spika kupindisha kanuni za bunge ..... Wanaihujumu CCM
      2. Blunder ya TISS kumteka na kumtesa Dr. Ulimboka ...... Wanaihujumu CCM
      3. Blunder ya Kova kutuletea mtekaji wa "kuchongwa" wa Ulimboka ...... Wanaihujumua CCM
      4. Matusi ya Lusinde, Nchemba, Mkapa Arumeru ...... Wanaihujumu CCM
      5. AG Werema kubaliki mswaada wa mabadiliko ya katiba mbovu ...... Anaihujumu CCM
      6. Mgawo wa Umeme usiokwisha .......... TANESCO inaihujumu CCM
      7. Bilioni 300 zilizofichwa USWISS na vigogo na wafanyabiashara wa Tanzania .......... Wanaihujumu CCM
      8. Mgogoro wa madaktari na serikali ............. Madaktari wanaihujumu CCM

      CCM wamefikia mwisho wa KUFIKIRI hakuna anayewahujumu bali wanajihujumu wenyewe.

    13. #13
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      never seen such incompetent ppo like the ones you've mentioned in the history of our parliament.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    14. #14
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,350
      Rep Power : 993
      Likes Received
      516
      Likes Given
      1564

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Loh ! hii hatari, Werema naye kaingia kwenye msafara wa kuizamisha CCM pia. Kauli ya .... sana hii ametoa.

      Mimi nilijua tu kuwa kitendo cha CCM kushindwa kumkaripia 'Mh' Lusinde kwa maneno yake ya aibu/kujiabisha yeye na chama chake wakati wa uchaguzi wa mbunge Arumeru M., basi CCM ilikuwa imegundua njia mpya ya kujizika kwa kuanzisha Chuo Kikuu kipya cha cha kufundisha propaganda ya maneno ya aibu/kujiabisha huku wahitimu wa kwanza wa chuo hicho wakiwa makada wake wakuu.

      Hisia zangu nadhani zaelekea kuwa sahihi.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    15. #15
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,350
      Rep Power : 993
      Likes Received
      516
      Likes Given
      1564

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Sasa ni rahisi kutabiri nikitugani Naibu Spika ataweza kutoa majibu gani pindi anapoomwa mwongozo na mbunge kutoka kambi ya upinzani.

      Rejea shughuli ya bunge leo, jinsi alivyojibu mwongozo wa Mh. Mkosamali na Mh.Lissu. Naibu spika kakiuka kanuni dhahiri inayotaka nusu ya idadi ya wabunge kuwa nusu ndani ya bunge wakati wa kupitisha bajeti.

      Poleni sana wapenda uwepo wa CCM.
      Last edited by MpigaKelele; 21st July 2012 at 12:49.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    16. #16
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By MpigaKelele
      Sasa ni rahisi kutabiri nikitugani Mh.Ndungai ataweza kutoa majibu gani pindi anapoomwa mwongozo na mbunge kutoka kambi ya upinzani.

      Lejea shughuli ya bunge leo, jinsi alivyojibu mwongozo wa Mh. Mkosamali na Mh.Lissu. Naibu spika kakiuka kanuni dhahiri inayotaka nusu ya idadi ya wabunge kuwa nusu ndani ya bunge wakati wa kupitisha bajeti.

      Poleni sana wapenda uwepo wa CCM.
      yote kwa yote nawe unaefatilia BUNGE pole sana,,,,,,

    17. #17
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 686
      Rep Power : 554
      Likes Received
      100
      Likes Given
      13

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      miaka 50 ahadi zile zile chama kile ,watu wale wale wanabadilshana tu toto baba , mama ,imani itatoka wapi ,pengine ashuke malaika tu.

    18. #18
      Omulangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 729
      Rep Power : 724
      Likes Received
      132
      Likes Given
      8

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Quote By MpigaKelele
      Ukirejea uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru M. jinsi kampeni za CCM zilivyoendeshwa ilidhihirika kuwa baadhi ya makada wa chama hicho ama kwa kudhamiria au kwa kupitiwa walihujumu umaarufu wa CCM na kusababisha kushindwa kurejesha jimbo hilo. Wafuatiliaji mnalijua hilo.

      Hisia zangu ni kiwatuhumu viongozi hao wabunge niliowataja ktk kichwa cha uzi huu zinatokana na namna wanavyozidi kupukutisha imani ya wananchi juu uimara waCCM kuendelea kushika hatamu.Hisia hizi zinadhibitishwa na namna viongozi hawa wanavyoshindwa kumudu kuendesha vikao vya bunge mara kwa mara. Maelezo juu ya hilo yapo mengi hapa Janvini (JF). Hivyo nalazimika kuwahisi moja kwa moja viongozi hawa wanashiriki kuihujumu na kuiua kikamilifu CCM ktk siasa za nchi hii.

      Yawezekana viongozi hawa wakadhani wanawadhibiti wabunge wa vyama vya upinzani kutoa michangao yao bungeni kwa imani kuwa hapo wanadhibiti kasi ya vyama vya upinzani kutambulika kwa wananchi wengi, hivyo kufikiri kuwa CCM itaendelea kushika hatamu kwa ukiukwaji huu wa uendeshaji wa vikao vya Bunge. Kama wanadhani hivyo wamekosea. Wananchi wengi wanafuatilia kwa karibu sana kinachoendelea bungeni na namna viongozi hawa wanavyoendesha vikao huko. Matukio haya ya kuwadhibiti wabunge wa vyama vya upinzani wanaoikosoa serikali ya CCM katika mijadala iliyoko bungeni kwa ukali yanawafanya wananchi kuanza kuwahurumia wabunge hawa na hivyo hata wale waliokuwa wanadhani CCM inatenda haki kuanza kuichukia pia.

      Mazingira wanayoyatengeneza viongozi hawa wa Bunge katika hali ya sasa ya siasa za Tanzania nidhahiri yanaihujumu CCM.

      Nimeliona hilo na imenilazimu niliseme.
      Jana Ndugai kaingizwa mjini na Lisu bila kujua. Unapoonekana unaitetea Zanzibar halafu kiongozi wa juu serkali ya Muungano anapinga inaamsha hisia mbaya za Wazanzibari dhidi ya muungano ambao sasa ndio kidonda cha CCM. Hivyo Maskini Ndugai alidhani anadhibiti kumbe anatoboa tundu.

    19. #19
      Omulangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 729
      Rep Power : 724
      Likes Received
      132
      Likes Given
      8

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Quote By Bobuk
      CCM is a walking dead man. Sio kwamba wanaihujuma BALI NDIYO UWEZO WA KUFIKIRI UMEFIKIA MWISHO!

      1. Spika na Naibu Spika kupindisha kanuni za bunge ..... Wanaihujumu CCM
      2. Blunder ya TISS kumteka na kumtesa Dr. Ulimboka ...... Wanaihujumu CCM
      3. Blunder ya Kova kutuletea mtekaji wa "kuchongwa" wa Ulimboka ...... Wanaihujumua CCM
      4. Matusi ya Lusinde, Nchemba, Mkapa Arumeru ...... Wanaihujumu CCM
      5. AG Werema kubaliki mswaada wa mabadiliko ya katiba mbovu ...... Anaihujumu CCM
      6. Mgawo wa Umeme usiokwisha .......... TANESCO inaihujumu CCM
      7. Bilioni 300 zilizofichwa USWISS na vigogo na wafanyabiashara wa Tanzania .......... Wanaihujumu CCM
      8. Mgogoro wa madaktari na serikali ............. Madaktari wanaihujumu CCM

      CCM wamefikia mwisho wa KUFIKIRI hakuna anayewahujumu bali wanajihujumu wenyewe.
      Tetesi za mgomo wa walimu ni hujuma kwa CCm
      Shida za wazanzibari kwa muugano ni hujuma kwa CCm

    20. #20
      Samuel Ibambasi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: NAHISI: Wenyeviti, Naibu Spika na Spika wa Bunge wanaihujumu CCM

      Kwa kweli haya mambo yanasikitisha sana, sidhni kama ni kuihujumu ccm bali huu ni udhihirisho wa uwezo wa watu binafsi maana sasa tunaona gap kubwa kabisa kati ya Mzee Sitta na waliopo sasa, kwa mazingira haya wa kulaumiwa ni ccm wenyewe maana ndivyo walivyoamua kuchagua na hakuna anayewahujumu.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...