Jeshi la polisi limetoa ripot ya mhusika wa utekwaji wa dr ulimboka kuwa ni raia wa kenya ambaye ni gangstar aliyebobea ktk utekaji?
Source: radio one taarifa za kila saa.
my take;hii ni ngumu kumeza ,nitarudi baada ya muda na maoni yangu.
Updates; Mtekaji huyo alikodiwa na mtu asiyemfahamu na alikuwa pamoja na watu wengine asiowafahamu, polis imesema imemkamata huyo mmoja na inaendelea na mahojiano naye na itaendelea kutoa taarifa zaidi..
My take; Duh! hii kali ,hivi polisi Tanzania wapo serious na kutumika huku kwa maslahi ya wachache.

Reply With Quote




Follow Us Here