Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. Lua
      #1
      Lua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2011
      Posts : 479
      Rep Power : 501
      Likes Received
      123
      Likes Given
      2

      Default Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      barua imetolewa jana jioni wakimtaka leo afike polisi leo asubuhi katika ofisi ya makosa ya jinai, wakati wanajua huyu mtu yupo bungeni dodoma.
      Attached Thumbnails  
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Msemaovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 391
      Rep Power : 512
      Likes Received
      82
      Likes Given
      59

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Ningelisa jeshi la polisi lakini kila sentensi nazoandika naona zinaipeleka kwenye BAN ngoja nikae kimywa waje wenyewe

    4. #3
      eumb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 383
      Likes Received
      54
      Likes Given
      3

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Yale yale, navyojua utaratibu ni kuomba kwa Spika kuwa wanahitaji kumhoji Mhe Mnyika, then spika anamruhusu kuja Dar.

    5. #4
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      huyo akienda polisi hatarudi, kama akienda aage kabisa na familia yake
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    6. #5
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,108
      Rep Power : 3263
      Likes Received
      1247
      Likes Given
      1201

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Mmmmmh_nasikia nchi zilizo endelea ziko makini sana kwenye kuajiri hawa walinda usalama wa nchi i.e JW,polisi etc,..na ndio maana majanga yanayosababishwa na uzembe na upuuzi kama huu haupo huko,...huku kwetu majeshi yetu yamejaa watu waliofoji ama kuwa na vyeti vya hovyo ndio maana mambo yao pia ni ya hovyo hovyo

      Mtu yuko bungeni halafu mnamwambia afike saa nne asubuhi
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    7. Miaka 50

    8. #6
      muwaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2009
      Location : Lake Duluti
      Posts : 705
      Rep Power : 652
      Likes Received
      125
      Likes Given
      56

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      No headed paper, inatakiwa iandikwe kwa spika!mmmh....i don't think so!!!!!

    9. #7
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,084
      Rep Power : 2043
      Likes Received
      941
      Likes Given
      3858

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika


    10. #8
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,675
      Rep Power : 967
      Likes Received
      552
      Likes Given
      283

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Mbona haina emblem ya police?

      Kuitwa police kufanya nini? Haijaelezea hiyo barua kuwa wanamwita afanye nini?

      Kingine why imeelekezwa kwa Mnyika wakati wanajua kuwa anashughuli za bunge?

      Why wasianze na kina Dr Slaa na Lema kwani hawana kazi za kibunge?

      Nadhani hii ineandikwa na police wa JF.

      Alie andika akafanye editting aweke hata emblem ya kubumba.

    11. FJM
      #9
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,179
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Naona jeshi letu la polisi linageuka kuwa chama rasmi cha siasa, tena chama chenye silaha na kilicho juu ya sheria. Kwa nini hii barua haijawa CC kwa spika? Mbunge anaendelea na vikao vya bunge, kwanini polisi hawakutoa taarifa kwa bunge kabla ya kumhoji ambaye anahudhuria vikao vya bunge?
      Indume Yene and IFUNYA like this.

    12. #10
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Aende Polisi ili tujue wanamtakia nini?

    13. #11
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      HAINA NEMBO ya Polisi..imekaa tu kama barua ya ualiko wa harusi hata za huko maharusini kuna vipicha kidogo vya matarumbeta na vyoda...ukosefu wa weledi...Mnyika sio kama sisi raia , ni Mbunge utaratibu wa kumpata ni tofauti..ingewezekana hivyo kama angeyasema hayo nje ya vikao vya Bunge ..lakini kwakua ameyasema hayo ndani ya vikao vya Bunge..hakuna budi ya kuomba ruhusa kwa spika kwa uhudhuriaji wake polisi...ingawa hakuna aliye juu ya sheria..lakini kuan taratibu katika utimizwaji wa hayo

    14. #12
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      ngoja niendelee kukata majani ya ngombe wangu sina muda wa kusoma upuuzi wa policcm
      Jiwe Linaloishi likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    15. #13
      IDIOS's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 76
      Rep Power : 371
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Ww mtu amehudhuria mafunzo kwa miezi sita unategemea ayafamya miujiza?
      Hawezi kutenda km mtu alitepitia mafunzo ya miaka kadhaa.

    16. #14
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      lazma zoka atakuwepo na plaiz, msangi atamalizia kazi, akirudi mzima huyo cjui, hakuna polisi, kuna mashetani tu.
      Excellent likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    17. #15
      Alfred Daud Pigangoma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Location : TABORA, TANZANIA
      Posts : 653
      Rep Power : 647
      Likes Received
      271
      Likes Given
      210

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Upuuzi mtupu! Barua ya Wito yenyewe kwanza haina anuani sasa tukitaka kuijibu sijui ipelekwe wapi? Vituo vya polisiccm vipo vingi na hatujui ni wapi pa kwenda...... Sijui ni Msimbazi, Sarender, Magomeni, Chang'mbe, Buguruni, Tazara, Kawe, Tabora Central Police, Kigamboni au ...........!!!!!!!!!!!!!!!
      Dr. Kupeng'e and IFUNYA like this.
      “The person who says it cannot be done should not interrupt the person doingit.” Chinese proverb

    18. #16
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,457
      Rep Power : 1189
      Likes Received
      1434
      Likes Given
      937

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Quote By andybird314
      Mbona haina emblem ya police?
      Kuitwa police kufanya nini? Haijaelezea hiyo barua kuwa wanamwita afanye nini?
      Kingine why imeelekezwa kwa Mnyika wakati wanajua kuwa anashughuli za bunge?
      Why wasianze na kina Dr Slaa na Lema kwani hawana kazi za kibunge?
      Nadhani hii ineandikwa na police wa jf.
      Alie andika akafanye editting aweke hata emblem ya kubumba.
      Kama wanataka kurudisha Heshima yao wamwite Mengi kumhoji kuhusiana na tuhuma alizozitoa tena kwa kuwataja viongozi waandamizi wa polisi kwa kupokea hongo ili wambambikize mwanae madawa ya kulevya, Bado naendelea kuwadharau Jeshi la polisi kwa kufanya kazi kwa double standard ambazo hata sisi akina Kabwela tunazistukia
      Papizo likes this.
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    19. #17
      DALLAI LAMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,851
      Rep Power : 892
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Intelijensia ya Shemeji wa jk, Mwema

    20. #18
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,749
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1012
      Likes Given
      416

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Mnyika soo hili la kupambana na "madhaifu" ndo linaanza, ngoja tutafute popcorn na soda baridi kungojea second episode.
      Lakini usiwe na wasi wasi steringi hauwawi!
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    21. #19
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Msihangaike wanaJF hii sio yenyewe,,ni mtu tu kaiframe nadhani wa humuhumu Jamvini
      Who Jah bless, No one Curse!

    22. #20
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,003
      Rep Power : 3112
      Likes Received
      1370
      Likes Given
      5780

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Sio lazima afike Dsm nadhani anaweza ku report huko huko Dodoma. Otherwise inabidi awe na grounds za kutofika Polisi kwa mfano kama amechelewa kupokea taarifa hii.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...