Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 45 of 45
    1. Lua
      #1
      Lua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2011
      Posts : 478
      Rep Power : 500
      Likes Received
      121
      Likes Given
      2

      Default Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      barua imetolewa jana jioni wakimtaka leo afike polisi leo asubuhi katika ofisi ya makosa ya jinai, wakati wanajua huyu mtu yupo bungeni dodoma.
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      popobawa2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 363
      Likes Received
      4
      Likes Given
      16

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Quote By Mwita Maranya
      Wadau naomba mwongozo hapa, hizi hati za kuitwa polisi huwa hazichapwi kwenye letter head ya jeshi la polisi?? hakuna cha anwani wala nini, hii imekaaje?
      changa la macho hakuna kitu apo mdau

    4. #42
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      hii ni kama mchezo wa kuigiza, sijawai kuona barua hapohapo na dispach hapohapo, halafu mtu unataka akupe taarifa za kukusaidia kazi yako badala ya kuweka neno “unaombwa kufika polisi” unasema “unaamriwa” hizo amri hukohuko jeshini.

    5. #43
      Daniel Anderson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Location : LUPA CHUNYA
      Posts : 826
      Rep Power : 559
      Likes Received
      129
      Likes Given
      348

      Default

      Quote By sembuli
      hii ni kama mchezo wa kuigiza, sijawai kuona barua hapohapo na dispach hapohapo, halafu mtu unataka akupe taarifa za kukusaidia kazi yako badala ya kuweka neno "unaombwa kufika polisi" unasema "unaamriwa" hizo amri hukohuko jeshini.
      tusipoubadili mfumo huu kwa kweli madhara yake ni mabaya ambayo pengine itakuwa ni historia itakayobaki vichwani mwa wanadamu kwa karne nyingi zijazo.

    6. #44
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Mnyika ni muhuni tu,.

    7. #45
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default re: Barua ya amri ya kuitwa polisi kwa Mnyika

      Hii kitu otamfikisha pabaya,ndio madhara ya kuropoka huku ukijua huna ushahidi.limemganda,

    8. FemaTV & Radio

      Study Abroad
    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...