barua imetolewa jana jioni wakimtaka leo afike polisi leo asubuhi katika ofisi ya makosa ya jinai, wakati wanajua huyu mtu yupo bungeni dodoma.
barua imetolewa jana jioni wakimtaka leo afike polisi leo asubuhi katika ofisi ya makosa ya jinai, wakati wanajua huyu mtu yupo bungeni dodoma.
hii ni kama mchezo wa kuigiza, sijawai kuona barua hapohapo na dispach hapohapo, halafu mtu unataka akupe taarifa za kukusaidia kazi yako badala ya kuweka neno “unaombwa kufika polisi” unasema “unaamriwa” hizo amri hukohuko jeshini.
Mnyika ni muhuni tu,.
Hii kitu otamfikisha pabaya,ndio madhara ya kuropoka huku ukijua huna ushahidi.limemganda,
Follow Us Here