Tulitegemea kuona serikali ikichukua hatua za dhati kumaliza mgomo lakini kwa mambo haya:
1.kumshtak rais wa madaktari mbili
2.kuwasimamisha kazi zaidi ya madaktari 300
...kikwete jiuzuru nchi imekushinda
Tulitegemea kuona serikali ikichukua hatua za dhati kumaliza mgomo lakini kwa mambo haya:
1.kumshtak rais wa madaktari mbili
2.kuwasimamisha kazi zaidi ya madaktari 300
...kikwete jiuzuru nchi imekushinda
si serikali tu hata baraza la waislamu wamedhamiria kuwashitaki madaktari.Sijajua ni kivipi viongozi wa kidini kuomba wakutane na serikali ili kutafuta suluhu ya tatizo hili; baadaye siku mbili, baraza la waisilamu , bila kujali kuna kamati ya amani ya viongozi wa kidini, wanaibuka kwenda mahakamani.amani na mahakama wapi na wapi?dina na mahakama wapi na wapi, ndo maana wameng'ang'ania mahakama kadhi wahukumu kuua watu.
Follow Us Here