Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

By
stroke
Unakosea sana mzee kusema kua hoja yangu ni dhaifu..naamini kuwa kuna wengi kama mimi wenye mawazo kama yangu, na ndio yanawafanya wasimpigie kura huyo bwana..kuna vitu ambavyo unaweza ona vidogo vikawa na impact kubwa kuliko unavyodhani..hisia pekee hujenga imani..kama hisia hamna basi imani hakuna..imani ndio mwanzo wa kila kitu..bila hiyo matendo hakuna..mimi sina imani na waropokaji period..ninahisi kua they have no substance at all
Mkuu unanitatiza eneo moja tu,mbona wanasiasa rafuzi zao zinafanana kwa kiasi kikubwa?kama waropokaji CCM,CUF,NCCR wapo wengi sana,vipi uropokaji wa slaa ndiyo iwe issue kubwa kwako?inavyoonekana unakitu moyoni zaidi ya hayo uliyoyasema,ingawa hutaki kuyaweka hadharani,mwisho naheshimu msimamo wako,lakini sikubaliani na hoja,imani au mtazamo unaojenga msimamo wako!
"A friend in need,is a friend indeed"
Follow Us Here