Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 80
    1. #1
      Kyindokyakombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 379
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

      So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

      Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

      Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF. CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.
      zomba and IFUNYA like this.


    2. #21
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,484
      Rep Power : 868
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Quote By Kyindokyakombe View Post
      Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI.Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo.Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.....

      Nenda kamuulize ROSE KAMILI tangu 2009 hadi 2012 mwenzake (Josephine)alipokuwa akitambulishwa rasmi kuwa ndiye mke mtarajiwa wa Dr. Slaa alikuwa wapi?.. ukishapata hilo jibu ndio uje na mada yako tuendelee kuchangia!!..
      Chakochangu likes this.
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    3. #22
      Makyomwango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 461
      Likes Received
      42
      Likes Given
      14

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Kyandokyakombe, wewe je, ni mtakatifu na hujawahi kuzini? Hebu tuambie kiongozi mtakatifu nchi hii. Na hata huyo dhaifu anakushangaa kumwita Dr slaa mzinifu. Hebu tujikumbushe juuu ya maisha ya akina mkapa, kawawa, sumaye, Lowasa na wengine wengi. Lakini pia kumbuka juu ya maisha yako, inawezekana wewe una madhambi zaidi ya yeye unaye mhukumu.
      Maundumula likes this.

    4. #23
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6321
      Likes Given
      2418

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      pole sana, nasikitikia ubongo wako.....

    5. #24
      124 Ali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Location : urban-west,zanzibar island
      Posts : 956
      Rep Power : 656
      Likes Received
      187
      Likes Given
      152

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Quote By Kyindokyakombe View Post
      Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI.Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo.Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi. So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO. Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF.CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.
      Duuh! ohh! ayyah! toba toba! mmh!ayyi mtu mwongo huyu! he he! angalia asivyo na haya! uuuwi !aibu yaani unatuletea khabari za tabiri za kizushi hapa?hebu tupishe!

    6. #25
      Maga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 484
      Likes Received
      29
      Likes Given
      26

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Mbona muda wa kutafuta mgombea wa urais bado, wewe unauhakika gani kama CDM watamchagua Dr??


    7. #26
      Wile GAMBA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Posts : 712
      Rep Power : 535
      Likes Received
      212
      Likes Given
      754

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Ukweli ni kwamba watu wataongea sana lakini Slaa atabaki kuwa chaguo la wengi, ili mradi tu usiwe na elemant za 'kifisadi.' na mkichakachua tene 2015 lazima tuwaoneshe, tumewavumilia vya kutosha. nachojua mimi kuna bwana mmoja ameng'ang'amiza kuwa mtawala wetulakini watu hawa mfeel kabisa wana subiri muda wake uisha watu wapumue

    8. #27
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,955
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      1161
      Likes Given
      1517

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      ENYI MAGAMBA KIHORO CHOTE CHA NINI MSIKIAPO JINA LA DR SLAA NA CHADEMA???

      Jamani enyi wana-CCM, mbona mkisikia tu jina la Dr Slaa mnakua hivi mpaka kero na aibu zote kwa pamoja kama damu na usaha kwe kidonda vile.

      Ondoeni hofu kwa huyu baba hana pembe kama ya nyati vile bali tu ni mpenzi wa 'HAKI NA HESHIMA KWA UTU WA KILA MTANZANIA', kwisha habari!!!!!!!!!!!!!

      Kihoro chote hicho cha nini wenzetu? Hebu angalieni jinsi gani mnavyokanyagana mpaka aibu kila kukicha dhidi ya mtu mmoja - WaTanzania tunaduazwa ajabu na vitendo vyenu hivi na majaribu yote dhidi ya Dr Slaa na CHADEMA kwa ujumla.

      Katu msiendelee kupoteza muda wenu bure kwa kuwa WANANCHI TUMESHAAMUA juu ya mgombea CHADEMA na kusubiri tu kuwakabidhi madaraka 2015.

      Kumbukeni, kila siku wananchi tunajiuliza mbona hakukuchi haraka ili walalahoi tupate kuondokana upesi na hili li-zigo la misumari ya moto kwa maana ya CCM!!!!!!

      Quote By Kyindokyakombe View Post
      Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI.

      Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo.Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.

      Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi. So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.

      Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

      Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa
      kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

      Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF.CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.

      Mungu ibariki CHADEMA.
      REMSA likes this.

    9. #28
      Mbalinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 661
      Rep Power : 599
      Likes Received
      131
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Kama Jacob Zuma aliyezini na mwanamke mwenye virusi vya ukimwi naye akakiri hadharani, na bado wananchi wa SA wakamwamnini na kumchagua kuwa Rais, basi hata Dr Slaa atakuwa Rais tu. Wananchi hawaangalii masuala ya uzinifu, tunaangalia ni nani aliye na uchungu na nchi hii. Hayo mambo ya chumbani ni mambo binafsi sana. Kumbuka pia Bill Klinton aliyezini na Monica Lewinksi lakini wamarekani wakasema hayo ni matatizo ya kibinadamu tu.

      Sasa wale wanaofikiria kuwa Dr atapoteza umaarufu kwa hilo la Rose Kamili, nawafananisha kama fisi anayedhani mkono wa binadamu siku moja utadondoka ili apate kula. Poleeeni sanaaaa.
      kituma12 likes this.

    10. #29
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 990
      Rep Power : 704
      Likes Received
      213
      Likes Given
      82

      Default

      Quote By Marire View Post
      Nape hongera sana vijana wako wanajitahidi sana hapa jf,nashauri sasa uwalipe padiem.hivi yule dada clinton alimnanii hii kule waiti hausi anaitweje?
      monica lewinsky

    11. #30
      Userne's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 458
      Rep Power : 498
      Likes Received
      49
      Likes Given
      22

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Na mimi mzinzi! asiye mzinzi na anyoshe kidole! kwani kazini na mbuzi? zalianeni tu kufidia wanaokufa kwa speed ya ajabu!
      Mimi rais wangu DR, Kama hupendi kanywe sumu ya panya usepe sie tuzibe pengo!

    12. #31
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,097
      Rep Power : 1092
      Likes Received
      697
      Likes Given
      480

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Quote By BornTown View Post
      Nenda kamuulize ROSE KAMILI tangu 2009 hadi 2012 mwenzake (Josephine)alipokuwa akitambulishwa rasmi kuwa ndiye mke mtarajiwa wa Dr. Slaa alikuwa wapi?????...... ukishapata hilo jibu ndio uje na mada yako tuendelee kuchangia!!

      Kuanzia sasa Dr Slaa akae mbali kabisa na huyu mzazi mwenzake. Hizi sumu zinazoingizwa nchini na serikali wanaweza kumpa huyu mama azifanyie kazi. Ile kauli ya Wasira kuhusu kusambaratika kwa CDM bado inanitisha.


      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    13. #32
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 562
      Likes Received
      273
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Chadema una washauri wengi wenye ubongo wa ki-binadamu, so haihitaji ushauri kutoka kyenye ubongo wa kitimoto!!

    14. #33
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 5,079
      Rep Power : 13994
      Likes Received
      2582
      Likes Given
      2485

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      sante kwa ushauri

    15. #34
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,684
      Rep Power : 2181
      Likes Received
      1931
      Likes Given
      752

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Quote By stroke View Post
      Mimi siwezi pigia mtu kura anayeropoka ropoka tu..i like poeple who adrress issues with facts katika hali ambayo mpokeaji anashawishika nayo..huwaga hata sizielewi hotuba za slaa maana masikio yangu hayawezi vumilia kelele kama zake..ajifunze kuongea taratibu kwa upole akiporomosha material bila kutumia nguvu nyingi sana na kelele..wengine hatumuelewi
      Mkuu siwezi kuingilia maamuzi yako,kimsingi nayaheshimu.However,inavyoonek ana umeonyesha msimo wenye hoja dhaifu,hii inafanana na mwanaume aliyeulizwa kwanini amempenda yule msichana na kujibu yani mimi nimetokea kumpenda tu!
      Msalagambwe likes this.
      "A friend in need,is a friend indeed"

    16. #35
      stroke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,583
      Rep Power : 686
      Likes Received
      175
      Likes Given
      5

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Mkuu siwezi kuingilia maamuzi yako,kimsingi nayaheshimu.However,inavyoonek ana umeonyesha msimo wenye hoja dhaifu,hii inafanana na mwanaume aliyeulizwa kwanini amempenda yule msichana na kujibu yani mimi nimetokea kumpenda tu!
      Unakosea sana mzee kusema kua hoja yangu ni dhaifu..naamini kuwa kuna wengi kama mimi wenye mawazo kama yangu, na ndio yanawafanya wasimpigie kura huyo bwana..kuna vitu ambavyo unaweza ona vidogo vikawa na impact kubwa kuliko unavyodhani..hisia pekee hujenga imani..kama hisia hamna basi imani hakuna..imani ndio mwanzo wa kila kitu..bila hiyo matendo hakuna..mimi sina imani na waropokaji period..ninahisi kua they have no substance at all

    17. #36
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,684
      Rep Power : 2181
      Likes Received
      1931
      Likes Given
      752

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Quote By stroke View Post
      Unakosea sana mzee kusema kua hoja yangu ni dhaifu..naamini kuwa kuna wengi kama mimi wenye mawazo kama yangu, na ndio yanawafanya wasimpigie kura huyo bwana..kuna vitu ambavyo unaweza ona vidogo vikawa na impact kubwa kuliko unavyodhani..hisia pekee hujenga imani..kama hisia hamna basi imani hakuna..imani ndio mwanzo wa kila kitu..bila hiyo matendo hakuna..mimi sina imani na waropokaji period..ninahisi kua they have no substance at all
      Mkuu unanitatiza eneo moja tu,mbona wanasiasa rafuzi zao zinafanana kwa kiasi kikubwa?kama waropokaji CCM,CUF,NCCR wapo wengi sana,vipi uropokaji wa slaa ndiyo iwe issue kubwa kwako?inavyoonekana unakitu moyoni zaidi ya hayo uliyoyasema,ingawa hutaki kuyaweka hadharani,mwisho naheshimu msimamo wako,lakini sikubaliani na hoja,imani au mtazamo unaojenga msimamo wako!
      Msalagambwe likes this.
      "A friend in need,is a friend indeed"

    18. #37
      Kyindokyakombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 379
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Historia ya MFUMO wa VYAMA VINGI tangu kuanza hamuujui na hamjawahi kujiuliza sababu za kuzuka na kudidimia kwa vyama.Mipango na maandalizi mazuri ya WAGOMBEA ni chachu ya USHINDI.Mwaka 1995 KURA alizopata MREMA NCCR hazijawahi kufikiwa na mgombea yeyotempaka leo hata kura alizopata slaa juzi hatupaswi tujipongeze sana kwani ni zile ambazo wananchi walioupinzani walikuwa wanampa mrema so kutokuwepo mrema kwa sasa ndo wamehamia CDM so CDM tunatakiwa tufanye kazi zaid ili tuvune wanachama wengi na hasa waislamu wanaositasita kukiunga mkono.Tunapenda MABADILIKO na tunaomba mungu CCM ife ili neema mpya izaliwe so msijifikiri kwamba mimi nimeileta hii THREAD kwa kubeza chama chetu bali ni KUKIJENGA ili 2015 kiwae DOLA.

    19. #38
      Kyindokyakombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 379
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      Nashukuru kwa kun ielewa kati ya watu waliochangia wewe ndo umeonesha appreciation.tunaipenda cdm sn ndo maana tunaandika mambo kama haya ila waelewa ni wachache ndo maana.

    20. #39
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 841
      Rep Power : 596
      Likes Received
      89
      Likes Given
      18

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      sina hakika kama Dr slaa yeye hana personal/family problem.

    21. #40
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,172
      Rep Power : 17255
      Likes Received
      1662
      Likes Given
      1188

      Default Re: CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

      (Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO. )

      Kwani Dr slaa anaongoza Misa? si anaongoza chama kutokana na katiba,ilani, taratibu na utashi wake hata angekuja shehe si ushehe wake utaongoza bali ndio hivyo hivyo. hapa hatuangalii dini wala cheo cha kidini ni utendaji wa muhusika.
      mmbangifingi and Msalagambwe like this.
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...