Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
Tanzania yetu inavyoenda ni fedheha sana kuitwa fisadi ama kuhusishwa katika tuhuma za ufisadi ambazo hukufanya. Ukweli Mwigulu akiwa kama mbunge wa jimbo langu ambaye sikumpigia kura sikuwa na sababu kubwa sana ya kuvutiwa naye kama ilivyo kwa Mnyika ambaye nilimpigia kura hapa Dar kwa sababu ya mimi kuwepo hapa kama mpiga kura. Ikumbukwe kuwa mimi na MwanaCCM ila nilimpigia Mnyika kura. Kilichonikera ambacho kinanifanya nirudie msimamo ambao tayari nimeuweka wa kutompigia tena kura Mnyika ni pale aliporopoka tuhuma kuhusu Mwigulu. Ninamfahamu Mwigulu pamoja na kutovutiwa naye ila ni ukweli dhahiri hakuhusika na ufisadi wa EPA. Nimejichukulia kama siku hiyo mimi ndiyo ningekuwa Mwigulu, kwanza ningesimama na kumjibu Mnyika kwa kumtusi kwa hasira ambazo ningekuwa nazo. Mpaka sasa nafikiri ningeshatwangana naye kabisa. Kuna wakati street justice ni suluhu. Ila bahati iliyopo mimi sio Mwigulu.
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
Kutohusika ama kuhusika kwa Nchemba EPA ukweli ano yeye moyoni mwake na sio mwingine yeyote.Naamini mnyika hakukurupuka Nchemba kama hakuhusika kwa nini anababaika kila siku?si asubiri mchakato uishe na ijulikane nani mkweli! nimetahadhalisha mapema yakikukuta,usije jamvini kuomba huruma!
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
nashukuru mi sio mkazi wa sehemu aliyetokea huyo nchemba kwa sababu huyu jamaa ni selfish and attention seeker badala ya kutumia mda wake kuwawakilisha wananchi wake bungeni yeye anatumia mda kugombana na wabunge wa upinzani..kama hana hoja awe anatulizana
Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde
One man's good fortune is another man's misfortune
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
[QUOTE=Avanti;4224858]Tanzania yetu inavyoenda ni fedheha sana kuitwa fisadi ama kuhusishwa katika tuhuma za ufisadi ambazo hukufanya. Ukweli Mwigulu akiwa kama mbunge wa jimbo langu ambaye sikumpigia kura sikuwa na sababu kubwa sana ya kuvutiwa naye kama ilivyo kwa Mnyika ambaye nilimpigia kura hapa Dar kwa sababu ya mimi kuwepo hapa kama mpiga kura. Ikumbukwe kuwa mimi na MwanaCCM ila nilimpigia Mnyika kura. Kilichonikera ambacho kinanifanya nirudie msimamo ambao tayari nimeuweka wa kutompigia tena kura Mnyika ni pale aliporopoka tuhuma kuhusu Mwigulu. Ninamfahamu Mwigulu pamoja na kutovutiwa naye ila ni ukweli dhahiri hakuhusika na ufisadi wa EPA. Nimejichukulia kama siku hiyo mimi ndiyo ningekuwa Mwigulu, kwanza ningesimama na kumjibu Mnyika kwa kumtusi kwa hasira ambazo ningekuwa nazo. Mpaka sasa nafikiri ningeshatwangana naye kabisa. Kuna wakati street justice ni suluhu. Ila bahati iliyopo mimi si
tuacheni ubungo na jembe letu bana. kakomae na mwigulu singida wewe alete maendeleo. yeye kila akisimama bungeni kuchangia lazima aseme chadema, na bado m4c itamfuata mpk singida jimboni kwake.
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
Avanti nakushukuru sana. Kina Thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua BOT au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba BOT? SIWAELEWI. HIVI MNDANGANYA MPAKA NAFSI ZENU? ETI NAHANGAIKA! I NEED TO SET A AN EXAMPLE WATU WAACHE KUTUHUMU KILA MTU.
Avanti nakushukuru sana. Kina Thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua BOT au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba BOT? SIWAELEWI. HIVI MNDANGANYA MPAKA NAFSI ZENU? ETI NAHANGAIKA! I NEED TO SET A AN EXAMPLE WATU WAACHE KUTUHUMU KILA MTU.
ha haaa haaa .... yaani umewafanya wana-jf wajinga kama Avanti .... umempa nini Avanti ?
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
By Mwigulu Nchemba
Avanti nakushukuru sana. Kina Thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua BOT au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba BOT? SIWAELEWI. HIVI MNDANGANYA MPAKA NAFSI ZENU? ETI NAHANGAIKA! I NEED TO SET A AN EXAMPLE WATU WAACHE KUTUHUMU KILA MTU.
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
By Mwigulu Nchemba
Avanti nakushukuru sana. Kina Thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua BOT au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba BOT? SIWAELEWI. HIVI MNDANGANYA MPAKA NAFSI ZENU? ETI NAHANGAIKA! I NEED TO SET A AN EXAMPLE WATU WAACHE KUTUHUMU KILA MTU.
at last amepatikana mnyiramba anayeweza kuongea hata kama anayoyaongea hayavutiii...nilikuwa naumia sana kuona kule nitokako wabunge huwa wamekaa kama wamepigwa bumbuazi la moyo ......nalaila kiula ulikuwa una ni boa wewe .....angalau kuna mnyiramba 1 controvesho chini ya jua
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
By Mwigulu Nchemba
Avanti nakushukuru sana. Kina Thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua BOT au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba BOT? SIWAELEWI. HIVI MNDANGANYA MPAKA NAFSI ZENU? ETI NAHANGAIKA! I NEED TO SET A AN EXAMPLE WATU WAACHE KUTUHUMU KILA MTU.
Join Date : 11th July 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
By mwigulu nchemba
avanti nakushukuru sana. Kina thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua bot au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba bot? Siwaelewi. Hivi mndanganya mpaka nafsi zenu? Eti nahangaika! I need to set a an example watu waache kutuhumu kila mtu.
Avanti nakushukuru sana. Kina Thomso wanaosubiri kupapasa ndio waone mh mnyika alikurupuka ngoja kamati ikae. You people you limiting you thinking capacity bila umhimu ama kwa kutokuijua BOT au kwa kutokujua mwanafunzi wa chuo ni nani nchini. Mwanachuo kuiba BOT? SIWAELEWI. HIVI MNDANGANYA MPAKA NAFSI ZENU? ETI NAHANGAIKA! I NEED TO SET A AN EXAMPLE WATU WAACHE KUTUHUMU KILA MTU.
Hata umepakaziwa lakini huna mvuto katika siasa na kwa jinsi siasa za nchi zinavyokwenda inawezekana kabisa ulishiriki maana hata JK ukimwambia ataje aliwaruhusu kurudisha fedha hawezi kuwataja.
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
By Avanti
Tanzania yetu inavyoenda ni fedheha sana kuitwa fisadi ama kuhusishwa katika tuhuma za ufisadi ambazo hukufanya. Ukweli Mwigulu akiwa kama mbunge wa jimbo langu ambaye sikumpigia kura sikuwa na sababu kubwa sana ya kuvutiwa naye kama ilivyo kwa Mnyika ambaye nilimpigia kura hapa Dar kwa sababu ya mimi kuwepo hapa kama mpiga kura. Ikumbukwe kuwa mimi na MwanaCCM ila nilimpigia Mnyika kura. Kilichonikera ambacho kinanifanya nirudie msimamo ambao tayari nimeuweka wa kutompigia tena kura Mnyika ni pale aliporopoka tuhuma kuhusu Mwigulu. Ninamfahamu Mwigulu pamoja na kutovutiwa naye ila ni ukweli dhahiri hakuhusika na ufisadi wa EPA. Nimejichukulia kama siku hiyo mimi ndiyo ningekuwa Mwigulu, kwanza ningesimama na kumjibu Mnyika kwa kumtusi kwa hasira ambazo ningekuwa nazo. Mpaka sasa nafikiri ningeshatwangana naye kabisa. Kuna wakati street justice ni suluhu. Ila bahati iliyopo mimi sio Mwigulu.
Avanti.
Mbona umehamaki kuliko kumwaga argument?? Hoja yako iko wapi?...Sasa wewe na Mnyika unayemlaumu mnatofautiana??
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
Napenda sana kuona hoja dhaifu kama hii kuweza kushuhulikiwa kwa haraka wajua ili kuweza kubaini ni jinsi gani kiti kinatumia nguvu za chama kwa kuwa huko nyuma kuna ushahidi mwingi tuu umesha letwa na kiti mpaka hivi leo kimekalia lakini hili la mnyika nimeona kiti kimekimbia sana kuleta matokeo.
lakini nini tunajifunza kwenye hili hata kama Mnyika alikuwa amekosea ila kuna haya yafuatayo yapo kwenye bunge hili
1. pale ukweli unapothibitika basi kiti huwa hakitoi taarifa
2.kiti kipo chini ya chama fulani na si watanzania
3.kiti kinatumika vibaya kwa manufaa ya chama na si taifa
Re: Hili la Mnyika kwa Mwigulu ni bora niliamua kuacha siasa
By avanti
tanzania yetu inavyoenda ni fedheha sana kuitwa fisadi ama kuhusishwa katika tuhuma za ufisadi ambazo hukufanya. Ukweli mwigulu akiwa kama mbunge wa jimbo langu ambaye sikumpigia kura sikuwa na sababu kubwa sana ya kuvutiwa naye kama ilivyo kwa mnyika ambaye nilimpigia kura hapa dar kwa sababu ya mimi kuwepo hapa kama mpiga kura. Ikumbukwe kuwa mimi na mwanaccm ila nilimpigia mnyika kura. Kilichonikera ambacho kinanifanya nirudie msimamo ambao tayari nimeuweka wa kutompigia tena kura mnyika ni pale aliporopoka tuhuma kuhusu mwigulu. Ninamfahamu mwigulu pamoja na kutovutiwa naye ila ni ukweli dhahiri hakuhusika na ufisadi wa epa. Nimejichukulia kama siku hiyo mimi ndiyo ningekuwa mwigulu, kwanza ningesimama na kumjibu mnyika kwa kumtusi kwa hasira ambazo ningekuwa nazo. Mpaka sasa nafikiri ningeshatwangana naye kabisa. Kuna wakati street justice ni suluhu. Ila bahati iliyopo mimi sio mwigulu.
Avanti.
umetumwa na magamba kusema au una skuli kabisa ebo nipishe wafisadi wakubwa
Follow Us Here