Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 57
    1. #1
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Gazeti la Mtanzania leo hii limetoa habari hii:

      Dkt. Chitage azungumzia Dkt. Namala kushitakiwa; Interns kufutiwa leseni; Hali ya Dkt. Ulimboka

      12/07/2012


      Siku moja baada ya Rais wa MAT, Dk. Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mgomo, Katibu wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dkt. Edwin Chitage amesema hali hiyo imewashitua na lolote linaweza kutokea.

      Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dkt. Chitage alisema hali hiyo imeongeza hasira na kushusha morali wa Madaktari, “Kweli hiki kitendo cha Dkt. Mkopi kufikishwa Mahakamani kimetushtua na ukweli kimesababisha kuwepo na fukuto la chini chini. Madaktari wamekatishwa tamaa… lakini kitendo hiki pia kimeshusha morali ya wale ambao walirudi kazini…kwa hiyo wapo Madaktari ambao wapo kazini, kwa maana ya eneo la kazi lakini wanachokifanya hiyo wanajua wao,”alisema Chitage.

      Akizungumzia suala la madaktari wa walioko katika mafunzo (Interns) 390 kufutiwa leseni alisema, kitendo hicho kilitegemewa na hakikuwashitua kwa sababu ni kitu ambacho tayari kilipangwa.

      “Kwetu sisi tulitegemea jambo hilo kwa hiyo hatukushtuka sana…kwetu hiki ni kitu kidogo sana, kwa sasa viongozi wa Interns wanafanya kikao na wanasheria wao wanaangalia jinsi uamuzi huo ulivyotolewa na baadaye tutakutana nao kwa ajili ya kuangalia ni namna gani tutalifanyia katika suala hili,”alisema Dkt. Chitage.

      Akizungumzia hali ya Dkt.Stephen Ulimboka alisema kwa sasa hali yake inaendelea vizuri na ameanza kutembea na kufanya mazoezi vizuri, “Hivi sasa hali yake imeanza kuimarika. Anaweza kutembea na anafanya mazoezi yake vizuri. Kinachoendelea kumkalisha hospitali ni uangalizi wa karibu wa figo…lakini ingekua si figo angekuwa amesharudi nchini,” alisema.







      Source: http://www.wavuti.co

      My take: Hawa madaktari "uchekibobu" ndio unaowaponza. Wanaongea vitu kama viajna wa kijiweni vile!
      1. Chitage ananukuliwa akisema hali ya Rais wa MAT kufikishwa mahakamani imewashtua! Hivi huyu Chitage hajui kuwa Rais wa MAT alipewa amri na mahakama? Ukipewa amri na mahakama una options mbili, aidha kuitekeleza au kuiambia mahakama kuwa hujaridhika na amri hiyo. Huyo Rais wa MAT alifanya chochote kati ya hivyo? Yeye amepewa amri ya mahakama akaifungia sandukuni na kuendelea na shughuli zake za kichekibobu. Sasa kinachowashtua ni nini?

      2. Chitage ananukuliwa akisema swala la interns kufutiwa usajiri halijawashtua kwa sababu walilitegemea! Wakati huohuo anasema viongozi wa interns wanajadiliana na mwanasheria na baada ya majadiliano hayo ndipo Chitage na wenzake waangalie nini cha kufanya. Sasa Chitage kama walishalitegemea hilo, kwanini majadiliano na mwanasheria yanafanyika mpaka baada ya leseni kufutwa? Chitage haoni kuwa anawachelewesha vijana wa internship katika safari yao ya kupata usajiri wa kudumu kwa sababu yeye ana mipango mingine ya maisha! Lakini najiuliza hawa kina Chitage kwanini swala la interns wanawaachia viongozi wa interns? kwa nini wasilisimamie wao kama viongozi wa madaktari? Huu uchekibobu utawaponza vijana wasio na hatia.

      3. Chitage ananukuliwa akisema madaktari wanafanya kazi lakini hawana moyo wa kufanya hiyo kazi. Hivi huyu Chitage ni lini alikuja kuuambia umma kuwa mgomo umeisha? Kwa lugha nyingine ni kwamba mgomo ulioitishwa na kina Chitage umekataliwa na madaktari na Chitage na wenzake wanaona haya kusema ukweli kuwa mpango wao wa kuivuruga nchi umekwama. Labda tumuulize Chitage amejuaje kuwa madaktari hawana ari ya kuwatibu watanzania wenzao. Yeye Chitage kama kagoma, anafuata nini maeneo ya kazi?

      Nawashauri viongozi wa hospitali kuhakikisha machekibobu kama kina Chitage hawaruhusiwi kuingia katika sehemu za kazi. Wao waendelee kugoma na wawaache madaktari wanaotibia watanzania wenzao waendelee na shughuli zao. Wameshawaharibia vijana programs zao za internship sasa wanataka kuharibu na mengine. Hawa wakiachwa wanaweza kuwa radhi kuharibu hata hivyo vifaa vichache chakavu vilivyopo.
      "To greed, all nature is insufficient"

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      mwilonga's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 426
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      huyo aliyetoa hoja hiyo ndiye chikibobu wa kwanaza na sisi madaktari tunasema wagonjwa njooni mpate huduma hospitalini,wala hatuna kinyongo chochote,niwazalendo,na ni wa pole,ahsanteni sana
      ZeMarcopolo likes this.

    4. #3
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 907
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      So ingeneous son!

      The tittle,The contents are in East and West.....
      Did you read before copy and paste? Read first na kama huelewi leave it for the brave to it in a right way!
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    5. #4
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Kuna mtu anaweza kunisaidia kunihakikishia kama huyu anayekwenda kwa jina la Chitega ni Daktari kamili wa kuusomea katika njia za kawaida kweli,napata mashaka makubwa hasa baada ya kusoma hoja zake alizozitoa,daktari aliyekaa darasani kusoma na kufanya mitihani mbalimbali na kufaulu kiasi cha kupewa leseni ya u'daktari kamili anawezaje kutoa hoja za ki'ushuzi kama hizi....eti kufutwa kwa leseni za ma'interns kulitegemewa...vp kuhusu kushtakiwa kwa Dk Namala kwa kosa la kudharau amri ya Mahakama hakukutegemewa? aisee nimeamini kukaa kimya sometimes kunaweza kulinda hadhi ya mtu kwa kiasi kikubwa sana kuliko kuropoka kwa style hii ya Bwana Chitega.
      ZeMarcopolo, Ndumbayeye and MAKAH like this.

    6. #5
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By Mzalendo JR
      So ingeneous son!

      The tittle,The contents are in East and West.....
      Did you read before copy and paste? Read first na kama huelewi leave it for the brave to it in a right way!
      Huna hoja...
      "To greed, all nature is insufficient"

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 907
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By ZeMarcopolo
      Huna hoja...
      You got it wrong dat it!
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    9. #7
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By Anselm
      Kuna mtu anaweza kunisaidia kunihakikishia kama huyu anayekwenda kwa jina la Chitega ni Daktari kamili wa kuusomea katika njia za kawaida kweli,napata mashaka makubwa hasa baada ya kusoma hoja zake alizozitoa,daktari aliyekaa darasani kusoma na kufanya mitihani mbalimbali na kufaulu kiasi cha kupewa leseni ya u'daktari kamili anawezaje kutoa hoja za ki'ushuzi kama hizi....eti kufutwa kwa leseni za ma'interns kulitegemewa...vp kuhusu kushtakiwa kwa Dk Namala kwa kosa la kudharau amri ya Mahakama hakukutegemewa? aisee nimeamini kukaa kimya sometimes kunaweza kulinda hadhi ya mtu kwa kiasi kikubwa sana kuliko kuropoka kwa style hii ya Bwana Chitega.
      Ndio uchekibobu wenyewe huo kiongozi. hawa wanaitwa madaktari wa .com

      Just fikiria mtoto yeyote unayemfahamu mwenye maiaka miwili, halafu mfikirie anaumwa homa kali na amepoteza fahamu, halafu anakataliwa kutibiwa kwa sababu daktari hajapewa mkopo wa gari!!! Nimeshangaa sana kuona katika viongozi wa mgomo madaktari wa watoto pia wamo!!!
      Ndumbayeye and MAKAH like this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    10. #8
      Nambombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      6

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By ZeMarcopolo
      Gazeti la Mtanzania leo hii limetoa habari hii:

      Dkt. Chitage azungumzia Dkt. Namala kushitakiwa; Interns kufutiwa leseni; Hali ya Dkt. Ulimboka

      12/07/2012


      Siku moja baada ya Rais wa MAT, Dk. Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mgomo, Katibu wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dkt. Edwin Chitage amesema hali hiyo imewashitua na lolote linaweza kutokea.

      Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dkt. Chitage alisema hali hiyo imeongeza hasira na kushusha morali wa Madaktari, “Kweli hiki kitendo cha Dkt. Mkopi kufikishwa Mahakamani kimetushtua na ukweli kimesababisha kuwepo na fukuto la chini chini. Madaktari wamekatishwa tamaa… lakini kitendo hiki pia kimeshusha morali ya wale ambao walirudi kazini…kwa hiyo wapo Madaktari ambao wapo kazini, kwa maana ya eneo la kazi lakini wanachokifanya hiyo wanajua wao,”alisema Chitage.

      Akizungumzia suala la madaktari wa walioko katika mafunzo (Interns) 390 kufutiwa leseni alisema, kitendo hicho kilitegemewa na hakikuwashitua kwa sababu ni kitu ambacho tayari kilipangwa.

      “Kwetu sisi tulitegemea jambo hilo kwa hiyo hatukushtuka sana…kwetu hiki ni kitu kidogo sana, kwa sasa viongozi wa Interns wanafanya kikao na wanasheria wao wanaangalia jinsi uamuzi huo ulivyotolewa na baadaye tutakutana nao kwa ajili ya kuangalia ni namna gani tutalifanyia katika suala hili,”alisema Dkt. Chitage.

      Akizungumzia hali ya Dkt.Stephen Ulimboka alisema kwa sasa hali yake inaendelea vizuri na ameanza kutembea na kufanya mazoezi vizuri, “Hivi sasa hali yake imeanza kuimarika. Anaweza kutembea na anafanya mazoezi yake vizuri. Kinachoendelea kumkalisha hospitali ni uangalizi wa karibu wa figo…lakini ingekua si figo angekuwa amesharudi nchini,” alisema.






      Source: http://www.wavuti.co

      My take: Hawa madaktari "uchekibobu" ndio unaowaponza. Wanaongea vitu kama viajna wa kijiweni vile!
      1. Chitage ananukuliwa akisema hali ya Rais wa MAT kufikishwa mahakamani imewashtua! Hivi huyu Chitage hajui kuwa Rais wa MAT alipewa amri na mahakama? Ukipewa amri na mahakama una options mbili, aidha kuitekeleza au kuiambia mahakama kuwa hujaridhika na amri hiyo. Huyo Rais wa MAT alifanya chochote kati ya hivyo? Yeye amepewa amri ya mahakama akaifungia sandukuni na kuendelea na shughuli zake za kichekibobu. Sasa kinachowashtua ni nini?

      2. Chitage ananukuliwa akisema swala la interns kufutiwa usajiri halijawashtua kwa sababu walilitegemea! Wakati huohuo anasema viongozi wa interns wanajadiliana na mwanasheria na baada ya majadiliano hayo ndipo Chitage na wenzake waangalie nini cha kufanya. Sasa Chitage kama walishalitegemea hilo, kwanini majadiliano na mwanasheria yanafanyika mpaka baada ya leseni kufutwa? Chitage haoni kuwa anawachelewesha vijana wa internship katika safari yao ya kupata usajiri wa kudumu kwa sababu yeye ana mipango mingine ya maisha! Lakini najiuliza hawa kina Chitage kwanini swala la interns wanawaachia viongozi wa interns? kwa nini wasilisimamie wao kama viongozi wa madaktari? Huu uchekibobu utawaponza vijana wasio na hatia.

      3. Chitage ananukuliwa akisema madaktari wanafanya kazi lakini hawana moyo wa kufanya hiyo kazi. Hivi huyu Chitage ni lini alikuja kuuambia umma kuwa mgomo umeisha? Kwa lugha nyingine ni kwamba mgomo ulioitishwa na kina Chitage umekataliwa na madaktari na Chitage na wenzake wanaona haya kusema ukweli kuwa mpango wao wa kuivuruga nchi umekwama. Labda tumuulize Chitage amejuaje kuwa madaktari hawana ari ya kuwatibu watanzania wenzao. Yeye Chitage kama kagoma, anafuata nini maeneo ya kazi?

      Nawashauri viongozi wa hospitali kuhakikisha machekibobu kama kina Chitage hawaruhusiwi kuingia katika sehemu za kazi. Wao waendelee kugoma na wawaache madaktari wanaotibia watanzania wenzao waendelee na shughuli zao. Wameshawaharibia vijana programs zao za internship sasa wanataka kuharibu na mengine. Hawa wakiachwa wanaweza kuwa radhi kuharibu hata hivyo vifaa vichache chakavu vilivyopo.
      Wacha kuropoka kama hauna cha kusema,ule mgomo umefanywa na jumuhia ya madaktari ambao kiongozi wake ni dr ulimboka na haukufanywa na chama cha madaktari ambao kiongozi wake ni dr Namala.Hivyo dr Namala hausiki kabisa na
      ule mgomo.Serikali ilienda mahakamani kuzuia mgomo wa chama cha madaktari(MAT) na kweli dr Namala hakuna hata siku moja akuwaambia MAT wagome na MAT hawajagoma,lakini waliogoma ni jumuhia ya madaktari ambacho sio chama na hakina usajili wowote na kwa msingi huo serikali ilpigwa chenga.Hivyo kumpeleka dr Namala mahakamani serikali imechemka na watashindwa.

    11. #9
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 958
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      679

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By mwilonga
      huyo aliyetoa hoja hiyo ndiye chikibobu wa kwanaza na sisi madaktari tunasema wagonjwa njooni mpate huduma hospitalini,wala hatuna kinyongo chochote,niwazalendo,na ni wa pole,ahsanteni sana
      Red - kama hivyo ndivyo kweli asanteni sana na sie umma tutakuwa nyuma yenu.

    12. #10
      joramjason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 254
      Rep Power : 447
      Likes Received
      49
      Likes Given
      4

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Sijui kwanini nimeopen this thread inanitia kichefuchefu now. Puuuuuuuuuuuuuuuuuu!
      Madaktari nyie ndo chachu ya mageuzi ya kweli nchi hii now inahitaji watu kama nyie. Naona watu hawajui tofauti ya proffessional na hizo kozi zao za ukifeli PCB or PCM form six unaweza soma yoyote kati ya hizo zilizobaki.
      If you can't fight them just join them

    13. oba
      #11
      oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : nchi ya kusadikika
      Posts : 273
      Rep Power : 488
      Likes Received
      51
      Likes Given
      88

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By ZeMarcopolo
      Gazeti la Mtanzania leo hii limetoa habari hii:

      Dkt. Chitage azungumzia Dkt. Namala kushitakiwa; Interns kufutiwa leseni; Hali ya Dkt. Ulimboka

      12/07/2012


      Siku moja baada ya Rais wa MAT, Dk. Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mgomo, Katibu wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dkt. Edwin Chitage amesema hali hiyo imewashitua na lolote linaweza kutokea.

      Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dkt. Chitage alisema hali hiyo imeongeza hasira na kushusha morali wa Madaktari, “Kweli hiki kitendo cha Dkt. Mkopi kufikishwa Mahakamani kimetushtua na ukweli kimesababisha kuwepo na fukuto la chini chini. Madaktari wamekatishwa tamaa… lakini kitendo hiki pia kimeshusha morali ya wale ambao walirudi kazini…kwa hiyo wapo Madaktari ambao wapo kazini, kwa maana ya eneo la kazi lakini wanachokifanya hiyo wanajua wao,”alisema Chitage.

      Akizungumzia suala la madaktari wa walioko katika mafunzo (Interns) 390 kufutiwa leseni alisema, kitendo hicho kilitegemewa na hakikuwashitua kwa sababu ni kitu ambacho tayari kilipangwa.

      “Kwetu sisi tulitegemea jambo hilo kwa hiyo hatukushtuka sana…kwetu hiki ni kitu kidogo sana, kwa sasa viongozi wa Interns wanafanya kikao na wanasheria wao wanaangalia jinsi uamuzi huo ulivyotolewa na baadaye tutakutana nao kwa ajili ya kuangalia ni namna gani tutalifanyia katika suala hili,”alisema Dkt. Chitage.

      Akizungumzia hali ya Dkt.Stephen Ulimboka alisema kwa sasa hali yake inaendelea vizuri na ameanza kutembea na kufanya mazoezi vizuri, “Hivi sasa hali yake imeanza kuimarika. Anaweza kutembea na anafanya mazoezi yake vizuri. Kinachoendelea kumkalisha hospitali ni uangalizi wa karibu wa figo…lakini ingekua si figo angekuwa amesharudi nchini,” alisema.






      Source: http://www.wavuti.co

      My take: Hawa madaktari "uchekibobu" ndio unaowaponza. Wanaongea vitu kama viajna wa kijiweni vile!
      1. Chitage ananukuliwa akisema hali ya Rais wa MAT kufikishwa mahakamani imewashtua! Hivi huyu Chitage hajui kuwa Rais wa MAT alipewa amri na mahakama? Ukipewa amri na mahakama una options mbili, aidha kuitekeleza au kuiambia mahakama kuwa hujaridhika na amri hiyo. Huyo Rais wa MAT alifanya chochote kati ya hivyo? Yeye amepewa amri ya mahakama akaifungia sandukuni na kuendelea na shughuli zake za kichekibobu. Sasa kinachowashtua ni nini?

      2. Chitage ananukuliwa akisema swala la interns kufutiwa usajiri halijawashtua kwa sababu walilitegemea! Wakati huohuo anasema viongozi wa interns wanajadiliana na mwanasheria na baada ya majadiliano hayo ndipo Chitage na wenzake waangalie nini cha kufanya. Sasa Chitage kama walishalitegemea hilo, kwanini majadiliano na mwanasheria yanafanyika mpaka baada ya leseni kufutwa? Chitage haoni kuwa anawachelewesha vijana wa internship katika safari yao ya kupata usajiri wa kudumu kwa sababu yeye ana mipango mingine ya maisha! Lakini najiuliza hawa kina Chitage kwanini swala la interns wanawaachia viongozi wa interns? kwa nini wasilisimamie wao kama viongozi wa madaktari? Huu uchekibobu utawaponza vijana wasio na hatia.

      3. Chitage ananukuliwa akisema madaktari wanafanya kazi lakini hawana moyo wa kufanya hiyo kazi. Hivi huyu Chitage ni lini alikuja kuuambia umma kuwa mgomo umeisha? Kwa lugha nyingine ni kwamba mgomo ulioitishwa na kina Chitage umekataliwa na madaktari na Chitage na wenzake wanaona haya kusema ukweli kuwa mpango wao wa kuivuruga nchi umekwama. Labda tumuulize Chitage amejuaje kuwa madaktari hawana ari ya kuwatibu watanzania wenzao. Yeye Chitage kama kagoma, anafuata nini maeneo ya kazi?

      Nawashauri viongozi wa hospitali kuhakikisha machekibobu kama kina Chitage hawaruhusiwi kuingia katika sehemu za kazi. Wao waendelee kugoma na wawaache madaktari wanaotibia watanzania wenzao waendelee na shughuli zao. Wameshawaharibia vijana programs zao za internship sasa wanataka kuharibu na mengine. Hawa wakiachwa wanaweza kuwa radhi kuharibu hata hivyo vifaa vichache chakavu vilivyopo.
      You have to learn how to differentiate politics and proffesional, udaktari na profession na usidhani unaweza kuiangusha profession kwa maneno ya kisiasa kama yako.....wait and see ndo utajua the small minds ni zipi na big minds ni zipi
      "If you don't stand for something you will fall down for anything"- usiposhiriki kuikomboa nchi yako utatawaliwa na mashetani!

    14. #12
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 524
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By ZeMarcopolo
      Ndio uchekibobu wenyewe huo kiongozi. hawa wanaitwa madaktari wa .com

      Just fikiria mtoto yeyote unayemfahamu mwenye maiaka miwili, halafu mfikirie anaumwa homa kali na amepoteza fahamu, halafu anakataliwa kutibiwa kwa sababu daktari hajapewa mkopo wa gari!!! Nimeshangaa sana kuona katika viongozi wa mgomo madaktari wa watoto pia wamo!!!
      Sijawahi kuona mchemfu kama weye, KTY huyo daktari wa watoto unayetamani awe ameshiriki mgomo hakuahiriki, mnataka kumbambikizia kesi , au umepewa info nusu nusu, kabla hujakurupuka fanya utafiti.

      Am so ashamed of you!

    15. #13
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By Nambombe
      Wacha kuropoka kama hauna cha kusema,ule mgomo umefanywa na jumuhia ya madaktari ambao kiongozi wake ni dr ulimboka na haukufanywa na chama cha madaktari ambao kiongozi wake ni dr Namala.Hivyo dr Namala hausiki kabisa na
      ule mgomo.Serikali ilienda mahakamani kuzuia mgomo wa chama cha madaktari(MAT) na kweli dr Namala hakuna hata siku moja akuwaambia MAT wagome na MAT hawajagoma,lakini waliogoma ni jumuhia ya madaktari ambacho sio chama na hakina usajili wowote na kwa msingi huo serikali ilpigwa chenga.Hivyo kumpeleka dr Namala mahakamani serikali imechemka na watashindwa.
      Unaweza kujifanya unajuuuuuuuuuuuuuua kumbe unaungua na jua. Ndio watu kama nyinyi. usitetee vitu usivyoelewa, utanunua kesi si yako.
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #14
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By oba
      You have to learn how to differentiate politics and proffesional, udaktari na profession na usidhani unaweza kuiangusha profession kwa maneno ya kisiasa kama yako.....wait and see ndo utajua the small minds ni zipi na big minds ni zipi
      Hakuna mashidano. Kuna kukumbushana, kueleweshana na kuwekana sawa tu. Lengo ni kujenga nchi yetu inayojikongoja katika sekta mbalimbali za maendeleo.
      "To greed, all nature is insufficient"

    17. #15
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,167
      Rep Power : 870
      Likes Received
      316
      Likes Given
      719

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Pamoja na kuathirika na mgomo wa drs.kwa kupoteza ndugu, bado nawaunga mkono ma dr! Selikali haitakwepa lawama katu, kwa jinsi walivoshugulikia tatizo toka mwanzoni inaonesha wasivokuwa na nia ya kumaliza tatizo. Selikali hii yenye viongozi walohamishia hazina kwenda uswiss, wenye matumizi ya anasa, wenye kufanya ubadhirifu wa mabilion na kuadhibiana kawa kubadilshwa vye na nafasi. Wanasiasa ndo wanaotugarim kama taifa, kutokana tabia walizo nazo tutarajie migomo mingine mingi tu, mpaka pale wanasiasa watakapo yaona mambo haya ktk uhalisia wake!

    18. #16
      kanyabuleza's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th April 2008
      Posts : 18
      Rep Power : 568
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Ndugu yangu IK aka Marcopolo baada ya juhudi zako za kuwapotosha madaktari wenzako kushindwa sasa umeamua kutumia jukwaa la JF kuwaua madaktari wenzio kwa nini usimwambie Dr Chitange na Dr Namala face to face kwamba ni machekibobu?? kama mwanachama hai wa MAT?? acha izo bana umesahau ulivyosababisha mortality za kufa mtu pale Lugalo mpaka wakakuweka kando you are a just failed physician na sasa unataka kuwatia hila wenzio poor boy!! What a puppet jumuia ya madaktari inakuamini wewe unatumia fursa hiyo kuwavuruga!!
      Nachingwea, samora10 and michosho like this.

    19. #17
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 591
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MAKAH
      Red - kama hivyo ndivyo kweli asanteni sana na sie umma tutakuwa nyuma yenu.
      Dokta wawapi huyo bagamoyo au sumbawanga wa kitabu au tunguri

    20. #18
      manoah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 7,066
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      2652
      Likes Given
      10001

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      G.P.A of 3.98 out of 4.0 It is the very warm report of 22-year-old Emmanuel Ohuabunwa who recently made an academic record at the prestigious Johns Hopkins University in the United States of America. Ohuabunwa graduated at the very top of his class with a first class degree in Neurosciences, aggregating a Grade Point Average (GPA) of 3.98 out of a possible 4.0. An indigene of Arochukwu, Abia State, he is the first black person in the history of the institution to achieve such a feat. He was also adjudged by the school as having the highest honours during its graduation last May. Though every top American university was blandishing scholarship at Ohuabunwa, including Texas A&M, Rice, Columbia, Cornell and even Harvard, for him to further his education on their campuses, he settled for the Ivy League, Yale, where he will be studying medicine on full scholarship. awajielei hao acha waumie

    21. #19
      'TF''s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Location : Main Pharmacy
      Posts : 507
      Rep Power : 507
      Likes Received
      137
      Likes Given
      168

      Default Re: "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

      Quote By ZeMarcopolo
      Hakuna mashidano. Kuna kukumbushana, kueleweshana na kuwekana sawa tu. Lengo ni kujenga nchi yetu inayojikongoja katika sekta mbalimbali za maendeleo.
      Brother....

      You just dont know what you are doing; and its really unfair to yourself and fellow Drs.
      ZeMarcopolo and Nachingwea like this.
      I am a Tablet Fellow - 'TF' ..... The family keeps growing

    22. #20
      mangifera's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th October 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 393
      Likes Received
      34
      Likes Given
      1

      Default Mahakama ni kichaka cha serikali cha kujifichia

      Kuna imani kuwa taifa limeundwa na mihimili mitatu mikuu yaani BUNGE, MAHAKAMA na EXECUTIVE(BARAZA LA MAWAZIRI) ambalo rais ndo mwenyekiti. Tunadanganywa kuwa mihimili hii ni huru, yaani haiingiliani katika maamuzi na kazi zake. Lakini tunachoshuhudia si kweli. Ni vigumu mtanzania kutofautisha kati ya katibu mkuu wa CCM, jaji wa mahakama, waziri au spika wa bunge. Wote wanafanana kiitikadi kisera na kimtizamo. Na huenda wanakula meza moja.
      Ukiangalia upande wa mahakama ndiyo mbaya kabisa, viongozi wote wa juu kuanzia jaji mkuu huteuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala. Rais huingilia kwa urahisi sana maamuzi ya mahakama kama tulivyoona alivyoingilia mgomo wa madaktari kwa kutoa maamuzi huku akitudanganya kuwa kesi iko mahakamani. Mahakama haijakemea wala kusema lolote. Pia muhimili mwingine wa serikali ambao ni bunge kwa kupitia spika umekuwa ukiilinda sana serikali(executive) pale ambapo amekuwa akiitetea serikali au kuzuia majadiliano yoyote katika hoja ambayo serikali inaelekea kushindwa.
      Hata pale ambapo waziri mkuu aliulizwa swali la msingi la kutakiwa ajiuzulu kwa kushindwa kutatua matatizo ya wananchi (mgomo) spika alimlinda kwa kumwambia "hilo usijibu mh. W/K"

      Sasa tunashuhudia serikali kuitumia mahakama kama kichaka chake cha kujificha baada ya kushindwa kutatua matatizo ya afya za wananchi na madaktari kwa kufungua kesi za uongo zisizokuwa na kichwa wala miguu, yaani kosa kafanya kenge, anashtakiwa mjusi eti kwa sababu wote ni damu baridi na wana magamba. Kila ikiambiwa jibuni hoja wanasema kesi ipo mahakamani. Lakini wakitaka kujinufaisha huvunja mwiko wa mahakama bila kuulizwa!!

      Kwa sababu hii mahakama inatumika kama kichaka cha serikali kujifichia na imeshafanya hivyo mara nyingi hata wakati ule wa mgomo ulioitishwa na TUCTA.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...