re: THINKERS: Naomba Tujadili hili
[QUOTE=kula kwa tindo;4223942]Vipi kwenye Jimbo lako,Ulishawahi kuhoji kuhusu maendeleo yenu kwa MP wako?
Na ulishahudhuria japo kikao kimoja cha kiongoji?[/QUOTE
KWA BAHATI MBAYA KWETU KUNA GAMBA NDUNGULILE HATA TULIPOPANDISHIWA NAULI YA KIVUKO KWA 200%ALIKAA KIMYA JE UTAHOJI NINI TENA .KESI YA NGEDERE USIMPELEKEE NYANI NI WALEWALE
Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.
Follow Us Here