Re: Live..kutoka bungeni..nimemsikiliza wenje hadi nikasisimka.
By christine ibrahim
Kweli ww unafikiria?
By Mzalendo JR
Maisha ya funza ni madogo sana......
By Aaron
huo ndo ukomo wa mawazo yake.
By Jotojiwe
ww kama ujalishwa gugulu kengila gugulu kalawa basi system yako inayousiana na mawazo ya kina imekua blocked kwa wakat fulan. Pole sana!
Kumbe unahitaji kuwa na guts kusimama kuitetea CCM let alone kuvaa nguo ya kijaninjano.
...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY
Re: Live..kutoka bungeni..nimemsikiliza wenje hadi nikasisimka.
Chadema kwa kutafuta umaarufu bana.juzi apa halima mdee anahimiza nyumba zile zibomolewe,leo wamegeuka kisengele nyuma wanahoji et kwann zimebomolewa.washamba kweli.
Re: Kutoka bungeni... nimemsikiliza wenje hadi nikasisimka.
Kama tumemsikiliza vizuri nadhani pamoja na kukiri kuwa serikali inachelewa kuact on those who contravene on the construction laws, kasema wanaojenga pia wako tricky. They are sometimes ahead of the government. Hata hivyo kasisitiza dhamira ya kuendelea kubomoa bado ipo
Follow Us Here