huu ni ukweli mtupu..serikali inayotoa hati ya ujenzi wa nyumba hiyo hiyo ndiyo inayobomoa nyumba
huu ni ukweli mtupu..serikali inayotoa hati ya ujenzi wa nyumba hiyo hiyo ndiyo inayobomoa nyumba
unampa kibali cha ujenzi,kesho unakuja kumbomolea,keshokutwa anakuburuza mahakamani,halafu unachukua hela ya kodi yangu unamlipa at a hiked price...Pumbavu kabisa!! halafu tunataka kuendelea...labda kuendelea kurudi nyuma!
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Sijajua jamaa kavutiwa na nini.kati ya mengi aliyo yaongelea. Binafsi,kanikosha,jinsi alivyo ongelea nyumba zilivyo bomolewa,ufukweni mwa bahari Dar. Kalalamika,inakuwaje serikali inafanya kazi kwa KUVIZIANA? Iweje jamaa wameachwa kujenga,mpaka ghorofa linaisha,watu wanahamia,yote hayo,serikali inaona,leo hii,wanaenda kuwabomolea huku wanashangilia?
Namshukuru Mungu Kura yangu haikupotea bure. Tulichokutuma umetekeleza, ila ule upande wa pili, Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana akili lakini hawazitumii, Mungu ibariki CDM ndiyo imebaki kuwa mtetezi wetu. Nyamagana huwa hatuna kawaida ya kurudisha mbunge lakini kwa Wenje 2015 utavunja huo mwiko.
Leo bungen wakati Tundu Lisu akichangia maada katika wizara ya ardhi ..amesema serikal ni kuadi wa wakezaji..ambao ni mabepari uchwara..katika kuchangi mmbunge mmja wa ccm akaomba muungozo eti Tundu Lisu ametamka maneno machafu...binafsi nimeskitika sana nikajiuliz hv inakuwaje mtu anayepora ardhi anaitwa bepari uchwara, then kuna watu wanawatetea?..mh Hakika ccm ni Janga la kitaifa..Mungu atusaidie
wenje ni mwanaume wa ukweli amethubutu ameweza aanastahili kuendelea kuvaa gwanda
Hapo kama mchezo tu...serikali inakupa hati then baadaye inakubomolea nyumba yako kwan hili hawakuliona toka mwanzo..tuanze na wizara husika then tumuangalie mwananchi..
T2015 cdm tutawaacha mbali sana hao wabunge uchwara
Actually wabunge wa ccm wanatetea wawekezaji maana wao ndo wanaokula 10pcnt na haya makampuni.Ndio maana hata maana ya muwekezaji haieleweki kwani kama mtu anakopeshwa na serikali mpaka hela ya mishahara na bado tunamuita muwekezaji!Mtu ana matrekta 10 anapewa ekari 10,000 anaitwa muwekezaji.Mwisho wao unakaribia.
Siku watalogwa wavunje jengo la tanesko ndo watamjua lowasa ni nani.
Unaweza kumchezea mtu lakini hawezi kukuruhusu uingize kidole jichoni kwake.
kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.
[QUOTE=CHABURUMA;4222916]Tunakosa uhondo umeme umekwenda zake mgao wa kimya kimya Arusha kuanzia jana.Lol![/
mgao uko rasmi,bado kutangazwa tu!eti ni shinikizo la kuitaka serikali idhamini ule mkopo wa TANESCO
Leo wanakupa kibali ujenge..kesho wamebadilika wanabomoa Ukienda mahakamani kudai HAKI yako, wanamweka Jaji Rwakibarira mwingine, anakunnnnnnnyongereeeeea mbali!
Siku watalogwa wavunje jengo la tanesko ndo watamjua lowasa ni nani.
Unaweza kumchezea mtu lakini hawezi kukuruhusu uingize kidole jichoni kwake
....We? wavunje Nyumba ya Bosi wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa NCHI???????
wataimba kisukuma cha kihaya (Chato)
Vp hali ya Kiwia mbunge mwenzie jjni Mwanza anaendeleaje?
Who Jah bless, No one Curse!
Kwakweli inabidi serikali ijipange upya kwenye mambo ya ardhi.
Hawa waliotoa vibali ndio wangeanza kuoneshwa mlango wa kutokea halafu nyumba kuvunjwa baadae.
Maana serikali inaweza kupelekwa mahakamani kwa kuvunja kitu kilicho halali halafu hela zetu walipa kodi mabilioni yakaenda kulipa fidia mxxxxm.
Follow Us Here