Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 77
    1. #1
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 581
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh Nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana.

      Kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. Ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. Tundu Lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa Nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha Lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.


      ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".

      "Mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. Mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa Mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai


      kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. Tunasubiri taarifa ya kamati.


      UCHAMBUZI WANGU
      Ni dhahiri kuwa CCM wameshapitia ripoti ya Mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, Nchemba angezuiwa toka jana na CCM kuzungumzia suala hilo. Vile Nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. Ama kweli Nchemba amshika Mnyika pabaya! Mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo

    2. Miaka 50

    3. #41
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default Hawa jamaa vipi siku hizi?

      Kuna tetesi kuwa Dola ya Mabwepande imewapiga stop hawa jamaa kuendesha midahalo. Mwenye data zaidi atujuze



    4. #42
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      ushahidi wa wizi unakoma miaka mingapi baada ya wizi kufanyika?
      sheria inasema anayekutwa na mali ya wizi au aliyeshiriki kutukia mali ya wizi naye ni mwizi na si lazima awepo kwenye eneo la tukio.
      wizi wa epa ulivyofanyika hela zake zilisaidia uchaguzi wa ccm na yeye mwigulu alip[okuja kuwa mweka hazina wa ccmaidha aliandika ripoti na kuweka sawa mahesabu pamoja na kulipwa posho sasa ni ushahidi gani wanautaka?
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    5. #43
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 522
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By safari_ni_safari
      hawa ndo viongozi wa nchi hii bana!
      Kiongozi wa ccm halafu tunataka nchi iendelee haiji tokea mpaka haya majitu yatoke!
      Safari_ni_Safari likes this.
      Freedom consists not in doing what we like, but in having the right to do what we ought. by John Paul II

    6. #44
      Nambombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 157
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      6

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By Safari_ni_Safari
      Ni mchezo wa ccm,la msingi nao CDM walazimishe nao shahidi zao zije mezani.

    7. #45
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By KOMBAJR
      Mkuu u mean FIFO aijazingatiwa hapa?
      labda LIFO


    8. #46
      Mwigulu Nchemba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 206
      Rep Power : 0
      Likes Received
      140
      Likes Given
      0

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Ni jambo ambalo nina uhakika nalo kwanini niliache linyamaziwe kimya. Tuhuma nzito kama hiyo nikiinyamazia nitakuwa wa ajabu sana wakati imetokea nikiwa sio mwajiriwa BOT. KAMA KUNA ZILIZO ACHWA NI HIZO NA SIO MWENDELEZO. KAMA ALITELEZA ASEME KAMA NI UELEWA ASEME LAKINI MIMI NA EPA TUKO MBALI KAMA MBINGU NA NCHI.

    9. #47
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1103
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Ushahidi wa Mnyika usomwe hadharani tupime sisi kama mwigulu alihusika au la!
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    10. #48
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Having gone thru' all comments,I agree with mtoa hoja ya kuwa Mnyika this time ameshikwa pabaya hata sisi wa CDM wenzake tunaliona hilo na ndo maana tunakazana kukumbushia vitu ambavyo vilishapita katika ile hali ya kujipoza na hili ambalo dhahiri limeanza kutuendea kombo,habari za ushahidi wa Lema sijui nani zinatoka wapi katika kipindi hiki....tukubali/tukatae wabunge wengi wa CDM utoto unawasumbua na kuropokaropoka bila mpangilio maalum na kwenyewe ni tatizo kubwa sana.

    11. #49
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By Mwigulu Nchemba
      Ni jambo ambalo nina uhakika nalo kwanini niliache linyamaziwe kimya. Tuhuma nzito kama hiyo nikiinyamazia nitakuwa wa ajabu sana wakati imetokea nikiwa sio mwajiriwa BOT. KAMA KUNA ZILIZO ACHWA NI HIZO NA SIO MWENDELEZO. KAMA ALITELEZA ASEME KAMA NI UELEWA ASEME LAKINI MIMI NA EPA TUKO MBALI KAMA MBINGU NA NCHI.
      Asante Kaka kwa kuwafafnunulia kuwa tuhuma zako si mwendelezo wa shahidi za kina Lema na nani sijui wanaozipigia debe hapa.

    12. #50
      Endeleaaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 556
      Rep Power : 706
      Likes Received
      125
      Likes Given
      43

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Suala la Lema wala msilizungumzie maana lilishatolewa majibu na Spika kuwa, Mbunge anapopoteza Ubunge wake hata kesi zake zinapotea nae. So Ishu ya Lema na Pinda is no longer valid.
      1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
      4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY

    13. #51
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,068
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      670
      Likes Given
      467

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By Mwigulu Nchemba
      Ni jambo ambalo nina uhakika nalo kwanini niliache linyamaziwe kimya. Tuhuma nzito kama hiyo nikiinyamazia nitakuwa wa ajabu sana wakati imetokea nikiwa sio mwajiriwa BOT. KAMA KUNA ZILIZO ACHWA NI HIZO NA SIO MWENDELEZO. KAMA ALITELEZA ASEME KAMA NI UELEWA ASEME LAKINI MIMI NA EPA TUKO MBALI KAMA MBINGU NA NCHI.
      Is this your 1st post? Au kuna mtu kajisajili kwa jina lako. Nakumbuka kusoma michango yako humu kabla ya huu wa leo. Hapo kwenye red, kushindwa kwa wenyeviti kusimamia mijadala kulichangia kumfikisha Mnyika kutoa kauli ile. Sijui mtu kama Mabumba mlimpa uenyekiti kwa kutumia vigezo gani.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    14. #52
      patriq's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Location : Lamarda, Afghanistan
      Posts : 87
      Rep Power : 375
      Likes Received
      41
      Likes Given
      27

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By wakuziba
      Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana. kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. tundu lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.


      ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".

      "mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai


      kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. tunasubiri taarifa ya kamati.


      UCHAMBUZI WANGU
      ni dhahiri kuwa ccm wameshapitia ripoti ya mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, nchemba angezuiwa toka jana na ccm kuzungumzia suala hilo. vile nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. ama kweli nchemba amshika mnyika pabaya! mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo
      Hakuna lolote huyo nchemba anazuga tu hakuna aliyeumia katika jimbo lake wala nini. asitake kusingizia eti wapiga kura wake wameumia, wapiga kura wepi? hao anaochukua wake zao?(refer Igunga case) hana lolote kama ana umia aje kusema humu jamvini tufumue yote yake. anababaika tu kukimbia kivuli chake ( dogo do not be haunted by the same shadow of yourself)
      MONSINYORI MKONGWE

    15. #53
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By kibogo
      Kwa mtazamo wangu hapa ni MNYIKA AISHIKA PABAYA SERIKALI kwa maana fupi tu ni serikali na Nchemba kama wanabisha/anabisha hakuusika na kashfa ya EPA basi sisi kama wananchi tunahitaji kujua fedha zile ziliibwa na nani? zilipelekwa wapi na kwa matumizi gani? na kama zilirudishwa hao waliorudisha ni akina nani? na walichukuliwa hatua gani kwa wizi huo? pia na baada ya kurudishwa zilitumika wapi na zilirudishwa katika akaunti gani? kwa hili Nchemba anapokanusha basi awe na majibu mbadala ni akina nani waliiba kwa sababu alipoingia pale BOT alikuta ripoti na wakati fedha zinarudishwa alikuwepo, hii isiwe janja ya kuchezea akili zetu watanzania.
      Sishangai ksbb nimeshawahi kuona pia mfano katika maswali ya True/False swali linalohitaji jibu la True mtu akaandika False.....ndo upeo wake ulipoishia,sasa afanyeje...ndo sawasawa na wewe.

    16. mob
      #54
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 600
      Likes Received
      103
      Likes Given
      39

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By Bobuk
      Lazima kanuni na utaratibu huu ufuatwe FIRST COMES FIRST SERVED

      Kabla ya USHAHIDI wa Mnyika lazima shahidi zilizotangulia tufahamishwe matokeo yake. Ndugai TENDA HAKI. Tunataka Matokeo ya SHAHIDI zifuatazo kwanza
      1. Lema v. Pinda (kusema uongo)
      2. Magdallena Sakaya v. DCs kuchukua Hongo
      3. Zitto v. Baraza la mawaziri kurubuniwa
      4. Mnyika v Nchemba kuhusika EPA.

      Najua Ndugai huwa unapitia JF
      mkuu umesHu ule wa kiwia kupigwa na wanachama wa chama cha.................
      Philipo Kidwanga likes this.

    17. #55
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,459
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      640
      Likes Given
      832

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By Ngekewa
      Pengine hutokea kuwa wameshikwa pabaya! Tatizo la Wabunge wenu wanapenda kubeba habari za kusikia na kuzitamka hadharani. Mbona wakati wa Slaa alikuwa muangalifu wa anachosema?
      Tatizo la wabunge vijana wanacheza karata bila kuangalia mbele wakati wenzao wanatafuta weak-point ya kummaliza yoyote
      Nasema bado hata Slaa habari za Kontena la kura zilizopigwa tayari huko Mbeya aliletewa na IGP alipoenda hakukuta chochote wakati huo Slaa yuko Igunga sasa bado kuna ukweli hapo au ni kutibuliana mwenzako asitawale
      Hii thread ya Mwigulu ipo hapa toka jana na tukawatahadharisha wachangiaji msiwagombanishe wabunge kwani nao ni maMember humu ndani. Leo Ndugai karudia kusema Bungeni kuwa mitandao inahusika kusambaza habari za Mwigulu na EPA bora tuiachie Kamati itaamua km ni adhabu tusilalamike humu JF huenda ikawa ndio chanzo
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    18. #56
      Kiranja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2007
      Posts : 758
      Rep Power : 851
      Likes Received
      332
      Likes Given
      16

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      1. Kanuniya 5 (1) ambayo inasema kuwa “katikakutekeleza majukumu yake yaliyotajwa katika ibara ya ya 84 ya Katiba , Spikaataongozwa na kanuni hizi ……….”

      2. Kanuniya 63 (2) “ Mbunge yeyote anapokuwa akisema Bungeni hatachukuliwa kuwa anasemauongo iwapo anafanya rejea ya habari kuhusu jambo Fulani lililotangazwa aulililoandikwa na vyombo vya habari”

      3. Kanuniya Adhabu : hii ni kanuni ya 73 (3) “Endapo mbunge yeyote atatakiwakuthibitisha ukweli wa jambo au suala alilolisema Bungeni na hadi kufikiamwisho wa muda aliopewa amekataa au ameshindwa kutoa uthibitisho huo,Spikaanaweza kumsimamisha Mbunge huyo kuhudhuria vikao vya Bunge visivyozidi vitano”

      4. Kanuniya kupelekwa kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge ni 74(1) “Spikaanaweza kutaja jina la Mbunge kwamba amedharau mamlaka ya Spika na kasha kupelekajina hilo kwenye kamati ya Haki,Maadili na Madaraka ya Bunge…..”

    19. #57
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 980
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By wakuziba
      Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana. kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. tundu lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.


      ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".

      "mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai


      kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. tunasubiri taarifa ya kamati.


      UCHAMBUZI WANGU
      ni dhahiri kuwa ccm wameshapitia ripoti ya mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, nchemba angezuiwa toka jana na ccm kuzungumzia suala hilo. vile nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. ama kweli nchemba amshika mnyika pabaya! mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo
      TUTAONA MWISHO WAKE.

    20. #58
      Kiranja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2007
      Posts : 758
      Rep Power : 851
      Likes Received
      332
      Likes Given
      16

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Nimejaribu kuonyesha ukiukwaji mkubwa wa kanuni kama ulivyofanywa leo na Ndugai , hakika Bunge likiendeshwa kwa mtindo huo linaelekea kuzimu kabisa.

    21. #59
      SUWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 491
      Rep Power : 537
      Likes Received
      21
      Likes Given
      65

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      ninaboreka sana na uendeshaji wa bunge la sasa... halina mvuto kabisa manake wakati wowote unakuwa unategemea upendeleo... hadi naona ishakuwa kama kawaida... bunge lilikuwa lile la Sita bana.... hili ni upuuzi mtupu.. huyo sijui ndugai kakaa kizaramo sana (mtanisamehe ndugu zangu wazaramo sio lengo langu ni maudhi tu ya hapa na pale!) Akiongea mbunge wa upinzani tusi.... wa ccm sawa... inaboa.... naomba huyo ndugai atambue kwamba anaboa... tena kwa sasa anamzadi hata bi kiroboto.

    22. #60
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5535
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Nchemba acharuka bungeni. Ataka kujua ripoti ya mnyika leo bungeni

      Quote By nase2theb
      Nchemba hajatulia....Anapenda sn misifa!
      na wapenda sifa huwa ni malimbukeni au hivyo wanavyojivunia navyo ni vya kubahatisha ndio maana wanataka ulimwengu ujue kama ni vya kawaida ungewakuta wapo poa tu
      huyu limbukeni,mshari,mpenda uswahili wa kupashana bila adabu wala busara hana jipya
      watu kama hawa ukiwa hutaki kupoteza muda ni wa kupuuza ama kuwaumbua misifa yote huisha

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...