Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 95
    1. #1
      Electron's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 91
      Rep Power : 369
      Likes Received
      48
      Likes Given
      59

      Default Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Tetesi ambazo bado naendelea kuzifuatilia ni kuwa specialists doctors wa muhimbili wameanza ku-resign kuonyesha kutoridhishwa kwao na mwenendo mzima wa jinsi serikali inavyoshughulikia swala la madaktari hususani kuwafukuza na kuwafutia usajili intern doctors... nimetaarifiwa kuwa mpaka sasa Daktari bingwa wa upasuaji watoto (paediatric surgeon) pekee aliyepo muhimbili, Dr. Mng'ong'o ameamua kajiuzulu......

      Aidha specialists wengine bado hawajafanya hivyo, wako katika mgomo baridi.......

      Tusubiri tuone how the event will unfold


    2. #21
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,646
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1029

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Inadaiwa kwamba wengi wao wamekasirishwa na kitendo cha kumshtaki mwenyekiti wa chama cha madactari Mkopi ili kuwatia woga madactari
      ndyoko likes this.
      Haiwezekani Kabisa Twiga kupakiwa ndani ya ndege tayari kupelekwa nje ya nchi bila Polisi na Usalama wa Taifa kujua....

    3. #22
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,381
      Rep Power : 1252
      Likes Received
      349
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      MOLA hamtupi mja wake. What these doctors need is their solidality to the last drop of their blood and ultimately they are going to win because GOD is on their side!!

    4. #23
      kajima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2009
      Location : Mtwara, Tanzania
      Posts : 203
      Rep Power : 525
      Likes Received
      41
      Likes Given
      136

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Some has to be responsible, at the end if things (economy, education, health) don't work out, one person will take the blame for the fall this person will be JK

      Advise: Call the key person from Doctors' Side, ministries involved and discuss the way forward honestly no need of giving empty promises, this might save our very own people from suffering and few months saga on health

    5. #24
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,381
      Rep Power : 1252
      Likes Received
      349
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By Majala Kimolo View Post
      Serikali dhaifu haiwezi kusimamia msimamo wake. Ili JK awe shupavu asikubali kurudi nyuma, akirudi mezani yeye ni dhaifu na amewaogopa madaktari.
      Wewe inaelekea humtakii mema huyu mkweree, kwani ushauri unaompa unamfaa tu kiongozi asiyekuwa na hekima na busara na kiongozi kama huyo mwisho wake ni mbaya!!!!

    6. #25
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      I support the massive resignation of docs as their reaction.


    7. #26
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,826
      Rep Power : 1940
      Likes Received
      1231
      Likes Given
      1193

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Nafikiri amefuata ushauri wa rais wenu kuwa atakayyaona anaonewa na kupewa ujira mdogo NI BORA AJIONDOE mwenyewe na sio kuanza kuleta chokochoko na Serikali yenu. Na alibainisha Serikali yenu haina uwezo wa kuwalipa wanavyotaka wao.

      Ni bora Dr ameamua kuepusha shari na Serikali
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    8. #27
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 480
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      jamani doctors..if all of you resign-it wont be long before you achieve what you fought so much for.ila hii ya mmoja mmoja itawacost!
      aluta continua

    9. #28
      Electron's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 91
      Rep Power : 369
      Likes Received
      48
      Likes Given
      59

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By Majala Kimolo View Post
      Kwa hiyo hii movement ilikuwa kuondoa utawala? au ni kwa ajili gani. Nisaidie

      Kama ni kweli busara ni kuweka koti begani, stethescope mkononi nenda kijiweni. Muulize Dr Kibassa alishagoma tangu mwaka 2005 na aliamua kuwahudumia waTZ kutokea private, hakuna tatizo, kwani lazima public?
      Mkuu majala Kimolo hofu yangu ni kama mtanganyika wa Nanjilinji Kilwa ataweza afford gharama let say za upasuaji ( huko private watakapokwenda hawa madaktari) akija na mtoto wake akaambiwa mtaalam hayupo kwenye public hospitals ie Muhi2. Mind you it takes 12-15 years to have super specialist! (5 medical school, 1 internship, +/- 1 or 2 u-registrar, 3 specialization, +/- 1 or 2 practicing as a specialist, and 2-3 years of super-specialization)!!!!!!

      I think kulipaswa kuwa na a sort of a balanced (win-win) manner of handling the saga, given the investment, time and personal efforts that has been spent in training such professionals.

      Kuna wakati nafikiri ni vema kuweka ushabiki pembeni na kufikiri kidogo kwa dhati kwa manufaa ya ka-nchi ketu kaliko tajiri sana wa resources but very very poor of decent reasoning beings called political leaders...

    10. #29
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 988
      Rep Power : 551
      Likes Received
      187
      Likes Given
      251

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By Barubaru View Post
      Nafikiri amefuata ushauri wa rais wenu kuwa atakayyaona anaonewa na kupewa ujira mdogo NI BORA AJIONDOE mwenyewe na sio kuanza kuleta chokochoko na Serikali yenu. Na alibainisha Serikali yenu haina uwezo wa kuwalipa wanavyotaka wao.

      Ni bora Dr ameamua kuepusha shari na Serikali
      --Wenu---Yenu---

    11. #30
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,510
      Rep Power : 2130
      Likes Received
      582
      Likes Given
      166

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Electron, On top of that, just to be General practioner(GP)..it cost you from o-level bse u cant just start at Uni level with medicine unlike other courses, understanding the basics from low level is the crucial point, so ileven if it is to train substitute you have to start from that low level.
      Electron likes this.

    12. #31
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 848
      Rep Power : 628
      Likes Received
      404
      Likes Given
      2001

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Kama ni kweli itakuwa balaa
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    13. #32
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Hivi watanzania mlilitoa wapi hili dubwana JKilaza jamani?!!
      ndyoko likes this.

    14. #33
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,732
      Rep Power : 736
      Likes Received
      301
      Likes Given
      36

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Hio hatua inategemewa na wengi kuchukuliwa coz ma Dr ni wasomi wasioweza kukubali kugawanywa na wana magamba wenye ufahamu dhaifu,

    15. #34
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,510
      Rep Power : 2130
      Likes Received
      582
      Likes Given
      166

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Serikali ilidhani ikiwatisha watakubali!madaktari wanafanya kazi sehemu yoyote si mwansheria, mwanasiasa, mhasibu nk..Serikali ijipange upya, hawa ni watu na akili zao!

    16. #35
      kaole's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 31
      Rep Power : 423
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By hippocratessocrates View Post
      Electron, On top of that, just to be General practioner(GP)..it cost you from o-level bse u cant just start at Uni level with medicine unlike other courses, understanding the basics from low level is the crucial point, so ileven if it is to train substitute you have to start from that low level.
      mmmmmmmh!

    17. #36
      MkamaP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2007
      Posts : 4,675
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      310
      Likes Given
      93

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By hippocratessocrates View Post
      Electron, On top of that, just to be General practioner(GP)..it cost you from o-level bse u cant just start at Uni level with medicine unlike other courses, understanding the basics from low level is the crucial point, so ileven if it is to train substitute you have to start from that low level.


      ...... False

    18. #37
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,403
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      3345
      Likes Given
      2738

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      "Watakugeuza Punch-bag kama Dr Ulimboka"--Fasihi by Kalapina 41BLK

    19. #38
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,512
      Rep Power : 3217
      Likes Received
      1552
      Likes Given
      6761

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Amefanya jambo la busara ni afadhali uka resign tujue haupo kuliko kwenda ku sign jina lako halafu unalipwa bila kufanya kazi.

    20. CAY is online now
      CAY
      #39
      CAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 465
      Rep Power : 519
      Likes Received
      86
      Likes Given
      26

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By Mzalendo JR View Post
      Aaahhh... umeugusa moyo wangu kidato cha tatu hiyo. Qeen NZINGA NKUWU mitaa flani ya Congo. This is a practical version of it. Welcome son!
      Ooh you have reminded my history on queen Nzinga Mbandu ,duh

    21. FJM is offline
      FJM
      #40
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza ku-resign!

      Quote By Electron View Post
      Tetesi ambazo bado naendelea kuzifuatilia ni kuwa specialists doctors wa muhimbili wameanza ku-resign kuonyesha kutoridhishwa kwao na mwenendo mzima wa jinsi serikali inavyoshughulikia swala la madaktari hususani kuwafukuza na kuwafutia usajili intern doctors... nimetaarifiwa kuwa mpaka sasa Daktari bingwa wa upasuaji watoto (paediatric surgeon) pekee aliyepo muhimbili, Dr. Mng'ong'o ameamua kajiuzulu......

      Aidha specialists wengine bado hawajafanya hivyo, wako katika mgomo baridi.......

      Tusubiri tuone how the event will unfold
      Kama kweli Muhimbili wamempoteza huyo mama basi litakuwa ni pigo na aibu kwa Taifa.

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...