Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vurugu zazuka tena Rungwe

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      Kapo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 374
      Rep Power : 494
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default Vurugu zazuka tena Rungwe

      Wana jf,pametokea vurugu kupelekea barabara ielekeyo malawi, eneo la Tukuyu kufungwa kwa muda na wananchi baada ya wafanyakazi wa TRA kutaka kukamata gari ya mkazi mmoja hapa Tukuyu,alieamua kuondoa gari tra wakaanza kumfukuzia na defender nusura wagonge watu hivyo kuamsha hasira kwa wananchi wakafunga barabara.polisi wamefika kuona uma umechachamaa wameondoka,kaja mkuu wa wilaya Crispin Meela kubaini kosa kwa meneja wa tra,hivyo kawaomba wananchi wapunguze hasira. My take TRA wakwepaji wa mapato ni vigogo mnawafaham wafuateni kuliko hawa wajasiliamali waliopigika

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 879
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Kapo Jr
      Wana jf,pametokea vurugu kupelekea barabara ielekeyo malawi, eneo la Tukuyu kufungwa kwa muda na wananchi baada ya wafanyakazi wa TRA kutaka kukamata gari ya mkazi mmoja hapa Tukuyu,alieamua kuondoa gari tra wakaanza kumfukuzia na defender nusura wagonge watu hivyo kuamsha hasira kwa wananchi wakafunga barabara.polisi wamefika kuona uma umechachamaa wameondoka,kaja mkuu wa wilaya Crispin Meela kubaini kosa kwa meneja wa tra,hivyo kawaomba wananchi wapunguze hasira. My take TRA wakwepaji wa mapato ni vigogo mnawafaham wafuateni kuliko hawa wajasiliamali waliopigika
      Hao wananchi wamekosea wangelichoma motob
      hilo gari la T.R.A

    4. #3
      Kapo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 374
      Rep Power : 494
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ciril
      Hao wananchi wamekosea wangelichoma motob
      hilo gari la T.R.A
      jamaa alipochomoa panga TRA wakageuza gari kwenda kituo cha polisi

    5. mob
      #4
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 599
      Likes Received
      103
      Likes Given
      33

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      sasa nyie mnaotaka nchi iwe na barabara za juu,lami kila mahala,madawati shuleni,vitabu vya kusoma,umeme na maji then leo hii mnawasupport wakwepa kodi haa hasha mie sikubaliani na nyie ila tushirikiane katika kupambana na wakwepa kodi hasa hawa wanaodai msamaha wa kodi ili tujenge nchi yetu

    6. #5
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 660
      Rep Power : 566
      Likes Received
      76
      Likes Given
      113

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Ni reflection ya hasira za wananchi kujua kuwa kodi zao wanazotoa hazina tija kwenye maisha yao. Wanaokwepa kodi ni wafanyabiashara wakubwa na hawakamatwi hata kama hawajulikani

    7. Study Abroad

    8. #6
      kajembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 418
      Rep Power : 515
      Likes Received
      101
      Likes Given
      116

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Quote By mob
      sasa nyie mnaotaka nchi iwe na barabara za juu,lami kila mahala,madawati shuleni,vitabu vya kusoma,umeme na maji then leo hii mnawasupport wakwepa kodi haa hasha mie sikubaliani na nyie ila tushirikiane katika kupambana na wakwepa kodi hasa hawa wanaodai msamaha wa kodi ili tujenge nchi yetu
      Tatizo kodi wanatoa watu maskini tu! zungumzia na misamaha ya kodi basi!

    9. mob
      #7
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 599
      Likes Received
      103
      Likes Given
      33

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Quote By kajembe
      Tatizo kodi wanatoa watu maskini tu! zungumzia na misamaha ya kodi basi!
      ndo tuwajibike kuwabana na hao wenye misamaha ya kodi ili nao wapate kulipa kodi kwa maendeleo ya nchi

    10. #8
      MotoYaMbongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,286
      Rep Power : 837
      Likes Received
      145
      Likes Given
      0

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Wewe unaesema wananchi tunahitaji maji barabara za lami madawati pamoja na huduma zinginezo bora halamu tunawapongeza wakwepa kodi hivi wewe una akili timamu kweli hebu fikiria tokea tumeanza kulipa kodi hizo zinafanya kazi gani kwani kwa sisi walipa kodi tuna uchungu sana na fedha zetu tunazolipa halafu watu wachache wanazikumbatia hatuoni faida yake kwa taifa hilo linatuumiza sana tunapoona raia anafanyiwa hivyo

    11. #9
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 879
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By mob
      sasa nyie mnaotaka nchi iwe na barabara za juu,lami kila mahala,madawati shuleni,vitabu vya kusoma,umeme na maji then leo hii mnawasupport wakwepa kodi haa hasha mie sikubaliani na nyie ila tushirikiane katika kupambana na wakwepa kodi hasa hawa wanaodai msamaha wa kodi ili tujenge nchi yetu
      Serikali inawanyonga wanyonge(wajasiriamali)kwa kuwadai kodi kubwa lakini mapapa(wawekezaji-ktk madini na sekta nyingine)inawaogopa kwa kutotoza kodi kabisa/au kutoza kodi kiduchu unaona usawa hapo?Huduma zenyewe muhimu(elimu bora/afya bora/miundombinu bora)hatuzipati inavyopaswa kuzipata kutokana na kodi zetu tunazokatwa kila uchwao Leo hii uniambie niipende Serikali,,,,never!!.

    12. #10
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 879
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By mob
      ndo tuwajibike kuwabana na hao wenye misamaha ya kodi ili nao wapate kulipa kodi kwa maendeleo ya nchi
      Walio madarakani(Viongozi wa Serikali)wameshindwa kuwabana hao wawekezaji unataka sisi tulio nje ya ulingo tufanyeje?Acha kuwapumbaza watu hapa.

    13. mob
      #11
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 599
      Likes Received
      103
      Likes Given
      33

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Quote By Ciril
      Walio madarakani(Viongozi wa Serikali)wameshindwa kuwabana hao wawekezaji unataka sisi tulio nje ya ulingo tufanyeje?Acha kuwapumbaza watu hapa.
      waliomadarakani wamewekwa na nani( si sisi wenyewe) basi tutumie nzia zile zile tulizowaweka kuwaondoa

    14. #12
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,449
      Rep Power : 756
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mob
      sasa nyie mnaotaka nchi iwe na barabara za juu,lami kila mahala,madawati shuleni,vitabu vya kusoma,umeme na maji then leo hii mnawasupport wakwepa kodi haa hasha mie sikubaliani na nyie ila tushirikiane katika kupambana na wakwepa kodi hasa hawa wanaodai msamaha wa kodi ili tujenge nchi yetu
      Fallier

      F

    15. #13
      SPANERBOY UDZUNGWA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 205
      Rep Power : 389
      Likes Received
      30
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By mob
      sasa nyie mnaotaka nchi iwe na barabara za juu,lami kila mahala,madawati shuleni,vitabu vya kusoma,umeme na maji then leo hii mnawasupport wakwepa kodi haa hasha mie sikubaliani na nyie ila tushirikiane katika kupambana na wakwepa kodi hasa hawa wanaodai msamaha wa kodi ili tujenge nchi yetu
      Waende migodini

    16. #14
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,767
      Rep Power : 30194
      Likes Received
      4629
      Likes Given
      3477

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Ngali akisengile kimo po bhalumanye!! kwani si ujinga tunataka!?

    17. #15
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Quote By Ciril
      Hao wananchi wamekosea wangelichoma motob hilo gari la T.R.A
      Mkuu hilo sio gari la TRA, ni gari lako, gali lao na gari langu pia, dawa ni kuwachapa viboko tu, kama alivyofanya yule Mkuu wa wilaya? kule Bukoba

    18. #16
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 397
      Rep Power : 438
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Hii nchi imekuwa ngumu, ningekuwa na uwezo ningekamata japo kwa mwaka mmoja mngenyooka tatizo siasa nyingi kila kona ? Waelimisheni wananchi umuhimu wa kodi kwanza and then watakuja wenyewe kulipa

    19. #17
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 536
      Rep Power : 531
      Likes Received
      87
      Likes Given
      20

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Quote By mob
      sasa nyie mnaotaka nchi iwe na barabara za juu,lami kila mahala,madawati shuleni,vitabu vya kusoma,umeme na maji then leo hii mnawasupport wakwepa kodi haa hasha mie sikubaliani na nyie ila tushirikiane katika kupambana na wakwepa kodi hasa hawa wanaodai msamaha wa kodi ili tujenge nchi yetu
      Mkuu hizo hasira sio za kodi ni kutokana na uonevu wa serikali ya JK na chama chake CCM kwa watu wa Mbeya kuwatesa na kupanga kuwaua. Walianza na Mwakyembe, kafuatia Ulimboka, mie naelewa kwanini wame react hivyo nikiwa pia natoka kabila za huko. Chuki ya Mbeya kwa serikali ni kubwa tena ina historia ndefu. Miaka ya tisini afisa wa TRA aliuwawa eneo la Airport ni baadhi tu ya matukio yanayoashiria chuki baina ya serikali (CCM) na Mbeya
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    20. #18
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 879
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By mob
      waliomadarakani wamewekwa na nani( si sisi wenyewe) basi tutumie nzia zile zile tulizowaweka kuwaondoa
      Hakuna kura za watanzania zilizowahi kuiweka serikali ya ccm madarakani hata Kama tungepiga kura watanzania wote na tukachagua upinzani bado zitachakachuliwa tu kwa njia yeyote ile.

    21. #19
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5534
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      ningekuwa mimi ni mkuu wa wilaya ningepewa tu hizo taarifa ningesema LIWALO NA LIWE
      waache wananchi watoe hasira zao

    22. mob
      #20
      mob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2009
      Posts : 594
      Rep Power : 599
      Likes Received
      103
      Likes Given
      33

      Default Re: Vurugu zazuka tena Rungwe

      Quote By Ciril
      Hakuna kura za watanzania zilizowahi kuiweka serikali ya ccm madarakani hata Kama tungepiga kura watanzania wote na tukachagua upinzani bado zitachakachuliwa tu kwa njia yeyote ile.
      sasa wewe unashauri nini

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...