Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 124
    1. #1
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1142
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Jana trh 10.07. 2012 kwenye mida ya saa 11.10 jioni, Mh. Mnyika aliwasilisha ushahidi wa utetezi wake wa kuthibitisha uhusikaji wa Mh. Mwigulu Mchemba na kashfa ya EPA. Kwenye dodosa zangu na wahusika wa ofisi ya katibu wa Bunge, walinihabarisha kuwa mambo yaliyoandikwa na Mnyika ni too general, ambayo ni yale yale yanayosemwa magazetini, mitandaoni, na ushahidi wake mkubwa ni ripoti ya BOT kuhusiana na sakata la EPA.

      Kwa minajili hiyo basi, ushahidi wa Mnyika wa kumuhusisha Mh. Mwigulu moja kwa moja na ushiriki wake kwenye EPA waonyesha haupo, na hili ndilo lilikuwa agizo la Mh. Mhagama ambalo alilo toa kuwa Mnyika aonyeshe ushiriki wa Mwigulu Mchemba personally na kashfa ya EPA na sio ushahidi wa BOT kwa ujumla wake.

      My take: Kwa hali hii ni wazi kabisa Mh. Mnyika amejiabisha yeye mwenyewe, amewaibisha wananchi wa ubungo, amewaibisha vijana, amewaibisha CDM, amewaibisha wabunge vijana nk kwa kutokuwa na hoja zenye mashiko na zisizo kweli na uhakika. Kwa sasa anategemea huruma ya spika tu kwenye jambo hili.

    2. Miaka 50

    3. #81
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1142
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By Ritz
      Mnyika toka alipojitukana mwenyewe nimemweweka kwenye kundi la waropokaji...Badala angejikita kutatua kero za wana Ubungo hawana maji ya uhakika, barabara nyingi za barabara kuu ni mbovu zinapitika kwa taabu isiyoelezeka, mabomba ya umma karibu yote hayatoi maji ndoo moja ya maji 2,000 wasaidie wana ubungo sio kila kukicha muongozo spika.
      Well said, ndio nasema ni aibu kwake, wana ubungo, wabunge vijana, cdm nk


    4. #82
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1142
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By Mpungati
      Mnyika is a man of evidence. Magamba wamekwaa kisiki cha mpingo
      Mngemsaidia sasa kutoa ushahidi wenye nguvu, alicho peleka sicho alicho agizwa apeleke, hapo sasa ndio utajua jamaa hamna kitu


    5. #83
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 602
      Rep Power : 499
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Hata Mnyika hasingesema dili nzima ya EPA hiko wazi sana na Nchemba alikuwa anapewa hints tuuu kwamba ishu zako zinajulikana so husijifanye bingwa wa matusi............mfuatilie kuanzia that day hadi leo kama utamsikia Nchemba na vijembe vyake.....governor noma mdau.

    6. #84
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,697
      Rep Power : 715
      Likes Received
      287
      Likes Given
      258

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Haraka haraka za nini na kutoa hukumu kwa Mnyika. Subiri uone mwisho wake!

    7. #85
      Lekanjobe Kubinika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2006
      Location : Tanzania
      Posts : 2,375
      Rep Power : 1651
      Likes Received
      313
      Likes Given
      575

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Nchi hii weacha tu. Richmond ilimhusisha dhahir JK kwa mikataba ya mchomekeo ya IPTL yeye akiwa waziri mwenye dhamana. Kwa kujua hivyo ikabidi kupindapinda ukweli na mambo yakapoa. ALipokuja Kiwira akahusishwa BWM kwa nguvu nyingi sana, kutambua wakazugazuga na hatimaye "Mambo? POAAAAA!" Airport scandle nayo Lyatonga akaihusisha na Mzee Ruksa, walipogundua Augustine king'ang'anizi wakajaribu kumpooza asipozeke akachomoa ccm na uwaziri aliopewa kama demotion kutoka Naibu waziri mkuu wa heshima, nayo serikali ikaangalia kushoto na kulia na kumtwanga Mrema upofu, ikawa "Kula vyuraRUKSA, Nguruwe au konokono RUKSAAAA" Watu wakasahau na siku zikasonga mbele. Sitaki kumsema marehemu hayati ng'walimuunaweza kujazia. Lakini JK hata formula ya mambo yake ni very copmplex kiasi kwamba wazungu tu ndo wanaweza kuelezea (umeshawasikia wamanavyomuelezea) ama sivyo kwa visasi vyake ukieleza hapa jioni tu utakuwa mabwepande au sitakishari. Nani anataka kung'olewa meno na makucha na kuminywa ndendeko kavukavu? Haya sasa nako JF ukieleza sana sio ajabu ukajikuta wanakuban. Nani kakuambia unao uhuru kamili?
      "Uwe na Bidii kama vile utaishi milele, uwe mwaminifu kama vile utakufa kesho" (Indira Gandhi)

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      MAN OF CHANGES's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 174
      Rep Power : 457
      Likes Received
      33
      Likes Given
      19

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      wewe ni spika mpk utoe coment zako za kufikirika,acha haraka mambo yote yatawekwa wazi.

    10. #87
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,648
      Rep Power : 13618
      Likes Received
      834
      Likes Given
      318

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By ng'hily

      Kwa mtu makini, ni mapema sana kufanya hitimisho...

      Haswaaa.
      Naona mleta mada tayari kashamhukumu Mnyika hata kabla bunge halijaamua kuupokea ushahidi wake.
      Shame on him
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    11. #88
      kuungutana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 357
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By dumela mbegu
      jana trh 10.07. 2012 kwenye mida ya saa 11.10 jioni, mh. Mnyika aliwasilisha ushahidi wa utetezi wake wa kuthibitisha uhusikaji wa mh. Mwigulu mchemba na kashfa ya epa. Kwenye dodosa zangu na wahusika wa ofisi ya katibu wa bunge, walinihabarisha kuwa mambo yaliyoandikwa na mnyika ni too general, ambayo ni yale yale yanayosemwa magazetini, mitandaoni, na ushahidi wake mkubwa ni ripoti ya bot kuhusiana na sakata la epa. Kwa minajili hiyo basi, ushahidi wa mnyika wa kumuhusisha mh. Mwigulu moja kwa moja na ushiriki wake kwenye epa waonyesha haupo, na hili ndilo lilikuwa agizo la mh. Mhagama ambalo alilo toa kuwa mnyika aonyeshe ushiriki wa mwigulu mchemba personally na kashfa ya epa na sio ushahidi wa bot kwa ujumla wake.my take: Kwa hali hii ni wazi kabisa mh. Mnyika amejiabisha yeye mwenyewe, amewaibisha wananchi wa ubungo, amewaibisha vijana, amewaibisha cdm, amewaibisha wabunge vijana nk kwa kutokuwa na hoja zenye mashiko na zisizo kweli na uhakika. Kwa sasa anategemea huruma ya spika tu kwenye jambo hili.
      kete muhimu kwetu cdm,sasa wananchi na wananhrakati tutadai ushahidi wa lema juu ya uongo wa mzee wa liwalo naliwe!

    12. #89
      MTOTO YA ARUSHA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      NADHANI ULE USEMI WA KALE UNASEMA HIVI "TOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO, NDIPO UTAONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZAKO" Ukiwa kama mwana harakati kijana na unayetafuta njia YOU CANT AFFORD TO DO MISTAKES, YO DO NOT HAVE THE LUXURY OF PETTY MISTAKES!! Gud Day

    13. #90
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Huyu Mkulima Dumela Mbegu anakimbilia kuanzisha thread ili ionekane imechangiwa sana na hawana uwezo wa kuanzisha thread zaidi ya cdm ipate wa kuichangia Lakini pro-CDM wanauwezo ya kuanzisha thread inayohusu CDM na ikawa na comment Nyingi lakini CCM hawana ubavu huo

    14. #91
      mgt software's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,747
      Rep Power : 782
      Likes Received
      138
      Likes Given
      201

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Huyu Mabwepande kajibiwa vizuri na weye, ahsante kwa kuyaona haya. Sijuhi kilaza huyu amwelewi Bi-kiroboto na liwalo na liwe

      Quote By Bobuk
      CCM ilishajitia KITANZI siku nyingi. Wether ushahidi wa Mnyika ni mwepesi hautakaa usomwe bungeni, because kabla ya ushahidi wa Mnyika kusomwa lazima shahidi nyingine zilizotangulia zisomwe kwanza. Vinginevyo wananachi tutaamini kwamba ushahidi ule ambayo hauthibitishi ndiyo husomwa. Hivyo shahidi zilizotangulia zilithibitisha ndiyo maana hadi leo hazijasomwa. Hivyo Bunge kabla ya kusoma ushahidi wa Mnyika inabidi kwanza isome zifuatazo ;-)
      1. Ushahidi wa Lema dhidi ya Pinda Kusema uongo
      2. Ushahidi wa Magdallena Sakaya dhidi ma-DC kuhongwa
      3. Ushahidi wa Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la waziri kurubuniwa(?)

      Baada ya hapo ndiyo uje Ushahidi wa Mnyika dhidi ya Nchemba. Ni Spika gani mwenye GUTS ya kusoma hizo shahidi? Labda kama ile SERA ya nambari ONE KULINDANA iwe imekufa.
      "Mtoto wa Maskini Hachagui Malezi, Tanganyika siyo Masikini Masikini ni wewe Unayehonga Haki yako Kwa Mafisadi" Bamugileki

    15. #92
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By Ritz
      Mnyika toka alipojitukana mwenyewe nimemweweka kwenye kundi la waropokaji...Badala angejikita kutatua kero za wana Ubungo hawana maji ya uhakika, barabara nyingi za barabara kuu ni mbovu zinapitika kwa taabu isiyoelezeka, mabomba ya umma karibu yote hayatoi maji ndoo moja ya maji 2,000 wasaidie wana ubungo sio kila kukicha muongozo spika.
      Vipi yule aliyekuta Nchi ina deni zero 2005 akakopa mpaka 2012 nchi inadaiwa trilioni 23 umemuweka kwenye kundi gani

    16. #93
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      This is a calculated move,,
      keep eyes open!

    17. #94
      kajumula.'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Location : iringa.
      Posts : 32
      Rep Power : 353
      Likes Received
      0
      Likes Given
      7

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      una uhakika na unachokiandika?

    18. #95
      gstar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 404
      Likes Received
      0
      Likes Given
      7

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Mnyika ni mtu makini na watanzania tutazidi kumwamini kwa michango yake yenye tija bungeni

    19. #96
      nya2nya2's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 381
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      naona umekuwa mkinda ss ,unatoa habari mwenyewe unahukumu mwenyewe,kweli we dhaifu

    20. #97
      Githeri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 356
      Rep Power : 430
      Likes Received
      112
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By rais wa migomo
      Mnyika anapaswa kuacha jazba na uropokaji ili awe mwanasiasa mzuri huko tuendako.kama ataendelea kutoa shutuma hewa atajishushia heshma alojijengea kwny jamii. Atumie akili badala ya kile kiungo kingine anapofikiri.
      Wewe ndo umejishushia heshima. Maneno gani haya?

    21. #98
      Majala Kimolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Posts : 315
      Rep Power : 666
      Likes Received
      26
      Likes Given
      30

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By Ndukidi
      Kwa taarifa yako, Mnyika hata kama asingepeleka huo ushahidi. Hajajiaibisha yeye wala hakuna mwana Ubungo hata mmoja atakayeona aibu eti kwa kuwa Mnyika kamshutumu huyo Mchemba. Nina uhakika kabisa kwa chama chake CDM wala hakuna tone la aibu kwa Mnyika kwa ajili ya issue hiyo. Aliyofanya na anayoendelea kufanya bungeni pamoja na kuwa anakwazwa na wabunge mbumbu wengi wa Chama Cha Mbwepande, lakini bado amefanya makubwa zaidi ya wabunge wengine 200 wa Mabwepande.
      Mwanasiasa mahiri hufanya vitu kwa uangalifu na si kukurupuka, maoni yako ni kutokana na mapenzi, kipofu huita chongo. Kama thread hii ni kweli Mnyika ajipange asijepotelea chaka la wanasiasa wepesiwepesi, ajifunze kwa Zito na Halima

    22. #99
      Wakuti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 164
      Rep Power : 455
      Likes Received
      13
      Likes Given
      29

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Nilisema hana ushahidi sana sana ushahidi wake atautoa magazetini na mitandaoni na yametimia

    23. #100
      Hess's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 368
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

      Quote By dumela mbegu
      jana trh 10.07. 2012 kwenye mida ya saa 11.10 jioni, mh. Mnyika aliwasilisha ushahidi wa utetezi wake wa kuthibitisha uhusikaji wa mh. Mwigulu mchemba na kashfa ya epa. Kwenye dodosa zangu na wahusika wa ofisi ya katibu wa bunge, walinihabarisha kuwa mambo yaliyoandikwa na mnyika ni too general, ambayo ni yale yale yanayosemwa magazetini, mitandaoni, na ushahidi wake mkubwa ni ripoti ya bot kuhusiana na sakata la epa.

      Kwa minajili hiyo basi, ushahidi wa mnyika wa kumuhusisha mh. Mwigulu moja kwa moja na ushiriki wake kwenye epa waonyesha haupo, na hili ndilo lilikuwa agizo la mh. Mhagama ambalo alilo toa kuwa mnyika aonyeshe ushiriki wa mwigulu mchemba personally na kashfa ya epa na sio ushahidi wa bot kwa ujumla wake.

      my take: Kwa hali hii ni wazi kabisa mh. Mnyika amejiabisha yeye mwenyewe, amewaibisha wananchi wa ubungo, amewaibisha vijana, amewaibisha cdm, amewaibisha wabunge vijana nk kwa kutokuwa na hoja zenye mashiko na zisizo kweli na uhakika. Kwa sasa anategemea huruma ya spika tu kwenye jambo hili.
      funguka mama nchemba funguka tukusikie. Funguka mama. Tuambie na adhabu aliyopangiwa.

    24. Study Abroad
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...