Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: 'MESEJI' ya HUJUMA...

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 55
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,696
      Rep Power : 722
      Likes Received
      872
      Likes Given
      123

      Default 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

      Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiwek a nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

      Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    2. Study Abroad

    3. #21
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,696
      Rep Power : 722
      Likes Received
      872
      Likes Given
      123

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Quote By Rogie
      We jamaa hebu acha fitna..haiwezekani uifute hiyo namba. Kwa azingira yetu tulivyo tunafowadi SMS zenye muelelekeo km huu kwa ndugu jamaa na marafiki iweje wewe ulie kisha uifute. Sasa kama umeifuta hatuna haja ya kukuamini..
      Mkuu kilichoniliza ni hiki.Kwanza nani kawapa nambari yangu? Kwanini wafanye mchezo kama huo? Nioneni mjinga,mzandiki,muongo,mwoga na kadhalika lakini huo ndio ukweli. Ni humu humu jamvini nilipotukanwa kwa kusema kuwa Madaktari wangegoma tena.Yalipotimia sikuombwa msamaha. Ngoja niwe msahimilivu tu Wakuu wangu...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    4. #22
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 516
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      mi nafikili jamaa hajielewi huyu

    5. #23
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Kwa CCM yote yanawezekana.....naunga hoja mkono mia kwa mia mbili

    6. #24
      security guard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 277
      Likes Received
      25
      Likes Given
      4

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      wewe ulioleta hii issue nafikiri haujajipanga vizuri...utoto huu ulioandika kama kweki kuna kitu kama hicho unajua taratibu.

    7. #25
      Che-lee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 305
      Rep Power : 463
      Likes Received
      85
      Likes Given
      3

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Mambo mengine ni kupotezeana mda tu!

      Utanilipa kwakufanya niingie kwenye huu uzi mkuu!

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Tanganyika2's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th October 2011
      Posts : 70
      Rep Power : 396
      Likes Received
      12
      Likes Given
      19

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Lete namba zako za cm watu tufanyie kazi, la sivyo tumia muda huu kabla MOD hajachukua hatua za kukurekebisha. Hapa Kazi tu mengine peleka MabweP.

    10. #27
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,909
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      477
      Likes Given
      333

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Mkuu kilichoniliza ni hiki.Kwanza nani kawapa nambari yangu? Kwanini wafanye mchezo kama huo? Nioneni mjinga,mzandiki,muongo,mwoga na kadhalika lakini huo ndio ukweli. Ni humu humu jamvini nilipotukanwa kwa kusema kuwa Madaktari wangegoma tena.Yalipotimia sikuombwa msamaha. Ngoja niwe msahimilivu tu Wakuu wangu...
      Mkuu ni ngumu mtu kukuamini kwasababu hujaleta ushahidi.
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    11. #28
      Kiherehere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,074
      Rep Power : 647
      Likes Received
      71
      Likes Given
      132

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

      Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiwek a nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

      Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
      wewe ni ME au KE??
      CONFIDENCE IS WHAT AM LOOKING FOR.... NOT HAPPINESS

    12. #29
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 703
      Rep Power : 499
      Likes Received
      281
      Likes Given
      403

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Acha kutuhadaa wewe na MAGAMBA wenzio tutatoa maoni kama kawaida tena jana DODOMA wametoa maoni DHAIFU apunguziwe madaraka ole wake JAJI WARIOBA asizingatie hilo.

    13. #30
      Daniel poul's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 54
      Rep Power : 361
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Ila umechemka sema "NDIO" umepokeaje sms na ukaifuta gafla hapo umeonyesha uzaifu na woga kama mtanzania halisi.Ungetupa iyo number na ss wenzako wa jf ili tuwe makini na tukipata sms iyo tusishtuke natujue ni yule yule anaeneza izo habari.

    14. #31
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,459
      Rep Power : 641
      Likes Received
      183
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By MANGUNGO
      Ngoja niendelee kukata majani ya ng'iombe.
      hahahahaha

    15. #32
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,539
      Rep Power : 805
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Tamthilia

    16. #33
      matawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 1,437
      Rep Power : 751
      Likes Received
      122
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

      Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiwek a nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

      Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
      Wewe siyo mvivu wa kufikiria bali mzembe wa kufikiria

    17. #34
      Lugeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2011
      Posts : 294
      Rep Power : 467
      Likes Received
      39
      Likes Given
      43

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Una kale ka ugonjwa ka ''USHUKI''

    18. #35
      kimeloki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 554
      Rep Power : 455
      Likes Received
      56
      Likes Given
      6

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Interesting, pole pia.

    19. #36
      mgt software's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,747
      Rep Power : 782
      Likes Received
      138
      Likes Given
      201

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      napita tu, maana sijaelewa chochote
      "Mtoto wa Maskini Hachagui Malezi, Tanganyika siyo Masikini Masikini ni wewe Unayehonga Haki yako Kwa Mafisadi" Bamugileki

    20. #37
      ikingura's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 347
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

      Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiwek a nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

      Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
      We unaota! vivid dreams

    21. #38
      zanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 381
      Likes Received
      5
      Likes Given
      3

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

      Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiwek a nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

      Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
      sidhani kama wangekutumia msg, kwa upeo wangu, na kwa jinsi vile issue yenyewe ilivyo sensitive, wange kupigia ili usiwe na ushahidi pindi utakapo kataa, na binafsi sijaona kilicho kuliza ni nini, wewe ulikua na hamu tu ya kulia,jipange kijana, hili ni jukwaa la watu makini, kuleta habari zisizo na ushahidi ukome, make sure unachoandika una ushahidi nacho,

    22. #39
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 536
      Rep Power : 531
      Likes Received
      87
      Likes Given
      20

      Default Re: 'MESEJI' ya HUJUMA...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

      Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiwek a nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

      Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
      Mkuu suluhisho ni kulia? kama kulia basi wapinzani leo tungekuwa tumekufa kwa kulia. Kama uko seriuos basi hakikisha unapambana sio kulia. Hapa tunapambana na uozo wa system hatulii
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    23. #40
      Mshuza2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,289
      Rep Power : 682
      Likes Received
      193
      Likes Given
      17

      Default

      Napumzika kidogo, mtanishtua!

    24. Miaka 50
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...