Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Charles Tylor hakuhukumiwa kwa makosa aliyoyatenda yeye binafsi, bali yalitendwa chini ya mamlaka yake wakati alikuwa na uwezo kuyazuia kutendeka. Waliyoyatenda wapo mtaani wanakula bata kwa fedha dhalimu walizozipata baada ya kumwaga damu za ndugu zao.

      Inawezekana Tylor alikuwa na nia njema ya kuzuia uhalifu usiingie na kuenea Liberia lakini kanuni za kibinadamu zilikiukwa vikubwa. Hivyo kupelekea historia mbaya kwa Afrika na huzuni kubwa kwa nasaba yake...

      JK, inawezekana kabisa kwamba nyuma ya hizi brutal zinazofanywa na dola dhidi ya raia wako hakuna NIA wala MAAMUZI yako, lakini inawezekana walio chini yako wanaamua wakiamini wanafanya kwa niaba. Inawezekana kabisa kwamba inakuuma na kukusumbua sana haya matukio mfululizo yanayodhalilisha nafasi yako na utu wako lakini huna la kufanya.

      Inawezekana kabisa kupitia nafasi yako uliyo nayo sasa unadhibiti vyombo vya kutoa haki (mahakama) kutenda haki isiyo haki. Hivyo kutumika kukandamiza na kubamiza matumaini ya raia wako wengi.

      Take my words...


      1. Chukua hatua za kinidhamu dhidi ya wanaoharibu kwa kutumia jina na nafasi yako..
      2. Kukaa kwako kimya ni jibu tosha kwamba you are behind na uhalifu dhidi ya binadamu unaofanywa na wasaidizi wako...
      3. Siku hazigandi, hivyo usiporekebisha sasa tegemea uwezekano wa wewe kushtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita muda wowote ule.
      Last edited by Msanii; 11th July 2012 at 10:30.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #2
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,962
      Rep Power : 30234
      Likes Received
      4726
      Likes Given
      3477

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Wanakuja Zomba,Ritz,MAMA POROJO,Tume ya Katiba and the like!, utawaskia tu! jiandae kupokea kauli zao!
      Msanii likes this.

    4. #3
      mpogole's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th August 2008
      Posts : 113
      Rep Power : 570
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Wamepata ujumbe watafikisha .................
      Msanii likes this.

    5. #4
      saita's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 356
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      masikio yao hayasikii, macho yao hayaoni, akili zao hazitambui na mioyo yao haina huruma wala utu tena na wkiona watakutafuta kwamba unahatarisha amani ya taifa.
      Msanii likes this.

    6. #5
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,212
      Rep Power : 0
      Likes Received
      323
      Likes Given
      111

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Kweli mtu na akili timamu atachukua huu upuuzi ampelekee JK? Kweli akili ni mali.
      Msanii likes this.


    7. #6
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      ​wote hao nasikia walitoroka milembe hawajamalizia matibabu wasamehe mkuu.
      Quote By Pombekali
      Wanakuja Zomba,Ritz,MAMA POROJO,Tume ya Katiba and the like!, utawaskia tu! jiandae kupokea kauli zao!
      Msanii likes this.

    8. #7
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 668
      Rep Power : 512
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Quote By Msanii
      Charles Tylor hakuhukumiwa kwa makosa aliyoyatenda yeye binafsi, bali yalitendwa chini ya mamlaka yake wakati alikuwa na uwezo kuyazuia kutendeka. Waliyoyatenda wapo mtaani wanakula bata kwa fedha dhalimu walizozipata baada ya kumwaga damu za ndugu zao.

      Inawezekana Tylor alikuwa na nia njema ya kuzuia uhalifu usiingie na kuenea Liberia lakini kanuni za kibinadamu zilikiukwa vikubwa. Hivyo kupelekea historia mbaya kwa Afrika na huzuni kubwa kwa nasaba yake...

      JK, inawezekana kabisa kwamba nyuma ya hizi brutal zinazofanywa na dola dhidi ya raia wako hakuna NIA wala MAAMUZI yako, lakini inawezekana walio chini yako wanaamua wakiamini wanafanya kwa niaba. Inawezekana kabisa kwamba inakuuma na kukusumbua sana haya matukio mfululizo yanayodhalilisha nafasi yako na utu wako lakini huna la kufanya.

      Inawezekana kabisa kupitia nafasi yako uliyo nayo sasa unadhibiti vyombo vya kutoa haki (mahakama) kutenda haki isiyo haki. Hivyo kutumika kukandamiza na kubamiza matumaini ya raia wako wengi.

      Take my words...


      1. Chukua hatua za kinidhamu dhidi ya wanaoharibu kwa kutumia jina na nafasi yako..
      2. Kukaa kwako kimya ni jibu tosha kwamba you are behind na uhalifu dhidi ya binadamu unaofanywa na wasaidizi wako...
      3. Siku hazigandi, hivyo usiporekebisha sasa tegemea uwezekano wa wewe kushtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita muda wowote ule.
      Maoni yako ni sahihi kabisa, tatizo ni kwamba tumefika huko kwasababu ya udhaifu wa rais kikwete, uzembe wa bunge, na upuuzi wa chama cha misitu (ccm). Katika hayo yote unategemea nini?
      Msanii likes this.

    9. #8
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,146
      Rep Power : 6368
      Likes Received
      1490
      Likes Given
      423

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Sikio Lakufa Halisikii?????.......
      Msanii likes this.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    10. #9
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,517
      Rep Power : 4643
      Likes Received
      1261
      Likes Given
      880

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Mhh!! sidhani....
      Msanii likes this.

    11. #10
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 508
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Quote By majebere
      Kweli mtu na akili timamu atachukua huu upuuzi ampelekee JK? Kweli akili ni mali.
      Kweli kabisa ujumbe kama huu ukimpelekea anaweza ukawachizi usiependa maisha yako. Maana sijui kama utaishi salama sababu jamaa ni mtu wa visasi sana. Hongera kwa kulijua hili dada.
      Msanii likes this.
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    12. #11
      Andrew Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2008
      Posts : 1,449
      Rep Power : 0
      Likes Received
      358
      Likes Given
      0

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Charles Taylor alikuwa jambazi sugu aliyetoroka maximum security prison Marekani. Unasema vipi hakuhusika na uovu uliotokea Liberia,kwamba wasaidizi wake ndio walikuwa wahusika?
      Msanii likes this.

    13. #12
      controler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 420
      Likes Received
      80
      Likes Given
      75

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Quote By majebere
      Kweli mtu na akili timamu atachukua huu upuuzi ampelekee JK? Kweli akili ni mali.
      JK na wewe wote Ni kundi moja. Hamuwezi kuelewa hii maneno
      Msanii likes this.

    14. #13
      de'levis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,063
      Rep Power : 592
      Likes Received
      577
      Likes Given
      54

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Quote By Andrew Nyerere
      Charles Taylor alikuwa jambazi sugu aliyetoroka maximum security prison Marekani. Unasema vipi hakuhusika na uovu uliotokea Liberia,kwamba wasaidizi wake ndio walikuwa wahusika?
      kwa mara ya kwanza nilikutana na Charles Taylor mwaka 1981 chicago ilikuwa mwezi june nikitokea cuba yeye alikuwa hapo chicago akimalizia mafunzo yake juu ya steganography na alikuwa ni informant wa CIA. na ni hao hao CIA waliomsaidia kutoroka gerezani huko boston mwaka 1985. hakuwa jambazi kama unavyodai.
      Msanii likes this.

    15. #14
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Jamani lile ni "SIKIO LA KUFA" nyerere aliona mbali na akasemaa bado halijakomaa kumbe sio yeye tu ambae hajakomaa wana mabwepande wote wakalipa urais kuonyesha wasivyokomaaa na hapo ndipo nilipo hama ccm,,ccm(choo cha makuti) wote ni sikio la kufa,,,ngoja watoke madarakani watajuta kwa mauaji wanayofanyya chini ya utawala wao
      Msanii likes this.

    16. #15
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By majebere
      Kweli mtu na akili timamu atachukua huu upuuzi ampelekee JK? Kweli akili ni mali.
      ah!ah!ahaaaaa majebere unaramba viatu vya sikio la kufa(dhaifu) kwa maslai ya nani?watu wanateswa na kutolewa uhai unaodhani mungu hata wahukumu kama walivyo fanya mabwepande??Gadaff na Sadam hussen nao walitumiwa ujumbe hivihivi!matokeo yake tuli yaona...............sina shaka na ilo ujumbe umemfikia dhaifu yeye aendelee kutia pamba masikioni tu!watu wanaorodhesha mauaji tu!atajibu siku moja.
      Msanii likes this.

    17. #16
      WISDOM SEEDS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2011
      Location : Sweden
      Posts : 609
      Rep Power : 525
      Likes Received
      113
      Likes Given
      66

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Nadhani signature yangu inajitosheleza katika hili!
      Msanii likes this.
      "Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete, kwa uzembe wa Bunge, na kwa sababu ya upuuzi wa CCM" John Mnyika

    18. #17
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,962
      Rep Power : 30234
      Likes Received
      4726
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By katareke
      ​wote hao nasikia walitoroka milembe hawajamalizia matibabu wasamehe mkuu.
      Keshafika majebere! keshaanza tayari,tusubirie wengine
      Msanii likes this.

    19. #18
      don-oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 747
      Rep Power : 526
      Likes Received
      257
      Likes Given
      32

      Default Re: Kama kuna mtu ana mapenzi mema na rais amfikishie ujumbe huu....

      Vick Kamata, Betty Mkwasa wote wanamapenzi mema na raisi nadhani watafikisha ujumbe huu.
      Msanii likes this.

    20. #19
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,619
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      747

      Default

      Quote By majebere
      Kweli mtu na akili timamu atachukua huu upuuzi ampelekee JK? Kweli akili ni mali.
      Which implies kuwa wewe ni maskini maana huna mali!
      Msanii likes this.

    21. #20
      Yericko Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Location : Kigamboni, DSM
      Posts : 4,557
      Rep Power : 22969
      Likes Received
      2838
      Likes Given
      312

      Default

      Quote By Andrew Nyerere
      Charles Taylor alikuwa jambazi sugu aliyetoroka maximum security prison Marekani. Unasema vipi hakuhusika na uovu uliotokea Liberia,kwamba wasaidizi wake ndio walikuwa wahusika?
      Exactly!
      Msanii likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...