Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Report Post
    Page 1 of 14 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 277
    1. #1
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 959
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgombea wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alichodai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By dubu
      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgomba wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alicho dai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.
      Umekosea kidogo Mkuu hapo kwenye Rangi siyo nchi za jirani tu mpaka Ulaya America Asia Australia na wengine wanakipenda hicho chama
      Jasusi, BAK, Papizo and 13 others like this.

    4. #3
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 649
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Saafi sana

    5. #4
      Kiboko Yenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 313
      Rep Power : 429
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      huyu mzee bora arudie fani yake tu
      Last edited by Kiboko Yenu; 10th July 2012 at 17:54.

    6. #5
      Brightman Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2009
      Posts : 700
      Rep Power : 658
      Likes Received
      87
      Likes Given
      21

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Anasema anamtaka nani amhoji....! Au Ocampo..?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,453
      Rep Power : 680
      Likes Received
      247
      Likes Given
      30

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      pamoja na hayo.Umeandika taarifa hii kwa ushabiki mno mpaka mtu wa kawaida anaelewa wewe uko katika itikadi gani! Na kupoteza reputation ya kuwa jf!
      Thesi and TECHMAN like this.

    9. #7
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,277
      Rep Power : 605
      Likes Received
      329
      Likes Given
      58

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      kama wao nao wanaongozwa na Dhaifu hawana jipya.....hawana hadhi ya kumuoji dr

    10. #8
      meemba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 50
      Rep Power : 369
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Ni sawa alivyosema Dr.Slaa,ni serikali dhaifu na ya ubabaishaji.

    11. #9
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default

      Quote By Kiboko Yenu
      huyu mzee bora aludie fani yake tu
      pumba tu kijana hebu uwe unachagua sehemu za kubandika huu ***** sio jukwaa la siasa

    12. #10
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,193
      Rep Power : 12563
      Likes Received
      5760
      Likes Given
      753

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Singo imegoma kuuzika, kwa hiyo anataka kuhojiwa na nani KGB au FBI.
      Last edited by Ritz; 10th July 2012 at 16:39.

    13. #11
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Lynix
      Umekosea kidogo Mkuu hapo kwenye Rangi siyo nchi za jirani tu mpaka Ulaya America Asia Australia na wengine wanakipenda hicho chama
      Na wewe umekosea kidoooogo Mkuu, sio Ulaya, America, Asia, Australia, bali hata Mungu na Malaika wanakipenda hicho chama, na ndio maana Sisi tuna Mungu, wao wana walichonacho.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    14. #12
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 531
      Likes Received
      174
      Likes Given
      235

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Kiboko Yenu
      huyu mzee bora aludie fani yake tu
      ALUDIE ndiyo nini?? Kweli shule za kata za serikali ya CCMABWEPANDE imewamaliza!!
      kajima and genekai like this.

    15. #13
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 649
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Kiboko Yenu, Apolonary , Negembo na kipepeo hajafika mtawasikia tu wametumwa ili mradi watoto wao wanaenda chooni.

    16. #14
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,297
      Rep Power : 1196
      Likes Received
      1181
      Likes Given
      1554

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Kiboko Yenu
      huyu mzee bora aludie fani yake tu
      Ipi? sababu hata siasa kaanza toka miaka ya sabini au kabla? mi huwa nampendea haya majibu yake ya utata utata tu.

    17. #15
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Negembo
      Anasema anamtaka nani amhoji....! Au Ocampo..?
      labda anataka fbi au MI5

    18. #16
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2084
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Dr Slaa unahitajia mkutano kutoa na kuhubiri imani hio ,na isitoshe huna imani na jeshi la polisi na pia huna imani na mahakama ni mambo ambayo wananchi watapenda wayasikie kupitia kwenye mikutano na sio vipembeni .
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    19. #17
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,802
      Rep Power : 44129
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1427

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Ameona itakula kwake...
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    20. #18
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 507
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Ritz
      Singo imegoma kuuzika, kwa hiyo anataka kuhojiwa na nani Kubenea au Mwanakijiji.
      Wale waliomhoji Samwel Sita na Mwakyembe na kuleta ripoti. Au wale waliohoji kuuawa kwa wafanyabiashara ya Madini na kuja na taarifa ya Zombe kuhusika kisha mahakamani wakaambiwa wakamlete muuaji na pale hakuna muuaji!

      Malipesa likes this.
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    21. #19
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,838
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Negembo
      Anasema anamtaka nani amhoji....! Au Ocampo..?
      Amesema wapeleke kesi mahakamani ili yeye akatoe ushahidi mbele ya mahakama. Inaonekana anataka kumwaga mchele kwenye kuku wengi. Bila shaka ana ushahidi wa kutosha. Lakini hata hivyo sidhani kama hiyo kauli yake itafanya kazi, maana Nchimbi amesema suala la ulinzi wa mtu si la hiari, serikali inaweza kutumia nguvu kumpa ulinzi au kumlazimisha aisaidie polisi kulichunguza jambo hilo. Nafikiri siasa za bongo zimefika pazuri. Kama serikali ingeamua kujikausha na kujifanya haijasikia, ingeweza kulimaliza jambo hili kirahisi sana, lakini ikishaanzisha malumbano tu, ndo itajiweka kwenye wakati mgumu zaidi.
      PakaJimmy and Chilipamwao like this.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    22. #20
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By dubu
      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgomba wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alicho dai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.
      Ni kweli acha akatae manake hii serikali dhaifu ya JK hata haijulikani nani police nani alshababu.....anaeza kwenda kwa mahojiano afu akajikuta msitu wa pande akiwa hana meno wala kucha!......asiende asee!
      Papizo, PakaJimmy, lm317 and 6 others like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    Page 1 of 14 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...