Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Report Post
    Page 7 of 14 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 277
    1. #1
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,406
      Rep Power : 966
      Likes Received
      584
      Likes Given
      143

      Default Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgombea wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alichodai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.


    2. #121
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,300
      Rep Power : 0
      Likes Received
      334
      Likes Given
      114

      Default

      Quote By Gurti View Post
      Dr Slaa ni mwanaume wa Shoka, wakamtoe meno na kucha waone kama nchi haijawaka moto. Pumbavu sana.
      Huo moto mtawasha nyie,waoga kama yeye mwenyewe. Nimesikia na Mnyika ameomba awe analala CRDB tena ndani ya sefu.

    3. #122
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,911
      Rep Power : 1169
      Likes Received
      1056
      Likes Given
      804

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Son of Africa View Post
      pumbavu wewe
      MODS siku hizi wapo likizo au wamegeuza jukwaa hii kuwa la vilaza wa kila aina mtu kama huyu anatukana hasatahili BAN???
      Son of Africa likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    4. #123
      Curriculum Specialist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2007
      Posts : 2,064
      Rep Power : 1637
      Likes Received
      580
      Likes Given
      183

      Default

      Quote By dubu View Post
      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgomba wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alicho dai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.
      Ni hivi kwanini genge linalotaka kuwaua ndo liwahoji? Safi Dr. Slaa

    5. #124
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 833
      Rep Power : 554
      Likes Received
      84
      Likes Given
      39

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      basi atahojiwa na mchumba wake,,, hv akishika madaraka mtamgusa huyu? boga.

    6. #125
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 816
      Rep Power : 570
      Likes Received
      40
      Likes Given
      37

      Default

      Quote By gurti View Post
      dr slaa ni mwanaume wa shoka, wakamtoe meno na kucha waone kama nchi haijawaka moto. Pumbavu sana.
      hiki kibabu kibachela nacho kishapoteza umaarufu wamebaki majuha wenzake ndio wamuungao mkono


    7. #126
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,997
      Rep Power : 2986
      Likes Received
      484
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ritz View Post
      Singo imegoma kuuzika, kwa hiyo anataka kuhojiwa na nani KGB au FBI.
      Gamba limejitokeza.

      Quote By Dumela Mbegu View Post
      Akitaka atake asitake atahojiwa tu, hao vibaraka zake wa nchi za nje walio mwambia alete uzabi zabina wa maneno ya uwongo waje wamsaidie, kwani kwa hili hatoki hata chembe.

      Hapa anapata msaada kwa gamba mwenzake.

    8. #127
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,124
      Rep Power : 1250
      Likes Received
      670
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Ritz View Post
      Singo imegoma kuuzika, kwa hiyo anataka kuhojiwa na nani KGB au FBI.
      Serikali ya dhaifu ni wauaji,hawatakiwi kumhoji Dr. Slaa wasije wakampeleka kwenye ule msitu wenu.
      Lynix likes this.

    9. #128
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 473
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By osokoni View Post
      mods siku hizi wapo likizo au wamegeuza jukwaa hii kuwa la vilaza wa kila aina mtu kama huyu anatukana hasatahili ban???
      yes you are

    10. #129
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 608
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Huyo Dume la Mbegu za bamia anafurahisha kweli, naona anafikiri kuwa Watanzania wa leo ni wa kupelekwapelekwa, safari hii mtu hata akiingizwa jela bila hatia ya kweli, polisi watajuta, Mahakama zitashtuka, Askari Magereza watalia na Magereza yatavunjwa ili hao wasio na hatia watolewe, wawe huru na waendelee na shughuli zao za kimaendeleo na za kuikomboa jamii,

      Wakiwalisha kitu chochote kibaya au kuwachoma sindano za sumu pindi wakiwa jela ili zije kuwadhuru au kuwaua taratibu, au wakiwaua wakiwa humo ndani au chini ya polisi wao wahuni, watalia kilio cha ajabu mno, watasambaratishwa, watapotezwa mpaka watashangaa,

      Wananchi watawamaliza Waheshimiwa, msijifanye nyie mnajiamini sana, Wananchi wa leo wana hasira sana na nyie, nyie ni binadamu tu, msilete jeuri, mkileta ujinga wenu tena, mtapotezwa fasta

    11. #130
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,124
      Rep Power : 1250
      Likes Received
      670
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By majebere View Post
      Huo moto mtawasha nyie,waoga kama yeye mwenyewe. Nimesikia na Mnyika ameomba awe analala CRDB tena ndani ya sefu.
      Kama bibi yako anavyolala kwenye chungu?
      Lynix likes this.

    12. #131
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 473
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By osokoni View Post
      sibishani na kobe kama wewe!!
      tuma namba ya simu tu,

    13. #132
      Santo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 308
      Rep Power : 441
      Likes Received
      50
      Likes Given
      2

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Sijawahi kuona tofauti ya police ya Tanzania na CCM.

    14. #133
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,300
      Rep Power : 0
      Likes Received
      334
      Likes Given
      114

      Default

      Quote By Son of Africa View Post
      tuma namba ya simu tu,
      atume number? We hujui hakuna watu waoga kama hawa mapambe wa Slaa.

    15. #134
      luhala's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 195
      Rep Power : 408
      Likes Received
      74
      Likes Given
      128

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Ni kweli acha akatae manake hii serikali dhaifu ya JK hata haijulikani nani police nani alshababu.....anaeza kwenda kwa mahojiano afu akajikuta msitu wa pande akiwa hana meno wala kucha!......asiende asee!
      Ni polisi wepi wa kumhoji? Ni walewale waliojifanya kwenda mhoji alipokuwa mbunge na kutegeshewa vinasa sauti; kuvichukua na kutokomea navyo? Walewale waliochunguza hujuma za kumwagiwa tindikali waandishi, kuuwawa kwa makada wa Chadema Igunga, Arumeru na "waliochunguza kushambuliwa kwa mapanga wabunge wa Chadema kule Mwanza mbele ya mapolisi na ambao hadi leo hawajapatikana? Kwa mtaji huu hana ulazima wa kujieleza kwanikufanya hivyo kutawapa maarifa ya "kuboresha" uhalifu dhidi yake na chama chake.
      sweetlady likes this.

    16. #135
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,857
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5652
      Likes Given
      3875

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By majebere View Post
      Huo moto mtawasha nyie,waoga kama yeye mwenyewe. Nimesikia na Mnyika ameomba awe analala CRDB tena ndani ya sefu.
      Nilidhani unajipendekeza kwa William Malecela tu ili akutafune kumbe hadi ubongo wako mwenyewe kumbe umeshaooza!! Jingas kabisa.
      sweetlady likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    17. #136
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 608
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Ni Boss wako nini?!, boresheni Magazeti yenu zaidi, yapunguze udaku!
      Quote By majebere View Post
      Hii ndio faida ya kuwa msomaji wa hadithi za shigongo

    18. #137
      Udaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 233
      Rep Power : 400
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Kuna sababu nyingi ambazo zinasababisha akatae kuhojiwa na vyomba vya magamba usalama,mfn kutwekwa kwa wabunge wa chadema mwz,kunusurika kuuwa kwa mch.msigwa,kutekwa na kuchinjwa mwenyekiti wa cdm arusha,kuuwawa vijana wa bodaboda waliokuwa wanapeperusha flag ya cdm kwenye kampeni arumeru,kutekwa kwa wafanyabiashara wa madini chini abdalah zombe na mengine mengi sana.dr kawashtukia hawa wauwaji.
      Uwezo Tunao likes this.

    19. #138
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Dr Slaa is right 100% hasa nikikumbuka kifo cha Kolimba.

    20. #139
      Udaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 233
      Rep Power : 400
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default

      Mods nitendeeni haki vp?thread yangu mmeibania,ukweli haki yao tuwape hawa magamba.

    21. #140
      sangija's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 433
      Likes Received
      25
      Likes Given
      110

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Apolonary View Post
      pamoja na hayo.Umeandika taarifa hii kwa ushabiki mno mpaka mtu wa kawaida anaelewa wewe uko katika itikadi gani! Na kupoteza reputation ya kuwa jf!
      Sema wewe kama wewe!!! na huyo mtu wa kawaida ndo yupi???

    Page 7 of 14 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...