Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Report Post
    Page 6 of 14 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 277
    1. #1
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgombea wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alichodai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.

    2. RukaaJuu Final

    3. #101
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Kirode
      Ovyo dhaifu. Zomba wewe, ritz tume ya katiba na wengine wengi siku izi mmejipanga kutuharibia jf. Nahisi mko ofisi moja mnatega new thread mjibu mnavyojua ovyo kabisa.
      Mdogo wangu jenga hoja acha kulia lia JF sio mali ya Chadema pambana.
      Pombekali likes this.

    4. #102
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By rais wa migomo
      Hana la kueleza,amejua ataumbuka.
      acha kuchemka wewe! amesema anayetilia mashaka madai yake aende mahakamani huko ndiko atamwaga ushahidi wote! sasa hawa polisi ndio anawatuhumu halafu haohao waje kumhoji mbona na wewe upo kama yale maviazi yasioiva??
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    5. #103
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,445
      Rep Power : 10880
      Likes Received
      3817
      Likes Given
      426

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Hongera Dr Slaa Rais.Mtarajiwa kwa maamuzi yenye hekima na busara kubwa.
      Gurti likes this.

    6. #104
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Wewe makalio peleka uchwara wako huko, na ukiingia kwenye anga nakutoa meno sita natoboa na macho yako yote pambaf

    7. #105
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Atahojiwa south africa

    8. Miaka 50

    9. #106
      Gurti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 208
      Rep Power : 473
      Likes Received
      47
      Likes Given
      20

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Dr Slaa ni mwanaume wa Shoka, wakamtoe meno na kucha waone kama nchi haijawaka moto. Pumbavu sana.

    10. #107
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Mahakama, bunge, serikali ni mali yetu pambaf

    11. #108
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,900
      Rep Power : 2295
      Likes Received
      1154
      Likes Given
      1496

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      THE GOVERNMENT CANNOT STAND ACCUSED FOR 'A CONTINUED PLANNED POLITICAL KILLINGS' AND AGAIN PRESENT ITSELF AS AN INVESTIGATOR TO INVESTIGATE ITSELF!!!

      It beats logic and common sense for anybody to expect Dr Slaa to present himself for an interogation by the NOW POLITICALLY SCANDALOUS ARMED FORCES that are widely believed to be on the loose in KILLING THE CITIZENS of dissenting voices throughout the country.

      Many heinious killings by police in the country to-date are still fresh in everyone's mind yet nothing is being done to bring people to justice apart from shear concerted efforts by the authorities to undertake state cover-up on everything.

      Kimsingi, serikali kamwe haiwezi ikasimama kuwa Mpelelezi katika shutuma nzito kama hii dhidi yake. Ikitokea hali kama hiyo basi itakua ni jambo la ki-historia ajabu AND ONLY IN TANZANIA.

      The next best thing that the scandal-ridden Kikwete government can at least do at this point is to let the same authority of the COMMANDER-IN-CHIEF OF THE ARMED FORCES, if any in our country, to revoke his illegal orders on a cross-section of the forces to kill, by guaranteeing a 24-hour safety and security of all CHADEMA leaders already in threat.

    12. #109
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Anapiga kelele za nini sasa si akae kimya, anapiga kelele wakati hata koleo hajaliona, pumbavu wewe

    13. #110
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By gurti
      dr slaa ni mwanaume wa shoka, wakamtoe meno na kucha waone kama nchi haijawaka moto. Pumbavu sana.
      pumbavu wewe

    14. #111
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By osokoni
      acha kuchemka wewe! Amesema anayetilia mashaka madai yake aende mahakamani huko ndiko atamwaga ushahidi wote! Sasa hawa polisi ndio anawatuhumu halafu haohao waje kumhoji mbona na wewe upo kama yale maviazi yasioiva??
      siku hiyo atakunya kunde

    15. #112
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By makoye2009
      Kuna haja ya kuandaa report kama USHAHIDI kwa unyama na mauaji yanayofanywa na Serikali ya CCM na report hii ipelekwe UN na ICC. Lazima hawa majambazi wa CCM washtakiwe kwenye hakama za kimataifa.

      Pambaf zao.


      UN na ICC KUNA MABWANA ZENU HUKO? PAMBAF

    16. #113
      karichuba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 20
      Rep Power : 442
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      maskini wabongo hakuna sheria ya kumlazimisha mtu aseme, kama hataki basi. kuhojiwa ni suala la hiari, labda kama akikataa kufanyahivyo mahakamani na penyewe ni suala la hakimu au jaji si serikali tena. kwelii nchi hii tuna mawaziri.

    17. #114
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2227

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Hana mpya. Sasa kama hataki kuhojiwa aliyasema ya nini?
      Son of Africa likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    18. #115
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By pombekali
      mtuambie kwanza mtaenda kumhojia wapi!?
      A. Kwenye gari isiyo na plate number? Hapana nadhani itakuwa makao makuu ya chadema mtaa wa ufipa knondoni
      b. Kwenye ile nyumba mliko mpeleka ulimboka? Hapana itakuwa uwanja wa taifa ndani
      c. Kwenye ule msitu wenu maarufu. Nyumbani kwa mzee mtei
      d. Pale kwenu lumumba?
      hapana samora

    19. #116
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Angemwachia urithi mkewe halafu akae kimya, die hard

    20. #117
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Son of Africa
      siku hiyo atakunya kunde
      sibishani na kobe kama wewe!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    21. #118
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,210
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default

      Quote By Molemo
      Hongera Dr Slaa Rais.Mtarajiwa kwa maamuzi yenye hekima na busara kubwa.
      busara gani alio tumia hapo, zaidi ya kuonyesha uzembe wa kufikiri,nyie mpeni kichwa tu huyo mzee,yuko njiani kwenda kunyea debe halafu huyo junior sijui atapatia wapi maziwa.
      Son of Africa likes this.

    22. #119
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By mangikule
      ALUDIE ndiyo nini?? Kweli shule za kata za serikali ya CCMABWEPANDE imewamaliza!!
      Yaan hata kazi ya kuchunga kondoo wa Bwana hawezi hiki KIBABU KIBACHELA sababu ni kinafiki na kikizeeka lazma kiwe kichawi
      Son of Africa likes this.

    23. #120
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,593
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      383
      Likes Given
      553

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Kwa maana hiyo Dr Slaa ana imani na mahakama? Au jaji wa mahakama kuu anateuliwa na Mbowe?
      Son of Africa likes this.

    Page 6 of 14 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...