Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Report Post
    Page 4 of 14 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 277
    1. #1
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 959
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgombea wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alichodai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By majebere
      Jamani Amechanganyikiwa huyu mzee.Zitto yuko wapi aokoe CDM.
      wewe ndo umechanganyikiwa

    4. #62
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By chama
      Yeye ndio hana credibility ni porojo za kuunga unga kila siku; mshaurini afanye maandamano labda ndicho kilichobakia

      Chama
      Gongo la mboto DSM

      thubutuuu!! huyo dhaifu wenu anayehudhurua mikutano ya uzaz wa mpango wakati yeye ana watoto utadhani timu ya rugby ndo mnapaswa mumshari....na huyo dhaifu wenu kwa kuwa kaishiwa hoja na namana ya kuongoza amebaki kuua, kutishia maisha wananchi wake...huu ni udhaifu mkubwa sana...Dr Slaa na mtu makini sana na huwa hakurupuki hovyo hovyo kama huyo Jkilaza ..hakuna anachofanya zaidi ya kusubiri miradi ya kanisa katoliki ili akaribishwe kukata utepe na kusafiri
      I'm Naturaly Evasive..

    5. #63
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 661
      Rep Power : 580
      Likes Received
      238
      Likes Given
      73

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By rais wa migomo
      Hana la kueleza,amejua ataumbuka.
      Ameshaeleza Mengi lakini hawayafanyii kazi. Ni kupoteza muda tu kwa hili Jeshi la CCM.

    6. #64
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,993
      Rep Power : 0
      Likes Received
      226
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Dr angekubali kuhojiwa akawachane live,saivi ataonekana anaogopa.

    7. BAK
      #65
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,546
      Rep Power : 44954
      Likes Received
      8285
      Likes Given
      8280

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Ritz
      Singo imegoma kuuzika, kwa hiyo anataka kuhojiwa na nani KGB au FBI.
      Mbona Sitta na Mwakyembe hawakuhojiwa na magamba? Kulikoni?
      Papizo, sweetlady and dguyana like this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    8. Miaka 50

    9. #66
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,195
      Rep Power : 12564
      Likes Received
      5764
      Likes Given
      753

      Default

      Quote By chama
      Ritz,
      Dr. Slaa ni dhaifu wa kiroho, kanisa katoliki limemsomesha na kumpa imani zote za kiroho; lakini kutoka na udhaifu wake wa kiroho alilikimbia kanisa na kujiingiza kwenye mambo ya dunia; sasa leo mtu kama huyu akipanda majukwaani kuishutumu serikali dhaifu utamuelewa? Roho yake imetaliwa na uongo wa kila aina ili mradi tu azma yake itimie; kila siku ni kutunga porojo ambao hazina kichwa wala miguu; ukiishiwa sera huishi kusema uwongo.

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      chama,

      Anatamka hadharani kuwa umetishiwa kuukuwa unaita na waandishi wa habari cha kushangaza usemi umetishiwa vipi unakuja na maneno matupu huu siuti udhaifu, wala uzembe ama upuuzi bali nauita upungufu kwa sababu nimeamua kutumia lugha ya kiutu uzima na yakiungwana.

    10. #67
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,867
      Rep Power : 2288
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      VIONGOZI WA CHADEMA WAKO SAHIHI KUKATAA KWENDA KUHOJIWA NA CHINJA CHINJA AHMED MSANGI KWA KUWA VYOMBO HIVI SASA VINATUMIKA KISIASA ZAIDI

      Kauli aliotoa Dr Slaa ni sahihi tena kwa sana.

      Hoja yangu ya kusema hivyo ni kwamba Dr Ulimboka aliyenusurika kifo mikononi mwa watu waliodaiwa kuwa ni vyombo vyetu vya usalama, mpaka leo hii Tanzania tunaelekea kuingia WIKI YA TATU TANGU AOKOTWE AKIWA HOI-BIN-TAABANI porini lakini hakuna HATA MTU MMOJA ALIYETIWA HATIANI WALA KUHOJIWA na chombo chochote juu ya hili sasa yeye Dr Slaa aende kohojiwa vyombo vya usalama vinavyotumika kisiasa kwa maslahi ya CCM ili iweje?????

      Wananchi tumekasirishwa sana juu ya mzaha unaoendelezwa juu ya tuhumaa za uhai wa Dr Ulimboka na sasa juu ya VIONGOZI WA CHADEMA.

      Tangu sasa kuna haja kuandaa maandamano makubwa nchi nzima KUDAI USALAMA KWA WANANCHI WOTE nchini kutochinjwa chinjwa kila uchao na polisi kila kona ya nchi.

      Ukweli wa mambo ni kwamba hadi hivi sasa wananchi IMANI IMEPUNGUA SANA si kwa polisi, si kwa Ikulu na vyombo vyingi anavyoviongoza na kutumia kisiasa kwa maslahi binafsi.

      Quote By Mpitagwa
      Jamani hii kauli ya Dr. Slaa kama ni yeye kasema kweli ni ya kisiasa tu.

      Polisi wanahaki ya kisheria ya kumhoji mtu yeyote wanayemhisi au kumdhani anataarifa ambazo zitaisaidia serikali katika kuendesha mambo yake na hasa taarifa zinahusu masuala ya usalama wa nchi.

      Hivyo Dr. anaweza kusema hatatoa ushirikiano wakati wa kumhoji. Hivihivi wanaweza hata wakatumia mbinu ambazo wanazijua wao tu kuhakikisha kuwa anatoa ushirikiano.

      Haki za binadamu na kuendesha serikali havikubaliani 100%. Tuache ushabiki hapa JF. tujitahidi kuwa wahalisia japo kidogo

    11. #68
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,053
      Rep Power : 14519
      Likes Received
      6417
      Likes Given
      5003

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By rais wa migomo
      Dr angekubali kuhojiwa akawachane live,saivi ataonekana anaogopa.
      ILI MUMPELEKE MABWEPANDE! si ndio ulimboka walimwambia kuwa anahitajika central, lol! WAZANDIKI WAKUBWA NYIE!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    12. #69
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5534
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Apolonary
      pamoja na hayo.Umeandika taarifa hii kwa ushabiki mno mpaka mtu wa kawaida anaelewa wewe uko katika itikadi gani! Na kupoteza reputation ya kuwa jf!
      mh!!!!!!!?????????? sidhani kama ni kweli usemacho

    13. #70
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Good! Maamuzi mazuri na thabiti, asitetereke!
      Quote By dubu
      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgomba wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alicho dai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.

    14. #71
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,065
      Rep Power : 738
      Likes Received
      98
      Likes Given
      806

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      aombe ulinzi UN
      I HAVE SPOKEN

    15. #72
      asakuta same's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 2,523
      Rep Power : 984
      Likes Received
      659
      Likes Given
      429

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Ritz
      Kila siku mnasema serikali dhaifu halafu hapo hapo mnaigopa hiyo serikali dhaifu.
      kuua raia wasio na hatia ni udhaifu pia.

    16. #73
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5534
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Edson
      thubutuuu!! huyo dhaifu wenu anayehudhurua mikutano ya uzaz wa mpango wakati yeye ana watoto utadhani timu ya rugby ndo mnapaswa mumshari....na huyo dhaifu wenu kwa kuwa kaishiwa hoja na namana ya kuongoza amebaki kuua, kutishia maisha wananchi wake...huu ni udhaifu mkubwa sana...Dr Slaa na mtu makini sana na huwa hakurupuki hovyo hovyo kama huyo Jkilaza ..hakuna anachofanya zaidi ya kusubiri miradi ya kanisa katoliki ili akaribishwe kukata utepe na kusafiri
      kwikwikwiii hiyo ina idadi ndogo kulinganisha na wajamaa

    17. #74
      STRATON MZEE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 531
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Siwadanganyi ndugu zangu wana JF. Mi mwenyewe sina imani na Jeshi la Polisi, Serikali, Usalama wa Taifa (Kama siyo Uhasama wa Taifa) na CCM. Dr. ana haki ya kutokuwa na imani na hawa watu maana ni matukio kibao ambayo amewapelekea lakini hawajafanyia kazi. Dr. Mwakyembe ambaye ni mwenzao, alilalamika kuchakachuliwa na watu wake, lakini hadi leo Jeshi hilo hilo halijawahi kutoa majibu yenye maana, sembuse mpinzani?. Sijaona wenye usafi wa kumhoji Dr.
      Quote By dubu
      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgomba wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alicho dai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.

    18. #75
      Mpwechekule's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 221
      Rep Power : 390
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Ukweli ni kwamba hata nyie wachangiaji mkitakiwa muhojiwe hamtakuwa na imani na polisi hata kidogo. Kwani kama kuna taasisi au chombo ambacho nikibovu, polisi ni cha kwanza, cha pili ni bunge, na cha tatu mahakama, cha nne ni uraisi, tano wanaoitwa usalama wa taifa, hivi vitu wanavyoshupalia mbona havina tija, kuna mtu alifukuzwa nchini kwa sababu hataki kulipa kaushuru na bado yupo na analindwa na anaendelea kupakia dhahabu zetu kila wiki kg 15, kati ya huyu na kina slaa nani alitakiwa ahojiwe haraka kwa sababu kuna tija katika taifa? ACHENI KUTETEA UJINGA TETEENI TAIFA.

    19. #76
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5534
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      hata mimi namuunga mkono. hivi mtu kashakwambia kuwa dola imepanga kumuua halafu wewe unatuma sehemu nyingine ya dola kumuhoji mtu huyo hii haijakaa vizuri.
      ikiwa tuhuma hizi za kweli yuko sahihi kabisa kukataa kuhojiwa kwani polisi na usalama ni watoto wa baba moja

    20. #77
      SHEMGUNGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 332
      Rep Power : 437
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Huyu rizt naona ameanza miguu dat why unashabikia mpaka ukatil wa polic acha zako nch inawenyewe ila si wewe takataka.

    21. #78
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Usijisumbue kuongea na mtu asiye na faida ya kweli kwako, haogopewi mtu, kwani wao hawafi ndio tuwaogope, wao ni watu kama sisi, wanaumia na wanakufa pia, kuongea now ni kupoteza muda tu na kuzidi kujisogeza karibu na adui zako, but hapana shaka Wananchi tutawapoteza wakifanya upuuzi kwa Chadema
      Quote By rais wa migomo
      Dr angekubali kuhojiwa akawachane live,saivi ataonekana anaogopa.

    22. #79
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,745
      Rep Power : 984
      Likes Received
      948
      Likes Given
      1458

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Dume la mbegu hana tofauti na Chatu Dume na Zomba watu hawa ni masokolindo sana ai mean wabishi na wanaongoza kwa kutetea uozo nyie fuatilieni comments zao
      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    23. #80
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,476
      Rep Power : 19743
      Likes Received
      5426
      Likes Given
      3614

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Nyinyi pigeni kelele tu Mkwele leo ametuwa London UK, kuendelea na utalii wake, nadhani Membe hana kazi kama waziri wa mambo ya kigeni.

      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    Page 4 of 14 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...