Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Report Post
    Page 10 of 14 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast
    Results 181 to 200 of 277
    1. #1
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 959
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgombea wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alichodai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
      Ni hayo tu.

    2. Miaka 50

    3. #181
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      99
      Likes Given
      278

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Dr. Slaa yupo sahihi kabisa kusema kuwa hana imani na jeshi la police. Sababu zipo nyingi sana ila ipo moja inayomhusu
      yeye binafsi. Alipokuwa mbunge aliwekewa vinasa sauti chumbani kwake(na usalama wa Taifa ah,sorry I mean usalama wa viongozi na walala heri wa Tanzania). Baada ya sakata hilo, jeshi la police lilifanya uchunguzi. Cha ajabu ni kuwa mpaka leo jeshi la police halijawahi kutoa matokeo ya uchuguzi waliofanya.

      Naturally nadhani hawawezi kujichunguza wao wenyewe na kutoa taarifa inayowahusu wao wenyewe. Kwa maana hiyo Dr. Slaa hata kama angekuwa na uwendawazi nusu sio rahisi kuwa na imani na jeshi la polisi.

      I salute this guy Dr. Slaa, the fella is so smart and I am glad I voted for him in 2010-

    4. #182
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,669
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By zomba
      Umeona eeeh, halafu juu huko post #167 nimeweka picha, kamuomba Rais wa hiyo Serikali asiyokuwa na imani nayo akaongoze matembezi ya kumchangishia fedha za kazini kwake. Isitoshe, "sponsor" mkuu wa hayo matembezi ni Rostam Aziz kupitia kampuni yake ya Vodacom.
      Hela anazokopa zinaenda wapi? Kutoka deni 0 2005 mpaka trilioni 23 mwaka 2012 kwi! Kwi! Kwi! Eti anagawa hela kupitia ule mtindo wa mabilioni ya jk

    5. #183
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4299
      Likes Given
      5491

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By zomba
      mie mrombo!
      Mrombo gani unasema eti "ndizi zilizooza" na unashangaa utumbo, we utakuwa mswahili wewe.Na ukitaka kuanza mambo ya stereo type, utajikuta na wewe unatoka nishai...
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    6. #184
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 954
      Rep Power : 691
      Likes Received
      206
      Likes Given
      79

      Default

      Quote By Mwanamayu
      Ocampo alikwishaondoka!
      wakuu, ocampo ameshasepa ile nafasi. sasa yupo mama fatou bensouda kutoka gambia. juzi juzi nae kaanza makeke yake kwa kwenda libya kucheki muamar qadafi mambo yake ilikuwaje kule?

    7. #185
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 437
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Mtu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuhojiwa na jambazi.
      Chilipamwao likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #186
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,790
      Rep Power : 727
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kiboko Yenu
      huyu mzee bora arudie fani yake tu
      ya kuwataja hadharan mafisadi kweli airudia make saizi kama yananza sikika

    10. #187
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,669
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By majebere
      Jamani mnyika bado tu kajificha? Mwambieni asiogope tumemsamehe.
      Yupo chumbani kwa dada yako shemeji!!

    11. #188
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 955
      Rep Power : 687
      Likes Received
      114
      Likes Given
      144

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Mimibaba
      Matusi ni ushahidi wa upunguani
      mbona ninyi huwa mkitukana humu nanyi ni punguani? Mimi sioni mantiki ya Slaa kukataa kuhojiwa na kutaka polisi waende mahakani huko ndio akaseme, sasa hao polisi wataendaje mahakamani bila maelezo ya kufungulia mashtaka! Dr Slaa hana cha kuiogopa serikali ya JK na ni kweli serikali hii haina uwezo wa kumlazimisha, basi aende ili kuwasadikisha wafuasi wake kuwa alichosema ni kweli!

    12. #189
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      99
      Likes Given
      278

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Ritz
      Singo imegoma kuuzika, kwa hiyo anataka kuhojiwa na nani KGB au FBI.
      Stop thinking with your body,use your head instead. You can rubbish what is worth rubbishing!

    13. #190
      Chilipamwao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : Mbeya
      Posts : 435
      Rep Power : 519
      Likes Received
      91
      Likes Given
      723

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Dumela Mbegu
      Akitaka atake asitake atahojiwa tu, hao vibaraka zake wa nchi za nje walio mwambia alete uzabi zabina wa maneno ya uwongo waje wamsaidie, kwani kwa hili hatoki hata chembe.

      Chezea kitu kingine wewe sio chadema, wajaribu Waone pale ni full ushahidi.
      Nchi hii inajengwa na wenye moyo na inatafunwa na wenye meno

    14. #191
      laigwenan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 363
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Wamkumbuka mkurugenzi wa makosa ya jinai inchin (Dci) Robert Manumba? Alisema Dk. Mwakyembe hakupewa sumu! Ali muhoji pia Mh.Sita lakini hakuna kitu.Unafikiri kuna jipya kwa dk Slaa!.Tuwe na kumbukumbu jamani!

    15. #192
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Lukolo
      Amesema wapeleke kesi mahakamani ili yeye akatoe ushahidi mbele ya mahakama. Inaonekana anataka kumwaga mchele kwenye kuku wengi. Bila shaka ana ushahidi wa kutosha. Lakini hata hivyo sidhani kama hiyo kauli yake itafanya kazi, maana Nchimbi amesema suala la ulinzi wa mtu si la hiari, serikali inaweza kutumia nguvu kumpa ulinzi au kumlazimisha aisaidie polisi kulichunguza jambo hilo. Nafikiri siasa za bongo zimefika pazuri. Kama serikali ingeamua kujikausha na kujifanya haijasikia, ingeweza kulimaliza jambo hili kirahisi sana, lakini ikishaanzisha malumbano tu, ndo itajiweka kwenye wakati mgumu zaidi.
      mkuu, hapa inaonesha dr atakataaa kataaaa! ila lazma ataenda kuojiwa kwa njia yoyote ile! au unaonaje?

    16. #193
      Jaffary's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th October 2011
      Posts : 187
      Rep Power : 675
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By zomba
      mie mrombo!
      dogo ww unakomaaga na ki-body kutoka asubuhi mpaka jioni duuuh sasa hivi uchumi utakuwa??

    17. #194
      Mjanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Location : "MWILINI MWANGU"
      Posts : 774
      Rep Power : 573
      Likes Received
      107
      Likes Given
      22

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Tume Huru! hatujasahau yaliyomkuta KOLIMBA!
      hizo mic zao!
      Quote By Negembo
      Anasema anamtaka nani amhoji....! Au Ocampo..?
      "A broken heart won't heal if you keep on giving it to the same person that broke it"


    18. #195
      mashini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 366
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      hana jipya huyo mzee,

    19. #196
      Q700's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 356
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      polc gani wa ccmagamba mwenye hadhi ya kumuoji Dr? Awana cfa!!

    20. #197
      negger's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 354
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      wana jf makini jiadharini na mamluki.Humu kuna mapandikizi ya Magamba club wanajifanya kukandia kila point inayo wahusu viongozi wajao wa tz kuanzia 2015.kila ukisema dr.silaa wanakaba na kuponda ili kuwakatishaa tamaa wana jf makini.kuweni makini hamko peke yenu

    21. #198
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Molemo
      Hongera Dr Slaa Rais.Mtarajiwa kwa maamuzi yenye hekima na busara kubwa.
      Rais mtarajiwa wa Karatu au wa Juniour na Mushumbusi?

    22. #199
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 780
      Rep Power : 559
      Likes Received
      37
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By negger
      wana jf makini jiadharini na mamluki.Humu kuna mapandikizi ya Magamba club wanajifanya kukandia kila point inayo wahusu viongozi wajao wa tz kuanzia 2015.kila ukisema dr.silaa wanakaba na kuponda ili kuwakatishaa tamaa wana jf makini.kuweni makini hamko peke yenu
      Kijana hujiamini inaonekana au unataka kuwa yaya wa Juniour

    23. #200
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,037
      Rep Power : 16326
      Likes Received
      2218
      Likes Given
      1261

      Default Re: Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

      Quote By Mess
      Kiboko Yenu, Apolonary , Negembo na kipepeo hajafika mtawasikia tu wametumwa ili mradi watoto wao wanaenda chooni.
      Mkuu naongezea msisitizo.....Kiboko Yenu, Apolonary, Negembo, na kipepeo hajafika mtawasikia tu wametumwa ili mradi watoto wao wanaenda chooni.
      Last edited by KakaKiiza; 10th July 2012 at 22:27.
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    Page 10 of 14 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...