Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

    Report Post
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 176
    1. #1
      Electron's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 91
      Rep Power : 365
      Likes Received
      48
      Likes Given
      59

      Default Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Kiongozi wa madaktari nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.


      N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono na madaktari nchini.


      Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....




      Keep your friend close and your enemies closer. Don Coleorne

    2. Miaka 50

    3. #61
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Electron
      Kiongozi wa madaktari nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.


      N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono na madaktari nchini.


      Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....



      Keep your friend close and your enemies closer. Don Coleorne
      Hapa naona ni baada ya ile mbinu yao ya teka, peleka mabwepande, ua kushitukiwa/kushindikana.

    4. #62
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,802
      Rep Power : 777
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Amiliki
      Kaka, tangu lini mbwa wakawa na akili ya kufikiri binafsi zaidi ya kuamrishwa tu hata na mlevi so long as mlevi ndiye mwenye mbwa!
      Ni kweli Mkuu, maana sifahamu kisheria kama naweza kushtakiwa kwa kosa alofanya jirani yangu kwa sababu tu jana nilionekana naye maeneo fulani !!!!
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    5. #63
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By kaole
      Madaktari wote waliokwenye mgomo na kuacha ndugu zetu wakifa hovyo nawaona kama mazuzu tu
      Matatizo ya kupenda dezo, ubwabwa, kofia, kanga, fulana. Ukasahau utu wako afadhali hata CD inafanya hivyo kwa shida tu.
      August likes this.
      Simple life is healthier than egoism.

    6. #64
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Electron
      Kiongozi wa madaktari nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.


      N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono na madaktari nchini.


      Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....





      Keep your friend close and your enemies closer. Don Coleorne
      Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi au kuanza kutoa majibu ya anachotakiwa kukijibu yeye mahakamani .......ana akili timamu na atajibu hivyo ila ninachojiuliza na nimeuliza wenzangu humu bila kupata majibu ni kwamba.....je alipopata court order aliitekeleza?? Mtasema hakuwa ameitisha mgomo yeye lakini wanachama wake (MAT- Chama kinachotambuliwa kisheria) walikuwa katika mgomo na amri ya mahakama ilimtaka awatangazie kuwa mgomo ni batili hadi mahakama itakapofanya uamuzi wa shauri lililopo mbele yake.....na je katika kutekeleza amri hiyo ..yeye binafsi alikwenda kazini??
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    7. #65
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,533
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      1573

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By kaole
      Madaktari wote waliokwenye mgomo na kuacha ndugu zetu wakifa hovyo nawaona kama mazuzu tu
      Nakukumbusha kuwa Thread ni hii Dr. Namala Mkopi kiongozi wa mat afikishwa mahakama ya kisutu asubuhi hii

      huo mchango wako uanzishie thread yake!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 929
      Rep Power : 535
      Likes Received
      176
      Likes Given
      239

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Kakulwa P
      Nendeni mkamuwekee dhamana maana hana cha kujibu hapo, mahakama imeishaigiliwa na mhimili mwingine wa DOLA katika maamuzi.
      Mahakama ikitaka kutenda haki itoe tamko juu ya DOLA kuingilia mhimili wake, inaonekana mahakimu wetu wanasukumwa na DOLA katika kutekeleza majukumu yao? Jaji mkuu alishasema kuwa serikali inaingilia mahakama.
      Mwisho kinachotakiwa ni vitendea kazi mahospitalini siyo kuandama mtu mmoja mmoja kisa Daktari.
      Management by FEAR! Aende kutishwa tu lakini tuchunge MABWEPANDE

    10. ADK
      #67
      ADK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 495
      Rep Power : 470
      Likes Received
      36
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By kassim awadh
      u r right,,serikali inajaribu kutumia mbinu zote kuwatisha na kuvuruga mshikamano wao. Kimsingi hata kutekwa,kupigwa kwa dr ulimboka ilikuwa mojawapo ya mbinu ya ccm/serikali. Hawakukusudia kumuua bali torture ili kutisha wengine
      nani kasema walitaka afe lkn kwa mateso makali ambayo kiongozi atakaekuja badala yake awe kaama hosea

    11. #68
      yatima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2011
      Location : small room
      Posts : 352
      Rep Power : 487
      Likes Received
      106
      Likes Given
      121

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By panadol
      Wewe Ndiyo zuzu,jamani ubunge ata wewe unaweza kugombea na kupewa mshahara mzuri kwa hiyo ata madaktari wanaweza kuacha taaluma yao na kwenda kugombea ubunge na kupewa mshahara mzuri,ukiona udaktari haufahi unaweza acha na kwenda kwenye ubunge!

      Hapo kwenye red - sasa mbona wameacha na mnawalazimisha???? Mara muwang'oe kucha, meno, muwatese
      na sasa mnaanza kuwagawanya kwa kuwapeleka mahakamani mmoja mmoja -

      kama hamjali - si muwaache??? IMEKUWALA KWENU - FANI YA DAKTARI NGUMU - WAAMBIE WABUNGE WATIBIE WATU KAMA WANAWEZA...................... ...SI WANAONA RAHISI???? MBONA WANATUMIA NGUVU??

      - Ujuzi ni wao wenyewe
      - Madaktari sio wasanii - ndio maana hawataki kwenda kusaini kuwa wako kazini na kukaa tu kama wanavyotuibia Wabunge - wangeweza sana kufanya hivyo - lakini ni WASOMI, WAADILIFU

      NARUDIA TENA KAMA NYIE MNA UJUZI - JITIBIENI BASI WENYEWE TUONE... OTHERWISE FANYANI MNAVYOSHAURIWA NA MADAKTARI - NA MUACHE KUWASUMBUA - OTHERWISE SUBIRINI MAANDAMANO YA NCHI NZIMA YA WOTE TUNAOUNGA MKONO MADAI YAO - YES I HAVE SAID IT.

      DONT BE A WEAPON TO INFLICT PAIN IN OTHER PEOPLE HEARTS

    12. #69
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,194
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2433
      Likes Given
      2226

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Mkirua
      Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi au kuanza kutoa majibu ya anachotakiwa kukijibu yeye mahakamani .......ana akili timamu na atajibu hivyo ila ninachojiuliza na nimeuliza wenzangu humu bila kupata majibu ni kwamba.....je alipopata court order aliitekeleza?? Mtasema hakuwa ameitisha mgomo yeye lakini wanachama wake (MAT- Chama kinachotambuliwa kisheria) walikuwa katika mgomo na amri ya mahakama ilimtaka awatangazie kuwa mgomo ni batili hadi mahakama itakapofanya uamuzi wa shauri lililopo mbele yake.....na je katika kutekeleza amri hiyo ..yeye binafsi alikwenda kazini??
      Kaka, ukitumia akili sana kwenye hili swala kichwa kitakuuma bure. JF siyo tena jamvi la kujadili kwa akili, ni kijiwe cha kupotezea muda tu. Usitegemee kuna mtu atayekupa jibu la maswali yako ya msingi na yenye tija...
      Mkirua likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    13. #70
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By masopakyindi
      Vijana Tanganyika si Lybia na mnajidanganya kufikiri hivyo.
      Kama wewe ni daktari nenda pale umma wa kariakoo na ujigambe- kama hujararuriwa kama mpira wa kona.

      kariakoo kuna watu waelewa sana pengine kukuzidi wewe na wanatambua matatizo ya madaktari kwa upana wake na wanawaunga mkono.....
      I'm Naturaly Evasive..

    14. #71
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By ZeMarcopolo
      Kaka, ukitumia akili sana kwenye hili swala kichwa kitakuuma bure. JF siyo tena jamvi la kujadili kwa akili, ni kijiwe cha kupotezea muda tu. Usitegemee kuna mtu atayekupa jibu la maswali yako ya msingi na yenye tija...

      Sana sana utaishia kutukanwa na kuambiwa umetumwa na Nape......Lol magreat thinkers wa upande mmoja hadi kichefuchefu.....unajiita GT wakati huwezi kujadili jambo objectively??
      ZeMarcopolo likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    15. #72
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,194
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2433
      Likes Given
      2226

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Mkirua

      Sana sana utaishia kutukanwa na kuambiwa umetumwa na Nape......Lol magreat thinkers wa upande mmoja hadi kichefuchefu.....unajiita GT wakati huwezi kujadili jambo objectively??
      JF ya great thinkërs iliisha rasmi mwezi June mwaka 2010.
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #73
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 524
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By Mkirua
      Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi au kuanza kutoa majibu ya anachotakiwa kukijibu yeye mahakamani .......ana akili timamu na atajibu hivyo ila ninachojiuliza na nimeuliza wenzangu humu bila kupata majibu ni kwamba.....je alipopata court order aliitekeleza?? Mtasema hakuwa ameitisha mgomo yeye lakini wanachama wake (MAT- Chama kinachotambuliwa kisheria) walikuwa katika mgomo na amri ya mahakama ilimtaka awatangazie kuwa mgomo ni batili hadi mahakama itakapofanya uamuzi wa shauri lililopo mbele yake.....na je katika kutekeleza amri hiyo ..yeye binafsi alikwenda kazini??

      Majibu ya maswali unayouliza serikali inayo na uzuri Namala is verysmart guy so he will beat them up. Yaani hata sheria hawazijui au? Hivi hajaitisha mgomo na hana taarifa yeyote inayomweleza kuwa kuna wanachama wake walioko kwenye mgomo, atakurupukaje kuanza kusema mgomo batili, je akitoa taarifa hiyo na kumbe waliogoma ni kina Dr. Lucy Nkya (ambaye si mwanachama wa MAT atasemaje, si atakuwa kama Aminiel anayewaambia watu kuwa hamna mgomo wakati ukweli mgomo upo!

      je mnafikiri madaktari wote ni wanachama wa MAT, je akisema mgomo umesitishwa kumbe wote wanaoripitiwa kufana kazi ndio wanachama wa MAT si inabidi awaambie wanachama kwa nini amewadhalilisha? Na kumbuka hawezi kutoa maamuzi bila kuitisha mkutano wa dharura je amefanya hivyo? mbona nyie ni mambumbumbu kiasi hicho.?

      Ninachojua mahakama imemshitaki yeye kama yeye na si MAT (upumbavu mwingine), je hamna viongozi wengine wa MAT? kwa nini yeye tu?

      BTW: I hope weye si mba--tia!

    17. #74
      Dabudee's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 129
      Rep Power : 377
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Ndugu zangu wanawahishwa India sina tabu na hili tatizo

    18. #75
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1353
      Likes Given
      5709

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Good move kwa serikali ili next time amri ya mahakama isipuuzwe
      wakuziba likes this.

    19. #76
      Gwallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 667
      Rep Power : 569
      Likes Received
      82
      Likes Given
      88

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By siemens c25
      Serikali imtoe sadaka huyo Dr aende jela ili wengine waogope wasirudie tena.
      Huo ndio mwisho wako wa kufikiri?????????

    20. #77
      kausha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 55
      Rep Power : 612
      Likes Received
      2
      Likes Given
      5

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By FJM
      Kinachoendelea sasa hivi ni kuuwa kabisa sekta ya afya.
      Sekta ya Afya haitakufa kwa Binadamu mwenye busara kidogo kama Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa kujitakia mwenyewe

    21. #78
      gnsulwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 93
      Rep Power : 373
      Likes Received
      3
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By sawabho
      Inakuwaje Mwenyekiti wa MAT kushtakiwa kwa kosa la Mwenyekiti wa Jumuiaya ya Maktari. Ina maana Polisi hawaoni kuwa anaweza kuwashinda na kama sheria ingekuwa inaruhusu angewadai fidia. Lakini sheria hairuhusu Mtuhumiwa kudai fidia ndio maana wamemfikisha mahakamani.
      Hivi wewe unajua sheria zaidi kuliko DPP na wengine? Ina maana serikali hawajaliona hilo?

    22. #79
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,802
      Rep Power : 777
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By gnsulwa
      Hivi wewe unajua sheria zaidi kuliko DPP na wengine? Ina maana serikali hawajaliona hilo?
      Jiulize wewe kwanza, ni mara ngapi imeshuhudiwa Serikali ikishindwa kesi na kuamriwa kulipa gharama.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    23. #80
      Pambe S's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 395
      Likes Received
      9
      Likes Given
      5

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Ndo maana hata nickname yako ni panadol. Mtuhumiwa namba 1 katika mauji ya watz ni Mr dhaifu.Migomo kila kukicha,huna habari hata walimu walishagoma na matokeo yake yasikilizie baada ya matokeo ya darasa la saba,f4 na form 6!
      Kwako ni sawa wagonjwa kukosa dawa,kulazwa zaidi ya 2 kwenye kitanda kimoja,vituo vya afya kukosa magari ya kubebea wagojwa, madaktari kukosa vitendea kazi, WASIRA kusinzia bungeni na kulipwa posho 200,000/= na daktari anayekesha akihudumia Watanzania kulipwa posho 10,000/=, Salma Kikwete kutumia mamilion ya fedha zetu kwa mambo yake,kutumia mabilion ya pesa za watz kwa safari zisizokuwa na tija, kusherehekea miaka 50 ya uhuru,kulipia simina za Ngurdoto na ufisadi wa kutisha kuendelea kuitafuna nchi, twiga na maliasili zingine kuibwa kupitia viwanja vya ndege na wazee wa intelijensia na usalama wa taifa wapo. Panadol tafakari ama tafuta mtandao wa magamba wenzio uchangie huko hapa si mahala pako.
      Bovidae likes this.

    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...