Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 176
    1. #1
      Electron's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 91
      Rep Power : 364
      Likes Received
      48
      Likes Given
      59

      Default Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Kiongozi wa madaktari nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.


      N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono na madaktari nchini.


      Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....




      Keep your friend close and your enemies closer. Don Coleorne

    2. Study Abroad

    3. #21
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,569
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      530
      Likes Given
      398

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Seems the Govt has run out of ideas. The only option left is rule of force. Hatari kweli kweli

    4. #22
      rwazi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd November 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 419
      Likes Received
      36
      Likes Given
      9

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Chama cha Kigaidi chenye selikali inayo uwa watu na kuwatesa. Hivi Mwalimu,Kolimba,Kombe nawengine wengi waliuwawa na nani?

    5. #23
      jouneGwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Location : Studio
      Posts : 2,340
      Rep Power : 968
      Likes Received
      1311
      Likes Given
      1755

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Kuna mdau hapa jamvini aliwahi kusema hii nchi bado sana, hata ulaya na maifa mengine ya maana kwenye karne ya 18 hayakufanya mambo katika namna tunayofanya leo!
      Tuna taasisi dhaifu sana bado, achilia mbali serikali....!
      Ndahani likes this.

    6. #24
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,739
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      962

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Nafikiri ni vizur watu wa Tz kuelewa nchi yenu inaongozwa kwa Rules of Law. Kwa misingi hiyyo kila muhimili unajitegemea katika kuendesha nchi. yaani Mahakama, Serikali na Bunge. Na vyote haviwezi kungiliana katika maamuzi.

      Fuateni sharia mlizojitungia wenyewe katika Katiba yenu
      MIRIJA IKATWE likes this.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    7. #25
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Kwa nini yeye hawakumpeleka Mabwepande?

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Ngandema Bwila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 577
      Likes Received
      115
      Likes Given
      2

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By kaole
      Madaktari wote waliokwenye mgomo na kuacha ndugu zetu wakifa hovyo nawaona kama mazuzu tu
      Nawao wanakuona wewe ZUZU na Moja Africa Nzima kwa sababu hujui wanadai nini! Darasa la saba bungeni (Maji Marefu, Jah People) analipwa milioni kumi ,daktari laki tisa.

    10. #27
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,707
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default

      Quote By Ngandema Bwila
      Nawao wanakuona wewe ZUZU na Moja Africa Nzima kwa sababu hujui wanadai nini! Darasa la saba bungeni (Maji Marefu, Jah People) analipwa milioni kumi ,daktari laki tisa.
      Sasa ndio kitaeleweka kile kinachowasukuma kuwagomea waTanzania licha ya kuwasomesha.
      Kama mliajiriwa kwa ajili ya kipato karibuni mitaani kuna pesa hata zaidi ya milioni kumi kwa mwezi.
      Katika sakata hili tunasubiri tu kuokota vidole maana hamjui kuwa upande wa pili ndio umeshika mpini.

    11. #28
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By FJM
      Kinachoendelea sasa hivi ni kuuwa kabisa sekta ya afya.
      Wanaoiua nina shaka na elimu na uwezo wao. wanafikiria kutumia maguvu tu!
      FJM likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    12. #29
      panadol's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 352
      Rep Power : 0
      Likes Received
      42
      Likes Given
      0

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Sawa kabisa nimefurahi kusikia hivyo na bado tunaiomba serikali iwachukulie atua madaktari wote waliogoma na kusababisha vifo vya watanzania wenzetu,ujue unaweza unga mkono mgomo wa madaktari na kuufurahia kiushabiki kwa sababu kifo kutokana na mgomo huu hakijamkuta ndugu yako wa karibu au huna huruma na binadamu wenzako lakini kama yangekukuta nafikiri katika hali ya kawaida ungeungana na watanzania wengi kupinga mgomo wa madaktari na yeyote atakayejifanya anahamasisha watu kuandamana kuipinga serikali atua inazochukua dhidi ya madaktari waliovunja sheria huyo atakuwa ni mwendawazimu na hafahi kuitwa binadamu ni mnyama kwa nini asihamasishe maandamano kipindi kile cha mgomo kuwashinikiza madaktari warejee kazini ili kuokoa maisha ya watanzania waliokuwa wanaumwa! Jamani migomo yote hapa nchini ni ya kisiasa inachochewa na inafadhiliwa na chadema ili kuifanya serikali ya CCM ionekane haiwajali wananchi wake lengo kuidhoofisha CCM kisiasa na kuijenga Chadema ili wananchi wawaone chadema ndiyo wanafaa kushika dola,Ewe mtanzania makini na mzalendo popote ulipo chukua hatua ya makusudi kuelimisha jamii iliyokuzunguka kuikataa chadema kwa namna yoyote ile ili kulinda Amani,Umoja na mshikamano wa watanzania !
      Maundumula likes this.

    13. #30
      siemens c25's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 106
      Rep Power : 405
      Likes Received
      10
      Likes Given
      1

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Serikali imtoe sadaka huyo Dr aende jela ili wengine waogope wasirudie tena.

    14. #31
      OPTIMUS TZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 390
      Rep Power : 446
      Likes Received
      60
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Electron
      Kiongozi wa madaktari
      nchini Dr. Namala Mkopi (daktari bingwa wa watoto),amefikishwa katika
      mahakama ya Kisutu asubuhi hii kujibu shutuma za uchochezi na kupuuza
      amri ya mahakama ya kusitisha mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.


      N.B. Mgomo huo haukunzishwa na MAT, ulianzishwa na inayoitwa Jumuiya ya
      Madaktari chini ya kamati inayoongozwa na Dr. Ulimboka, na kuungwa mkono
      na madaktari nchini.


      Tusubiri kuona hili saga litakavyoendelea....




      Keep your friend close and your enemies closer. Don
      Coleorne
      He is very luck kumis mabwepande meeting ,another nyakusa on the firering line let see what they will treat this one,by the way MAT waliitisha mgomo lini?

    15. #32
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,246
      Rep Power : 1356
      Likes Received
      941
      Likes Given
      182

      Default

      Quote By panadol
      Sawa kabisa nimefurahi kusikia hivyo na bado tunaiomba serikali iwachukulie atua madaktari wote waliogoma na kusababisha vifo vya watanzania wenzetu,ujue unaweza unga mkono mgomo wa madaktari na kuufurahia kiushabiki kwa sababu kifo kutokana na mgomo huu hakijamkuta ndugu yako wa karibu au huna huruma na binadamu wenzako lakini kama yangekukuta nafikiri katika hali ya kawaida ungeungana na watanzania wengi kupinga mgomo wa madaktari na yeyote atakayejifanya anahamasisha watu kuandamana kuipinga serikali atua inazochukua dhidi ya madaktari waliovunja sheria huyo atakuwa ni mwendawazimu na hafahi kuitwa binadamu ni mnyama kwa nini asihamasishe maandamano kipindi kile cha mgomo kuwashinikiza madaktari warejee kazini ili kuokoa maisha ya watanzania waliokuwa wanaumwa! Jamani migomo yote hapa nchini ni ya kisiasa inachochewa na inafadhiliwa na chadema ili kuifanya serikali ya CCM ionekane haiwajali wananchi wake lengo kuidhoofisha CCM kisiasa na kuijenga Chadema ili wananchi wawaone chadema ndiyo wanafaa kushika dola,Ewe mtanzania makini na mzalendo popote ulipo chukua hatua ya makusudi kuelimisha jamii iliyokuzunguka kuikataa chadema kwa namna yoyote ile ili kulinda Amani,Umoja na mshikamano wa watanzania !
      lusinde brain@work

    16. #33
      1800's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,641
      Rep Power : 887
      Likes Received
      409
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By kaole
      Madaktari wote waliokwenye mgomo na kuacha ndugu zetu wakifa hovyo nawaona kama mazuzu tu
      Zuzu ni wewe unaeshindwa kuelewa madai ya msingi ya madaktari juu uboreshwaji wa sekta ya afya!ni nchi gani duniani ambayo hakuna hata hospitali yake moja ya rufaa yenye ct scan,au madr wasipogoma ndio wagonjwa wataacha kulala chini?au hospital ndio zitakua na madawa ya kutosha na kina mama wajawazito wataambiwa wasiende hospital na vifaa vya kujifungulia?

    17. #34
      Ngandema Bwila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 577
      Likes Received
      115
      Likes Given
      2

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By masopakyindi
      Sasa ndio kitaeleweka kile kinachowasukuma kuwagomea waTanzania licha ya kuwasomesha.
      Kama mliajiriwa kwa ajili ya kipato karibuni mitaani kuna pesa hata zaidi ya milioni kumi kwa mwezi.
      Katika sakata hili tunasubiri tu kuokota vidole maana hamjui kuwa upande wa pili ndio umeshika mpini.
      Hata Gaddaffi alishika mpini kwa muda flani! Unajua yeye yuko wapi na familia yake je? Fikiria zaidi ya kesho, siyo ukishiba leo ndo umeukata!!!

    18. #35
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,597
      Rep Power : 1123
      Likes Received
      1378
      Likes Given
      1527

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Umetokea kwenye vilabu vya gongo nini?
      anaitwa kaole.... that says a lot

    19. #36
      panadol's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 352
      Rep Power : 0
      Likes Received
      42
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ngandema Bwila
      Nawao wanakuona wewe ZUZU na Moja Africa Nzima kwa sababu hujui wanadai nini! Darasa la saba bungeni (Maji Marefu, Jah People) analipwa milioni kumi ,daktari laki tisa.
      Wewe Ndiyo zuzu,jamani ubunge ata wewe unaweza kugombea na kupewa mshahara mzuri kwa hiyo ata madaktari wanaweza kuacha taaluma yao na kwenda kugombea ubunge na kupewa mshahara mzuri,ukiona udaktari haufahi unaweza acha na kwenda kwenye ubunge!

    20. #37
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By panadol
      Wewe Ndiyo zuzu,jamani ubunge ata wewe unaweza kugombea na kupewa mshahara mzuri kwa hiyo ata madaktari wanaweza kuacha taaluma yao na kwenda kugombea ubunge na kupewa mshahara mzuri,ukiona udaktari haufahi unaweza acha na kwenda kwenye ubunge!
      Mlevi mwingine kawasili toka kwa Nape anaganga hela ya chupa za gongo jioni

    21. #38
      +255's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,079
      Rep Power : 588
      Likes Received
      205
      Likes Given
      0

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Bado yule jamaa aliyepo ICU...

    22. #39
      MDAU JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 322
      Rep Power : 479
      Likes Received
      40
      Likes Given
      25

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By kaole
      Madaktari wote waliokwenye mgomo na kuacha ndugu zetu wakifa hovyo nawaona kama mazuzu tu
      Ni mtu wa sirkali ya msitu wa MABWEPANDE huyu bila shaka!
      LAA ILAHA ILLALLAH MUHAMMADUR RASULULLAH

    23. #40
      zindouna's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 54
      Rep Power : 403
      Likes Received
      11
      Likes Given
      77

      Default re: Dr. Namala Mkopi (kiongozi wa MAT) afikishwa mahakama ya Kisutu

      Quote By REMSA
      JF si mahali pa watu wa aina yako,wasiojua nini kinaongelewa na kujibu tofauti na hoja iliyopo mezani
      katafute mitandao ya watu wanaoweka akili zao likizo kama wewe.
      kuhusu Dr.Mkopi don't worry Mungu siku zote anasimama upande wa haki" ni suala la muda tu.
      Hapa JF Kila mtu ana uhuru wa kuchangia mawazo yake kulingana na mtazamo wake. Na sio lazima kila mchango utakaotolewe ukufurahishe. I think he is right!!

    24. Miaka 50
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...