Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 53
    1. #1
      security guard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 117
      Rep Power : 284
      Likes Received
      27
      Likes Given
      4

      Default Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Mengi yamesemwa kuhusu Chadema chama ambacho kilionekana kuwa kingeleta upinzani wa kweli kwenye ulingo wa siasa.
      Lakini baada ya mambo kadhaa ya yaliofanywa na Chadema ambayo yamedhihirisha dhamira yao ya kutaka kutaka kuongoza nchi kwa kutumia mbinu chafu.

      Nyingi zimeshajulikana nisingependa sana kuzirudia maana zinajulikana haswa lile la kushawishi madaktari wagome hata kwa kutumia madaktari wasioajiliwa na wanachama wao wakashawishi mgomo…..

      Na sababu kuu ya mgomo kwa nini wabunge wanapokea pesa nyingi kulko wao(Ikumbukwe katika wabunge hao kuna wengine wa Chadema ambao nao wanapokea pesa na kila kitu cha bunge na hawasemi kama pesa hizi nyingi)

      Sasa basi kumekuwa na mtindo wa wana Chadema kupita mitaani na kutaka kununua mashina ya CUF ambayo kwa sasa yanaonekana hayana uhai..wana Chadema hao ambao wanapita usiku na wote kama kawaida yao wa Kaskazini yaani ukikutana nao utasikia INji hii (badala ya nchi hii).

      Nilibahatika nao kukutana nao Yombo Kiembe samaki wakitaka kununua shina kwa laki moja na kushawishi wanachama wa CUF wajiunge,kwa hili hawakufanikiwa ila huu mchezo mchafu hautowasaidia…CUF nayo inabidi kutambua kuwa wilaya ya temeke watauzwa kwa shs 100,000/- tu.

      Hii mbinu ni moja ya mapungufu ambayo yataimaliza Chadema kabla ya 2015 kwani wameshindwa kuzungumza sera zao na sasa wanatumia pesa ambazo hazijulikani zimetoka wapi……..
      Last edited by security guard; 10th July 2012 at 05:23.


    2. #2
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,602
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      316
      Likes Given
      921

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Hii single yako ni dhaifu,haiuziki labda kwa mataahira wa hapo Lumumba.
      Jasusi, BAK, MBUTAIYO and 1 others like this.

    3. #3
      muchetz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Posts : 237
      Rep Power : 496
      Likes Received
      62
      Likes Given
      1257

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      How much are you guys really paid? Im begining to be tempted.!!!!!

    4. #4
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Umetengeneza Insha ndefu kwa kuungaunga vibwagizo vya propaganda vilivyotumiwa zamani na wenzako magamba lakini umesahau kutuwekea reference ulikocopy hii literature yako
      Jasusi, genekai, Lynix and 1 others like this.

    5. #5
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,699
      Rep Power : 2911
      Likes Received
      3892
      Likes Given
      12472

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Kajipange upya ndugu yangu. Naona wewe umeshaiweka Chadema kwenye past tense. I have news for you.
      Chadema is the future.
      BAK and Kaitampunu like this.


    6. #6
      Kijana leo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 514
      Rep Power : 465
      Likes Received
      72
      Likes Given
      35

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      kina wa2 wengine wamekuja kuharibu cku za watu humu. Hivi siku hizi mwanachama au matawi yananunuliwa kwa lipi hasa? Watu wanaona na wanajua nini cha kufanya na hakuna hoja nyingine zaidi ya ukabila wa chama? Kuwa creative tafuta nyingne basi.

    7. #7
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,531
      Rep Power : 37790
      Likes Received
      4980
      Likes Given
      2347

      Default

      siasa haina principle kama za hiyo kazi yetu. Kama huielewi lazima utaropoka kama security guard

    8. #8
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,173
      Rep Power : 8415
      Likes Received
      903
      Likes Given
      740

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      security guard wewe yani ulivyojua kuandika umekuja kufanyia humu mazoezi mkuu?Pole sana

    9. #9
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,473
      Rep Power : 2490
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      security guard Alokutuma na kukudanganya wanatumia mbinu chafu na hawajakomaa basi subiri majibu yake 2015, au mr. Dhaifu akisalenda before hapo!

    10. #10
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,473
      Rep Power : 2490
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By Precise pangolin View Post
      Umetengeneza Insha ndefu kwa kuungaunga vibwagizo vya propaganda vilivyotumiwa zamani na wenzako magamba lakini umesahau kutuwekea reference ulikocopy hii literature yako
      Hope aliiandaa na kupitishwa na nape!

    11. #11
      Sema Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 310
      Rep Power : 427
      Likes Received
      21
      Likes Given
      20

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Join Date : 27th September 2011

      Posts : 16

      Rep Power : 344

      Likes Received 1

      Likes Given 0


      Ni muda mrefu yupo humu javini but ndio uwezo wake umeishia hapo
      BJEVI and rwamashugi like this.

    12. #12
      Bubona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Posts : 296
      Rep Power : 453
      Likes Received
      54
      Likes Given
      11

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Umaskini wa akili ni mbaya sana!
      Yaani umetumia muda mwingi ukiandaa propaganda ambayo mwisho wa siku ni wewe na wenzako wenye akili kama wewe ndio mnaoweza kuona mashiko katika hoja hiyo! Poleni sana!

    13. #13
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,570
      Rep Power : 42529
      Likes Received
      5089
      Likes Given
      4370

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Inasikitisha sana kuona hadi leo watu mna propaganda za namna hii!?

      Pole sana,kwa mtindo huu mtaishia hivyo hivyo, zaidi ya hapo mtajifunza uchawi kama bado hamjafanya hivyo tayari.

      Endeleeni kuipamba CDM, najua TLP,CUF,UDP,SAU,NCCR haziwezi pigwa mawe! IF YOU CAN'T DEFEAT THEM JOIN THEM! angalia msijepata stroke zisizo na msingi kisa kuiwaza CDM

    14. #14
      IsayaMwita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2008
      Location : Tarime
      Posts : 1,049
      Rep Power : 875
      Likes Received
      82
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Sema Chilo View Post
      Join Date : 27th September 2011

      Posts : 16

      Rep Power : 344

      Likes Received 1

      Likes Given 0


      Ni muda mrefu yupo humu javini but ndio uwezo wake umeishia hapo
      Bado hajajua kudanganya kama zomba, maralia sugu, pia uwezo wake wa kujieleza(poor reasoning),

    15. #15
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,690
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      1159
      Likes Given
      1601

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Kwa uandishi huu bila shaka mtoa mada ana kadi ya thithiemu. Propaganda za gazeti la uhuru!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    16. #16
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 525
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Umepiga kichwa cha nyoka mwanawane!! CHADEMA IS NO MORE!!TUANDAE MAZISHI TU!

      Quote By security guard View Post
      Mengi yamesemwa kuhusu Chadema chama ambacho kilionekana kuwa kingeleta upinzani wa kweli kwenye ulingo wa siasa.
      Lakini baada ya mambo kadhaa ya yaliofanywa na Chadema ambayo yamedhihirisha dhamira yao ya kutaka kutaka kuongoza nchi kwa kutumia mbinu chafu.
      Nyingi zimeshajulikana nisingependa sana kuzirudia maana zinajulikana haswa lile la kushawishi madaktari wagome hata kwa kutumia madaktari wasioajiliwa na wanachama wao wakashawishi mgomo…..
      Na sababu kuu ya mgomo kwa nini wabunge wanapokea pesa nyingi kulko wao(Ikumbukwe katika wabunge hao kuna wengine wa Chadema ambao nao wanapokea pesa na kila kitu cha bunge na hawasemi kama pesa hizi nyingi)
      Sasa basi kumekuwa na mtindo wa wana Chadema kupita mitaani na kutaka kununua mashina ya CUF ambayo kwa sasa yanaonekana hayana uhai..wana Chadema hao ambao wanapita usiku na wote kama kawaida yao wa Kaskazini yaani ukikutana nao utasikia INji hii (badala ya nchi hii) .
      Nilibahatika nao kukutana nao Yombo Kiembe samaki wakitaka kununua shina kwa laki moja na kushawishi wanachama wa CUF wajiunge,kwa hili hawakufanikiwa ila huu mchezo mchafu hautowasaidia…CUF nayo inabidi kutambua kuwa wilaya ya temeke watauzwa kwa shs 100,000/- tu.
      Hii mbinu ni moja ya mapungufu ambayo yataimaliza Chadema kabla ya 2015 kwani wameshindwa kuzungumza sera zao na sasa wanatumia pesa ambazo hazijulikani zimetoka wapi……..

    17. #17
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,105
      Rep Power : 750
      Likes Received
      100
      Likes Given
      839

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      nipeni inji hii
      I HAVE SPOKEN

    18. #18
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      285
      Likes Given
      0

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Msimlaumu!! Hii ndiyo ajira yake ili walau watoto waende choo!!

    19. #19
      Jembe Ulaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2008
      Posts : 414
      Rep Power : 625
      Likes Received
      95
      Likes Given
      127

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Quote By Jasusi View Post
      Kajipange upya ndugu yangu. Naona wewe umeshaiweka Chadema kwenye past tense. I have news for you.
      Chadema is the future.
      Jasusi, CHADEMA is the future kama tu wakiweza kuja na mpango mkakati wa uhakika wa kuweza kulinda kura 2015. Kwasababu mwisho wa siku karata ya mwisho ya CCM ni kuchakachua na kulazimisha ushindi hata kama asilimia kubwa ya watu wataikataa.
      Jasusi and fredmlay like this.
      CHADEMA CHAWEMA CHAWEZA!

    20. #20
      Jembe Ulaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2008
      Posts : 414
      Rep Power : 625
      Likes Received
      95
      Likes Given
      127

      Default re: Kutokomaa kisiasa kutaiua CHADEMA

      Quote By security guard View Post
      Mengi yamesemwa kuhusu Chadema chama ambacho kilionekana kuwa kingeleta upinzani wa kweli kwenye ulingo wa siasa.
      Lakini baada ya mambo kadhaa ya yaliofanywa na Chadema ambayo yamedhihirisha dhamira yao ya kutaka kutaka kuongoza nchi kwa kutumia mbinu chafu.

      Nyingi zimeshajulikana nisingependa sana kuzirudia maana zinajulikana haswa lile la kushawishi madaktari wagome hata kwa kutumia madaktari wasioajiliwa na wanachama wao wakashawishi mgomo…..

      Na sababu kuu ya mgomo kwa nini wabunge wanapokea pesa nyingi kulko wao(Ikumbukwe katika wabunge hao kuna wengine wa Chadema ambao nao wanapokea pesa na kila kitu cha bunge na hawasemi kama pesa hizi nyingi)

      Sasa basi kumekuwa na mtindo wa wana Chadema kupita mitaani na kutaka kununua mashina ya CUF ambayo kwa sasa yanaonekana hayana uhai..wana Chadema hao ambao wanapita usiku na wote kama kawaida yao wa Kaskazini yaani ukikutana nao utasikia INji hii (badala ya nchi hii).

      Nilibahatika nao kukutana nao Yombo Kiembe samaki wakitaka kununua shina kwa laki moja na kushawishi wanachama wa CUF wajiunge,kwa hili hawakufanikiwa ila huu mchezo mchafu hautowasaidia…CUF nayo inabidi kutambua kuwa wilaya ya temeke watauzwa kwa shs 100,000/- tu.

      Hii mbinu ni moja ya mapungufu ambayo yataimaliza Chadema kabla ya 2015 kwani wameshindwa kuzungumza sera zao na sasa wanatumia pesa ambazo hazijulikani zimetoka wapi……..
      Ningekuwa daktari ningekupiga sindano ya sumu ufe maana unawadhalilisha madaktari na kuwafanya hawana akili yao wenyewe ya kufikiri. Watanzania siku hizi wanajua wanachokitaka. Hawahitaji mtu wa kuwasemea kinachowasumbua rohoni. Wanachotaka ni watu wakuendeleza kupiga kelele kili kinachowagusa hadharani na bungeni na ndio maana CHADEMA inapendwa.

      Achana na propaganda zilizopitwa na wakati, pesa ya CHADEMA inafahamika inatoka wapi. Ni michango ya wapenzi na ruzuku inayotoka Serikalini. Tofauti yake na CCM ni kwamba pesa ya CHADEMA haichakachuliwi ndio maana inaweza kufanya mengi. Wake up and smell the coffee.
      CHADEMA CHAWEMA CHAWEZA!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...