Kumbe na mke wa Lowassa ni mbunge siku hizi? Nisaidieni jamani. Maana naambiwa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama ipo kazini huku 'mbunge' asiye wa viti maalumu wala kuchaguliwa Regina Lowassa na mumewe wakichukua nafasi ya mbele. Jamani nchi yetu! God forbid if anybody with common sense comes to power, chances are many will end up in Lupango. Au siyo?
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
Kaka nashangaa kuona bi mkubwa Regina amekaa mbele badala ya wajumbe wa kweli. Hata kama mumewe kamlipia au kajilipia mwenyewe, hakupaswa kuwa mbele badala ya wajumbe wenyewe. Beat Shellukindo uko wapi dadaangu? Kweli hii ni Tanzania ya ufisadi na uhovyo hovyo!
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
With this behaviour yet you wanna vote him to the presidency ? Crazy ****
Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
Mwenyekiti akifurahia jambo pamoja na wajumbe ambao hawapo pichani, kutoka kushoto ni Birigedia Jenerali Venance Mabeyo, Kaibu Balozi Dkt Justin Seruhere, Mhe. Edward Lowassa ( Mb) na Mama Regina Lowassa.
Kwanini Mama Lowassa anahudhuria hizo safari na mikutano? Yaani na yeye Pia analipwa kama
Mama Kikwete? Yaani Kweli wanajua kutafuna Pesa za Walala hoi lakini utasikia hakuna pesa za
kuwapa Madaktari kwasababu wao wote wanatibiwa Nje...
*** Mama Lowassa anachekelea hizo dollar zinazoingia mfukoni bila jasho
The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
Nadhani kuna tatizo. Tasfiri ya haraka haraka ni kwamba kamati ya Ulinzi na mambo ya nje iko Ubalozini hapo kwa shughuli za kibunge. Kwa maneno mengine wako bungeni (sio kwenye jengo ila kwenye kazi za bunge). Sasa turudi kwenye kanuni za bunge: Ni mtu gani anayeruhusiwa kushiriki shughuli za bunge? Ref issue ya mawaziri/naibu waziri waliopishwa kwa kazi za kiwaziri kabla ya kula kiapo cha ubunge.
Mama Lowassa alikula lini kiapo cha bunge? Ameshiri kikao cha kamati ya bunge kwa kanuni ipi?
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
By FJM
Nadhani kuna tatizo. Tasfiri ya haraka haraka ni kwamba kamati ya Ulinzi na mambo ya nje iko Ubalozini hapo kwa shughuli za kibunge. Kwa maneno mengine wako bungeni (sio kwenye jengo ila kwenye kazi za bunge). Sasa turudi kwenye kanuni za bunge: Ni mtu gani anayeruhusiwa kushiriki shughuli za bunge? Ref issue ya mawaziri/naibu waziri waliopishwa kwa kazi za kiwaziri kabla ya kula kiapo cha ubunge.
Mama Lowassa alikula lini kiapo cha bunge? Ameshiri kikao cha kamati ya bunge kwa kanuni ipi?
Ina maana Lowassa hajawahi kula kiapo cha bunge 2010?
The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.
...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY
The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
By nngu007
Nilifikiri wenzetu waliopata bahati ya kukaa huko majuu watakuwa wamejifunza mengi hasa mambo ya mezani. Ukingalia hiyo picha kuna glass ina juice (sawa) lakini pia wameweka box la juice hapo hapo! Ni sawa na kuweza chakula mezani kikiwa kwenye sufuria? Ever heard of a juice jag wandugu?
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
By FJM
Nilifikiri wenzetu waliopata bahati ya kukaa huko majuu watakuwa wamejifunza mengi hasa mambo ya mezani. Ukingalia hiyo picha kuna glass ina juice (sawa) lakini pia wameweka box la juice hapo hapo! Ni sawa na kuweza chakula mezani kikiwa kwenye sufuria? Ever heard of a juice jag wandugu?
" Nadhani hiki kinamtosha Mzee" ndivyo anavyoelekea kusema Mama Regina Lowassa, wakati akimsevia Mhe. Mwenyekiti mahanjumati yaliyoandaliwa na Ubalozi kwa heshima ya wanakamati na wajumbe wanaohudhuria mikutano katika Umoja wa Mataifa. Maandazi yalikuwapo na kachumbari ilikuwapo.
SIJUI JUICE JAG ni nini nimeona nikuwekee Chakula walichoandaliwa huko
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
By nngu007
Ana kikuku au ni style ya kiatu? Halafu hayuko comfortable manake kachagua kuvaa kinguo kifupi inabidi abane mapaja mwanzo mwisho asije akapa expose golini na mwenyewe yuko hapo hapo.
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
mnachangia uzi kuhusu ziara ya kamati na lengo lake au mnachangia kwa sababu yupo huyo mama regina?? huyo si mke halali haruhusiwi kwenda nae pande za huko?? nifahamisheni tafadhali angalieni pasiwe na dalili za wivu kutoka katika mioyo yenu please.
Re: Kamati ya Bunge ilipotembelea balozi zetu Amerika
By UKI
mnachangia uzi kuhusu ziara ya kamati na lengo lake au mnachangia kwa sababu yupo huyo mama regina?? huyo si mke halali haruhusiwi kwenda nae pande za huko?? nifahamisheni tafadhali angalieni pasiwe na dalili za wivu kutoka katika mioyo yenu please.
Kweli, Angalia kamati yote haikubeba Wake au Waume zao ni Lowassa tu ndie aliyebeba Mke na anamparade kwenye
Kila Mikutano ili apate hiyo PER DM. Kama ni Usawa wote wangeleta Waume na Wake zao iwe kama Work Vacation
Ndio Mtindo wa CCM; ULE wakati ndio huu; sio top CREAM OF CCM ndio wanaofaidika tu na huo ULAJI kwanini
Tumuonee Wivu huyo Mama? Wangekuwa na Akili wasingepeleka kamati nzima; Wangebaki kuangalia pesa za
Kuwasaidia Madaktari lakini la Hawana Muda huo...
"Politicians are like diapers. They both need changing regularly and for the same reason"
Follow Us Here