Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

    Report Post
    Page 1 of 15 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 284
    1. #1
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,329
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4999
      Likes Given
      5767

      Default VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Wakuu,

      Baada ya kusikia maneno toka kwa wadau mbalimbali, toka magazeti mbalimbali na vyombo vingine vya habari juu ya NINI kilimsibu na NANI anahusika; tumeona ni vema kuwashirikisha video hii ili mweze kusikia toka kinywani mwake mwenyewe.

      Nikiweka maneno mengi nakuwa nachakachua, ni vema kukupeni alichokiongea kwa kinywa chake.



      NB: Video hii ruksa kutumiwa na vyombo vingine vya habari kuwahabarisha wengine wasio na access na JamiiForums
      Mkandara, Lyimo, Ogah and 93 others like this.
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    2. Miaka 50

    3. #2
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 899
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Kwangu imekataa kufunguka....nifanyaje ili ifunguke?
      Father of All likes this.
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    4. #3
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Namna hii hatuna serikali bali genge la wauaji na wahuni kama kweli kuna mkono wa serikali. Kwanini serikali hata hivyo inakana kwa utetezi mwepesi? Huu ni uhuni piga ua na wahusika watakuja kulipa siku moja watake wasitake.

      Kama watanzania wangekuwa watu makini, hili lilitosha kufyatua tufe la hasira zao na kufanya kweli. Ukitaka kujua mtu anajisikiaje anaposoma au kusikia vitu kama hivi, jaribu kupiga picha ingekuwa ni wewe.

    5. #4
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Thanks invisible. Ni kama mvua za rasha rasha vile maana imekuwa too short. Namuombe apate afya njema Dkt Ulimboka na wagonjwa wengine wengi wanaokosa huduma za afya sababu ya mgogoro huu unaoendelea. I hope we will come our senses and rescue the situation. The earlier the better
      Invisible, Halisi, Chauro and 1 others like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #5
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,329
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4999
      Likes Given
      5767

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By mshikachuma
      Kwangu imekataa kufunguka....nifanyaje ili ifunguke?
      Tumeweka access kwa devices zote, na tumeruhusu watu kuweza ku-embed kwenye tovuti zao ili kusambaza ujumbe. Hakuna watermark!

      Unatumia PC?
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]



    7. #6
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 899
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Invisible, hata hivyo wakina Zomba,Chama,Kimbunga,Ritz na Rejeo watakuja hapa na watabisha
      au watasema hayo maneno amefundishwa na Chadema aseme hivyo.
      Halisi, Sungurampole, Uswe and 2 others like this.
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    8. #7
      Neiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Location : My Profile
      Posts : 607
      Rep Power : 6931
      Likes Received
      456
      Likes Given
      545

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Tunashukuru kwa hii clip Invisible, ndio nimemuona kwa mara ya kwanza live toka tukio. Hii inasikitisha kwa kweli... In some way hata Ulimboka alikuwa na makosa. Kuonana na mtu ambae hamfahamu vizuri usiku ni hatari saana ukizingatia nafasi, hali, demand na circumstances zake. Maybe ali undermine umuhimu wake, else naamini kabisa alitegeka kirahisi mno.

      Pole zake kwa kweli... nasikitika tu kuwa hatuna guts za kufanya lolote, ingekuwa nchi za wenzetu pangekuwa padogo kwa Serkali.
      Ogah, jmushi1, Ndahani and 2 others like this.
      "The past and the future are Irrelevant... When the moment is everything"

    9. #8
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 899
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Invisible
      Tumeweka access kwa devices zote, na tumeruhusu watu kuweza ku-embed kwenye tovuti zao ili kusambaza ujumbe. Hakuna watermark!

      Unatumia PC?
      Yaah, imeshakubali
      Father of All likes this.
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    10. #9
      kisururu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 471
      Likes Received
      61
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Father of All
      Namna hii hatuna serikali bali genge la wauaji na wahuni kama kweli kuna mkono wa serikali. Kwanini serikali hata hivyo inakana kwa utetezi mwepesi? Huu ni uhuni piga ua na wahusika watakuja kulipa siku moja watake wasitake.

      Kama watanzania wangekuwa watu makini, hili lilitosha kufyatua tufe la hasira zao na kufanya kweli. Ukitaka kujua mtu anajisikiaje anaposoma au kusikia vitu kama hivi, jaribu kupiga picha ingekuwa ni wewe.
      JK atakufa vibaya kama ni yeye kawatuma kumfanyia Uli hivi,mungu aliye hai atamuadhibu tu

    11. BAK
      #10
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,665
      Rep Power : 44978
      Likes Received
      8395
      Likes Given
      8374

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Inasikitisha sana kusema kweli....halafu hii Serikali ya wauaji inajifanya haihusiki katika dhamira ya kutaka kumuua Ulimboka.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    12. #11
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Neiwa
      Hii inasikitisha kwa kweli... In some way hata Ulimboka alikuwa na makosa. Kuonana na mtu ambae hamfahamu vizuri usiku ni hatari saana ukizingatia nafasi, hali, demand na circumstances zake. Maybe ali undermine umuhimu wake, else naamini kabisa alitegeka kirahisi mno.

      Pole zake kwa kweli... nasikitika tu kuwa hatuna guts za kufanya lolote, ingekuwa nchi za wenzetu pangekuwa padogo kwa Serkali.
      Ndio hivyo tena majuto mjukuu. But he didnt deserve that kind of treatment kwenye nchi yenye sheria na taratibu.
      Tumaini Makene and Neiwa like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    13. #12
      Msafiri Kasian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,119
      Rep Power : 613
      Likes Received
      113
      Likes Given
      72

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Natumia simu na nimeshindwa kuifungua!

    14. #13
      RedDevil's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2009
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 1,456
      Rep Power : 804
      Likes Received
      271
      Likes Given
      513

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Ni hatari sana kwa serikali kutumia njia za namna hii kumaliza matatizo ya wananchi!!
      "Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain

    15. #14
      Neiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Location : My Profile
      Posts : 607
      Rep Power : 6931
      Likes Received
      456
      Likes Given
      545

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Ndahani
      Ndio hivyo tena majuto mjukuu. But he didnt deserve that kind of treatment kwenye nchi yenye sheria na taratibu.
      Ndahani sema wabongo tumezoea shortcuts na kuchukulia uwepesi wa mambo. Zamani ilikuwa haina shida kukutana na mtu humjui... sasa hivi hali imebadilika sana, na hasa kama wajihusisha/unahusika na mambo amboyo yapo tangled na politics. He surely did not deserve, nobody deserves that, ila tu amini nakuambia he did undermine his position... na ashukuru Mungu yupo hai, ni kumuombea tu kuwa wakute hakuna tatizo lolote kiafya hasa kwenye ubongo.
      Mikael P Aweda likes this.
      "The past and the future are Irrelevant... When the moment is everything"

    16. BAK
      #15
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,665
      Rep Power : 44978
      Likes Received
      8395
      Likes Given
      8374

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Ndahani
      Ndio hivyo tena majuto mjukuu. But he didnt deserve that kind of treatment kwenye nchi yenye sheria na taratibu.

      Mkuu Ndahani...hakuna sheria na taratibu katika nchi yetu vinginevyo tusingefika hapa tulipo ambapo mambo yanafanyika kienyejienyeji tu watu kulambishwa/kupakaliwa sumu watu kukwapua mali za Watanzania bila woga wala kificho na huku Serikali ikiogopa kuwatia hatiani.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    17. #16
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 553
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      na mbado ngoja apone

    18. #17
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      safi sana invisible big up sana..japo uwa sometimes nakuchukia kwa BAN ila kiukweli mambo yako murua sana

    19. #18
      Chamoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 1,381
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      480
      Likes Given
      355

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Asante sana Invisible kwa kutushirikisha video hii...
      If numbers are not beautiful, I don't know what is. - Paul Erdős

    20. #19
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 899
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Msafiri Kasian
      Natumia simu na nimeshindwa kuifungua!
      Yaani hata bora usiifungue! inasikitisha na kuuzunisha sana. Hata hivyo anaongea akiwa na
      hisia kali sana zenye kuambatana na maumivu makali. Eeee Mungu mjaalie Dk Ulimboka apone.
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    21. #20
      IWILL's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2011
      Posts : 179
      Rep Power : 439
      Likes Received
      34
      Likes Given
      51

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      There is light at the end of tunnel...always the fears of coward is to murder! this infedel failed to murder you. poor choice of ideas they choose to throw stones while they living in glass house.

    Page 1 of 15 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...