Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

    Report Post
    Page 5 of 15 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 284
    1. #1
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,327
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4896
      Likes Given
      5723

      Default VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Wakuu,

      Baada ya kusikia maneno toka kwa wadau mbalimbali, toka magazeti mbalimbali na vyombo vingine vya habari juu ya NINI kilimsibu na NANI anahusika; tumeona ni vema kuwashirikisha video hii ili mweze kusikia toka kinywani mwake mwenyewe.

      Nikiweka maneno mengi nakuwa nachakachua, ni vema kukupeni alichokiongea kwa kinywa chake.



      NB: Video hii ruksa kutumiwa na vyombo vingine vya habari kuwahabarisha wengine wasio na access na JamiiForums
      Mkandara, Lyimo, Ogah and 93 others like this.
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    2. Miaka 50

    3. #81
      Nyamizi's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 19th February 2009
      Posts : 351
      Rep Power : 593
      Likes Received
      115
      Likes Given
      646

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Original
      Huyu bwana akipona kabisa na akarudia uzima kama aliokuwa nao mwanzoni basi kingwendu atakuwa next president. Wapigaji walikuwa wanajua vizuri wapi pa kupiga kwa lengo la kuua ama kumpa kilema cha maisha.
      Mwacheni Mungu aitwe Mungu,kama alimpigania mikononi mwa mashetani watano,iweje ashindwe kumpigania sasa akiwa anapatiwa matibabu?

    4. #82
      Dijovisonjn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 409
      Likes Received
      19
      Likes Given
      4

      Default

      Mbona Video inaelezea 1/4 tu ya mkasa mzma? Nadhan kama ingekuwa kamili ingejibu maswali yetu ila kwa sasa bado kuna kitendawili!

      Moja ya swali ni kwamba wakati anatekwa huyo jamaa wa ikulu alikuwa wapi?n.k

    5. #83
      Fekifeki's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 549
      Rep Power : 488
      Likes Received
      82
      Likes Given
      366

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      mkuu invisible, natumia samsung gt-7722i ila sijaambulia hiyo video, je, simu yangu haina uwezo au! vile vile natumia uc browser 8.3 ku download,

    6. #84
      MtotoWaMandela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 368
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Pole sana sana dr.mungu aliye juu ya mamlaka zote ulimwenguni na mbinguni atakulipia.

    7. #85
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,076
      Rep Power : 2042
      Likes Received
      938
      Likes Given
      3844

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Dijovisonjn
      Mbona Video inaelezea 1/4 tu ya mkasa mzma? Nadhan kama ingekuwa kamili ingejibu maswali yetu ila kwa sasa bado kuna kitendawili!
      Moja ya swali ni kwamba wakati anatekwa huyo jamaa wa ikulu alikuwa wapi?n.k
      invisible ataweka video nzima (21 minutes) hapa muda si mrefu nadhani nitajibu swali lako

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      Mtoto Wa Mbale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2011
      Posts : 420
      Rep Power : 494
      Likes Received
      143
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Invisible
      Tumeweka access kwa devices zote, na tumeruhusu watu kuweza ku-embed kwenye tovuti zao ili kusambaza ujumbe. Hakuna watermark!

      Unatumia PC?
      Nimesikiliza vyema, hata hivyo naona kama bado inaendelea. Tafadhali tuwekeeni kipande kinachofuata, kama itakuwa vyema kwa sasa.

      Nilichogundua ni kweli kwamba serikali na vyombo vyake wanahusika. Hadi sasa hakuna mshukiwa aliyekamatwa juu ya jambo hili. Kwa nini polisi, hasa Kova anayependa kuonekana 'mchapa kazi' hajatangaza kukamatwa kwa mshukiwa yeyote? Ina maana hawakufuatilia mtandao wa simu kujua 'nani' aliwasiliana na Dr. Ulimboka kabla hajatekwa? Kwa layman kama mimi huu ni ushahidi tosha wa kimazingira kuwa Polisi na serikali wana jambo wanaloficha.

    10. #87
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      mkuu mi nadownload hapa ina 11.377mb...ndio hii ya 21min?
      I'm Naturaly Evasive..

    11. #88
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 714
      Rep Power : 526
      Likes Received
      76
      Likes Given
      31

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      pamoja na kupigwa kwake je? bado anahimiza mgomo? au damu yake ndo inathamani sana kuliko ya watanzania wengine? mm naona adui mkubwa wa dr. ulimboka ni ndg na jamaa waliopoteza maisha kutokana na mgomo huu wa madaktari

    12. #89
      Dijovisonjn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 409
      Likes Received
      19
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By KALYOVATIPI
      Simu yangu naiamini sana lkn clip aifunguki ntaonaje au niende youtube
      nenda youtube andika 'Ushuhuda wa Dr. Stephen Ulimboka' utaipata hii vdeo ya dk 3:06!

    13. #90
      Kachanchabuseta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 2,977
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      440
      Likes Given
      1133

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Edson
      mkuu mi nadownload hapa ina 11.377mb...ndio hii ya 21min?
      Subiri mpaka Yesu arudi

    14. #91
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,791
      Rep Power : 1633
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      1701

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Kaka mbona ina elekea kunoga ndio umeikatisha?
      naona kunavitu vingine bado unavyo, tuwekee vitu hivi kaka.

      My TAKE:

      Hii kitu ni simple sana kwani huyo jamaa yiupo na Deo inasemekana anamjua, sasa kwanini atuambiwi kuwa ni suspect number moja, alafu huyu Deo yupo wapi? nashaka naye kwani atumsikii kabisa.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    15. #92
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      284

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      There are currently 648 users browsing this thread. (159 members and 489 guests)
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    16. #93
      Eraldius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Posts : 320
      Rep Power : 465
      Likes Received
      70
      Likes Given
      6

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      mlokwisha kuiona hiyo cli.Tuandikieni aloyasema ,sio wote tunatumia Pc au simu zenye uwezo.

    17. #94
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Jeykey
      Subiri mpaka Yesu arudi
      nimeona umeanzisha uzi wako wa kinafiki....hahahaha ..pole sana
      I'm Naturaly Evasive..

    18. #95
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      tumbiri loe umeteleza mkuu...ya nini kukopi majina yote hayo mkuu wangu..!!!
      I'm Naturaly Evasive..

    19. #96
      Ndoa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 629
      Rep Power : 502
      Likes Received
      119
      Likes Given
      46

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Wameua sana hao, ni kawaida yao, Igunga wameua, Arumeru wameua, Ulimboka wametaka kumuua. Nchi sio yao peke yao.

    20. #97
      Imaima's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 364
      Likes Received
      3
      Likes Given
      27

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Aisee inasikitisha sana! huo ulikuwa ni usiku wa mateso makali kwa Dr Ulimboka, ninaamini damu yako na mateso yako Dr si bule Mungu atajilipizia kisasi kwa hao waliofanya unyama huo bila hata na chembe ya huruma!

    21. #98
      Kachanchabuseta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 2,977
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      440
      Likes Given
      1133

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By Edson
      tumbiri loe umeteleza mkuu...ya nini kukopi majina yote hayo mkuu wangu..!!!
      kama tumbiri kasoma shule za kata unafikiri mambo ya tekinohama atayapata wapi?

      Ule uzi ni wa ukweli jomba

    22. BAK
      #99
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,609
      Rep Power : 44966
      Likes Received
      8365
      Likes Given
      8343

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Serikali, madaktari wazidi kuvutana
      • Sasa yawashtaki ili wachukuliwe hatua Na Irene Mark

      na Mwandishi wetu
      Tanzania Daima
      SERIKALI imewashtaki katika Baraza la Madaktari Tanzania, madaktari wanafunzi wa vitendo walioshiriki kwenye mgomo wa madaktari uliofanyika nchini kwa tuhuma za kuhatarisha maisha ya wagonjwa na kukiuka maadili ya taaluma yao.

      Kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, madaktari wanafunzi hao zaidi ya 200 waliandikiwa barua zenye kumbukumbu namba MP. 72763 wakishtakiwa kwa baraza hilo ili liwachukulie hatua za kinidhamu ikiwemo kuwafutia usajili wao endapo watabainika kutenda kosa kilaatuma.

      Kwa nyakati tofauti madaktari wanafunzi hao waliotimuliwa hospitalini hapo na uongozi wa MNH walipokea barua hizo za Julai 2, 2012 na kutakiwa kwanza kutoa taarifa kwa baraza la madaktari baada ya kupata barua zao.

      Hata hivyo, jana ilikuwa ni siku ya mwisho kwa madaktari wanafunzi hao kuripoti wizarani baada ya kuwepo kwa agizo la kufanya hivyo lililotolewa na MNH mwanzoni mwa wiki.

      Kwa mujibu wa kila barua waliyopewa madaktari hao ambayo pia imesainiwa na P.A.Chando kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, madaktari hao walikuwa katika mgomo kati ya Juni 23 hadi Juni 29 mwaka huu.
      Imeelezwa kuwa walipelekwa kufanya kazi MNH kwa ajili ya kuboresha taaluma yao katika mafunzo ya vitendo lakini wizara imepokea malalamiko kwamba walikuwa hawafanyi kazi katika kipindi hicho na badala yake walikuwa wakishiriki mgomo.

      Barua hiyo imefafanua kuwa kitendo hicho cha kushiriki mgomo si tu kilihatarisha maisha na usalama wa wagonjwa, bali pia kimekwenda kinyume na taratibu za taaluma hiyo ya utabibu.

      Hatua ya kuwashtaki kwenye baraza hilo, imetokana na baraza hilo kuhusika katika usajili wa madaktari wanafunzi hata hivyo wizara imelitaka kufanya uchunguzi wa kina wa madai hayo na kuchukua hatua za nidhamu.

      Wakati hayo yakiendelea, huduma katika hospitali hiyo ya Taifa na Kitengo cha Mifupa cha hospitali hiyo (MOI) zimeendelea kudorora kwa wagonjwa wengi kukosa huduma baada ya madaktari kuendelea kugoma.

      Mgomo unaoendelea sasa unaelezwa kwamba ni mshtuko uliowapata madaktari baada ya kupokea taarifa za hali mbaya ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, anayepatiwa matibabu nchini Afrika Kusini.

      Dk. Ulimboka alitekwa, kupigwa na kutelekezwa kwenye msitu wa Pande ulioko nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam hivi karibuni, jambo lililoibua maswali mengi hadi serikali kutuhumiwa kuhusika.

      Licha ya uongozi wa MHN kuendelea kuwahadaa watanzania kwamba huduma katika hospitali hiyo zimerejea, hali hiyo imeonekana tofauti.

      Ofisa Uhusiano wa MNH, Aminieli Eligaeshi, alikataa kuzungumza na waandishi wa habari waliohoji sababu za kuendelea kuwepo kwa mgomo, badala yake alisema atatuma taarifa kwa vyombo vya habari kupitia barua pepe.

      Gazeti hili lilitembelea baadhi ya wodi za hospitali hiyo na kukuta idadi ndogo ya wagonjwa waliodai kwamba wanahudumiwa na wauguzi huku askari wakilinda mlango wa mapokezi ya dharura ambao haukuwa na wagonjwa.

      Kuhusu afya ya Dk. Ulimboka, mmoja wa madaktari hao aliyetaka jina lake lisichapishwe gazetini alisema juhudi za madaktari zinaendelea huko Afrika Kusini ili kunusuru maisha ya mwenyekiti huyo.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    23. BAK
      #100
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,609
      Rep Power : 44966
      Likes Received
      8365
      Likes Given
      8343

      Default Re: VIDEO: Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

      Quote By jmushi1
      Mkuu inawezekana something went wrong kwenye plan nzima ndo maana machoni petu inaoenekana kama ni "amateur means"

      Shida ni kwasababu, kwanza walimtorture na kutaka kupata maelezo kutoka kwake kuwa "nani yuko nyuma ya mgomo wao"

      Inawezekana kulitokea something, maybe some dissaggrement miongoni mwao wakati wakifanya unyama huo.

      Damu aliyopoteza na majeraha aliyonayo, ni wazi walitegemea afe.

      Mkuu jmushi1, mimi naamini kwamba hawa walijua dhamira yao ya kumuua Dr Ulimboka walikuwa wameikamilisha hasa ukitilia maanani kwamba huyo Afisa wa Upelelezi Ahmed Msangi Dr Ulimboka anamfahamu hivyo wasingekuwa tayari kufanya makosa ya kumuacha hai ili baadaye aweze kuyasimulia yote yaliyojiri katika sakata hili.
      jmushi1 likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    Page 5 of 15 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...