Je Kitilya wa TRA au Kimei wa CRDB au Mchechu wa NHC au Ali Mufuruki au Ami Mpungwe au yule bosi wa PPF wangefaa kuwa mawaziri?
Je wizara zipi zingewafaa?
Je Kitilya wa TRA au Kimei wa CRDB au Mchechu wa NHC au Ali Mufuruki au Ami Mpungwe au yule bosi wa PPF wangefaa kuwa mawaziri?
Je wizara zipi zingewafaa?
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Kawaambie wamesema wote hawakubaliki. Usipende kutumiwa kama zuzu
AU IN SHORT WANA CHADEMA, Couse hii forum inakuwa ni mzoga wa Chadema.
Ndugu Yangu, Kwanza I wont to tell you, mimi nilikuwa namchukia huyu Bw., kwa sababu hizo hizo ulizozisema, and than tukaja kujuana kikazi tena vizuri. Niko impressed sana na namna anavyofanya kazi, very transparent. Kuhusu kama NSSF inafanya Vizuri au Vipi, Kwani Hukusoma Yearly report Yao, Its the Best Parastal Organization in Tanzania, na the Only Profitable Workers fund in Eastern Africa. Kuhusu Udini huo ni Uongo, Deputy wake ni Mkristo and most of the Senior management. As for Kanzu na Kofia thats his preference and personal, Na ni vazi la Heshima, hata mapdre wetu wanvaa Kanzu. Tusianze kuingilia namna watu wanvyo vaa, as far hayuko uchi wala hakuvaa herini au hana dred locks.
Lakini kweli DAU angekuwa mdini angekubali staff wake avae hivyo?
Huyo anaitwa EuniceChiume ndio PR manager or whatever you wanna call it wa NSSF
Katika hali ya kawaida nilitegemea huyo angekuwa full shungi na hijabu juu maana bosi wake tushaambiwa Mdini kwa sababu ya mikanzu na mibalagashia
Abdallah Zombe-mambo ya ndani ingemfaa sana huyu jamaa ni mchapakazi kwelikweli.
Follow Us Here