Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema ni chama dhaifu

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 98
    1. #1
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2089
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Chadema ni chama dhaifu

      Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
      KABAVAKO likes this.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.


    2. #21
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,382
      Rep Power : 884
      Likes Received
      389
      Likes Given
      310

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Mwiba View Post
      Lilipita kundi la Chadema hapa nilifikiri mgambo wamekosea njia ,wakisema kuwa watu wameanza kuwashitukia ! Kwa kweli sikujua jambo gani kwani spidi yao ilikuwa kali.
      sasa hapa unamaanisha kwamba CHADEMA wapo sawa na migambo OK good

      Wezi lazima wawakimbie mgambo, ila raia wema hawana sababu ya kuwakimbia na badala yake wanajiunga na harakati chini ya;
      • M4C
      • VUA GAMBA VAA GWANDA
      • VUA UKADA VAA UKAMANDA
      • OPERATION SANGARA ili tukamate wezi wote
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    3. #22
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Mwiba View Post
      Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
      Mwendawazimu mwingine huyu tena huku.
      Duble Chris likes this.

    4. #23
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Duble Chris View Post
      sasa hapa unamaanisha kwamba CHADEMA wapo sawa na migambo OK good

      Wezi lazima wawakimbie mgambo, ila raia wema hawana sababu ya kuwakimbia na badala yake wanajiunga na harakati chini ya;
      • M4C
      • VUA GAMBA VAA GWANDA
      • VUA UKADA VAA UKAMANDA
      • OPERATION SANGARA ili tukamate wezi wote
      Pamoja sana kamanda.

    5. #24
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2089
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Duble Chris View Post
      • M4C
      • VUA GAMBA VAA GWANDA
      • VUA UKADA VAA UKAMANDA
      • OPERATION SANGARA ili tukamate wezi wote
      Ei jamani umeona eei ! umo ndani ya joto ,unavua chuma unavaa bati ? Yaani unajimaliza kabisa ,Udhaifu wa CDM ni kushindwa kutamka kinaga ubaga mbele ya watu nikikusudia mikutanoni ,hivi mnaelewa Maalim Seifu alimwita nani Kikwete ,hapa JF mkaruka na mtafaruku mkubwa mkisema Maalim kapotoka ,Maalim leo ni Makamo wa Raisi wa Zanzibar na bado !
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    6. #25
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By zomba View Post
      Kumbe Mbowe alirudisha shangingi kwa kuwa lilikuwa linatumiwa na Hamad Rashid, yeye alitaka jipya. Akaone atumie mwanya kulirudisha kisiasa, lilivyotoka jipya tu akawahi mbiombio. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.
      Duh! Afadhali umetufumbua macho! Kumbe Mbowe was absolutely right kama mtu mwenyewe ndiye huyo hapo kwenye green. In short halikuwa gari bali NYUMBA YA MAPEPO. Wale jamaa wa kile kisiwa hawafai. Mbowe alifanya uungwana sana kwa kumlindia heshima kisiasa; sijui mnacholalamika ni nini.


    7. #26
      Welu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 456
      Likes Received
      59
      Likes Given
      2

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Hivi thread bila kuiandika CHADEMA haiwezi kusomwa hapa jf. Kweli nimeamini maisha bila CDM hayawezi kuwepo. Hivi mioyo yenu haidundi bila CHADEMA?

    8. #27
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Umevimbiwa daku la usiku wewe ndio maana unapumulia masaburi!

    9. #28
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,382
      Rep Power : 884
      Likes Received
      389
      Likes Given
      310

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Mwiba View Post
      Ei jamani umeona eei ! umo ndani ya joto ,unavua chuma unavaa bati ? Yaani unajimaliza kabisa ,Udhaifu wa CDM ni kushindwa kutamka kinaga ubaga mbele ya watu nikikusudia mikutanoni ,hivi mnaelewa Maalim Seifu alimwita nani Kikwete ,hapa JF mkaruka na mtafaruku mkubwa mkisema Maalim kapotoka ,Maalim leo ni Makamo wa Raisi wa Zanzibar na bado !
      Ni kosa kubwa kuifananisha CHADEMA na CUF kuhusu maalimu kamulize Nape alisemaje alipo kuwa Mbeya nini kilimpeka Ikulu

      akili yako itanuke itambue kuwa chama si mtu mmoja bali ni kundi la watu na tupowalumu CCM hatuangalii mtu mmoja ndani ya chama bali kundi kubwa la mafisadi wapo huko
      swaswa likes this.
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    10. #29
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 685
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By ruttashobolwa View Post
      Umeanzisha uzi ili kupima upepo!

      Jk na ccm yake ndio dhaifu na wala huitaji kuwa na phd ndio ujue hilo muulize hata mtoto wa darasa la pili atakwambia!

      Hilli neno dhaifu linawatafuna sana wanazi wa nyinyiemu:

      poleni sana jk na ccm nidhaifu- ukweli ni uhuru.


      hahahahah baeleze hao bandugu Kikwete ni dhaifu na CCM yake .... na Mnyika ametamka adharani ..watanzania wote wamesikia, Afrika Mashariki bamesikia, na Afrika nzima na Dunia nzima.... Tanzania Rais wao ni dhaifu naaaaa chama chake ni dhaifu.... muulize mtu yeyote aliyeko pembeni yako atakuambia ... CCM na RAIS WAKE DHAIFUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU UUUUUUUUUUUUUUUUUUU

    11. #30
      RockSpider's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2010
      Posts : 815
      Rep Power : 623
      Likes Received
      283
      Likes Given
      110

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      mwiba, rejao, ritz, na yule sijui shoga nani tena... hamuisaidii serikali iliyoko madarakani kwa style za propaganda uchwara... watu watanzania wataihukumu CCm kutokana na deliverables;
      1. Huduma bora za afya mnazitoa?
      2. Maji safi na salama inapatikana?
      3.Elimu bora zinatolewa kwa watoto wetu?
      4.Mmeweka miundo mbinu bora kwa maendeleo ya taifa?
      5. Mmesimamia vipi Dhahabu, GAS, Almasi, Uranium, Nickel, Tanzanite zetu kwa faida ya umma?
      6.Wakulima, Wavuvi na wafugaji wamefaidikaje kutokana na juhudi zao za kujiletea maendeleo?
      7.Viwanda vyetu viko wapi?
      8.Wafanyakazi mishahara yao zinakidhi mahitaji yao
      9.Maliasili na vivutio vya utalii vimeinufaisha vipi nchi? kwa kiasi gani? kwanini?
      10. Kwanini mnauza ardhi yetu?
      11. Kwanini mnalindana ktk UFISADI wa wazi???....
      12. Mmewasaidia vipi wakulima wa pamba, kahawa, korosho nk wasiendelee kunyonywa?

      Hivi ndiyo vitu vinanvyopaswa kutolewa majibu na CCM ... Otherwise Watanzania hawatawaelewa ifikapo 2015 kwani shule za kata zinasaidia kueneza elimu ya uraia kwa kasi hadi kule kunako nyumba za tembe....

    12. #31
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 685
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Muulize huyo jirani yako hapo nani Binadamu dhaifu kuliko wote Tanzania.... usiposikia Baba Mwanaasha .... Kiudhaifu hata mwanaasha kampita kwa Perfomance.... Bora tuongozwe na Mwanaasha kuliko huyu Baba Mwanaasha

    13. #32
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,842
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      194
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Duble Chris View Post
      jamani nawaomba kwa thread tuwaache peke yao wajinafasi maana wamebanwa sana ukiangalia post nyingi huwa hawatoi comments

      rai yangu hii tuwaachie syesium pro tu angalau wapumue wajisikie kama wapo duniani
      He he heeeeee mambo ya WASHWA WASHWA hayo


    14. #33
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,842
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      194
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Lorah View Post
      Muulize huyo jirani yako hapo nani Binadamu dhaifu kuliko wote Tanzania.... usiposikia Baba Mwanaasha .... Kiudhaifu hata mwanaasha kampita kwa Perfomance.... Bora tuongozwe na Mwanaasha kuliko huyu Baba Mwanaasha
      Ukiulizwa darasani nani Rais wa JMT utajibu nani ? nani amiri jeshi mkuu utajibu nani ? nani mkuu wa nchi na ww ukiwemo utajibu nani?


    15. #34
      Tutor B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : Bukoba Municipal
      Posts : 2,067
      Rep Power : 1211
      Likes Received
      632
      Likes Given
      74

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Mwiba View Post
      Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.

      Tumia kichwa kuwaza hata kama kina mapungufu na si .....
      CDM hawana mahakama, hawana jeshi, hawana chombo chochotecha kuwachukulia hatuamafisadi. Kwa kuwa baba zako wote ni watenda maovuwanashindwa kuchukuliana hatua za kinidhamu. Subiri vijana wa walala hoiwaungane na wababa wasomi wenye busara kama hao unowatetea hawataozea gerezani
      "Ukipendwa - penda, ipo siku utapenda - usipendwe"

    16. #35
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,564
      Rep Power : 785
      Likes Received
      274
      Likes Given
      51

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Mwiba View Post
      Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
      kukipenda hiki chama lazima uwe umelewa pombe au bange ikiisha unarudi kwny chama dume

    17. #36
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,255
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1273
      Likes Given
      955

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Mwiba View Post
      Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
      mwiba
      Chadema wanachojua ni kuratibu maandamo ya vurugu tu; sera hamna porojo nyingi; watataje mafisadi wakati ndani ya Chadema mna mafisadi?

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    18. #37
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,255
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1273
      Likes Given
      955

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Quote By Lorah View Post
      Muulize huyo jirani yako hapo nani Binadamu dhaifu kuliko wote Tanzania.... usiposikia Baba Mwanaasha .... Kiudhaifu hata mwanaasha kampita kwa Perfomance.... Bora tuongozwe na Mwanaasha kuliko huyu Baba Mwanaasha
      Dooh!! umemsahau yule dhaifu wa kiroho? Aliyekimbia wito wa Bwana kwa sababu ya ngono? Hivi mtamuoza lini hamuoni hatari ya kuwa kiongozi mzinifu?

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    19. #38
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,696
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      786

      Default

      Quote By Dumela Mbegu View Post
      Ukiulizwa darasani nani Rais wa JMT utajibu nani ? nani amiri jeshi mkuu utajibu nani ? nani mkuu wa nchi na ww ukiwemo utajibu nani?

      Nitajibu kwa kuanza na neno "alleged". Kwa mfano: the alleged president kikwete

    20. #39
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,826
      Rep Power : 1375
      Likes Received
      1096
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mwiba View Post
      Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
      Ww nawe akili zako ni sawa na gazeti Al-nuur.

    21. #40
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,161
      Rep Power : 613
      Likes Received
      350
      Likes Given
      307

      Default Re: Chadema ni chama dhaifu

      Yaani kila wafanyacho CHADEMA wengine mnaishia kuiga!
      Kwa kuwa Mh. Mnyika katumia hilo neno DHAIFU kumwelezea rais na CCM basi.
      Limekuwa ndiyo neno la kila GAMBA kutumia, Lakini ni sawa neno likisemwa na mtu makini wajinga ulikalili na kulitumia wakijifananisha naye hata kama halistahili kutumika. Ilimradi amelitumia basi anaridhika.
      Endeleeni kutuiga mwisho mtakuwa nasi CDM.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...