Re: Chadema ni chama dhaifu
Yaani kila wafanyacho CHADEMA wengine mnaishia kuiga!
Kwa kuwa Mh. Mnyika katumia hilo neno DHAIFU kumwelezea rais na CCM basi.
Limekuwa ndiyo neno la kila GAMBA kutumia, Lakini ni sawa neno likisemwa na mtu makini wajinga ulikalili na kulitumia wakijifananisha naye hata kama halistahili kutumika. Ilimradi amelitumia basi anaridhika.
Endeleeni kutuiga mwisho mtakuwa nasi CDM.
"Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
By J.K. NYERERE.
Follow Us Here