Habari nzito, sitaki kuamini.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
CHADEMA wanachama wake wote wapo sawa hakuna kigogo.
Hiki kiji-gazeti cha Hoja pamoja na kila cha Sauti Huru vinatia aibu kwa tasnia ya habari. Aibu aibu aibu ukisoma mambo wanayoandika humo ndani. Wengi wa waandishi wa hivi vijarida ni wanaume na ndio nashangaa wanaume gani wanandika umbeya kama huu?
Hoja wamezuka na CHAUMMA kuwa ni kimeanzishwa na CHADEMA! Nani asiyejua CCM ndio magwiji wa kuanzisha vyama vya msimu? Lakini pia hawa Hoja wamejikita sana kumshambulia Freeman Mbowe yeye binafsi kwa kusema kuwa 'DJ kuiongoza Tanzania kitakuwa kilele cha udhaifu'. Mbowe amekuwa kwenye siasa miaka 20 sasa imekuwaje leo ndio wanaona u-DJ wake? Hao ambao si ma-DJ wamefanya nini hii nchi?
Sauti Huru wao kazi yao ni moja - kuhubiri ukabila. Na waandishi wake ni wafanyakazi ofisi za CCM-Lumumba. Sijui CCM watajitoaje kwenye hii dhambi ya kugawa watanzania? Watapata wapi moral authority ya kusema wao ni chama cha watanzania wote na sio mafisadi? Wanataka watanzania wajikite kujadili ukabilia, udini ili wao CCM waendelee kuifasadi nchi?
Kijigazeti DHAIFU hakina hoja, kinatumiwa na mafisadi wa magamba ili kuchafua hali ya hewa ndani ya CHADEMA. Kama zilivyoshindwa propaganda za magamba katika kutaka kuonysha kwamba CDM ni chama cha wakristo na wachagga juhudi zao hizi kupitia hiki kijigazeti uchwara zitagonga ukuta.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Hili nalo ni gazeti la mafisadi! Hakuna jipya! Wameona chadema ina wapeleka mchakamchaka sasa ina bidi waunde viabari vya kizushi.
Hatudanganyiki na hii ndio chorus yao mpya! Madaktari waligoma wakasema cdm, sasa kachama njaa wame kaanzisha wanasema cdm!
Tunajua na walimu wakigoma mtasema cdm. Na hii ndio ishara ya kushindwa kwa serikali dhaifu ya jk, kila kukicha ni kutafuta mtu wa kumtupia udhaifu wa serikali yake.
Siwezi kupoteza muda kushabikia habari za magazeti ya uamsho kwani haya magazeti dhaifu kama haya yote akili zao ni sawa na radio iman au gazeti al-nuur kwani yote kwa pamoja yanandikwa kwa kutumia ukilaza, kwani huwezi eti hii habri kuiamini kwani imekaa kiudaku zaidi pia inatumia jina la CDM kujiuza.
ujinga mtupu m4c inawatesa
Ujinga ujinga mtupu, ccm oyeee!
Hili gazeti kila likitoka lazima CHADEMA ionekane front page kwa kweli.
system at work. Habari hizo hazitutishi sisi cdm tupo imara kabisa. Peoplesssssssssssss
Muswada unaendeleza kivuli kirefu cha Urais wa Kifalme katika mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Tundu Antiphas Mughwai Lissu (MB) 2012
Gazeti dhaifu linatumiwa wa watu dhaifu kuleto hoja dhaifu
Muswada unaendeleza kivuli kirefu cha Urais wa Kifalme katika mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Tundu Antiphas Mughwai Lissu (MB) 2012
sasa ni mwendo mdundo ccm imeshaoza inahitaj kuanikwa kwan inatoa harufu
Well hawa wote ni wanachama hapa JF tusubiri wao watasema nini?...everything possible under the sun!
Exploration of reality
Rais dhaifu, serikali dhaifu,chama dhaifu, spika dhaifu,wabunge dhaifu,mbinu za kuibomoa Chadema nazo dhaifu. Upuuzi mtupu, habari hizi hata mtoto wa chekechea hawezi kuziamini. Watanganyika tukatae udhaifu kwa kuipiga chini CCM.
Dah nyie watu mna moyo
Stupid newspaper at work.Hili gazeti mmiliki wake ni Kitwana Kondo
Ama kweli serikali dhaifu inatumia mbinu dhaifu kukabiliana na chama imara CDM
Follow Us Here