Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 82
    1. #1
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,052
      Rep Power : 0
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1

      Default Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA


    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      chitalula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 429
      Rep Power : 519
      Likes Received
      88
      Likes Given
      40

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      kumbe kuna gazeti kama hili hapa bongo, naona ndo linatambulisha uwepo wake du

    4. #42
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By FJM
      Hiki kiji-gazeti cha Hoja pamoja na kila cha Sauti Huru vinatia aibu kwa tasnia ya habari. Aibu aibu aibu ukisoma mambo wanayoandika humo ndani. Wengi wa waandishi wa hivi vijarida ni wanaume na ndio nashangaa wanaume gani wanandika umbeya kama huu?

      Hoja wamezuka na CHAUMMA kuwa ni kimeanzishwa na CHADEMA! Nani asiyejua CCM ndio magwiji wa kuanzisha vyama vya msimu? Lakini pia hawa Hoja wamejikita sana kumshambulia Freeman Mbowe yeye binafsi kwa kusema kuwa 'DJ kuiongoza Tanzania kitakuwa kilele cha udhaifu'. Mbowe amekuwa kwenye siasa miaka 20 sasa imekuwaje leo ndio wanaona u-DJ wake? Hao ambao si ma-DJ wamefanya nini hii nchi?

      Sauti Huru wao kazi yao ni moja - kuhubiri ukabila. Na waandishi wake ni wafanyakazi ofisi za CCM-Lumumba. Sijui CCM watajitoaje kwenye hii dhambi ya kugawa watanzania? Watapata wapi moral authority ya kusema wao ni chama cha watanzania wote na sio mafisadi? Wanataka watanzania wajikite kujadili ukabilia, udini ili wao CCM waendelee kuifasadi nchi?

      Mkuu unanifurahishaga sana kwa hoja maridhawa humu jamvini lakini nimeshangaa huna kamedali! Unastahili angalau ka-bronze Mkuu wangu maanake likes pekee sio kiwango chako.
      FJM likes this.

    5. #43
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 488
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By mkigoma
      watu wanakimbia CHADEMA kwa UKANDA, UDINI, UCHAGGA. wanachama wake ni wakristo tu.
      kama huna hoja kaa kimya, si lazima uandike ona sasa unavyoandika uharo?! hayo mambo ya ukristo na uchaga umeyatoa wapi? au umesahau kumeza dawa zako za akili leo?

    6. #44
      Sigma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,282
      Rep Power : 1337
      Likes Received
      918
      Likes Given
      620

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      ndo gazeti gani?
      sjalionaga kitaa!
      ...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY

    7. #45
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Mambo ya udaku, mod peleka kule kwenye udaku.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Kakubilo Kasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 396
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By Do santos
      Chama cha wachanga,chama cha kikatoliki
      Hivi ndo mnavyo endelea kuwa masikini na hamta isha kulalamika, enzi za ukoloni na mwanzoni wa Tanganyika Huru mlikataa kusoma shule za misheni kwa vile mliamini mtasilimishwa, wachache waliokubali ndio wanao faidi matunda ya elimu zao, Nyerere alipotaifisha shule za misheni ili nanyi msome mkadai hiyo ni elimu dunia, leo mnalalamika eti waislam mnaonewa, CDM wanapinga ufisadi leo mnasema ni chama cha Kikristo, hivi Uislam unaruhusu ufisadi na wizi? If yes, je ni dini ya mwenyezi Mungu? If No, nyie kuishabikia CCM mnampendeza Mungu wenu? Lakini pia hivi ni kweli CDM ni ya kikanda au kidini kweli? Hivi yule makam Mwenyekiti wa CDM, si ni sheikh yule? Mbona Zitto Zuberi Kabwe ni Sala Tano? Hivi mheshimiwa Sugu, Msigwa, Marehem Regia Mtema, hawa ni wachaga? au je wanatokea nao Kaskazini? Madai yenu ya kijinga na yasio fanyia utafiti hata wa kidarasa la Kwanza ndo yanayo sababisha mdhalauliwe hata na nchi nyingi zinazo penda ustarabu! Na sometimes hata nyie mnapigana vita vya kijinga kabisa kama kuchoma makanisa, kwa wakristo ibada huanzia ndani ya moyo,ukichoma kanisa umedhoofisha imani yao kwa asilimia 0.0005% maana ukristo wao upo moyoni!

      Tushirikiane kwa pamoja kuikomboa nchi hii mikononi mwa CCM kwa faida ya kizazi chetu na kijacho, yaani watoto wetu na watoto wa watoto wetu, vinginevyo tutakuja juta huko mbele kama ambavyo mnavyo juta leo kwa kukosa Elimu!

    10. #47
      keulankubha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th May 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 361
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Ninachotaka kuwambia ccm sasahivi wanatafuta kila mbinu ya kudhoofisha cdm
      Minataka niwambie kuwa hadanganyiki mtu, na wameshemsha hapa hakuna mtoto wa kundanganywa kwa
      ilo waelewe. Hata watafute uongo wao kutoka mbinguni 2015 watapata jibu lao la uongo
      ata wafanyeje si wamezoea kuchakachua sasa achakachuliwi mtu, nataka niwambie 2015 itakuwa
      jino kwa jino, shoka kwa shoka mpaka haki inapatikana tumewachoka hawa bubuzera na makhanga yao,
      matisheti sasa niwakati wa kujikomboa. mpaka ukweli utajulikana na kujionesha wazi

    11. #48
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,488
      Rep Power : 6171
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      1020

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Jamani hiyo habari ikoje mbona naona kichwa cha habari na picha contents vipi?
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    12. #49
      mwinukai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 656
      Rep Power : 539
      Likes Received
      134
      Likes Given
      51

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By mkigoma
      watu wanakimbia CHADEMA kwa UKANDA, UDINI, UCHAGGA. wanachama wake ni wakristo tu.
      No comment, I hate CCM

    13. #50
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,888
      Rep Power : 5956
      Likes Received
      806
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By barak obama
      Napata shida kuyaita haya magazeti,uwezo wa waandishi,upatikanaji(source) wa habari na dhima nzima ya habari yenyewe ni utata mtupu na mwisho aliyeko nyuma ya habari hizi.Yataibuka mengi sana kuelekea 2015.kuna mengine yamekufa baada ya uchaguzi wa arumeru.bahati mbaya sana audience ya sasa siyo 47 hata rai iliyokuwa inapendwa miaka hiyo ilishapoteza mvuto kwa wasomaji long time.Magazeti makini yanajulikana na ukitaka kujua hili angalia circulation yake na jinsi yanavyonunuliwa wakati mengine pamoja na headings za kimbeya zilizoshamirishwa na picha ili kuwaada wasomaji yanadodea kwenye mbao za wauzaji.

    14. #51
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,282
      Rep Power : 5415
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By Mkandara
      Well hawa wote ni wanachama hapa JF tusubiri wao watasema nini?...everything possible under the sun!
      ... Najaribu kupata all the logical flow for this kind of a political shift... really Sioni uwezekano huo kimantiki labda kwa namna nyingine!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    15. #52
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 701
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By DOUGLAS SALLU
      Rais dhaifu, serikali dhaifu,chama dhaifu, spika dhaifu,wabunge dhaifu,mbinu za kuibomoa Chadema nazo dhaifu. Upuuzi mtupu, habari hizi hata mtoto wa chekechea hawezi kuziamini. Watanganyika tukatae udhaifu kwa kuipiga chini CCM.


      Na nyie wananchi ni dhaifu..... Te he te he

      @PJN at Mtwara Gas City

    16. #53
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 848
      Likes Received
      662
      Likes Given
      937

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      1 out of every 5 men who are supporting CCM are Gay.Look at 4 of your CCM friends,if they're straight then its time you come out of the closet.

    17. #54
      blackberry m's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 364
      Likes Received
      6
      Likes Given
      30

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Kama hoja ni u dj mbona madagascar inaongozwa na dj? Natamani rungu lishushwe ila kwa kuwa ni magazeti ya wakubwa wa nchi hayafanywi lolote. Lingekuwa mwananch hapo ama Tanzania daima rungu muda wowote. Shame on these magazines coz do not qualify 2 b news papers.

    18. #55
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3056
      Likes Given
      4144

      Default

      Quote By Memo
      1 out of every 5 men who are supporting CCM are Gay.Look at 4 of your CCM friends,if they're straight then its time you come out of the closet.
      Teheteheteheteheee!!!

      I am back!
      Fit and sound!!

    19. #56
      Mtumbatu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Location : Timbuktu
      Posts : 132
      Rep Power : 383
      Likes Received
      27
      Likes Given
      4

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By barak obama

      ... na hapa Sisiem ndipo tunawapowashinda akili nyie Chadema akili mgando, mnajilabu kuwa Chadema Chadema tena iweje muunde chama kingine naitabiria kifo Chadema kabla mwaka 2015, then Sisiem kidedea, maana katiba mpya Rais wa Muungano lazima apete 50% kutoka kila upande wa muungano na sisi Zanzibar hatuwapi Chadema so always Sisiem kidedea nyinyi zenu mwenyekiti wa hamlashauri na madiwani.
      Seems x is unknown but xxx is well known you will see our true colour this time

    20. #57
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 724
      Rep Power : 630
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By BAK
      Kijigazeti DHAIFU hakina hoja, kinatumiwa na mafisadi wa magamba ili kuchafua hali ya hewa ndani ya CHADEMA. Kama zilivyoshindwa propaganda za magamba katika kutaka kuonysha kwamba CDM ni chama cha wakristo na wachagga juhudi zao hizi kupitia hiki kijigazeti uchwara zitagonga ukuta.
      Walijisahau wakatumia mbinu zile zile walizotumia kukipunguza nguvu CUF kwamba ni chama cha KIISLAM, na kwamba kinachochea vurugu na mauaji (nakumbuka mkuu wa polisi bwana Mahita alionesha visu vyenye rangi ya bendera ya cuf kwamba walijiandaa kufanya mauaji, mpaka leo sijasikia aliepelekwa mahakamani kwa kuhatarisha usalama wa taifa). Hizi siasa za CCM za kuwagawa watu zinatakiwa zilaaniwe, bora hizo za kukigawa chama! CDM kazi kwenu.

    21. RC.
      #58
      RC.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 348
      Rep Power : 422
      Likes Received
      30
      Likes Given
      16

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      msajili wa magazeti yuko wapi?kuachia vijarida hivi kuchafua roho za watu na kutufanya tutende dhambi siku ya leo?AAAAAGH!!!

    22. #59
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 899
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By Molemo
      Stupid newspaper at work.Hili gazeti mmiliki wake ni Kitwana Kondo
      Mkuu, pamoja na kuwa hilo gazeti silipendi na wala sijawahi hata kulishika....lakini ni kweli kunafununu
      ya hilo jambo.Binafsi kuna mmoja jana alijitokeza kwenye thread fulani na nikamsoma between the line
      na nikahisi huyo nae ni mmoja wao. So kama alivyosema Mkandara kwavile hao wote ni member wa hapa
      jamvini let us wait and see labda kunammoja wao atathubu uwazi.
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    23. BAK
      #60
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,632
      Rep Power : 44971
      Likes Received
      8385
      Likes Given
      8363

      Default Re: Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

      Quote By Tutafika
      Walijisahau wakatumia mbinu zile zile walizotumia kukipunguza nguvu CUF kwamba ni chama cha KIISLAM, na kwamba kinachochea vurugu na mauaji (nakumbuka mkuu wa polisi bwana Mahita alionesha visu vyenye rangi ya bendera ya cuf kwamba walijiandaa kufanya mauaji, mpaka leo sijasikia aliepelekwa mahakamani kwa kuhatarisha usalama wa taifa). Hizi siasa za CCM za kuwagawa watu zinatakiwa zilaaniwe, bora hizo za kukigawa chama! CDM kazi kwenu.
      ...Kipindi hiki cha kuelekea 2015 vijigazeti kama hivi vinaweza kuibuka kwa wingi ili kuanzisha uzushi wa kila aina dhidi ya CDM na viongozi wake wa juu. Naamini kabisa yule Shibuda atavuna sana toka kwa Viongozi wa juu wa magamba kwa kubwabwaja mambo ya uongo dhidi ya CDM ili kukiharibia chama hicho katika kujizolea Wabunge wengi na pia kuingia Ikulu.

      Natumai viongozi wa CDM hawatampa Shibuda nafasi nyingine ya kukidhalilisha chama cha CDM bali watachukua maamuzi muafaka na kumfukuza mara moja huyo mganga njaa.

      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...