Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni USALITI ULIOKITHIRI... Tutoe Amri sasa..

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 764
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      579
      Likes Given
      111

      Default Ni USALITI ULIOKITHIRI... Tutoe Amri sasa..

      Bunge ( Chombo Muhimu Kama Mwakilishi wa mwananchi) linaendeleza vikao vyao vya kawaida wakati Mwananchi wanayemwakilisha anakufa Kwa kukosa matibabu ni USALITI ULIOKITHIRI

      Kwanini Bunge mmesaliti Mwananchi aliyewatuma mkamtetee.. Mipango, Sera, Sheria Na Bajeti mnazopitisha ni Kwa ajili ya nani Kama si mwananchi.. Sasa wakati mwananchi huyu mnayempangia mipango yote hiyo anakufa Kwa kukosa matibabu mtampangia nani mipango yenu hiyo .. MAITI!!???!!..

      Kwanini kuweka propaganda kwenye uhai Wa Mtu ?. Bajeti ikiwa mbovu, isopotekelezeka, yamkini mwaka mwingine itafikiriwa Lakini si maisha ya Mtu. Si Busara Bunge likafumbia macho sakata Hili la mgomo wa madaktari Kwa propaganda za kipumbavu..

      We Tanzania, Mimi Sijui Tanzania itaendelea kuwa kichwa kibovu hata lini, tunaheshimu taratibu za Mahakama ya Kazi, Lakini hadi lini kwani homa, operation au magonjwa ya ghafla yanajua hiyo mahakama ya kazi???

      Mbona Inshu iko wazi kwamba mnasema Doctors wamegoma kinyume Na maagizo ya mahakama kuu and mahakama ya kazi, Kwa hiyo mgomo ni batili, fine.. But yet unaendelea huo mnaouita batili sasa what mahakama ya Kazi can do kwenye ubatili huo??? Kama si propaganda kwenye pumzi ya mtanzania..

      Nimetembelea Leo Muhimbili utadhani Sekondari ambayo wanafunzi wako likizo, unakutana Na wanafunzi wachache walioko zam..nimeenda mwananyamala watu wapo kazini but wapo Kama 'hawapo.. '

      Nadhani Kwa Upeo wa Bunge letu, wangeacha mambo mengine mezani na kujadili Kwa kina kadhia Hili Na kuishauri serikali nini cha kufanya haraka kunusuru maelfu ya wagonjwa hasa waliotoka mikoani Kwa ajili ya tiba Muhimu MHML.

      Poa wabunge, mawaziri Na wengineo wasijione kwamba wao tu ndio viongozi wa kitaifa, Dr. Ulimboka Kama Mwenyekiti Wa Jumuia ya Madaktari naye ni kiongozi Wa kitaifa Na si ka-mtu-tu.. Jambo lililompata Na linalompata lazima lijadiliwe Kwa mapana Kama kiongozi Wa kitaifa Na mwananchi wa JMT..ili kuhakikisha dhana ya ulinzi wa kila raia ndio msingi wa serikali yoyote Duniani..

    2. Miaka 50

    3. #2
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 764
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      579
      Likes Given
      111

      Default Re: Ni USALITI ULIOKITHIRI .. Tutoe Amri sasa..

      Tunayo kila sababu ya Kutamka jambo Kama raia.. Na Jukwaa Tunalo ambalo ni mitandao yetu yote

    4. #3
      mullay's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 80
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni USALITI ULIOKITHIRI .. Tutoe Amri sasa..

      Hata tukiongea unadhani wanatuelewa basi, maana kusikia wanasikia. Mnyika kila siku analia bungeni, kwanini isijadiliwe bungeni ile ripoti ya wabunge zaidi ya kusikiliza upande mmoja wa serikali.

    5. #4
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,977
      Rep Power : 1211
      Likes Received
      965
      Likes Given
      247

      Default

      Sii busara kuamini/kuheshimu mahakama isiyojiheshimu

    6. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...