Mchumi wa kimataifa ambaye ni mwenyekiti wa CUF Taifa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa utakao fanyika siku ya jumapili tarehe 15. 07. 2012 katika viwanja vya jangwani, ambapo pia atakuwepo katibu mkuu maalim seif sharif Hamad ambaye ni makamu wa kwanza wa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar pia na mawaziri wote wa CUF walio katika SUK YA Zanzibar, na wabunge wote wa jamhuri ya muungano wa CUF.

Reply With Quote


Follow Us Here