Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanzibar tupunguze kulalamika juu ya utoaji wa maoni ya katiba

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      jamesbond007's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Location : mombasa
      Posts : 36
      Rep Power : 355
      Likes Received
      8
      Likes Given
      25

      Post Wanzibar tupunguze kulalamika juu ya utoaji wa maoni ya katiba

      kwakuwa ccm inawatumia wanavijiji kuwasilisha matakwa yao kwa kuwapa barua zenye kupendekeza serikali mbili wa muundo wa muungano, basi na sisi tusiotaka muungano au wanaotaka muungano wa mkataba basi na wao weaandae barua kwa mujibu wa maoni yao halafu waziwasilishe kwenye tume kama wanavyofanya ccm! kama wao wametuma 100 cc tutume zaidi ya 1000 kila kikao, sasa tuone nani makali na sio kulalamika, hakuna ataewasikiliza wakati huu

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,497
      Rep Power : 5985
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Wanzibar tupunguze kulalamika juu ya utoaji wa maoni ya katiba

      Kuwaambia wasilalamike ni sawa na kuwaambia wasitoe maoni...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    4. #3
      mkataba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 147
      Rep Power : 376
      Likes Received
      35
      Likes Given
      4

      Default Re: Wanzibar tupunguze kulalamika juu ya utoaji wa maoni ya katiba

      haya maoni kiini macho tuuu!!!

    5. #4
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,661
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Wanzibar tupunguze kulalamika juu ya utoaji wa maoni ya katiba

      Muhimu nikuchukua hatua na si kulalamika 2

    6. #5
      jamesbond007's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Location : mombasa
      Posts : 36
      Rep Power : 355
      Likes Received
      8
      Likes Given
      25

      Default Re: Wanzibar tupunguze kulalamika juu ya utoaji wa maoni ya katiba

      Ni kweli Mr. Mkataba, utoaji wa maoni ni kiini macho, watu tayari weshaamuwa nini cha kufanya cc tunazugwa tu na dunia inapigwa changa la macho, cc tunalikuwa hilo ila tunakwenda tu ili kutowapa nafasi ya kujilabu sana juu ya muundo ya unafiki wao wanautaka! cc wanzibar message yetu ni rahisi na fupi sana kuwa "Tuachiwe Tupumuwe"!

    7. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...