Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      security guard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 108
      Rep Power : 278
      Likes Received
      25
      Likes Given
      4

      Default Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...

      Naamka asubuhi nasikia kelele za walioishiwa na uwezo wa kufikiria...oh serikali inahusika...baada ya kusikiliza kwa makini nikajua yule mhusika na kifo cha ndugu yangu amepigwa na watu wasiojulikana....Nikasema na moyo wangu kweli ubaya unalipwa hapa hapa duniani...nina bahati ya kuwa na marafiki madaktari lakini nimepunguza mapenzi na hawa jamaa hata simu huwa siwapigii tena....

      Kitu kimoja watu wasiochokijua ni jinsi gani watu fulani wanatumia mbinu chafu kuivuruga serikali yenye nia ya kuongeza maendeleo.
      huyu dk. kwake Kiskulu ana duka kubwa sana la dawa na akaunti yake ina pesa nyingi sana kuliko kawaida na pia madai yake ya kutetea madaktari wa serikali ili masikini tufe haikuwa na mahesabu mazuri........

      Maadili ya utaalamu wao hayapaswi kuvunjwa kwa kisingizio cha migomo nafikiri ingekuwa vyema wangetumia chombo mbadala kufikisha malalamiko yao..kwanza sio media iliyovurunda ....kuna wakati Mkapa alisema waandishi wa Tanzania hawajui kazi yao nakubaliana nae kabisa....

      Madaktari wangeongea na mabosi wao kwanza ambao ni Wananchi wa jamhuri ya Tanzania na kuomba ushirikiano wa wananchi katika kulizungumzia hili na sio kuleta zengwe, ila wao wakaona wamchukue mwehu mmoja awaongoze kutuua ....haswa wakitaka waongezewe pesa wananunue magari zaidi na kushinda leaders baada ya kazi.....


      Nasema hivi mkirudia mgomo hamgomei serikali mnatugomea sisi na hiko chama kinachowapotosha kinashangaza sana kilipaswa kikae na wananchi wazungumze namna nzuri ya kutatua matatizo huku madaktari wakiendelea na kazi zao, sasa kimekosa kauli, kimeonekana kabisa ni chama cha majimbo ukabila, udini na mbaya ni cha kutuua sisi sisi watanzania.....

      poleni hamtopata kura na pia hamtaongoza ........
      Attached Thumbnails  
      zomba likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Njaa Mbaya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 377
      Likes Received
      26
      Likes Given
      88

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Hii imenchefua mpaka nimeshindwa kula, sina hakika kama ulifikiria wakati unaandika, lakini kama ndiyo inakupa kula yako kwa propaganda ni sawa utafanyaje sasa maana Nape anataka kuona unafanya kazi.
      mbwembwekali likes this.

    4. #3
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,617
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3836
      Likes Given
      12218

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Kuna wagonjwa wa aina nyingi duniani.
      RockSpider likes this.

    5. #4
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,497
      Rep Power : 5984
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Naona unajitahidi kusajiri ID tofauti tofauti na kuweka posti
      halafu unazi-like mwenyewe. Hongera sana...
      RockSpider and muchetz like this.
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    6. #5
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Ah! Mleta mada ni Jembe la Ukweli!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1910
      Likes Received
      1568
      Likes Given
      676

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Sijui kwanini nimefungua huu uchafu najisikia kutapika

    9. #7
      4change's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 184
      Rep Power : 400
      Likes Received
      44
      Likes Given
      11

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      verbal diarrhoea!what else can i call this?
      Hivi ndo maana nchi ina utajiri mwiiingi lakini inaongoza kwa umaskini na ni ya tatu dunia kwa ombaomba baada ya afghanistani na iraq!what a shame.si ajabu ukakuta huyu 's.g' ni mshauri wa rais, say kwenye uchumi au siasa!au kiongozi anategemewa na ccm.masikini tz masikini nchi yangu where is this schizophrenic gvt and its allies taking u to?!?

    10. #8
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,741
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      146

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Pole mwenzetu kuna siku utajitambua

    11. #9
      Chinga boy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 190
      Rep Power : 397
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Ww ****** katafute bwana kama una nyege sio unaleta pumba hapa

    12. #10
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 528
      Likes Received
      168
      Likes Given
      158

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      nimekutukana tu baasi
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    13. #11
      miss strong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 637
      Rep Power : 473
      Likes Received
      127
      Likes Given
      62

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Ujumbe hovyo...Nchi ni yetu wote haiwezekan rasilimal za nchi ziliwe na wajanja wachache na walimu,Madaktar wanapata shida!Upumbavu wa ccm ndo unatufikisha hapa...Tutaonana uchaguz ujao.

    14. #12
      nhassall's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 465
      Likes Received
      41
      Likes Given
      110

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      hizi posho za propaganda jamani zinawamaliza akili, sasa ni kitu gani hapo umeandika na ni nani atakuelewa kwa mawazo mabovu kama haya? sidhani kama una ushirikiano na akili yako maana umepoteza mda wako kuandika upuuzi kama huu.

    15. #13
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      CCM na propaganda zenu mwaka huu mmepatikana!! Serikali Dhaifu ndio kiini cha matatizo yote! Sasa iwapo umetumwa kuja hapa kupima upepo, rudi ukawaeleze kwamba hapa umekosa support!!

    16. #14
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Quote By security guard
      Naamka asubuhi nasikia kelele za walioishiwa na uwezo wa kufikiria...oh serikali inahusika...baada ya kusikiliza kwa makini nikajua yule mhusika na kifo cha ndugu yangu amepigwa na watu wasiojulikana....Nikasema na moyo wangu kweli ubaya unalipwa hapa hapa duniani...nina bahati ya kuwa na marafiki madaktari lakini nimepunguza mapenzi na hawa jamaa hata simu huwa siwapigii tena....

      Kitu kimoja watu wasiochokijua ni jinsi gani watu fulani wanatumia mbinu chafu kuivuruga serikali yenye nia ya kuongeza maendeleo.
      huyu dk. kwake Kiskulu ana duka kubwa sana la dawa na akaunti yake ina pesa nyingi sana kuliko kawaida na pia madai yake ya kutetea madaktari wa serikali ili masikini tufe haikuwa na mahesabu mazuri........

      Maadili ya utaalamu wao hayapaswi kuvunjwa kwa kisingizio cha migomo nafikiri ingekuwa vyema wangetumia chombo mbadala kufikisha malalamiko yao..kwanza sio media iliyovurunda ....kuna wakati Mkapa alisema waandishi wa Tanzania hawajui kazi yao nakubaliana nae kabisa....

      Madaktari wangeongea na mabosi wao kwanza ambao ni Wananchi wa jamhuri ya Tanzania na kuomba ushirikiano wa wananchi katika kulizungumzia hili na sio kuleta zengwe, ila wao wakaona wamchukue mwehu mmoja awaongoze kutuua ....haswa wakitaka waongezewe pesa wananunue magari zaidi na kushinda leaders baada ya kazi.....


      Nasema hivi mkirudia mgomo hamgomei serikali mnatugomea sisi na hiko chama kinachowapotosha kinashangaza sana kilipaswa kikae na wananchi wazungumze namna nzuri ya kutatua matatizo huku madaktari wakiendelea na kazi zao, sasa kimekosa kauli, kimeonekana kabisa ni chama cha majimbo ukabila, udini na mbaya ni cha kutuua sisi sisi watanzania.....

      poleni hamtopata kura na pia hamtaongoza ........
      Hallucination will kill you very soon! please consult a spcecialist for proper treatment, otherwise a grave is calling you, bastard!!!.

    17. #15
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,533
      Rep Power : 1803
      Likes Received
      2451
      Likes Given
      2493

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Quote By Gwalihenzi
      Hallucination will kill you very soon! please consult a spcecialist for proper treatment, otherwise a grave is calling you, bastard!!!.
      Gwalihenzi achana na huyo kichaa...as Mark Twain would put it...Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with their experience.

      security guard, free your mind and think, I know we live in a world of smart phones and stupid people but, OMG! the level of stupidity you exhibit here is astounding! The reaction of our CCM government is like that of a student who when a teacher passes by during a test, covers his answers with his hand so the teacher cannot see how stupid he is! To the opposition I have but one advice... never ever understimate the power of stupid people in large groups especially if they all somehow share some evil ideology like UFISADI.
      Last edited by Mag3; 6th July 2012 at 23:14.
      Gwalihenzi likes this.
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    18. #16
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Quote By security guard
      Naamka asubuhi nasikia kelele za walioishiwa na uwezo wa kufikiria...oh serikali inahusika...baada ya kusikiliza kwa makini nikajua yule mhusika na kifo cha ndugu yangu amepigwa na watu wasiojulikana....Nikasema na moyo wangu kweli ubaya unalipwa hapa hapa duniani...nina bahati ya kuwa na marafiki madaktari lakini nimepunguza mapenzi na hawa jamaa hata simu huwa siwapigii tena....

      Kitu kimoja watu wasiochokijua ni jinsi gani watu fulani wanatumia mbinu chafu kuivuruga serikali yenye nia ya kuongeza maendeleo.
      huyu dk. kwake Kiskulu ana duka kubwa sana la dawa na akaunti yake ina pesa nyingi sana kuliko kawaida na pia madai yake ya kutetea madaktari wa serikali ili masikini tufe haikuwa na mahesabu mazuri........

      Maadili ya utaalamu wao hayapaswi kuvunjwa kwa kisingizio cha migomo nafikiri ingekuwa vyema wangetumia chombo mbadala kufikisha malalamiko yao..kwanza sio media iliyovurunda ....kuna wakati Mkapa alisema waandishi wa Tanzania hawajui kazi yao nakubaliana nae kabisa....

      Madaktari wangeongea na mabosi wao kwanza ambao ni Wananchi wa jamhuri ya Tanzania na kuomba ushirikiano wa wananchi katika kulizungumzia hili na sio kuleta zengwe, ila wao wakaona wamchukue mwehu mmoja awaongoze kutuua ....haswa wakitaka waongezewe pesa wananunue magari zaidi na kushinda leaders baada ya kazi.....


      Nasema hivi mkirudia mgomo hamgomei serikali mnatugomea sisi na hiko chama kinachowapotosha kinashangaza sana kilipaswa kikae na wananchi wazungumze namna nzuri ya kutatua matatizo huku madaktari wakiendelea na kazi zao, sasa kimekosa kauli, kimeonekana kabisa ni chama cha majimbo ukabila, udini na mbaya ni cha kutuua sisi sisi watanzania.....

      poleni hamtopata kura na pia hamtaongoza ........
      kama ni ugonjwa wa akili ndugu yangu huu wa kwako bado haujulikani..kwani ni dhambi ukitumia akili yako kufikiri?

    19. #17
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      sucks to be you
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    20. #18
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,604
      Rep Power : 1124
      Likes Received
      1383
      Likes Given
      1533

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      nashangaa mods wanaacha hili gono humu

    21. #19
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Mleta mada hii nafkiri hana akili kabisa na naona kazi yake hapo magamba ni kupumuliwa na wakubwa wake tu manake najuta kuifunguwa hii thread

    22. #20
      kibogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : MBEYA
      Posts : 1,691
      Rep Power : 695
      Likes Received
      422
      Likes Given
      320

      Default Re: Dah..Uongozi kwa style hii sio Tanzania...................... ....

      Ndugu yangu umechemka watanzania wa leo hawadanganyiki pooooooleeee sana. Utafute mwimbo wa Mlisho Mpoto wa ADELA Sikiliza utapata jibu nyang'au we.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...