Nakumbuke ilikuwa siku tulivu,pale vwanja vya nmc,pale mh.lema aliposhika kipaza sauti na kuwasihi wakazi wa arusha watulie na wasiichome arusha yetu.haya maneno sitayasahau yalijaa upendo kwa watu wa arusha na wakazi wake wote...kiukwel arusha ingewaka moto kwa wakati ule...maisha mrefu kamanda wetu naamin wewe ni mbunge wetu bado

Reply With Quote

Follow Us Here