Hii ni Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya America (VOA) imetanabaisha kuwa mgomo upo na vyumba karibia vyite vya kutolea huduma vilikuwa vimefungwa na wagonjwa wamekiri kuwa wale wa operarion na huduma nyingine hakuna aliyepata huduma na madaktari wapo ila wanadai wako busy na wengine wanadai wanafanya mitihani.
Wakati huo huo wagonjwa waliokwenda Muhimbili wamezidi kuongeza vifo vya wagonjwa waliopo na wanaofika Muhimbili kupata huduma

Reply With Quote

Follow Us Here