Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 39 of 39
    1. #1
      Return Of Undertaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 657
      Rep Power : 540
      Likes Received
      448
      Likes Given
      0

      Default VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Hii ni Idhaa ya kiswahili ya Sauti ya America (VOA) imetanabaisha kuwa mgomo upo na vyumba karibia vyite vya kutolea huduma vilikuwa vimefungwa na wagonjwa wamekiri kuwa wale wa operarion na huduma nyingine hakuna aliyepata huduma na madaktari wapo ila wanadai wako busy na wengine wanadai wanafanya mitihani.

      Wakati huo huo wagonjwa waliokwenda Muhimbili wamezidi kuongeza vifo vya wagonjwa waliopo na wanaofika Muhimbili kupata huduma

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5613
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      itv wameonyesha, wagonhwa hawajatibiwa leo muhimbili, halafu hawa nyinyiemu wanaeneza propaganda zisizo na kichwa wala miguu,

    4. #22
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Niko hapa mwaisela asa hivi hakuna wagonjwa kabisa nipo na ndugu yangu aliepigwa risasi na majambazi leo pale calabash

    5. #23
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,009
      Rep Power : 8378
      Likes Received
      832
      Likes Given
      694

      Default re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By Tume ya Katiba
      Hakuna hoja ya kujadili hapa.

      Mgomo umeisha tujenge taifa, pia tutenganishe siasa na taaluma.
      Hii ndiyo assignment yako mkuu,dah!una kazi

    6. #24
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,827
      Rep Power : 1944
      Likes Received
      431
      Likes Given
      4198

      Default re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By Honolulu
      Huyu mwendawazimu ni wa kuogopa kama virusi vya ukimwi!
      Tume ya Katiba ni mwane Kikwete labda!
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    7. #25
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 572
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Uwongo wa uhakika aka Tbccm
      wame report nini?

    8. Miaka 50

    9. #26
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By CHEMPO
      Wale wairan wako wapi?
      wairani wanachunguzwa na marekani kwa kukiuka sheria za kimataifa za kibiashara, kuuza mafuta, kuuza madaktari marufuku, jk na membe wamewarukau

    10. #27
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 487
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By CHEMPO
      Wale wairan wako wapi?
      wairani wanachunguzwa na marekani kwa kukiuka sheria za kimataifa za kibiashara, kuuza mafuta, kuuza madaktari marufuku, jk na membe wamewarukau

    11. #28
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 547
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By Tume ya Katiba
      Hakuna hoja ya kujadili hapa.

      Mgomo umeisha tujenge taifa, pia tutenganishe siasa na taaluma.
      mambo ya kutumia anus kufiri yaache zanzibar,huku sisi twatumia ubongo

    12. #29
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 547
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By Elli
      Niko hapa mwaisela asa hivi hakuna wagonjwa kabisa nipo na ndugu yangu aliepigwa risasi na majambazi leo pale calabash
      pole sana elii,mpelekeni private amasivyo ataendelea kuteseka muhi2 national dispensary

    13. #30
      javan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By only83
      Serikali dhaifu ya chama dhaifu inatumaliza watanzania kwa kuleta porojo kwenye mambo ya msingi.
      chama dhaifu hutokana na taifa dhaifu,udhaifu wa ccm ni kiashiria cha udhaifu wa taifa letu. mwenye macho akikubali kuongozwa na kipofu tatizo liko kwa nani?

    14. #31
      javan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By langei
      pole sana elii,mpelekeni private amasivyo ataendelea kuteseka muhi2 national dispensary
      mh, spika aliwahi kusema "waziri mkuu hawezi kusema uongo". ni sawa na kusema tanzania inaongozwa na malaika. rais amesema serikali haiwezi kutenda maovu. kweli serikali haina dini na ndiyo sababu inahalalisha uongo. poleni sana mnaougua.

    15. #32
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      277
      Likes Given
      286

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Kama kawaida.

      Kusema ukweli, ni jiwe mathubuti linalowalemea mabegani mwenu.
      Uongo, mahali mnaposimama na kujikita ni jiwe la barafu.
      Saa i karbu mtatwezwa na uzito wa ukweli nyonga zenu zitanyong'onyea, wote mtaangamia kwa kiburi chenu.



      Quote By Tume ya Katiba
      Hakuna hoja ya kujadili hapa.

      Mgomo umeisha tujenge taifa, pia tutenganishe siasa na taaluma.
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    16. #33
      Mtandu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 59
      Rep Power : 419
      Likes Received
      12
      Likes Given
      8

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By IDIOS
      Hakika tusubiri tuone mwisho wake ni nini. Mana leo rais wetu alikuwa ameenda kwenye maonesho ya sabasaba kama vile hakuna tatizo lolote lililopo katika himaya yake.

      Inasikitisha sana kwa jinsi jambo hili linavyochukuliwa na viongozi wetu, ni taabi kubwa kuamini hiki. Yani wameli- relax kweli kweli

      Tanzania hatuna serikali ila tunajiongoza wenyewe. Kama kweli inafikia hatua mgomo unafika wiki ya tatu lakini viongozi wetu wanazidi kula bata mtaani tu, hakikaka tumekwisha.
      Natabiri kuwa mwisho wa uongozi wa mh rais wetu Jakaya ndo huu hakila ataenda THE HEG FRANCE.

      Damu ya watanzania wanaokufa kila siku kwa kwa ajili ya mgomo huu bila kutatuliwa damu hiyo itawalilia.
      Ndugu Idios, sio viongozi tu wanao ishi kana kwamba hakuna tatizo nchini. Watanzania tulio wengi tunaishi kana kwamba hakuna tatizo katika sekta ya afya. Msumbiji walipandisha bei ya mkate tu, na nchi ikatikisika. Hii ni nchi pekee duniani ambayo watu wake hawaoni tatizo bidhaa muhimu kupanda bei ki-holela na huduma za afya kudorora au hata kusimama kabisa. Watanzania tukapimwe akili! Hatuko sawa kabisa!

    17. #34
      Africa_Spring's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 421
      Rep Power : 402
      Likes Received
      106
      Likes Given
      64

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      Quote By IDIOS
      Hakika tusubiri tuone mwisho wake ni nini. Mana leo rais wetu alikuwa ameenda kwenye maonesho ya sabasaba kama vile hakuna tatizo lolote lililopo katika himaya yake.

      Inasikitisha sana kwa jinsi jambo hili linavyochukuliwa na viongozi wetu, ni taabi kubwa kuamini hiki. Yani wameli- relax kweli kweli

      Tanzania hatuna serikali ila tunajiongoza wenyewe. Kama kweli inafikia hatua mgomo unafika wiki ya tatu lakini viongozi wetu wanazidi kula bata mtaani tu, hakikaka tumekwisha.
      Natabiri kuwa mwisho wa uongozi wa mh rais wetu Jakaya ndo huu hakila ataenda THE HEG FRANCE.

      Damu ya watanzania wanaokufa kila siku kwa kwa ajili ya mgomo huu bila kutatuliwa damu hiyo itawalilia.
      The Hague-The Netherlands

    18. #35
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Tume ya Katiba
      Hakuna hoja ya kujadili hapa.

      Mgomo umeisha tujenge taifa, pia tutenganishe siasa na taaluma.
      STUPID...LIWALO NA LIWE.
      wakati nchi inaangamia kwa kuwa na viongozi dhaifu wewe unatuletea pumba zako hapa, wewe unayejiita Tume ya Katiba una akili kichwani kweli wewe! hivi hata hao wanaokulipa wanaridhika na jinsi unavyochangia mada kwenye jukwaa hili? maana mimi nakuona kama kichaa fulani tu... sikutofautushi na wajinga wenzio... very stupid indeed.
      Liwalo na liwe. Nimechokaaaaaaaa!!!!!!!

    19. #36
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,665
      Rep Power : 975
      Likes Received
      579
      Likes Given
      10

      Default

      [QUOTE=Tume ya Katiba;4191092]Hakuna hoja ya kujadili hapa.

      Mgomo umeisha tujenge taifa, pia tutenganishe siasa na taaluma.[/QUO Nimefika Arusha usiku huu,jirani kwa wenyeji kuna msiba,bint amefariki juzi ktk Hospitali ya Taifa Muhimbili. Mwili umeletwa leo,atazikwa kesho. Kwa kuangalia hali ya wafiwa walivyochoka,nadhani watawala wanasaidia sanda,jeneza na usafiri wa mwili! Bila shaka kuna fungu kubwa limetengwa kwa kazi hiyo! Jiulize ufisadi kiasi gani unaendelea! Watu wanakufa,watawala wako kimya wakipanga njama nyingine za kupata pesa za bure!

    20. #37
      terabojo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      19
      Likes Given
      84

      Default

      Mahakama ya kazi kwa kukurupuka na kutoa amri kwa madktari imejidhalilisha sana! Hopefully itajifunza

    21. #38
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,177
      Rep Power : 2090
      Likes Received
      1228
      Likes Given
      313

      Default

      Dhambi ya kuiba kura au?JK aliambiwa nchi haitatawalika akadhani utani atashangaa mwaka huu

      Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

    22. #39
      Pota's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2011
      Posts : 1,239
      Rep Power : 667
      Likes Received
      184
      Likes Given
      125

      Default Re: VOA: Mgomo bado upo, wagonjwa wamekiri hakuna aliyetibiwa leo 06/07/2012, vifo vyaongezeka

      imelaaniwa ccm na wanachama wake wote

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...