Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 121
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,507
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16376
      Likes Given
      8453

      Default Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Hivi nchi ambazo zina barabara za juu kwa juu hazina msongamano wa magari? Je kuna njia nyingine rahisi ya kupunguza msongamano wa magari Jijini Dar bila kuanza ujenzi wa mabarabara ya juu kwa juu? Ni kitu gani kingine basi kilicho nyuma ya push hii ya kuwa na mabarabara ya juu kwa juu? Yawezekana ni kwa ajili ya picha (postcards) au kusema na "sisi tunazo"?
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      286
      Likes Given
      158

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      No research,wanakurupuka tuu kishamba shamba

    4. #3
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,172
      Rep Power : 622
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Nyie kila kitu kulaumu, mnatakaje sasa?

    5. #4
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,684
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Juzi[wapinzani]; serikali ya CCM haitekelezi ahadi zake za ujenzi wa bara bara za juu.

      janap[serikali]; Serikali ya CCM IMETANGAZA kutengwa kwa pesa za ujenzi wa barabara za juu

      Leo[wapinzani]; Hatuoni umuhimu wa bara bara za juu

      kweli nimeamini upinzani wa nchi masikini ni kupinga kila kitu cha chama tawala

    6. #5
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Malori makubwa yanaopita barabara za Mandela na Mororgoro yana mchango mkubwa sana kuongeza foleni katika jiji hili. Njia ya haraka kupunguza foleni ki kuweka muda maalumu malori kusafiri mfano yatoke bandarini kuanzia saa tatu usiku na yaruhusiwe kuingia mjini (kutoka Kibaha) muda huo huo. Ila kufanikisha hilo kitengo cha kutoa magari bandarini kifanye kazi hadi saa sita usiku. Pia kuna umuhimu wa vitengo vya TRA pale Bandarini na kule Posta vifanye kazi angalau hadi saa sita usiku kwa ajili ya watu ku process documents.

      Pia Askari traffic waache kuongoza magari sehemu zenye mataa wafanye hivyo kwa muda maalumu labda kama kuna msafara. kazi yao iwe kudhibiti wanaotanua na kutoheshimu taa. Mfumo wa kuongoza magari ulifaa wakati ule kulipokuwa na uneven distribution ya magari lakini hivi sasa magari ni mengi kila upande, hakuna barabara isiyo na foleni. Uwepo wa trafiki unasababisha foleni kwa vile wanavuta sana upande mmoja na kuacha upande mwingine. Pia huwa wanapigiwa simu za jamaa zao kuvuta magari ya upande mmoja.......
      Mr Ngoma likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      hawa jamaa wanakurupuka sana...huwezi kuweka barabara za juu ili kuzuia foleni kwani huko zinakopangwa kuelekea ni kufinyu mno...chukulia posta na kariakoo na mnazi mmoja zilivyobanana halafu uongeze free movement ya magari unategemea nini???

    9. #7
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,507
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16376
      Likes Given
      8453

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Kuna ahadi za kujivunia kutimiza...

    10. #8
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,198
      Rep Power : 28905
      Likes Received
      11680
      Likes Given
      4819

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Msongamano unachangiwa pia na barabara kuwa na low quality. Kama kuna mashie na mabonde kila mtu anahurumua gar yake, hapo ujue kwenye lami lakini ni 20kms per hour!
      Lile la ustaarabu wa kutokutanua, naona tumlaumu Nyerere manake inawezekana alitunuizia wakati anatuloga
      markj likes this.
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    11. #9
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      watanzania tumezidi unafiki sasa! hata hao waunge tunaowaamini wanatutetea walikuwanataka road za juu pia! sisi wenyewe tukiwa kwenye mabus tunasema road za juu zitatusaidia kupunguza foleni! na hichi kitu kimeanza muda mrefu! leo watu wameanza kusema watweka road za juu! tunasema wanakurupuka, mabus ya kasi ivo ivo! basi solution yake TUTEMBEENI KWA MIGUU SASA! au tusafiri kwa ungo! mana wenzetu walioendele wanatumia road za juu na mabus ya kasi kujaribu kuboresha hali ya usafiri japo wanazo zaidi kama treni za umeme nk! mana sisi hatuta maendeleo basi tutumie njia asilia sasa.

    12. #10
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      kweli we mfamaji!
      zomba likes this.

    13. #11
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Research ilifanywa na iko dizaini kamili ya namna ya kupunguza msongomano dar. Tena nakumbuka ilifanywa na wajapani wakishirikiana na wataalaam wa chuo kikuu na wengineo. Na hii ni mwanzo tu wakutekeleza yaliyomo.

      Pitia pitia mitandao utaupata huo utafiti, niliusoma kwenye mtandao lakini sikuweka kumbukumbu ni muda mrefu.

      Barabara za juu zinapunguza sana msongamano, hilo halina ubishi.
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #12
      MKATA KIU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 1,378
      Rep Power : 768
      Likes Received
      908
      Likes Given
      27

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Jamani mimi siipend ccm mpaka basi yaani. Lakini kuna vitu siwezi kupinga japokuwa nahisi hawatatekeleza as longo longo ndo zao.

      Katika kuzurura zurura duniani fly overs works a lot kwenye kupunguza foleni na kiukweli dar es salaam ni mj mdogo sana dunian na hauna magari ya kutisha sema miundo mbinu tu hakuna, kwa dar es salaam wakizijenga za kawaida tu kama za malaysia au india yaan folen hakuna kabisa, haina haja ya kuzichanganya sana hewan kama nchi zilizoendelea sana maana utajiri huo hatuna. ila ziwe fly over imara zile ambazo unapanda mlima kubadilisha njia kama upo tambarare. Sema wasi wasi wangu kwa madereva wa kitanzania na lesen za kununua tra itakuwa balaa.

      Jamani kabla hatujapinga kitu inabidi tutembee kidogo tuone wenzetu wanafanyaje as kwenye flyovers mataa ya barabaran yanakuwa sehem chache na mara nyingi zinawekwa sehem zenye makutano na zinasaidia sana kusema kweli.

      Kiukweli dar es salaam hakuna magari mengi ukilinganisha na majiji mengi dunian. Asia and europe kuna magari yaan kama utitiri but dar gar hata likikugonga kesho unaweza kukutana nalo tena as magar idad ndogo sana
      Last edited by MKATA KIU; 6th July 2012 at 21:44.
      Freelancer and Kintiku like this.

    15. #13
      Mokerema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 427
      Likes Received
      117
      Likes Given
      84

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hivi nchi ambazo zina barabara za juu kwa juu hazina msongamano wa magari? Je kuna njia nyingine rahisi ya kupunguza msongamano wa magari Jijini Dar bila kuanza ujenzi wa mabarabara ya juu kwa juu? Ni kitu gani kingine basi kilicho nyuma ya push hii ya kuwa na mabarabara ya juu kwa juu? Yawezekana ni kwa ajili ya picha (postcards) au kusema na "sisi tunazo"?
      Mzee Mwanakijiji,

      Marehemu Nyerere aliwahi kusema Watanzania mazuzu. Magufuli ni mbunifu wa Dili za ulaji CCM in the last days of Mkapa alikuja na hoja ya kuuza Nyumba za serikali. Leo kaanzisha au kafanikiwa kupitisha bajeti pamoja na mambo Mengineyo kujenga flyovers Tazara na Ubungo.

      Hakuna Mbunge aliyemwuliza time frame japo Mbatia alimwelezea triangle ya project. Of course MagUfuli akiwa Kama Mwalimu wa Chemistry hakuelewa swali. Na watu wa Tanroads na Wizara wakauchuna. Angepaswa awaonyeshe Wabunge of course 90% ni wababaishaji including wa upinzani.

      My take : it is going to take miaka mingi and come 2015 hakuna kitakachofanyika. This requires a feasibility study, design tendering, compensation etc, etc, sijaona umakini wa Wizara au mkemia akitueleza itachukua muda gani mpaka tuwe na the first flyover . The Dar rapid transport was incepted almost 10 years ago Leo hii bado wanaanza kujenga kiajabu and for sure it's not going to work cut my neck!

      Pesa zitaliwa tu kwani sijui bila coordinated structural design and having on ground scientific flow wanaishia kusema pesa hazitoshi . If you use elimu ya darasa la kwanza chanzo cha foleni Dar is associated with kufa kwa reli zote ambazo zingeweza kupunguza trucks. Hata uamuzi wa kuweka one central bus stand for a city with over 5 million people it's crazy .

      Nakubaliana partially na Mch. Msigwa akili ndogondogo kusimamia akili kubwa. Asubuhi all vehicles and bodaboda including gutas move towards Ubungo likewise jioni huna haja ya kuwa na degree kuona kwamba it's not going to work.

      Tukiendelea kuwaachia wanasiasa seriou engineering solutions hatutoki hapa tulipo. Huwezi waambia madiwani who are mixed grill kusimamia ujenzi kwa local governments , yaani wawasimamie wahandisi this is a joke of the 21st century.

      I have lost faith in weak ccm strategies. Kuna mpumbavu anakimbilia kuchukua eneo la mbuga ya Selous kuchimba Uranium??

      Just ask them dhahabu ambayo ina bei nzuri na friendly imeshindwa kututoa mbona DRC hiyo Uranium haijawatoa au Zambia. Kagasheki is another fool uranium is radioactive it has huge catasrophic ecological impact. Nawashauri to stop learn from the Russians walichowafanyia wafungwa wao, just three years in the mines and you are a dead body!

      Sorry nimetoka nje ya mada ya flyovers I just wanted to show you how damned is Dhaifu and his henchmen!

    16. #14
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,507
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16376
      Likes Given
      8453

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Nadhani watu hamtaki kuangalia ukweli uliofichika. Mahali pote duniani ambapo Highways zimeweza kupunguza msongangamano zimeenda sambamba na uboreshwaji wa feeder roads na barabara nyingine.. mfumo mzima wa barabara unafanya kazi as a single unit. Kutengeneza mabarabara ya juu kwa juu wala siyo shida sana lakini itajikuta inatengeneza dreadlocks mpya kabisa ama wakati wa kuelekea kwenye hizo freeways au wakati wa kutoka. Mfumo wa kuingia na kutoka kwenye highways ni sehemu nzima ya kupunguza msongamano. Matumizi ya traffic lights ni njia nzuri zaidi ya kupunguza msongamano - kama watu watazitii..
      Richard and Kindimbajuu like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    17. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Nadhani watu hamtaki kuangalia ukweli uliofichika. Mahali pote duniani ambapo Highways zimeweza kupunguza msongangamano zimeenda sambamba na uboreshwaji wa feeder roads na barabara nyingine.. mfumo mzima wa barabara unafanya kazi as a single unit. Kutengeneza mabarabara ya juu kwa juu wala siyo shida sana lakini itajikuta inatengeneza dreadlocks mpya kabisa ama wakati wa kuelekea kwenye hizo freeways au wakati wa kutoka. Mfumo wa kuingia na kutoka kwenye highways ni sehemu nzima ya kupunguza msongamano. Matumizi ya traffic lights ni njia nzuri zaidi ya kupunguza msongamano - kama watu watazitii..
      Hujaiona Dar toka lini? na hujamsikia Magufuli leo akichambuwa hizo feeder roads? au ni lazima uponde kila mafanikio kwa usongo tu?
      Freelancer, Zanta and SIERA like this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Watu huwa hawakurupuki tu, haya mambo yamefanyiwa utafiti zamani, ushahidi:

      Traffic Congestion cause of concern

      Concentrations of particulate matter are much higher near the Tazara Intersection than at other sites nearby. (Source: 2008 Presentation on Dar es Salaam Transport Policy and System DevelopmentMaster Plan Preliminary Feasibility Study, funded by the Japanese International Cooperation Agency)
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #17
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Quote By markj
      watanzania tumezidi unafiki sasa! hata hao waunge tunaowaamini wanatutetea walikuwanataka road za juu pia! sisi wenyewe tukiwa kwenye mabus tunasema road za juu zitatusaidia kupunguza foleni! na hichi kitu kimeanza muda mrefu! leo watu wameanza kusema watweka road za juu! tunasema wanakurupuka, mabus ya kasi ivo ivo! basi solution yake TUTEMBEENI KWA MIGUU SASA! au tusafiri kwa ungo! mana wenzetu walioendele wanatumia road za juu na mabus ya kasi kujaribu kuboresha hali ya usafiri japo wanazo zaidi kama treni za umeme nk! mana sisi hatuta maendeleo basi tutumie njia asilia sasa.
      Hawajakurupuka, utafiti wa kina umefanyika. Na si barabara za juu tu zinazokuja ni pamoja na mabasi ya kwenda kasi (ikimaanishwa kuwa yatakuwa na lane yao tu na hayataoingiliana na lane za magari mengine) ujenzi umeshaanza. Pantoni za kubeba watu kwa wingi kutoka bagamoyo na zikiwa na vituo vinane tofauti. Barabara za juu. Kupanuliwa baadhi ya barabara (Ali Hassan Mwinyi imeshaanza kutoka kawe mpa juu huko. Feeder road ya Mbezi Goba imeshaanza kuwa designed. Train za abiria za mjini kutka ubungo mpaka posta kuanza kabla ya mwisho wa mwaka.

      Magufuli anasema, barabara hazina siasa, wa chadema anapita humo hata maandamano anafanya humo akimaliza anakwenda kulala.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    20. #18
      Mokerema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 427
      Likes Received
      117
      Likes Given
      84

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Quote By zomba
      Hawajakurupuka, utafiti wa kina umefanyika. Na si barabara za juu tu zinazokuja ni pamoja na mabasi ya kwenda kasi (ikimaanishwa kuwa yatakuwa na lane yao tu na hayataoingiliana na lane za magari mengine) ujenzi umeshaanza. Pantoni za kubeba watu kwa wingi kutoka bagamoyo na zikiwa na vituo vinane tofauti. Barabara za juu. Kupanuliwa baadhi ya barabara (Ali Hassan Mwinyi imeshaanza kutoka kawe mpa juu huko. Feeder road ya Mbezi Goba imeshaanza kuwa designed. Train za abiria za mjini kutka ubungo mpaka posta kuanza kabla ya mwisho wa mwaka.

      Magufuli anasema, barabara hazina siasa, wa chadema anapita humo hata maandamano anafanya humo akimaliza anakwenda kulala.
      Zomba

      Sijui Kama unaweza kuona the large picture. Barabara unazoziita Rapid tayari kuna road humps kibao? Unazungumzia speed gani? Kuna a lot of pedestrian crosses on all roads utaziondoa na huku watoto wa skuli wanomba matuta day in day out?
      the distance from Magomeni up to Kinondoni junction na Ali Hasan Mwinyi is about 3km utakimbia speed gani au kutoka Shekilango kwenye kituo Hadi Magomeni also 3km utakimbia speed gani and the pedetrian crosses plus bumps, huu ndio uzumbukuku?

      My friend in Dar you need another think tank hii ya ccm and it's **** achana nayo ni mawazo mgando!
      Sioni Kama kuna kitakachofanyika bila kuwa na under ground roads and a lot of circle lines and this require a lot of redesign including kuhamisha na kufidia watu. You need more high rise parking lots. Go around the world and see what is happening?

      If you still want people to park on the streets just forget. Kama interim solution you have to introduce city entrance fees for personal cars as high as 10,000/= per day and to do this you have to improve the size and quality of commuter buses ambayo they should be allowed minimum five minutes time for picking passengers amongst others. Haya mawazo ya kutumia na Bajaji it's a failed system iliyoshindikana Nigeria walikoanzia!,,

    21. #19
      mwanakazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 424
      Likes Received
      34
      Likes Given
      5

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      2 be honest kuna njia nyingi na bora zaidi za kupunguza foleni! hizo fly-overs ni either ubishoo wa Jk au ile kuuonyesha umma kuwa wanaweza "kufanya" mambo/kutimiza ahadi au itakuwa ni kauli mbiu ya kuombea kura 2015! kama ilivokuwa MACHINGA COMPLEX 2010! Lakini pia inaweza kuwa ni UJINGA WAO! Yaani mawazo yao yameishia hapo na ndio yalivo!!

    22. #20
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Barabara za Juu kwa Juu kweli ni kwa ajili ya kupunguza msongamano?

      Quote By Mfamaji
      No research,wanakurupuka tuu kishamba shamba
      Barabara za mitaa na nyingine za kuunganisha na barabara kuu ambazo zingepunguza msongamano ndio ingekuwa suluhisho. Wazungu kwao walifikia hatua hiyo baada ya kuona hakuna uwezekano mwingine, sisi jiji lina barabara kuu 10 halafu tunataka bridge and ramps wapi na wapi! Kwa ajili ya show sawa, vinginevyo ni kuongeza kero zaidi.
      Jodoki Kalimilo likes this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...