Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 107
    1. #1
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Naomba nimunukuu mmoja wa madaktari:
      The national with no even one public CT SCAN machine that is currently working, .....

      THE NATIONAL HOSPITAL WITH ONE ICU with less than 30 beds.
      THE NATIONAL HOSPITAL with no single paediatric ICU.

      unafiikiri dr tusipokua pamoja tukawaambia hawa wanasiasa kwamba tunataka mabadiliko. nan atawambia??
      IF WE STAND TOGETHER AND TELL THEM THEY WILL UNDERSTAND WHAT WE MEAN.
      BUT TUKIRUDI NYUMA TUTAZIDI KUTESEKA WAKATI NCHI NI YAKWETU NA SIO YA POLITICIAL "
      WAO WAMESHAJICHUKULIA UKUMBI WA KISASA WA BUNGE WAKATI sisi tuhangaika huku bila dawa
      NI WAKATI WETU SISI KUWAMBIA TUNATAKA MAAZINGIRA MAZURI Y A KAZI

      madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza(Mwisho wa kunukuu)
      Last edited by Determine; 6th July 2012 at 18:28.
      Kikwete ni Jasiri Sana

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,167
      Rep Power : 870
      Likes Received
      316
      Likes Given
      719

      Default Re: Liwalo na liwe ,madakitari waendelea na mgomo.wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukw

      Liwalo na liwe, inawaunga mkono!

    4. #3
      swanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 359
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Liwalo na liwe ,madakitari waendelea na mgomo.wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukw

      pamoja

    5. #4
      Bebrn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th March 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 588
      Likes Received
      17
      Likes Given
      12

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      bado halijatolewa tamko hilo maana nao wameanza kuwa kama walimu

    6. #5
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Bebrn
      bado halijatolewa tamko hilo maana nao wameanza kuwa kama walimu
      hutakaa usikie tamko lolote,make Dhaifu hataki tuonekane popote,(amedhibiti media kwa gharama kubwa sana) sisi tunafanya mambo down to down,ukitaka TAMKO Peleka mgonjwa MOI au MNH
      Kikwete ni Jasiri Sana

    7. Miaka 50

    8. #6
      sesy nzenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 372
      Likes Received
      11
      Likes Given
      94

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      kweli liwalo na liwe....

    9. #7
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,482
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4302
      Likes Given
      1248

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Liwalo na liwe

    10. #8
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,689
      Rep Power : 0
      Likes Received
      542
      Likes Given
      273

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Mgomo wa madaktari umeisha, kilichobaki ni mauza uza. Huduma zinaendelea kama kawaida. Mwananyamala hosp ,temeke hosp na refferal lugalo. shughuli zinaenda kama kawa.

    11. #9
      drmkumba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 49
      Rep Power : 435
      Likes Received
      1
      Likes Given
      28

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Daa! masangoma full shangwe!

    12. #10
      master gland's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 153
      Rep Power : 390
      Likes Received
      45
      Likes Given
      40

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Haya twende kama ni kufa kupo tu hata tusipotibiwa na madaktari waendelee kama kawa next week another shaking to silly magambas .Ni zamu ya walimu kuwaonesha udhalimu unaofanywa na Mr. Dhaifu hebu tusubiri mirindimo yake ya pwani. LIWALO NA LIWE
      Determine likes this.

    13. #11
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,127
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3273

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Jamani Madaktari nilisha sema nina waunga mkono....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    14. #12
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 1541
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      I support the doctors all the way!!

    15. #13
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      nawaunga mkono
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    16. #14
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,155
      Rep Power : 715
      Likes Received
      304
      Likes Given
      123

      Default

      Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing

    17. #15
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,020
      Rep Power : 2562
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Determine
      Naomba nimunukuu mmoja wa madaktari:
      The national with no even one public CT SCAN machine that is currently working, .....

      THE NATIONAL HOSPITAL WITH ONE ICU with less than 30 beds.
      THE NATIONAL HOSPITAL with no single paediatric ICU.

      unafiikiri dr tusipokua pamoja tukawaambia hawa wanasiasa kwamba tunataka mabadiliko. nan atawambia??
      IF WE STAND TOGETHER AND TELL THEM THEY WILL UNDERSTAND WHAT WE MEAN.
      BUT TUKIRUDI NYUMA TUTAZIDI KUTESEKA WAKATI NCHI NI YAKWETU NA SIO YA POLITICIAL "
      WAO WAMESHAJICHUKULIA UKUMBI WA KISASA WA BUNGE WAKATI sisi tuhangaika huku bila dawa
      NI WAKATI WETU SISI KUWAMBIA TUNATAKA MAAZINGIRA MAZURI Y A KAZI

      madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza(Mwisho wa kunukuu)
      I am you guys kazeni buti kwa kweli
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    18. #16
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,472
      Rep Power : 764
      Likes Received
      720
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Nyakageni
      I support the doctors all the way!!
      Me too. Mwaka huu, lazima "Suti za ndani" alizohongwa kama malipo ya kuuza Twiga wetu zimbane Dhaifu.

    19. #17
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,497
      Rep Power : 5984
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Mh, haya mambo hadi lini?...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    20. #18
      PMNBuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 907
      Rep Power : 607
      Likes Received
      120
      Likes Given
      28

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Dhaifu atajua la kufanya na wapuuzi ccyemu wataweka msimamo wao. liwalo na liwe!

    21. #19
      controler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 420
      Likes Received
      80
      Likes Given
      74

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Jakubumba
      Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing
      U are geting news from very wrong sources! kama vip nenda Muhimbili nn kujipa tabu! nenda pale kabla hujaugua for the sake of couriosity.

    22. #20
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 958
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      679

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Wanaoendelea na mgomo wasiitwe madaktari - hawa ni wauwaji na mumiani wakubwa - madaktari vyeti hawa.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...