Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 107
    1. #1
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Naomba nimunukuu mmoja wa madaktari:
      The national with no even one public CT SCAN machine that is currently working, .....

      THE NATIONAL HOSPITAL WITH ONE ICU with less than 30 beds.
      THE NATIONAL HOSPITAL with no single paediatric ICU.

      unafiikiri dr tusipokua pamoja tukawaambia hawa wanasiasa kwamba tunataka mabadiliko. nan atawambia??
      IF WE STAND TOGETHER AND TELL THEM THEY WILL UNDERSTAND WHAT WE MEAN.
      BUT TUKIRUDI NYUMA TUTAZIDI KUTESEKA WAKATI NCHI NI YAKWETU NA SIO YA POLITICIAL "
      WAO WAMESHAJICHUKULIA UKUMBI WA KISASA WA BUNGE WAKATI sisi tuhangaika huku bila dawa
      NI WAKATI WETU SISI KUWAMBIA TUNATAKA MAAZINGIRA MAZURI Y A KAZI

      madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza(Mwisho wa kunukuu)
      Last edited by Determine; 6th July 2012 at 18:28.
      Kikwete ni Jasiri Sana

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      mzalendokweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 426
      Likes Received
      86
      Likes Given
      52

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Tume ya Katiba
      Mgomo wa madaktari umeisha, kilichobaki ni mauza uza. Huduma zinaendelea kama kawaida. Mwananyamala hosp ,temeke hosp na refferal lugalo. shughuli zinaenda kama kawa.
      itoshe tu kukwambia kua moyoni mwangu nimekutukana tusi kubwa mno usilolipenda.

    4. #62
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Tume ya Katiba
      Hebu jibu hili swali, ni kwa vipi kukosekana kwa CT Scan muhimbili, kupelekee madaktari wa serikali walio chini ya hospitali za makanisa, KCMC, St francis, Bugando etc nao wagome? Ndio maana nikakwambia hoja za madaktari ni kama ngozi ya kinyonga, Hoja yao kuu ya mishahara, posho huku wakitumika kisiasa imegonga mwamba.
      AIBU ZENU
      madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza .Serikali Dhaifu,wananchi Dhaifu,Isipokuwa madaktari na wanaharakati wachache sana(wewe haumo)
      Kikwete ni Jasiri Sana

    5. #63
      Andrew Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2008
      Posts : 1,440
      Rep Power : 0
      Likes Received
      357
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Hili ni tatizo. Wagonjwa wanalia. Chadema kama chama cha upinzani understandably kinaonyesha great concern. Lakini hili jambo haliihusu Chadema;hili ni jambo kati ya madaktari,Serikali na wagonjwa.
      Na hapa,I just cannot help wondering South Africa wanatufikiria nini,au wanamfikiria nini Rais Kikwete wanapomuona Dr. Ulimboka kule. We have reason to suspect kwamba Ndugu Kikwete is a little bit unpopular huko South Africa.
      Sasa hivi watu wako on tenterhooks. Hii siyo hali nzuri,kwa watu kuwa on tenterhooks, kwa sababu under such conditions,a signal may somehow be given,and then sparks will fly.
      FJM likes this.

    6. #64
      vngenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2011
      Posts : 294
      Rep Power : 467
      Likes Received
      51
      Likes Given
      42

      Default Mgomo unaendelea muhimbili

      Source: Taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV. Waandishi wa habari wazuiwa kuingia wodini

    7. #65
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,492
      Rep Power : 5983
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Quote By vngenge
      Source: Taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV. Waandishi wa habari wazuiwa kuingia wodini
      Mmh, kwa hiyo wameandaa waandishi wao?...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    8. Study Abroad

    9. #66
      Kibwebwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 402
      Likes Received
      30
      Likes Given
      11

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Season1 bado inandelea mkuu

    10. #67
      Njaa Mbaya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 377
      Likes Received
      26
      Likes Given
      88

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Si walisema mgomo umeisha sasa nini tena jamani, ina maana jamaa DHAIFU wametupiga changa la macho

    11. FJM
      #68
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Rais aliendesha kikao cha baraza la mawaziri week hii huko Dodoma, leo alikuwa Sabasaba huku anavinjari (bad PR), Waziri mkuu tunaambiwa kapata safari, wagonjwa bado wanaendelea kutaabika, bunge linaendelea as if mambo ni shwari. Wakati huo huo Dr Ulimboka yuko nje ya nchi anapata matibabu chini ya ulinzi mkali dhidi ya 'serikali yake'. Kweli Tanzania tumepatikana.

      Kwa mawazo yangu kadri siku zinavyozidi kusonga ndiyo huo mchezo wa serikali unazidi kula kwao. Na inatakiwa CCM na viongozi wote serikalini wasali sala zote wanazojua ili Dr Ulimboka apone. Vingenevyo (mungu apitishe mbali) upo uwezekano wa huu mgogoro kugeuka na kuwa kama ugonjwa wa kuambukiza.

    12. #69
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Quote By vngenge
      Source: Taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV. Waandishi wa habari wazuiwa kuingia wodini
      MUNGU okoa taifa hili toka kwa makucha ya wakoloni weusi CCM.

    13. #70
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,914
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      kimya kimya style!

    14. #71
      MZIBUAJI's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Location : Dodoma
      Posts : 7
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      5

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Nafikiri sasa wabunge wakimaliza Bunge la Bajeti,waingie Muhimbili na KCMC wakatibu wagonjwa kuzuia vifo vitakavyofuata sambamba na mgomo huu..

    15. #72
      kaburungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 353
      Rep Power : 562
      Likes Received
      56
      Likes Given
      67

      Default

      Quote By Tume ya Katiba
      Mkuu wangu, kawaambie madaktari kama kweli wana hoja wakae majumbani kwao wasiguse hospitali kabisa, madr wamekosa support ya umma baada ya kugundulika kuwa mgomo wao unasukumwa na siasa na ubinafsi. Hebu nikuulize, ni ipi kwa ufahamu wako ndio hoja kuu ya madaktari
      tumeyakatiba
      Mkuu hicho unachokiita madaktari wamekosa support baada ya kugundulika kuwa mgomo wao unasukumwa na siasa na ubinafsi,,,,

      Hivi huo ugunduzi kwamba mgomo wa doctors ni kwa sababu za siasa na ubinafsi,
      umekuja baada ya uchunguzi upi, nifahamishe tafadhali.

      Na huo umma wa watanzania ni lini umepinga mgomo kwa kutokusupport madaktari, hivi kuna tamko lililoomba ushiriki wa wananchi kusapport doctors kugoma,,,,? kwamba sisi watanzania kabla mgomo haujaanza tuliombwa kusupport mgomo na kwamba sasa baada ya ugunduzi imeonekana tumeingizwa chaka kwa sababu mgomo uko nyuma ya siasa na ubinafsi,,,, na kwa hiyo,,,,,! Mkulu hapo umechemka.

      Na mwisho unaposema doctors hawana madai ya msingi nn mantiki yako labda...

      Kama nilivyosema awali kuwa ww ulieongea na Rafiki yako na akakwambia kuwa hamna mgomo, kwa macho yako na huyo nduguyo hakuna mgomo, ila elewa kuwa mgomo upo, Period.
      Determine likes this.

    16. FJM
      #73
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Tume ya Katiba
      Mkuu hakuna mgomo, hata JF ni wapenzi wa chama fulani cha kisiasa ndio wasingependa kuona mgomo unaisha. Ila mkuu wangu hakuna mgomo, madr hawakuwa na hoja ya msingi.
      “… there are no American troops in Baghdad, ….the Americans are committing suicide by the hundreds at the city's gates…” Al-Sahhaf, (a.k.a Comical Ali) 7 April, 2003
      Tume ya Katiba likes this.

    17. #74
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,650
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Tanzania bila ccm inawezekana kabisa, Huu usanii wa kudanganya mgomo umeisha kumbe bado ni Ukandamizaji na ni UUaji wa Halaiki ya wananchi wa Tanzania

    18. #75
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,415
      Rep Power : 1118
      Likes Received
      627
      Likes Given
      821

      Default

      Quote By MZIBUAJI
      Nafikiri sasa wabunge wakimaliza Bunge la Bajeti,waingie Muhimbili na KCMC wakatibu wagonjwa kuzuia vifo vitakavyofuata sambamba na mgomo huu..
      Taarifa ya Habari haikuafanua nachoomba MaDr waachie ngazi kwani ni lazima kung'ang'ania mikasi na vifaa vya walipa kodi?

    19. #76
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,995
      Rep Power : 8376
      Likes Received
      829
      Likes Given
      691

      Default Re: Mgomo unaendelea muhimbili

      Dhaifu jipange upya na hao wenzako

    20. #77
      Mchomamoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th August 2011
      Posts : 169
      Rep Power : 425
      Likes Received
      22
      Likes Given
      133

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By Jakubumba
      Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing
      mmmmh!! umwa uende Muhimbili uone balaa lake!!

    21. #78
      4change's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 184
      Rep Power : 400
      Likes Received
      44
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Bishop Hiluka
      Mh, haya mambo hadi lini?...
      hadi kieleweke.jenerali ulimwengu ashawahi kusema katika makala yake moja kwamba tz tunaongozwa na a schizophrenic gvt.hawaeleki na wala hawaaniki!ni vigeugeu legelege dhaifu.madr kazeni buti.Liwalo na liwe

    22. #79
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,492
      Rep Power : 5983
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Quote By 4change
      hadi kieleweke.jenerali ulimwengu ashawahi kusema katika makala yake moja kwamba tz tunaongozwa na a schizophrenic gvt.hawaeleki na wala hawaaniki!ni vigeugeu legelege dhaifu.madr kazeni buti.Liwalo na liwe
      Duh, halafu wabunge wanajiandaa kucheza mechi kwenye tamasha la matumaini!...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    23. #80
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,995
      Rep Power : 8376
      Likes Received
      829
      Likes Given
      691

      Default Re: Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

      Hakuna kurudi nyuma

    24. Miaka 50
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...