Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      moja ya majukumu ya wabunge ni kuangalia haki za wapiga kura wao yanatekelezwa na pale serikali inaposhindwa basi ni jukumu lao kuwa-organise wapiga kura wao ili kumsaidia mwenza, kama ilivyo kwenye kilio na sherehe pia. na vivyo hivyo kwa makanisa pamoja na misikiti yetu, kama moja wa waumini amepatwa na janga, basi ni jukumu letu kulaani na ikiwezekana kutoa michango ya hali na mali. na kwa wale walio polisi na sehemu zingine kuisaidia serikali ili itimize wajibu wake ili waovu hawa wapatikane.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,653
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Hapo naona umechanganya mambo, badilisha hio post, inaelekea unakotaka kwenda si kwenyewe huko

    4. #3
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 949
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Lazima utakuwa mmoja wa kundi la alzenji,huku bara hatuwataki nyie
      Mboko and Suzan Minja like this.
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    5. #4
      dandabo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th February 2012
      Posts : 193
      Rep Power : 404
      Likes Received
      59
      Likes Given
      4

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      si lazima wabunge wa mbeya na kanisa hilo watoe tamko mkuu! Huo ni ubaguzi tu. Mbunge yeyote wa mkoa wowote na dini/dhehebu yoyote wako huru kutoa matamko. Kanisa lisitoe tamko eti kwasababu Ulimboka ni mkristo na akiwa muislam wakae kimya. Ulimboka hakugoma kwa ajili ya wakristo tu au watu wa mbeya peke yao, nikwa ajili ya hali ya afya nchi nzima

    6. #5
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Quote By dandabo
      si lazima wabunge wa mbeya na kanisa hilo watoe tamko mkuu! Huo ni ubaguzi tu. Mbunge yeyote wa mkoa wowote na dini/dhehebu yoyote wako huru kutoa matamko. Kanisa lisitoe tamko eti kwasababu Ulimboka ni mkristo na akiwa muislam wakae kimya. Ulimboka hakugoma kwa ajili ya wakristo tu au watu wa mbeya peke yao, nikwa ajili ya hali ya afya nchi nzima
      ni vizuri ulivyo shauri basi tuwasikie wabunge wote na viongozi wa madhebu yote

    7. Miaka 50

    8. #6
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 949
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Quote By Patric Richard
      Lazima utakuwa mmoja wa kundi la alzenji,huku bara hatuwataki nyie
      Al Zenji,hahahaaaaaaaaaaaaaa UAMSHO pacha wake nini??
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    9. #7
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Yap nilitegemea Chifu wa Masoko kule atoe tamko basi hata Mchungaji wake basi......
      August likes this.

    10. #8
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,180
      Rep Power : 3550
      Likes Received
      3050
      Likes Given
      460

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Quote By August
      moja ya majukumu ya wabunge ni kuangalia haki za wapiga kura wao yanatekelezwa na pale serikali inaposhindwa basi ni jukumu lao kuwa-organise wapiga kura wao ili kumsaidia mwenza, kama ilivyo kwenye kilio na sherehe pia. na vivyo hivyo kwa makanisa pamoja na misikiti yetu, kama moja wa waumini amepatwa na janga, basi ni jukumu letu kulaani na ikiwezekana kutoa michango ya hali na mali. na kwa wale walio polisi na sehemu zingine kuisaidia serikali ili itimize wajibu wake ili waovu hawa wapatikane.

      Wabunge wa Mbeya sawa; Kwanini Kanisa La Kilutheri? Haya UDINI wa nini Sasa?

      Kama kuna Vyombo Vya Usalama Vinawalinda Wananchi unataka Pia Kanisa liwe na

      Vyombo Vya Ulinzi? Wewe unataka ya SOMALIA? Uwe na Hekima Achie Polisi; DINI

      zetu zisiingilie Jamani UMECHOKA NA AMANI ETI?

    11. #9
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      ishu ikishafika polisi hakuna mtu anayetakiwa kuingilia kuchunguza kisheria.....

    12. #10
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Quote By asigwa
      ishu ikishafika polisi hakuna mtu anayetakiwa kuingilia kuchunguza kisheria.....
      wasi wasi unakuja unapokutana na issue kama ya zomba na wale jamaa wa madini mahenge

    13. #11
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Quote By nngu007

      Wabunge wa Mbeya sawa; Kwanini Kanisa La Kilutheri? Haya UDINI wa nini Sasa?

      Kama kuna Vyombo Vya Usalama Vinawalinda Wananchi unataka Pia Kanisa liwe na

      Vyombo Vya Ulinzi? Wewe unataka ya SOMALIA? Uwe na Hekima Achie Polisi; DINI

      zetu zisiingilie Jamani UMECHOKA NA AMANI ETI?
      kulitolea kauli si udini au kumchangia pesa kwa ajili ya matibabu nk, bali kuongezea uzito suala lenyewe ili mamlaka zinazohusika zifanye kazi yao ipasavyo hasa ukitilia manani mtuhumiwa mojawapo ni mamlaka

    14. #12
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?


    15. #13
      Lihove's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 52
      Rep Power : 370
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Aliyeandika heanding ni tofauti na aliye andika habari.hakuna conection kati ya heading na story. Labda jaribu tena kusoma heading labda utakumbuka ulitaka hasa kusema nini mkuu.si amini kama ulikuwa unataka kuleta mambo nyumbani ma udini hapa.

    16. #14
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,201
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Kwani na huko utasema kuna mbunge?

    17. #15
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 678
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Mbona tayari kivuli cha wote unawataka kutoa tamko a. k.a CDM wameshafanya hivyo!!!!??

    18. #16
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,180
      Rep Power : 3550
      Likes Received
      3050
      Likes Given
      460

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Quote By August
      kulitolea kauli si udini au kumchangia pesa kwa ajili ya matibabu nk, bali kuongezea uzito suala lenyewe ili mamlaka zinazohusika zifanye kazi yao ipasavyo hasa ukitilia manani mtuhumiwa mojawapo ni mamlaka
      Lakini Ukachagua dhehebu moja kuliko kusema Makanisa yote? kama unamaana Makanisa?

    19. #17
      SHEMGUNGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 332
      Rep Power : 437
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      vp kwan dr uli anatokea mbeya naomba msaada?

    20. #18
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,940
      Rep Power : 31786
      Likes Received
      5899
      Likes Given
      19244

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Juzi sugu kaongea bungeni hadi kuwaita watu majanjaweel kwani haufuatilii. kanisa wao wajibu wao nr kuomba na bila shaka wanafanya hivyo. au una yako mkuu.

    21. #19
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 222
      Rep Power : 409
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: wabunge wa Mbeya na Kanisa la Kilutheri Mpo wapi kufuatia kutekwa kwa Dr Ulimboka?

      Free mansons nao watoe kauli

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...