moja ya majukumu ya wabunge ni kuangalia haki za wapiga kura wao yanatekelezwa na pale serikali inaposhindwa basi ni jukumu lao kuwa-organise wapiga kura wao ili kumsaidia mwenza, kama ilivyo kwenye kilio na sherehe pia. na vivyo hivyo kwa makanisa pamoja na misikiti yetu, kama moja wa waumini amepatwa na janga, basi ni jukumu letu kulaani na ikiwezekana kutoa michango ya hali na mali. na kwa wale walio polisi na sehemu zingine kuisaidia serikali ili itimize wajibu wake ili waovu hawa wapatikane.

Reply With Quote



Follow Us Here