Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      Cable's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 366
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Post Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

      1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
      2. Wizi wa Fedha za EPA
      3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
      4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
      5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
      6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
      7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
      8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
      9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
      10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
      11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

      Wazungumzaji Wakuu:

      1. Freeman Mbowe
      2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
      3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
      4. Dr. Wilbrod Silaa
      5. Godbless Lema
      6. Halima Mdee
      7. Joshua Nassari
      8. Mh. Wenje

      Wazungumzaji Huru.

      1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
      watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

      2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
      3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
      4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
      5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
      6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
      6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
      7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
      8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
      9. RPC Mstaafu
      10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
      11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
      12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

      KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

      Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
      Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba
      Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223


    2. #2
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Nadhani unataka kutuchemsha kwa nini majeshi yote hayo duuh siamini

    3. #3
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,801
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      163

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Ngoja nimtwangie Mwigulu nimpe taarifa...Hiyo timu yaweza kumhamisha Jimbo huyu Mzinzi na Mropokaji...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    4. #4
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,085
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      988
      Likes Given
      247

      Default

      Heri mimi sijasema!

    5. #5
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Yule mzinzi lazima azirai


    6. #6
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,362
      Rep Power : 990
      Likes Received
      634
      Likes Given
      0

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Mleta mada hizi taarifa akizipata chemba hakika lazma azimie,namshauri aongee na nape kwa ajili ya kufuta nyanyo atakapozinduka.

    7. #7
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,558
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      duh! Hii habari inapaswa kuthibitishwa na Tumaini Makene, Dr. Slaa, Zitto au viongozi wa juu walioko kwenye jukwaa hili. Halafu bavicha sijawaona hapa! Kulikoni?

    8. #8
      Cable's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 366
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Zitto Kabwe amethibitisha kushiriki na amepewa kazi maalumu ya utafiti chini ya wasaidizi wa wasomi sita wenye alama za juu za mambo ya uchumi na utawala wa fedha kutoka Chuo Kikuu cha Tanzania na kushauri timu itakayokuwepo Iramba, kazi hii pia itamruhusu kuhutubia katika vikao vya Iramba.

      Kazi yake nyingine ni kuwashughulikia na kuwapangia kazi wanasiasa wageni wote watakaoanza kuja Nchini kutoka Kenya na Uganda watakaohutubia mikutano mbalimbali ya Chadema Nchi nzima wakielimisha kuhusu namna bora za hoja za kikatiba za kudhibiti na kuwaadhabisha mafisadi, haki katika ardhi na haki za Binadamu katika katiba Mpya. Katika wageni hao wapo maprofesa wanne waliosomea Sheria za Katiba na kupata alama za juu kutoka Kenya, Uganda, Nigeria na Ivory Coast.

      Jina langu ni Cable, maana yake waya, Waya wa Simu:

      Subiri Utafurahi.

    9. #9
      AlamaZA NYAKATI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 274
      Rep Power : 478
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      mbona hujamjuisha mrithi wa jimbo hilo 2015 jembe la la ukweli DR Kitila Mkumbo?

    10. #10
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,017
      Rep Power : 1656
      Likes Received
      1138
      Likes Given
      419

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Quote By Cable View Post
      Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

      1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
      2. Wizi wa Fedha za EPA
      3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
      4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
      5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
      6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
      7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
      8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
      9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
      10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
      11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

      Wazungumzaji Wakuu:

      1. Freeman Mbowe
      2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
      3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
      4. Dr. Wilbrod Silaa
      5. Godbless Lema
      6. Halima Mdee
      7. Joshua Nassari
      8. Mh. Wenje

      Wazungumzaji Huru.

      1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
      watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

      2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
      3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
      4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
      5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
      6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
      6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
      7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
      8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
      9. RPC Mstaafu
      10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
      11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
      12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

      KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

      Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
      Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba
      Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223
      spidi 120
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    11. #11
      Kiboko Yenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 313
      Rep Power : 433
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      hapo ni posho tu zile hela alizotoa shibuda jana ndio wameshazipgia hesabu wakazigawane

    12. #12
      Kakubilo Kasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 400
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      hili jeshi nimelipenda na kulikubali sana!

    13. #13
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,927
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      641
      Likes Given
      813

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Quote By Cable View Post
      Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

      1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
      2. Wizi wa Fedha za EPA
      3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
      4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
      5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
      6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
      7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
      8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
      9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
      10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
      11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

      Wazungumzaji Wakuu:

      1. Freeman Mbowe
      2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
      3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
      4. Dr. Wilbrod Silaa
      5. Godbless Lema
      6. Halima Mdee
      7. Joshua Nassari
      8. Mh. Wenje

      Wazungumzaji Huru.

      1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
      watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

      2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
      3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
      4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
      5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
      6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
      6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
      7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
      8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
      9. RPC Mstaafu
      10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
      11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
      12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

      KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

      Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
      Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba
      Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223

      Hii imekaa vizuri, tena mkamwambie na ile dhambi aache, ile ya igunga.
      Simple life is healthier than egoism.

    14. #14
      seniorgeek's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2008
      Location : Arusha
      Posts : 355
      Rep Power : 619
      Likes Received
      74
      Likes Given
      347

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Battalion.
      No mercy

    15. #15
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,558
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Chemba lazima lioze na kunuka!

    16. #16
      Kirode's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 1,117
      Rep Power : 640
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Eeee mungu nakuomba iwe kweli. Amen.

    17. #17
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,424
      Rep Power : 25474
      Likes Received
      1146
      Likes Given
      913

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      kama kikosi hiki kitatua kwa Mwigulu lazima atahama jimbo hii ni hukumu kwa Mwigulu na wakitoka hapo wasisahau kwa Lusinde

    18. #18
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      mleta mada umesahau kuattach hii
      ONYO:watakao hutubia wawe makini na wake zao..

    19. #19
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,667
      Rep Power : 805
      Likes Received
      163
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kiboko Yenu View Post
      hapo ni posho tu zile hela alizotoa shibuda jana ndio wameshazipgia hesabu wakazigawane
      Asiyefanyakazi asile.

    20. #20
      miss strong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 924
      Rep Power : 535
      Likes Received
      209
      Likes Given
      62

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Nimeipenda sana hiyo yan,Yy si alisema Nassari kadogo hakaenei ht kiganjani Mrisho Ngasa ana afadhali!Dharau nyng tutamshika pabaya.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...