Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 36 of 36
    1. #1
      Cable's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 362
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Post Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

      1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
      2. Wizi wa Fedha za EPA
      3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
      4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
      5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
      6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
      7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
      8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
      9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
      10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
      11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

      Wazungumzaji Wakuu:

      1. Freeman Mbowe
      2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
      3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
      4. Dr. Wilbrod Silaa
      5. Godbless Lema
      6. Halima Mdee
      7. Joshua Nassari
      8. Mh. Wenje

      Wazungumzaji Huru.

      1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
      watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

      2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
      3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
      4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
      5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
      6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
      6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
      7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
      8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
      9. RPC Mstaafu
      10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
      11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
      12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

      KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

      Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
      Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba
      Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223

    2. Miaka 50

    3. #21
      miss strong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 648
      Rep Power : 476
      Likes Received
      131
      Likes Given
      62

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Anaropoka sana na kutaka sifa cjui anafikiria kupewa uwaziri!Asubuhi anamsifia Mr dhaifu kwa kumteua Mwandosya wizara isiyokuwa na shughul maalum.

    4. #22
      Mkekuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 700
      Rep Power : 499
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Godwinnko
      mleta mada umesahau kuattach hii
      ONYO:watakao hutubia wawe makini na wake zao..
      take five.

    5. #23
      controler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 366
      Rep Power : 420
      Likes Received
      80
      Likes Given
      74

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Hili jeshi mbona kali sana jamani! Msimfanyie hivyo maana itakuwa ni sawa na kuuwa mende kwa

      alexander kalashnikov 47 full loaded with 4 extra magazine

    6. #24
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Kama hii habari ni ya ukweli then this is too much mazee. Kwa nini kuua inzi kwa nuclear? Haya Mwigulu unalo hilo. Natumaini majivuno na majigambo yako yasiyokuwa na tija yamefikia tamati rasmi.

    7. #25
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,017
      Rep Power : 2561
      Likes Received
      785
      Likes Given
      28

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Mie natafutwa chai kwanza ili narudi kujua ukweli wa hii timu
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Nipo huku Kinampanda jimboni kwa Lizinzi. 2015 NCHEMBA OUT.

    10. #27
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

    11. #28
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 418
      Rep Power : 432
      Likes Received
      149
      Likes Given
      1

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Quote By Manyanza
      kama kikosi hiki kitatua kwa Mwigulu lazima atahama jimbo hii ni hukumu kwa Mwigulu na wakitoka hapo wasisahau kwa Lusinde
      Najitolea kwenda kuwakomboa wananchi wa jimbo la yule mzinzi mwingine aliyekamatwa hivi karibuni manake CCM imeshindwa kuleta maendeleo na wake wa wananchi wanachapa!Nafkiri ukienda kwenye majimbo yao hawa jamaa miongoni mwa ukombozi utakaopaswa kuwapelekea wananchi ni kunusuru wake zao

    12. #29
      NusuMutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Mpulungu
      Posts : 421
      Rep Power : 471
      Likes Received
      74
      Likes Given
      20

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Quote By dudus
      Kama hii habari ni ya ukweli then this is too much mazee. Kwa nini kuua inzi kwa nuclear? Haya Mwigulu unalo hilo. Natumaini majivuno na majigambo yako yasiyokuwa na tija yamefikia tamati rasmi.
      teh...teh....,teh...
      ..Ah, Potelea mbali... LIWALO NALIWE

    13. #30
      Abu-Musab's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 404
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Watu wanapenda kujipa moyo kwa kweli. Ni rahisi kuyahadaa macho,, lakini huwezi kuudanganya moyo wak omwenyewe......Think!!

    14. #31
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Nchemba akisikia hizi habari atajinyonga, mbona mnataka kumfukuzisha kazi yake ya kugonga meza pale kwenye ukumbi wa taarabu za magamba. BoT amemwagwa baada ya kuchota pesa za EPA ili ziingizwe kwenye kampeni ya Dr.dhaifu.

      Mbona Chadema mnataka kumlaza na njaa, ameshazowea kugonga meza na kusinzia kule kwenye ukimbi wa Taarabu. Sasa akifukuzwa Iramba na wananchi ataweza kuilisha familia yake?

      Muoneeni huruma au mnataka awe kama Nape au Le mutuuuuuuzi
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    15. #32
      Luushu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 232
      Rep Power : 405
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Huyu mzinzi katuchosha kawadanganya wananchi wa mgundu kwa kuwapa 200000 eti wafungue akaunti ya maji na wananchi hawahoji anatoa wapi pesa,kesha iba BOT siku nyingi hatutaki apite mgundu atachukua wake zetu.MUNGU IBARIKI CDM AMEN

    16. #33
      leekud's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 364
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Quote By miss strong
      Anaropoka sana na kutaka sifa cjui anafikiria kupewa uwaziri!Asubuhi anamsifia Mr dhaifu kwa kumteua Mwandosya wizara isiyokuwa na shughul maalum.
      Timu hii ni nzuri sana na nina hakika ikifanyika kwa umakini huyu mtu atazimia haraka sana na naomba hapa kiwe kituo chetu cha kudumu cha kuanzia kila aina ya kampeni, tukitoka hapa tunaenda kwa mwenzake Cpt Mstaafu John Komba. Huyu nae anatakiwa kufanyiwa kazi kubwa halafu tumalizi e kwa Lusinde. Tuna takiwa kutangaza ushindi wa ubunge katika majimbo haya mapema kabla ya mwaka huu kwisha.

    17. #34
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      bacelona kucheza na manyema,ni ngekewa,nge.nge.ngekewa ,cheka kumpiga manu paquiano hioyo ni ngekewa.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    18. #35
      chitalula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 426
      Rep Power : 519
      Likes Received
      88
      Likes Given
      40

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      tunaomba uthibitisho wa habari hii, vinginevyo tuhesabie kama maoni tu

    19. #36
      Simplicity.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 494
      Rep Power : 491
      Likes Received
      70
      Likes Given
      67

      Default Re: Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

      Kati ya wapumbavu ninao wajua mimi Mwigulu ameshika nambari one, maana yeye ni bonge la juha!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...