Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      spencer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Location : OckLahoma.
      Posts : 935
      Rep Power : 622
      Likes Received
      292
      Likes Given
      128

      Default Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      GreatThinkers,
      Kwa mujibu wa duru za uhakika, wataalamu wengi wazalendo wameendelea kuacha kazi migodini hii inatokana na sera chafu za Unyang'anyi za serikali ya CCM kuwa hakuna kuchukua NSSF hadi ufike miaka ya kustaafu. Sheria iko mbioni kuanza kufanya kazi mwaka huu.
      Taarifa nilizozipata mpaka sasa ni kama ifuatavyo.
      NorthMara-43 Geita-86 Buzwagi-33. TBL Mwanza 4, SBL Mwanza-6 hii record ni kuanzia Jumatatu wiki hii.
      Kwa nini wanaresign?
      • Hawataki kunyanyasika kama wastaafu wa Afrika Mashariki wanavyohangaishwa
      • Inawezekana pesa zao zikaibiwa na waezi wao wakakimbia nchi na kuwa raia wa nchi zingine kama ilivyotokea kwa baadhi ya wezi waliozushiwa kufa wakati wanakula bata Boston
      • Ni afadhari wale jasho lao, kwani wakichua hela zao na kujenga nyumba wakapangisha wataishi hata bila mafao toka NSSF
      • Inflation ya kutisha
      • Hakuna dalili za watu kuogopa au kuacha kuiba mali ya umma
      • nk
      Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mshuza2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,305
      Rep Power : 687
      Likes Received
      199
      Likes Given
      17

      Default

      'Duru za uhakika'...kama ndivyo basi kazi ipo,jamaa wanabuni mbinu mpya kila siku kutudhulumu!

    4. #3
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,799
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      546

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      ccm km kiwavi fedhuli

    5. #4
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 632
      Likes Received
      114
      Likes Given
      81

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Hiyo sheria yao wakiipitisha watatumaliza wengi

    6. #5
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,412
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Quote By mgodi
      Hiyo sheria yao wakiipitisha watatumaliza wengi
      Mkuu kama hiyo sheria inaandaliwa ni wazi kwamba ikipelekwa kwenye bunge la magamba itapita tu kwa "asimilia 200". Wabunge wa magamba hawako pale kuwawakilisha wananchi bali kulinda chama chao legelege na serikali yake dhaifu.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Nyasirori's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 93
      Rep Power : 534
      Likes Received
      26
      Likes Given
      11

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Sijawahi kushabikia chama chochote cha siasa, lakini kwa kwa sheria hata mimi nimehisi kuanza kuichukia CCM.
      ndyoko and zululima like this.

    9. #7
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 454
      Rep Power : 526
      Likes Received
      131
      Likes Given
      60

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Serikali huwa zinakuwepo kwa lengo la kulinda masilahi ya watu waliozichagua lakini hii ya kwetu iko tofauti kabisa kwani inalinda masilahi yake kwanza! Mfanyakazi huyu ndo mtu anayelipa kodi kubwa kabisa kutoka kwenye kipato chake cha kila mwezi kwa ajili ya mapato ya serikali na kiasi kinachobaki kwa ajili ya kuweka akiba ya baadaye ni kama hakipo kabisa. Ni wachache sana wanaoacha au kuachishwa kazi Tanzania hii ambao huwa tayari wamekwisha jenga japo nyumba na hii ni kutokana na hali halisi ya vipato vya wafanyakazi wa nchi hii (kwenye kundi hili nimewatoa wale wanaofanya ufisadi). Ukweli ni kwamba mtu anaacha kazi akiwa hana akiba yoyote ya kumsaidia na kwa maana hiyo akiba pekee ambayo anaitegemea ni NSSF/PPF na mifuko mingineyo.

      Hivi leo hii kwa mfano nina miaka 40 halafu unaniambia nisichukue pesa hiyo ya akiba hadi nitakapofikisha miaka 55, familia itakula na kulala wapi kwa miaka hiyo 15 wakati nasubiri kufikisha miaka 55? Karo ya shule kwa ajili ya watoto itatoka wapi? Kikubwa zaidi ni kuwa uhai unatoka kwa muumba, kama nakufa sijafikisha umri huo, familia itapata shida kwa kiasi kikubwa na pengine hawataweza hata kuzipata hizo fedha kutokana na dhuluma za ndugu na jamaa. Ninachokiona hapa ni uandaaji wa kundi lingine la wazee ambao watakuja kuhangaishwa kama jinsi tunavyowaona wale wa afrika mashariki sasa!

      Ni bora nikaacha kazi sasa hivi kuliko kusubiri kuja kulala kwenye lami na kumwagiwa maji ya kuwasha hapo mwaka 2025 wakati nikiwa nadai pesa zangu!
      zululima likes this.

    10. #8
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Quote By Nyasirori
      Sijawahi kushabikia chama chochote cha siasa, lakini kwa kwa sheria hata mimi nimehisi kuanza kuichukia CCM.
      Karibu kwenye kundi la watu enye akili mfano wa wapenda CDM. Binafsi ndo nasikia leo, na kama ni kweli basi serikali ina dhamira ya kutaka kuwauwa watu wake. Sipati picha yaani kama leo nimeachishwa kazi na mwajiri wangu, then ili niweze kupata haki yangu basi kama nina miaka 40, itabidi nisubiri miaka 20 mbele ndo nije kupata hiyo haki yangu, looooooooh jamani CCM mbona wanatumia masaburi kiasi hiki ktk kufikiri, kuamua na kutenda!.

      Ukion hivi ujue tayari NSSF inaelekea kufilisika maana kutumia hela za wafanyakazi kujengea vitega uchumi ambavy vina-break even after half a century unategemea nini hapo? Waangalie namna nyingine ya kuzirundika hizo hela sio kwa kutumia njia hii. Yaani hii serikali inataka kuleta mtindo wa kijinga kama wanaotumia kwa watumishi wao kwa mashirika kama ya LAPF, PPF na PSPF, waachane na huo ujinga kabisa.

      Kama ni maandalizi ya mahali pa kupata hela kwa ajili ya kampeni zao za 2015, kwa kweli waangalie source nyingine sio hii NSSF ambayo kimsingi ndiyo yenye kipato kikubwa na ambayo waliitumia sana kukopa hela kwa ajili ya kumuweka Mkapa madarakani. jamani serikali inatosha kwa mliyoyafanya kwa EPA, huku kwa sisi wanyonge tuachineni wenyewe, chonde chonde Mgimwa na wenzako mlioko hazina, NSSF ingawa ndio kimbilio lenu la kukopa, haitakuwa na maana kukopa kwenu NSSF basi shurti muwaletee mateso watumishi wa sekta binafsi, chonde chonde!

      Mmesha fanya maovu mengi na ni kama nchi imebaki mifupa tupu, basi ondokeni salama mtuachie mifupa hii ili tuangalie utaratibu wa kujazia nyama upya, maana nyie mmeshindwa kutuondoa toka hapa tulipo, mweeeeeee! Kwanini watanzania walihadaiwa wakamchagua RAIS mwenye mikosi kiasi hiki?
      zululima likes this.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    11. #9
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Jinsi serikali inavyocheza na hela za mfuko huu, ni wazi unakaribia 'kukauka' hivyo huu ni mkakati wa kujaribu kuulinda ili walau bumu hili lisjie likailipukia serikali mikononi kabla ya 2015
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    12. #10
      spencer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Location : OckLahoma.
      Posts : 935
      Rep Power : 622
      Likes Received
      292
      Likes Given
      128

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      hali ni mbaya sana Bulyanhulu.
      karibia wamegoma.
      wakati wowote HR kuwafukuzwa
      Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu

    13. #11
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Ooooh My Gosh! Bora MIGODI YA MADINI tu ndiyo ifungwe kwasababu yenyewe haichangii kitu kwenye pato la TAIFA. Ipo kwaajili ya kuwanufaisha wazungu na mafisadi wachache wa Kitanzania. Lakini siyo viwanda vya bia kama TBL ambaye ndiye MLIPAJI NAMBA MOJA wa kodi Tanzania.

      Mark my words Kama viwanda vya bia vikifungwa SERIKALI ita collapse within a couple of months. Na ka-Banana republic (Read Malawi) katachukuwa ziwa Nyasa lote because tutakuwa hatuweza kupigana tena VITA!

      Mungu wangu hebu wape SENSE hawa "WATAWALA" wafutulie mbali hii sheria ya SSRA.

    14. #12
      Pelekaroho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Bugula
      Posts : 437
      Rep Power : 528
      Likes Received
      63
      Likes Given
      22

      Default

      Quote By mgodi
      Hiyo sheria yao wakiipitisha watatumaliza wengi
      Hiyo mkuu ishapitishwa na baba mwanaasha ashairuhusu kuanza kutumika kwa hiyo tayali ipo kazini.

    15. #13
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,253
      Rep Power : 1542
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      hatuitaki hii sheria! Kwisha!!

    16. #14
      Kasimba G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 854
      Rep Power : 593
      Likes Received
      252
      Likes Given
      265

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Hamuitaki sheria ambayo isha pitishwa april! Wabunge wa upinzani waliipinga ila walizidiwa na sauti za ndioooo!

    17. #15
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,630
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1008
      Likes Given
      800

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Slaa aliwai sema hii nchi haita tawalika sijui ndo imeanza kutotawalika

    18. #16
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,066
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      668
      Likes Given
      466

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Quote By Bobuk
      Ooooh My Gosh! Bora MIGODI YA MADINI tu ndiyo ifungwe kwasababu yenyewe haichangii kitu kwenye pato la TAIFA. Ipo kwaajili ya kuwanufaisha wazungu na mafisadi wachache wa Kitanzania. Lakini siyo viwanda vya bia kama TBL ambaye ndiye MLIPAJI NAMBA MOJA wa kodi Tanzania.

      Mark my words Kama viwanda vya bia vikifungwa SERIKALI ita collapse within a couple of months. Na ka-Banana republic (Read Malawi) katachukuwa ziwa Nyasa lote because tutakuwa hatuweza kupigana tena VITA!

      Mungu wangu hebu wape SENSE hawa "WATAWALA" wafutulie mbali hii sheria ya SSRA.
      Mkuu unadhani hata hiyo vita na Malawi ingeanza leo jeshi letu lina uwezo wa kupigana? Kuanzia logistics hadi personnel kila kitu fake.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    19. #17
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,653
      Rep Power : 722
      Likes Received
      345
      Likes Given
      0

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Ndiyo maana siku hizi hata ile hamasa ya kuimba wimbo wa taifa imepungua...watu wanapotezewa uzalendo wao na serikali ya chama cha zamani

    20. #18
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 499
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Quote By Power G
      Mkuu kama hiyo sheria inaandaliwa ni wazi kwamba ikipelekwa kwenye bunge la magamba itapita tu kwa "asimilia 200". Wabunge wa magamba hawako pale kuwawakilisha wananchi bali kulinda chama chao legelege na serikali yake dhaifu.
      Sheria ilishapita tangu April na Raisi keshai sign.............tunachosubiri ni kama kutakuwa na marekebisha bungeni

    21. #19
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Bunge walifanya makusudi ili wapate allowance

    22. #20
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2306
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Migodi Mikubwa na Viwanda vya Bia Tanzania Kufungwa

      Eeeh. Hii kali. Kama kweli wanaacha kazi watakuwa wamesaidia kuwa na nafasi kwa ajiri ya ajira mpya.

      Hivi mtu unafanya kazi ili upate pension ya ujanani???

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...