Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 56
    1. #1
      CHAUMMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Tarehe 3 mwezi julai,2012 chama kipya CHAUMMA(chama cha ukombozi wa Umma) kilipata usajili wa muda.

      Kwa bahati mbaya kabisa au kwa makusudi kuna baadhi ya watu wameakueneza propaganda za kukichafua chama hiki.Chama hiki hakina malengo ya kuwagawa wapinzani.Kina lengo la kutanua wigo wa upinzani katika kupambana na mfumo unaochochea unyonge wa kijamii,dhuluma,matumizi mabaya ya raslimali za Taifa na kuunganisha nguvu kama Jamii iiyochoka kukandamizwa na inayodai haki usawa.

      Chama hiki ni chama ambacho hata mtoto wa masikini anaweza kusimama na akawa na sauti katika kuchagua na kuchaguliwa.I am yet to see a truly democratic and progressive party in Tanzania.All we have are political platforms which people use to realise their ambition not the ones to save the people. As far as this moment is concerned, I don’t see any difference in any political party in Tanzania. You may blame CCM or other parties for all you want to blame them for. And when you differ in opinion, they will plot your exit. That is not the kind of party we want


      Though we disagree to agree, that gives us an edge. And that makes us stronger and we will continue to maintain that. We need to unite and there is need for unity among us. What holds us together is the unity and as a political party we must disagree, but whatever the level of disagreement, finally (at the end) we normally agree on a common front and that is what will make CHAUMMA a progressive party for progressive Tanzania.

      Tunaamini suluhisho la matatizo yetu sote ni kupata mawazo na kutoa fursa kwa kila mtanzania mwenye kipaji kutumia fursa hii katika harakati zetu hizi

      Tumepata maombi mengi ya kujiunga na chama hiki.Wengi wao ni vijana na tunaendelea kuratibu mchakato mzuri zaidi ili matawi na ofisi zifunguliwe mijini na vijijini.Tutawafuata Watanzania mahali walipo.Mwalimu Nyerere na wazee wa TANU walizunguaka Tanganyika katika kukusanya nguvu ya waafrika katika kupapmbana na ukoloni.Natambua kuna watanzania wasio na vyama,kuna wale walioko ndani ya vyama vya siasa hawaridhiki na mambo yalivyo.Tunawakaribisha kwa mikono miwili.

      CHAUMMA tunapigania kwa vitendo kabisa demokrasia ya kijamii,haki,Amani na Usawa.
      Invisible likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. 911
      #2
      911's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 494
      Rep Power : 646
      Likes Received
      51
      Likes Given
      304

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      To divide and rule could only tear us apart;
      In everyman chest, mm - there beats a heart.
      So soon we'll find out who is the real revolutionaries;
      And I don't want my people to be tricked by mercenaries.

      Bob Marley.
      cerezo likes this.

    4. #3
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,437
      Rep Power : 10877
      Likes Received
      3813
      Likes Given
      426

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Ninachowashauri acheni vita ambayo mmeshaanza na CDM.Hivi mnadhani kutangaza vita na CDM ni mtaimarika? Jifikirieni upya mkitaka kupata nguvu teteeni yale CDM wanayotetea.Mnavyofanya vita nao ndio mnakaribisha kifo chenu.Wenzenu CUF na NCCR walianza yamewashinda.

    5. #4
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,989
      Rep Power : 1646
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      414

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      you can fool some people for sometime, but you can't foll all the people all the time.

      Robert Nesta
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    6. #5
      CHAUMMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By Molemo
      Ninachowashauri acheni vita ambayo mmeshaanza na CDM.Hivi mnadhani kutangaza vita na CDM ni mtaimarika? Jifikirieni upya mkitaka kupata nguvu teteeni yale CDM wanayotetea.Mnavyofanya vita nao ndio mnakaribisha kifo chenu.Wenzenu CUF na CDM walianza yamewashinda.
      Molemo,

      CHAUMMA hakipambani na CHADEMA.Hata wanafunzi wa Yesu walimlalamikia kwa kumuambia 'mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jina lako'.Yesu aliwajibu asiyetupinga yupo upande wetu.

      Kuna propaganda chafu ambazo zinaenezwa na baadhi ya watu na wengine wakiwa ni watu wa upinzani kwa lengo la kukichafua chama hiki kichanga.tunawindwa na baadhi ya vyama vya Upinzani na CCM pia.Tumejipanga na tunajiandaa kuanza usajili wa wanachama kwa njia ya mtandao na kutengeneza Database imara

      Tunawakaribisha nyote ndani ya chama hiki.Ilibidi jana na leo chama kiongeze raslimali watu kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kutaka kujiunga na chama hiki.tumepata maombi kutoka kwa wanachama wakongwe.Hatutambeba mtu yeyote.Tunaandaa vetting process kwa wanaotaka kujiunga na hasa wale waliofanya kazi serikali na wenye tuhuma za ufisadi.Hatutaki kuwa zoa zoa.Tunazingatia maadili katika siasa zetu.

      CHAUMMA ni reflection ya Tanzania yenye staha,haki,maadili na wajibu katika ukombozi Taifa na raia wake kiuchumi,kisiasa na kijamii.tutaandaa harakati nchi nzima ili kuunda mkusanyiko wa watanzania wenye ujasiri kama ilivyo haiba ya chama chetu yaani ujasiri wa kijamii

      Asanteni,karibuni katika ukombozi huu wa vitendo
      GIVENALITY likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,437
      Rep Power : 10877
      Likes Received
      3813
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By CHAUMMA
      Molemo,

      CHAUMMA hakipambani na CHADEMA.Hata wanafunzi wa Yesu walimlalamikia kwa kumuambia 'mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jina lako'.Yesu aliwajibu asiyetupinga yupo upande wetu.

      Kuna propaganda chafu ambazo zinaenezwa na baadhi ya watu na wengine wakiwa ni watu wa upinzani kwa lengo la kukichafua chama hiki kichanga.tunawindwa na baadhi ya vyama vya Upinzani na CCM pia.Tumejipanga na tunajiandaa kuanza usajili wa wanachama kwa njia ya mtandao na kutengeneza Database imara

      Tunawakaribisha nyote ndani ya chama hiki.Ilibidi jana na leo chama kiongeze raslimali watu kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kutaka kujiunga na chama hiki.tumepata maombi kutoka kwa wanachama wakongwe.Hatutambeba mtu yeyote.Tunaandaa vetting process kwa wanaotaka kujiunga na hasa wale waliofanya kazi serikali na wenye tuhuma za ufisadi.Hatutaki kuwa zoa zoa.Tunazingatia maadili katika siasa zetu.

      CHAUMMA ni reflection ya Tanzania yenye staha,haki,maadili na wajibu katika ukombozi Taifa na raia wake kiuchumi,kisiasa na kijamii.tutaandaa harakati nchi nzima ili kuunda mkusanyiko wa watanzania wenye ujasiri kama ilivyo haiba ya chama chetu yaani ujasiri wa kijamii

      Asanteni,karibuni katika ukombozi huu wa vitendo
      Mkuu umenijibu vema
      Kuna thread moja iko hapa tangu jana inawataka vijana wa CDM kuhamia kwenu kwa sababu CDM ina ukabila,vipi hamuhusiki na uhuni wa namna hii?

    9. #7
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,837
      Rep Power : 811
      Likes Received
      521
      Likes Given
      8

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Mmechelewa mchezo wenu wa kuiga kuunda chama kipya!!!! eti mnajaribu kugawa kura nani kawadanganya???? 2015 watu wanausongo wa kujiandikisha tunatarajia kuwa na wapiga kura 25million kama unategemea kugawa kura utapata zako na za mshindi zitabaki.Ndugu zako ccm wanafanya mzaha kuhusu bunge na bajeti hawajui kama mwisho they must account for.tutawabana tuone bajet zao zimefanya kazi gani.kwa sasa hata mjengoni hawakai mwisho spika ameanza kulalamika, serikali inalalamika, JK analalamika.Ila hawajui kuwa CDM watatumia uzembe huu kujijenga na kuchukua dola kiuraini
      Mboko likes this.

    10. #8
      CHAUMMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By Molemo
      Mkuu umenijibu vema
      Kuna thread moja iko hapa tangu jana inawataka vijana wa CDM kuhamia kwenu kwa sababu CDM ina ukabila,vipi hamuhusiki na uhuni wa namna hii?
      Asante

      Tulipigiwa simu kwamba kuna thread imeanzishwa huku.Kwa kweli ilitusikitisha sana hasa kuhusu maudhui na jinsi ambavyo watu walivyokuwa wakipotoshwa/kupotoka.Uhuni na uchafuzi wa aina hii kwenye chama chochote cha siasa hauvumiliki.Kila chama kina mapungufu.Miongoni mwetu ndani ya CHAUMMA kuna watu ambao hawakuwa na vyama kwa kuwa hawakuona mbadala,kuna watu waliotoka kwenye vyama vya siasa.Naamini CHAUMMA kitakua kimbilio la watanzania wanaoona fursa ya ukombozi kupitia chama hiki.Hatutaki mchezo wa kuchafua vyama vingine ingawa sisi tunachafuliwa.Watanzania wanahitaji ukombozi na hiyo ndiyo ajenda yetu kuu katika harakati hizi

      Quote By Lu-ma-ga
      Mmechelewa mchezo wenu wa kuiga kuunda chama kipya!!!! eti mnajaribu kugawa kura nani kawadanganya???? 2015 watu wanausongo wa kujiandikisha tunatarajia kuwa na wapiga kura 25million kama unategemea kugawa kura utapata zako na za mshindi zitabaki.Ndugu zako ccm wanafanya mzaha kuhusu bunge na bajeti hawajui kama mwisho they must account for.tutawabana tuone bajet zao zimefanya kazi gani.kwa sasa hata mjengoni hawakai mwisho spika ameanza kulalamika, serikali inalalamika, JK analalamika.Ila hawajui kuwa CDM watatumia uzembe huu kujijenga na kuchukua dola kiuraini
      Propaganda za kuhusisha CHAUMMA na CCM zinafanywa na CCM kwa lengo la kutupunguza nguvu hasa baada ya mikakati ytu kadhaa kuvuja.Hatutakubali yatokee yale ya CCJ na tumeshavuka hapo.tumekabiliwa na changamoto nyingi na hasa mbinu chafu za Usalama wa Taifa katika kuhakikisha hatupati usajili.Tumevuka hapo natuna uhakika tutapata usajili wa kudumu hivi karibuni.Tunaendelea kushukuru michango ya raslimali inayochangwa na watanzania ambao wanatuona kama chama makini.Tumefurahi sana kupata maombi ya wananchi na hasa wasomi kwa muda mfupi sana.Karibuni sana

    11. #9
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      592
      Likes Given
      413

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Chaumma = chaumwa?

    12. #10
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,333
      Rep Power : 2001
      Likes Received
      2119
      Likes Given
      7816

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      nashukuru kwa kumpa kazi msajili.(ila mission yenu imefeli)
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    13. #11
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      917
      Likes Given
      457

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By CHAUMMA
      Molemo,

      CHAUMMA hakipambani na CHADEMA.Hata wanafunzi wa Yesu walimlalamikia kwa kumuambia 'mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jina lako'.Yesu aliwajibu asiyetupinga yupo upande wetu.

      Kuna propaganda chafu ambazo zinaenezwa na baadhi ya watu na wengine wakiwa ni watu wa upinzani kwa lengo la kukichafua chama hiki kichanga.tunawindwa na baadhi ya vyama vya Upinzani na CCM pia.Tumejipanga na tunajiandaa kuanza usajili wa wanachama kwa njia ya mtandao na kutengeneza Database imara

      Tunawakaribisha nyote ndani ya chama hiki.Ilibidi jana na leo chama kiongeze raslimali watu kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kutaka kujiunga na chama hiki.tumepata maombi kutoka kwa wanachama wakongwe.Hatutambeba mtu yeyote.Tunaandaa vetting process kwa wanaotaka kujiunga na hasa wale waliofanya kazi serikali na wenye tuhuma za ufisadi.Hatutaki kuwa zoa zoa.Tunazingatia maadili katika siasa zetu.

      CHAUMMA ni reflection ya Tanzania yenye staha,haki,maadili na wajibu katika ukombozi Taifa na raia wake kiuchumi,kisiasa na kijamii.tutaandaa harakati nchi nzima ili kuunda mkusanyiko wa watanzania wenye ujasiri kama ilivyo haiba ya chama chetu yaani ujasiri wa kijamii

      Asanteni,karibuni katika ukombozi huu wa vitendo
      Mkuu si vyema kufananisha hizi harakati zenu za kihuni na yesu!
      Kimox Kimokole and Electron like this.
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    14. #12
      CHAUMMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By Mchaka Mchaka
      Mkuu si vyema kufananisha hizi harakati zenu za kihuni na yesu!
      Mchaka Mchaka,

      Si vyema kutoa hukumu kwa njia isiyo ya staha kwa mambo ambayo hayana tafiti.Watanzania tumezoea kujadiliana kwa staha na hata inapotokea tofauti ya kimtazamo.Huu ndiyo ustaarabu na sifa inayowatambulisha watanzania.Asante

    15. #13
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,837
      Rep Power : 811
      Likes Received
      521
      Likes Given
      8

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Kwa taarifa yenu ni kwamba katika uwekezaji wowote mafanikio yanakuja baada ya miaka mingi, kina mtei na marehemu bob makani walianza harakati tangu 1992 lakini matunda wanakula kina Zitto, Wenje na wajinga akina shibuda. Uwe tayari to persevere.

      Spain wamesubiri kombe la dunia miaka nenda rudi lakini leo ndiyo they rule the world of football. Mifano hiyo nakupa kukujulisha kuwa kama utakuwa na malengo ya kitanzania ya kuwekeza leo na baada ya mwaka unataka uone mafanikio basi imekula kwenu.Kama mnasajiri chama kwa lengo la kuchukua dola 2015 mmepotea.

      Lazima mmkubali kuwa huenda msiendelee kuwa viongozi maaana wajanja wakijiunga watawaondoa nyie na wao kuchukua himaya.
      Ujue kuwa kazi uliyoanzisha hutaimaliza itamalizwa na wenzako na ndiyo watafaidi matunda.je!!!! uko tayari???????? sidhani ninavyojua umedanganywa kuja kuvuruga chama pinzani kwa CCM ukidhani kuwa CCM watakupa shavu hapo umeliwa mchana.

      karibu

    16. #14
      CHAUMMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 349
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By Lu-ma-ga
      Kwa taarifa yenu ni kwamba katika uwekezaji wowote mafanikio yanakuja baada ya miaka mingi, kina mtei na marehemu bob makani walianza harakati tangu 1992 lakini matunda wanakula kina Zitto, Wenje na wajinga akina shibuda.Uwe tayari to persevere.Spain wamesubiri kombe la dunia miaka nenda rudi lakini leo ndiyo they rule the world of football.Mifano hiyo nakupa kukujulisha kuwa kama utakuwa na malengo ya kitanzania ya kuwekeza leo na baada ya mwaka unataka uone mafanikio basi imekula kwenu.Kama mnasajiri chama kwa lengo la kuchukua dola 2015 mmepotea.
      Lazima mmkubali kuwa huenda msiendelee kuwa viongozi maaana wajanja wakijiunga watawaondoa nyie na wao kuchukua himaya.
      Ujue kuwa kazi uliyoanzisha hutaimaliza itamalizwa na wenzako na ndiyo watafaidi matunda.je!!!! uko tayari???????? sidhani ninavyojua umedanganywa kuja kuvuruga chama pinzani kwa CCM ukidhani kuwa CCM watakupa shavu hapo umeliwa mchana.karibu
      Nashukuru sana kwa ushauri wako.CHAUMMA si mali binafsi ya mtu kwa hiyo kama mtu anataka kuongoza chama ana fursa.Ni fursa kwa wote walalahoi na wote wenye dhamira njema na taifa hili.

    17. #15
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      723
      Likes Given
      147

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By CHAUMMA
      Asante

      Tulipigiwa simu kwamba kuna thread imeanzishwa huku.Kwa kweli ilitusikitisha sana hasa kuhusu maudhui na jinsi ambavyo watu walivyokuwa wakipotoshwa/kupotoka.Uhuni na uchafuzi wa aina hii kwenye chama chochote cha siasa hauvumiliki.Kila chama kina mapungufu.Miongoni mwetu ndani ya CHAUMMA kuna watu ambao hawakuwa na vyama kwa kuwa hawakuona mbadala,kuna watu waliotoka kwenye vyama vya siasa.Naamini CHAUMMA kitakua kimbilio la watanzania wanaoona fursa ya ukombozi kupitia chama hiki.Hatutaki mchezo wa kuchafua vyama vingine ingawa sisi tunachafuliwa.Watanzania wanahitaji ukombozi na hiyo ndiyo ajenda yetu kuu katika harakati hizi



      Propaganda za kuhusisha CHAUMMA na CCM zinafanywa na CCM kwa lengo la kutupunguza nguvu hasa baada ya mikakati ytu kadhaa kuvuja.Hatutakubali yatokee yale ya CCJ na tumeshavuka hapo.tumekabiliwa na changamoto nyingi na hasa mbinu chafu za Usalama wa Taifa katika kuhakikisha hatupati usajili.Tumevuka hapo natuna uhakika tutapata usajili wa kudumu hivi karibuni.Tunaendelea kushukuru michango ya raslimali inayochangwa na watanzania ambao wanatuona kama chama makini.Tumefurahi sana kupata maombi ya wananchi na hasa wasomi kwa muda mfupi sana.Karibuni sana
      Master wa propaganda nadhani munafahamu wananchi wana waza nini unajitahidi sana kujisafisha ni wewe Tuntemeke aka Chauma na ngenge lako mulianzisha thread mumeona imebackfire sasa munajisafisha tumieni haki yenu ya kikatiba kuendeleza sera zenu lakini eti hakuna chama cha ukombozi au mbadala wakati hamjafanya hata abcd moja watu watawapotezea kabla halijachwa ,ufuasi au ukada ni imani sasa ukiponda watu kwa kusema hawajijui sijui watakujuaje wewe ,
      halafu kama kweli umeongeza nguvu kazi kwa jinsi vijana na wazee wanavyojiunga na nyinyi huhitaji kutuambia we endeleea kumobilise tutawaona wakiwajibika
      CCJ,CCK,ADC wote walikuja na gia hiyo hiyo lakini wako wapi mpaka sasa hivi ungegundua kwamba watanzania wanachuka ages kumwamini mtu imechukua miaka 20 watanzania kuweka wazi kwamba sasa wanaamini wapinzani kwa hiyo fyata unaposema nyie ndio chama mbadala wakati wana macho
      Jasusi likes this.

    18. #16
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 507
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      style, semantics, na flow ni kama ya familiar Great Thinker hapa.....any way ngoja niendelee kuchunguza zaidi


      Quote By CHAUMMA
      Tarehe 3 mwezi julai,2012 chama kipya CHAUMMA(chama cha ukombozi wa Umma) kilipata usajili wa muda.

      Kwa bahati mbaya kabisa au kwa makusudi kuna baadhi ya watu wameakueneza propaganda za kukichafua chama hiki.Chama hiki hakina malengo ya kuwagawa wapinzani.Kina lengo la kutanua wigo wa upinzani katika kupambana na mfumo unaochochea unyonge wa kijamii,dhuluma,matumizi mabaya ya raslimali za Taifa na kuunganisha nguvu kama Jamii iiyochoka kukandamizwa na inayodai haki usawa.

      Chama hiki ni chama ambacho hata mtoto wa masikini anaweza kusimama na akawa na sauti katika kuchagua na kuchaguliwa.I am yet to see a truly democratic and progressive party in Tanzania.All we have are political platforms which people use to realise their ambition not the ones to save the people. As far as this moment is concerned, I don’t see any difference in any political party in Tanzania. You may blame CCM or other parties for all you want to blame them for. And when you differ in opinion, they will plot your exit. That is not the kind of party we want


      Though we disagree to agree, that gives us an edge. And that makes us stronger and we will continue to maintain that. We need to unite and there is need for unity among us. What holds us together is the unity and as a political party we must disagree, but whatever the level of disagreement, finally (at the end) we normally agree on a common front and that is what will make CHAUMMA a progressive party for progressive Tanzania.

      Tunaamini suluhisho la matatizo yetu sote ni kupata mawazo na kutoa fursa kwa kila mtanzania mwenye kipaji kutumia fursa hii katika harakati zetu hizi

      Tumepata maombi mengi ya kujiunga na chama hiki.Wengi wao ni vijana na tunaendelea kuratibu mchakato mzuri zaidi ili matawi na ofisi zifunguliwe mijini na vijijini.Tutawafuata Watanzania mahali walipo.Mwalimu Nyerere na wazee wa TANU walizunguaka Tanganyika katika kukusanya nguvu ya waafrika katika kupapmbana na ukoloni.Natambua kuna watanzania wasio na vyama,kuna wale walioko ndani ya vyama vya siasa hawaridhiki na mambo yalivyo.Tunawakaribisha kwa mikono miwili.

      CHAUMMA tunapigania kwa vitendo kabisa demokrasia ya kijamii,haki,Amani na Usawa.

    19. #17
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      723
      Likes Given
      147

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By CHAUMMA
      Nashukuru sana kwa ushauri wako.CHAUMMA si mali binafsi ya mtu kwa hiyo kama mtu anataka kuongoza chama ana fursa.Ni fursa kwa wote walalahoi na wote wenye dhamira njema na taifa hili.
      Huu uandishi na ufahamu ni wa nani for now i will test my inteligency
      Mlachake, Kimox Kimokole and Memo like this.

    20. #18
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Nataka niwahi kuingia huko:
      CHAUMMA

      ofisi ziko wapi?
      sera zenu nini?
      viongozi kina nani?
      waanzilishi kina nani?
      wadhamini kina nani?
      wafadhili kina nani?
      Last edited by zomba; 6th July 2012 at 14:49.
      Kimox Kimokole likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #19
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      917
      Likes Given
      457

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      Quote By CHAUMMA
      Mchaka Mchaka,

      Si vyema kutoa hukumu kwa njia isiyo ya staha kwa mambo ambayo hayana tafiti.Watanzania tumezoea kujadiliana kwa staha na hata inapotokea tofauti ya kimtazamo.Huu ndiyo ustaarabu na sifa inayowatambulisha watanzania.Asante
      Hebu Bandika katiba yenu hapa, nikipata wasaa niipitie!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    22. #20
      Petram's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 424
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

      mna wanachama wangap?

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...